Mjumbe wa Katiba Bi Maria Saungi Tseshai

Mjumbe wa Katiba Bi Maria Saungi Tseshai

nafikir ni Ukraine sio Russia. coz dingi yake walisoma na ma dingi huko na wakaja na wake wazungu wote

Kwa wakati ule ilikuwa USSR, ndio maana ni rahisi kusikia mtu akisema alitoka Russia.
 
Hii ID WoS ingemfaa sana. Bahati mbaya sio yeye.
Damn, nammisi sana WOS. Kichwa chake anakijua mwenyewe na anakitendea haki.
Then hutu atakuwa ndio Asha Dii!.
NB, Japo ni kosa kumhisi member yoyote kuwa ni fulani, lakini kwa vile jf was ment to be the home of great thinkers, but very unfortunately imetokea ma great thinkers wa ukweli ni wachache humu jukwaani na wanahesabika!, na wanawake ni wachache zaidi, kumfananisha member yoyote humu na watu kama WOS, ni kumpa chati ya juu, na sio kosa!.
Pasco
 
Kwa uzoefu wangu product nyingi za point five zinavutia bila kujali mzazi mmoja ni mjaluo au mndengereko.....
Nilisoma primary nao hawa mabinti, na shule yetu ilikuwa na set nyingine za poit five kama 6, wakiwemo hawa na wengi walikuwa mabinti, kuna wengine wakiitwa Stephania na Nikki Sefu, kulikuwa na Pint five za Sepetus, Poit five za Mtuyabaliwes, Point five za Kimeseras, na point five za Msuya's.

Kiukweli nilitokea kuwapenda hawa point five, sikujua why, ukubwani ndipo nikaja kujua kuwa kumbe sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni hoi kwa rangi fulani!. Na ikatokea wengi wa pont five ni vichwa mbaya!, contributing reasons ni kuwa wengi wa wabongo vichwa sana ndio waliopata scholaship za ulaya enzi hizo rushwa bado!, wakiwa shule, walioana na wanafunzi wenzao, mabinti wa kizungu ambao pia ni vichwa, matokeo ni kuproduce vi off spring vichwa vichwa!.

Nadhani kuna direct relation kati ya ukichwa wa baba ukijumlisha ukichwa wa mama kuproduce watoto vichwa!.

Pasco.
 
Huyu mama siyo mshabiki,anajitahidi sana kwenye biashara ya kufikiri.Kwa akili ya sisiemu,watasema huyu ni Chadema.Kaelimika kweli huyu mama ndiyo maana yuko huru."Walioelimika tu ndio ambao wako huru".Heraclitus.
 
We dogo, uchokozi huo sasa, atakupigia simu sasa hivi kukulaumu, shauri yako! Mi najua hata JK nae ni member humu, sitachangaa yule mze wa vuta nikuvute wa Lumumba akawa ndiye yeye!
Ni Member Mwenzetu JF pia.Aisee nisije nikaingia kwenye mtego wa kuvunja kanuni.Simtajiii....!
 
Maria21.png


Mkuu IDEGENDA na Excel nahisi nimetii kiu zenu....

She is very beautiful....
 
Last edited by a moderator:
Nitakutumia PM unitajie, kwa PM utakuwa hujavunja kanuni!, ila kama ni mwana jf, nadhani stakuwa ndiye WOS! au.... au....
Pasco.

No hapo umeingia Chaka...hapo kwa WOS ! Unaniingiza kwenye ugomvi...!
 
Walau tumepata mawazo mbadala yanayojengwa juu ya hoja
 
Then hutu atakuwa ndio Asha Dii!.
NB, Japo ni kosa kumhisi member yoyote kuwa ni fulani, lakini kwa vile jf was ment to be the home of great thinkers, but very unfortunately imetokea ma great thinkers wa ukweli ni wachache humu jukwaani na wanahesabika!, na wanawake ni wachache zaidi, kumfananisha member yoyote humu na watu kama WOS, ni kumpa chati ya juu, na sio kosa!.
Pasco

Bado umeingia Chaka ingawa AshaDii nae ni Mjumbe wa Bunge la Katiba kwa jina lingine....Ha ha ha! Nae Simtajii.....!
 
Nilisoma primary nao hawa mabinti, na shule yetu ilikuwa na set nyingine za poit five kama 6, wakiwemo hawa na wengi walikuwa mabinti, kuna wengine wakiitwa Stephania na Nikki Sefu, kulikuwa na Pint five za Sepetus, Poit five za Mtuyabaliwes, Point five za Kimeseras, na point five za Msuya's.

Kiukweli nilitokea kuwapenda hawa point five, sikujua why, ukubwani ndipo nikaja kujua kuwa kumbe sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni hoi kwa rangi fulani!. Na ikatokea wengi wa pont five ni vichwa mbaya!, contributing reasons ni kuwa wengi wa wabongo vichwa sana ndio waliopata scholaship za ulaya enzi hizo rushwa bado!, wakiwa shule, walioana na wanafunzi wenzao, mabinti wa kizungu ambao pia ni vichwa, matokeo ni kuproduce vi off spring vichwa vichwa!.

Nadhani kuna direct relation kati ya ukichwa wa baba ukijumlisha ukichwa wa mama kuproduce watoto vichwa!.

Pasco.

Pasco hapa nakubaliana na wewe.Unapooa usipozingatia hiki kigezo basi kuna hatari ya kuandaa mazingira ya kuwa na product vilaza.Ukimuangalia mke au mchumba uliye nae unaweza kujua kabisa hapa nitakua na product gani.Kwa bahati nzuri au mbaya wewe tayari ulishaoa sasa hivi huna influence tena. Tuachie sisi wadogo zako .Ha ha ha ha.
 
Pasco hapa nakubaliana na wewe.Unapooa usipozingatia hiki kigezo basi kuna hatari ya kuandaa mazingira ya kuwa na product vilaza.Ukimuangalia mke au mchumba uliye nae unaweza kujua kabisa hapa nitakua na product gani.Kwa bahati nzuri au mbaya wewe tayari ulishaoa sasa hivi huna influence tena. Tuachie sisi wadogo zako .Ha ha ha ha.

Na atuambie product zake ni aje ni vipi au rangi ilimpoteza???!!
 
ndiyo yule mpbavu kutwa anamtetea mbunge wa mahakama, fb na twitter..

angemtetea lema ungemponda pia? Una wivu na chuki hadi unazidisha. Wazazi wako mbona wanamkubali mbunge wa mahakama? Unawatusi pia?
 
Back
Top Bottom