wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sio mbaya ni nyoya moja limedondoka kwenye mwili wa kukuMjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye ndiye msomi pekee mbobezi aliyebuni miradi mbalimbali ndani ya chama ukiwemo ule wa CHADEMA ni msingi amehamia CCM na kupokelewa na mwenezi wa chama ndugu Polepole.
Chanzo: Channel ten!
Maendeleo hayana