Wanawake wa zamani akikuta mwanaume ana mapungufu, atamwambia na kumsaidia kujirekebisha. And thats why baba zetu hawakuwa wakihangaika sana na wanawake hovyo sababu mwanamke anaekutana nae anakuwa ameshaanza wifely duties papo hapo.
Hawa wasasa sijui wamefundishwa au kujifunza wapi kuwa mwanaume akiwa na changamoto yoyote aidha ya tabia au kiuchumi au kimuonekano mfano kuwa na mwili ambao haunavuto sababu haujanawili basi huyo mwanaume umkimbie.
Funny thing is sijawahi kuona mwanaume anakosa mwanamke wa kuishi nae kama mke hata kama akichelewa sana kuoa. Ila nimeona wanawake wengi wanaozaa nje ya ndoa na kukosa kabisa mwanaume serious wa kuishi na kufanya nao maisha. Na wanawake wenyewe ndio sampuli yako wewe mleta mada.
Ulisikia ile story ya mwanamke mkosa hekima au mpumbavu basi wewe ni aina yake.
Wewe unajua huyo james amepitia maisha ya aina gani hadi kumiliki hiyo harrier na BMW?! Umejiuliza ni kwanini anatake a great pride na hizo vitu vyake?!
Ni vipi kama James alishapigwa vibuti au kukataliwa mara kadhaa kwasababu kila mwanamke alionyesha kutaka james awe na gari au kazi nzuri ili aweze kuwa mwanaume,haudhani kuwa hiyo ni sababu tosha kwake kuanza katabia kakujiproud ili before mwanamke hajamfahamu kiundani ampe respect kwa mali alizonazo?!
Kwasababu tusiseme uongo wanawake wa sasa mnataka utelezi na hicho ndicho kigezo namba moja kama ukiacha unafiki.
James naona amejaribu na aliperform vizuri kama mwanaume na hakuwa na kosa. Pengine alikuamini haraka sana na alitaka wewe kama future wife wake uanze kujua possession zake sababu itakufanya kumuona yeye kwa mafanikio yake maana ndicho kitu wanawake wasasa mnapenda.
Kwann hakuwasiliana na james na alikusisitiza mawasiliano na wewe ili umwambie kuwa alichofanya si kitu kibaya ila haikuwa lazima sana maana ungejua tu kuwa hizo mali kuwa anazo?! Ukaona ni wise utupe business card halafu uje kutuambia sisi. Sasa sisi ndio James?! Umemuacha james anasubiria simu yako unakuja hapa kutuambia kuwa James kakukwaza, mtu kusema anamiliki nini na nini au kusikia fahari ya mali yake imekuwa tusi. Kwahiyo ukija kuwa na mume hautapenda ajisikie fahari kuwa na wewe na kukutambulisha mbele za watu?!
Sasa umemuachia James aende na ukumbuke yeye ndie alikufuata. Unajuaje labda MUNGU alimuelekeza kuja mgahawani kukutana na future wife wake ambae ndie wewe hata haujitambui. Kesho na kesho kutwa utiwe mimba na mume wa mtu uanze kuwatafuta akina james wawe baba wa lazima kwa mtoto wako sababu umeshaharibu.
Upuuuzi wa karne. Sasa endelea. Huyo ni james mmoja hatujui ni akina james wangapi umewazingua kisa unaona wanakufuata. Kuna msemo unasema kila mbwa na siku yake, vivyo hivyo kila mwanamke mwenye maringo na kiburi kuna mwisho wake.
Endelea kukataa na kutupa business card. Halafu tutaona huyo ambaye wewe unamtaka na ulimuumba asiye na dosari akija kukufuata muanze mahusino.
Dharau tu...... Msyuuuuuuuu..... Me sipendi mabinti wenye tabia za kujiona wao ndio top class au toleo la pekee.... Kumbe takataka tu shenzi type. [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]