Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For the record alikuwa ni mgonjwa wa sukari kwa muda mrefu.Ajali ama kugonjeka
Hivi peponi ni kulala tu? Mara alale pema peponi,wewe tena Alale pazuri peponi,huko peponi hakuna mishe nyingine? Ni kulala tu? Hakuna hata kuimba na kuabudu? SiaminiAlale pazuri peponi
Retired Immigration OfficerKabla ya kuwa mjumbe wa Tasac, alikuwa taasisi gani anafanyia kazi.
Kweli huyu mzee alikuwa anaongea ni balaa,km anafoka vile.Rest easy mzeeNiliwahi kula nae ulabu ubungo anaongea kama mashine ya kusaga rip
Haha mjini usije na begi ,njoo na akili yako tu,utakula na kuishi vizuri.ngoja niende kwenye msibani,kuna Sikh nilikua mfukoni mweupe balaa ,nikakutana nae sikumwomba ela,ila alinitoa 50000,akaniambia kazana umalize chuo usijali kuhusu ajira ,unitafuteMjini kuna watu wanaushi kwa maneno
Kuongea ongea sana kujifanya kujua mambo
Badi wabongo hapo lazima utawasikia
"The guy is vere vere smart" 😂😂
Ova
Hahaha hapo ni mbwa kala mbwaRIP mnywaji mwenzangu pale zanzibar hotel kisutu miaka hiyo ilikuwa akilewa anacheza hadi shoo za nguvu muke ndani
Mwanaharakati anyehongwa cheo na diktetaAlikuwa mwanaharakati tu
Ova
Funguka mkuuSi ndio huyu alipewa warning na mama samia? Au sio
Huyu Mzee nimeishi nae mtaa mmoja mwananyamala miaka ya 2004-05 alikuwa mtata Sana akiingia bar alikuwa anaagiza bia mbilimbili ya Moto na baridi Kwa wakati mmojaNiliwahi kula nae ulabu ubungo anaongea kama mashine ya kusaga rip
Bwana we! Hiyo ndiyo chadema ya JFduh waja mna mambo. Mnamsimanga Marehemu