Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Kuna Audio ninayo ya Mchungaji mmoja wa Nigeria alipata neema alikufa na kwenda mbinguni pamoja na kuzimu na kuona hali ilivyokule. (audio iko in swahili language). Kule anakutana na Bwana Yesu, Maria mama wa Yesu, Ibrahim, Malaika n.k Pia anakutana na watumishi wa Mungu aliekua anawajua duniani wengine alishiriki mazishi yao anashangaa kuwakuta kuzimu. Ukiisikiliza itakubadilisha sana na kukupa taswira kubwa zaidi kuhusu maisha baada ya kifo. Kwa yoyote ambae atapenda nimtumie kwa njia ya Whatsapp anicheki 0714883861 nitatuma.
 

Huu nao ni upuuz mwingine
 
Upo nyuma sana soma soma vitabu angalau na wewe uweze kuchangia facts na sio mawazo wako
 
HUU NI UVUMI USIO NA UKWELI HATA CHEMBE. KUNA WAKATI MADHEHEBU FULANI YALIDAI JOHN PAUL WA II PILI NI MPINGA KRISTO NA KWAMBA MWISHO WA DUNIA MWAKA 2010 NA HUKU NYUMA 1846. LAKINI MPAKA LEO DUNIA IPO TU. ACHENI MAFUNDISHO YA KUFIKIRIKA JAMANI.
 
HUU NI UVUMI USIO NA UKWELI HATA CHEMBE. KUNA WAKATI MADHEHEBU FULANI YALIDAI JOHN PAUL WA II PILI NI MPINGA KRISTO NA KWAMBA MWISHO WA DUNIA MWAKA 2010 NA HUKU NYUMA 1846. LAKINI MPAKA LEO DUNIA IPO TU. ACHENI MAFUNDISHO YA KUFIKIRIKA JAMANI.
Mkuu jitahidi ufanye utafiti ili ufahamu ukweli na uongo. Tunazipenda dini zetu ambazo hazitoshi kutufikisha mbinguni.
 
Kikubwa ambacho nimejifunza kuhusu audio ninayowaambia ni kua sisi ambao tunajiona tuko salama hatuko salama. Kuna vitu ambavyo kwa akili ya kawaida ni vidogo lakini vinaweza sababisha tusiuone ufalme wa Mungu.
 
Mti wenye matunda daima utapigwa mawe tu. Ww umejuaje hayo? Unacopy na kupaste vitu usivovijua ili kuchanganya watu, Kanisa ni moja tu.
 
g
Halafu ukimhoji zaidi anakuambia soma biblia iko wazi....Cha ajabu hata hiyo Biblia ni mali na ubunifu wa Kanisa Katoliki...
Kwenye BIBLIA nakukatalia kabisa.
Romani Catholic wamepambana kuficha ukweli wa BIBLIA.
Wamediliki hata kuchoma wahubiri moto na kuwakata vichwa ili neno la Mungu lisosambae duniani!!
Lakini kwa nguvu za Mungu aliye hai hata siri zao sasa zinafichuka!!
Hilo ni somo zuri uzijue siri za kishetani!!
Halafu ukimhoji zaidi anakuambia soma biblia iko wazi....Cha ajabu hata hiyo Biblia ni mali na ubunifu wa Kanisa Katoliki...
 
Kufika Mbinguni ni safari ndefu sana , kazi ya wasabato siku zote ni kutoa vitu ambavyo havina uhusiano, hebu niambie shule gani inapenda kulea majamabazi na watoro na wanaofeli kabisa ya private, hebu niambie Uhusiano wa taasisi zote alizotaja kwa reference uhusiano wake.Kweli Mnahitaji Mungu awaongoze
 
Mti wenye matunda daima utapigwa mawe tu. Ww umejuaje hayo? Unacopy na kupaste vitu usivovijua ili kuchanganya watu, Kanisa ni moja tu.
Umeona mkuu, anachanganya changanya vitu na lugha kuaminisha uongo kuwa ukweli, kama kweli akisemacho atuletee hapa JF evidence kama vile viapo vyao, picha za mikutano yao, video zao etc
 
Ndugu yangu, Kenzy mfalme wa dunia hii ni shetani na amepewa mamlaka naMUNGU aitawale ,na pia wanadamu wamepewa option ya nani wakumtumikia kati ya MUNGU ama shetani. Mungu hajashindwa kuvuruga mipango ya shetani ya kuitawala dunia japo amewapa wanadamu wanao mwamini Mungu mamlaka ya kumshinda shetani na vishawishi vyake.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Huu ni uongo ulio wazi, mnashindwa kutofautisha wale waliochoma mitume na watakatifu wengine, Mpaka leo hii biblia ipo ni kwa sababu ya wakatolic walitunza na kuificha mahala pema ili isiweze kuchukuliwa na watawala wa Kirumi,madhehebu mengine yote yamekuja miaka ya 1500+ na kutumia ile bibilia iliyotunzwa na wakatolic na kupunguza baadhi ya vitabu
 
Hadi sukari itakaposhuka bei na kufikia 1800 = kama awali mtakuwa mmetunga hadithi za kufanya siku ziende nyingi tu. Taendelea kuwa Mroma all ma lifetime cycle na mke akileta za kubadiri dini taraka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…