Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Wanaume wa hivi wanaboa aisee..kuna mmoja nilipataga tabu sana mpk kuja kumzoea...mkichat mara akutumie picha za nyumba yke...mara vigari vyake...mara sijui naenda kikao serena...kesho nakutana na mkurugenz wa sijui wapi.
Akitransfer hela kwa mtu atakutumia mpk slip..(mamilioni kadhaa)
Akilipwa anakutumia[emoji3][emoji3][emoji3]..yn soooo boring

Ilibidi nimulizee mbona km we ni kabila fulan (lile la wapenda sifa)??

Nilipomzoea aah ...
Hata Wanawake wa hivyo wapo sana! Tena mwingine anaweza kua Yuko kwenye Mikutano wa kazi anaongea Kama Mkuu wa kitengo eti lazima akupigie simu ukipokea unamsikia yeye anamwaga ma points zake kwa meeting, utaita hallo hallo lakini hajibu anaendelea kufokea Wafanyakazi wake upande wa pili!!
 
Kwa hiyo ulikuwa tayari tatizo Ni approach!!! Sasa ungemkubalia alafu ukamfundisha mdogomdogo na kumpa hizo nondo. Au ulikuwa unatiming nyingine
Hakuna kitu hapo, anataka kuuza kitabu tu.
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.

Au alikuwa anatania labda... si unajua sie Wahaya 😉 😉
 
Sikuwa tayari. Sivutiwi na wanaume wasiojiamini. Na sio mimi tu. Kujiamini ndio silaha kuu ya kuvuta warembo.

Haya njoo basi kwa mimi mkulima wa ngogwe! Yaani ninajiamini mpaka kuna wakati huwa ninajishtukia!

Nina baiskeli mbili, pikipiki mbili! Genge kubwa la bidhaa mbalimbali! Nafuga kuku wa kienyeji (hivyo ukija kunitembelea utakula kuku, na mayai mpaka ukimbie), nina kibanda cha kujihifadhi cha vyumba viwili na sebule! Nina.........✍️
 
Haha..
Barbie umenichekesha..! Ku unlock feelings tu ama mpaka pochi iliyokuwa locked.??

Anyways, tafuta hichi 'the power of pussy' - by Kara King..!!

C'ssy Heaven Sent uliwahi waambia wanaume hili kwenye ile thread yako..!!
Utakuta wanatiana ujinga "wewe tafuta tu hela, hakuna mwanamke atakayekukataa". Wanasahau kutafuta na "akili".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Excellent! Hawa watu wana mengi mno ya kujifunza. Kutangaza mafaniko kwa mwanamke mgeni bila kuulizwa ni ishara ya kuwa nafsi yako inakwambia kwamba wewe huna thamani kama mwanaume, thamani ya kutosha kupata ukaribu wa huyo mwanamke.

Kwa hiyo kukosa kwako thamani ndio unataka kufidia kwa kutumia hivyo unavyomiliki. Kaka zetu pateni haya madini yatawasaidia. Na tutaendelea kuwafunulia tabia zisizovutia ili wanaokubali kijifunza wajifunze.
Nakupenda dada
 
Wanaume wa hivi wanaboa aisee..kuna mmoja nilipataga tabu sana mpk kuja kumzoea...mkichat mara akutumie picha za nyumba yke...mara vigari vyake...mara sijui naenda kikao serena...kesho nakutana na mkurugenz wa sijui wapi.
Akitransfer hela kwa mtu atakutumia mpk slip..(mamilioni kadhaa)
Akilipwa anakutumia[emoji3][emoji3][emoji3]..yn soooo boring

Ilibidi nimulizee mbona km we ni kabila fulan (lile la wapenda sifa)??

Nilipomzoea aah ...
Nyie ndio mnasababisha wanakuwa hivyo. Mnawajengea Wanaume fikra kuwa asipokuwa na mali hawezi kukubaliwa mahusiano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.
Sema James lazima atakua nshomile tu.. strategy za kizamani mno hizo
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.
Kosa lake ni kuvitaja hadharan hvyo vtu ila ukwel usiopingika ni kwamba hvyo vtu ndo wanavyopenda wanawake

Yaan unapo mu aproach tu anawaza huyu ana kazi.. au nyumba.. au ana gar?

