Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,555
- 2,216
Hamjui jemsi vizuri, next time ni mmteko + mbako mpaka acheue io kukuSasa humtaki mkaka wa watu ukakubali akulipie msosi Why?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamjui jemsi vizuri, next time ni mmteko + mbako mpaka acheue io kukuSasa humtaki mkaka wa watu ukakubali akulipie msosi Why?
Haha..Nafurahi kukuna mdogo wangu, hicho kitabu hicho😂😂😂
Ujue wanawake wa siku hizi siwaelewiHamjui jemsi vizuri, next time ni mmteko + mbako mpaka acheue io kuku
Muongo kabisa. Unauza vitabuNilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.
"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.
"Haina shida." Nikajibu.
Wanaume wa hivi wanaboa aisee..kuna mmoja nilipataga tabu sana mpk kuja kumzoea...mkichat mara akutumie picha za nyumba yke...mara vigari vyake...mara sijui naenda kikao serena...kesho nakutana na mkurugenz wa sijui wapi.Ila pia kuna watu ndio walivyo tu by nature yaani wanapenda kujizungumzia wao na mali zao.
Hata tukiwa kijiweni wanaume tupu unaweza shangaa mtu anaanza kuzungumzia mambo yake private so mleta mada usishangae sana.
Amejoin leo tu lakini tayari ametongozwa na jemsi 😁[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]msamahe tu mkuu
Afu ni msela eti dah! Hizi mbinu nomaMuongo kabisa. Unauza vitabu
Simple tu ulikuwa unamuonea wivu hivo vitu vyake.Wanaume wa hivi wanaboa aisee..kuna mmoja nilipataga tabu sana mpk kuja kumzoea...mkichat mara akutumie picha za nyumba yke...mara vigari vyake...mara sijui naenda kikao serena...kesho nakutana na mkurugenz wa sijui wapi.
Akitransfer hela kwa mtu atakutumia mpk slip..(mamilioni kadhaa)
Akilipwa anakutumia[emoji3][emoji3][emoji3]..yn soooo boring
Ilibidi nimulizee mbona km we ni kabila fulan (lile la wapenda sifa)??
Nilipomzoea aah ...
Huyu anauza kitabu tu hata alivyaandika ni kama waandishi wanavyoandikaga.Afu ni msela eti dah! Hizi mbinu noma
Very correctEderra nimekupenda bure...
Umeandika vitu poa sana na pengine ni somo kwa sisi jinsia tofauti na yako, few will understand kwa sababu hawajui kwamba kuna aina nyingi tofauti za sanaa ya kuapproach...
Bravo!
Mkuu naomba na hicho kitabu cha kiswahili
Naona unampa vyake mkuuAmejoin leo tu lakini tayari ametongozwa na jemsi 😁
Khaaa nimuonee wivu stranger[emoji1787][emoji1787][emoji1787].am not an idiot....Simple tu ulikuwa unamuonea wivu hivo vitu vyake.
Hamueleweki kuna wengine wanapenda hivyo.
Bro umetisha sana
Kitume