Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto


Kuna ukweli pia, alitaka kupiga na kusepa.. ni sawa tu nae kuna wanawake anakutana nao hawana wowo, wanamshobokea anawatosa ndio maisha...
 
Bro uko vizuri kwenye utunzi Hivyo vitabu unauza bei gani? Hiyo story yako ipo humo?
 
Would you please send all the books here?
 
Mkuu mwnywe nazungusha matunda majumbani unaonaje kama tukiunganisha biashara😂😂😂
Tuje kua na BMW maana Harrier sio nzuri kama mtoa mada alivyotuambia
Dah 😁😁😁inatosha sasa.
 
I love youu ❤❤❤
 
Wewe unajikosha tu hapa.. nini kitabadilika akianza au ukigundua mwenyewe? Wewe unapenda pesa mwenyewe umejidhihirisha hapa tayar… uyo jamaa angekuja kwako na hizo swaga usingechomoa😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…