So mwamba akarahisisha kwa kuvinadi mapema.. binti hukupenda.. bas sawa.. huyo mwamba hakukupenda kiivyo alitaka kula tunda asepe... Mwanamke unaempenda kikwel kwanza utakua unatetemeka hata hayo magar huwez kumbuka..
 
Excellent! Hawa watu wana mengi mno ya kujifunza. Kutangaza mafaniko kwa mwanamke mgeni bila kuulizwa ni ishara ya kuwa nafsi yako inakwambia kwamba wewe huna thamani kama mwanaume, thamani ya kutosha kupata ukaribu wa huyo mwanamke.

Kwa hiyo kukosa kwako thamani ndio unataka kufidia kwa kutumia hivyo unavyomiliki. Kaka zetu pateni haya madini yatawasaidia. Na tutaendelea kuwafunulia tabia zisizovutia ili wanaokubali kijifunza wajifunze.
Ila atakuja mume wa mtu hapo. Atadisplay hizo quality za "how to get between her legs" na kweli atafanikiwa then before you know it Mimba, ta ta ta ta Heeeee jamaaa mume wa mtu heeeeee tulu tulu tulu prakataaaaah heeeee hakutaki anarudi kwa mkewe, heeeee hatujakaa sawa uzi jamii forum namna wanaume ni mbwa na waongo...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wiki kadhaa baadae umekubali matokeo maana umeshawahiwa na wajanja umekuwa single mother.

Miaka kadhaa baadae unakutana na Post ya Mc gharab amepost james anavisha pete mdada mzuri mrembo kukupita. James amekuwa mume wa mtu na unaanza mfuatilia kwenye account yake na kuona akihesabu tu anniversary za ndoa na birthday za watoto na mkewe.

Wewe na your sorry self unabakia kukutana na wanaume wapya daily. Watoto unawachanganya kwanza hawajashare baba lakini pia unazidi kuwachanganya kwa kuwaletea baba mpya kila siku. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Women used to be very Smart back in a day. Nowadays Modern Women sijui m'mekuwaje i mean m'mekuwa more than foolish/stupid. The more mnakuwa educated the more mnakuwa very good at making dumb decisions.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa lake ni kuvitaja hadharan hvyo vtu ila ukwel usiopingika ni kwamba hvyo vtu ndo wanavyopenda wanawake

Yaan unapo mu aproach tu anawaza huyu ana kazi.. au nyumba.. au ana gar?

So mwamba akarahisisha kwa kuvinadi mapema.. binti hukupenda.. bas sawa.. huyo mwamba hakukupenda kiivyo alitaka kula tunda asepe... Mwanamke unaempenda kikwel kwanza utakua unatetemeka hata hayo magar huwez kumbuka..
Kweli mwamba alijua kuwa wanawake wanapenda mali japo hakutakiwa kujionyesha kwa namna ile
 
Utakuta wanatiana ujinga "wewe tafuta tu hela, hakuna mwanamke atakayekukataa". Wanasahau kutafuta na "akili".

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaweza kuwa na mwanaume asie na kipato au mali ukamheshimu na kumpenda bila kuwaza ujinga wa kumsaliti na wanaume wengine wenye uwezo?!

Mbona leo mnajikuta wife material sana nyie watu katika huu uzi. Wakati ni wadangaji daily hapa tunasoma comment zenu?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaweza kuwa na mwanaume asie na kipato au mali ukamheshimu na kumpenda bila kuwaza ujinga wa kumsaliti na wanaume wengine wenye uwezo?!

Mbona leo mnajikuta wife material sana nyie watu katika huu uzi. Wakati ni wadangaji daily hapa tunasoma comment zenu?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea na mimi au?
 
Back
Top Bottom