Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Umeandika Kama Mwanaume.

Wewe ni mwanaume
Au umempa mwanaume akuandikie.
Chagua kimoja.

Flow ya uandishi na muanganiko wa neno Kwa neno, sentensk Kwa sentensi na Aya Kwa Aya ni wakiume zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nimekuelewa,lakini naomba nikuulize,unakutana na mwanamke wa ndoto yako sehemu,na hakuna namna mnaweza kuonana tena siku ya usoni,yaani mkiachana hapo ndio huna ramani ya kumuona tena,mtu kama huyu kumbuka ndio wa ndoto yako na ni nadra kuwaona,unaachaje kuwa desperate?..
Point ya nyongeza,kuna uwezekano mkubwa huyo James wako asiwe James kweli,asiwe meneja wa bank yeyote wala hana gari lolote..Tywin lannister kwenye game of thrones aliwah kusema "anyone who says i am the king,is not a true king".Pengine alitaka kukuvua akazidisha mbinu,ila kila mwanaume na aina ya wanawake anaowataka,yeye anataka wanawake wa kubabaika na hivyo vitu,akikutana nae wataenda sawa.
Inaonekana wewe ni aina ya mwanamke ambae ili kumpata inabidi utumie mbinu,sio hisia.
 
Wewe unaonaje hizo flowline zake, maana wanawake ndizo flow zetu hizo

Hilo neno "mkaka" ndilo linatumiwa na nyie Kinadada, lakini mengine mmh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bhana.
 
Khaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...ni ushamba aisee
 
Wewe unajikosha tu hapa.. nini kitabadilika akianza au ukigundua mwenyewe? Wewe unapenda pesa mwenyewe umejidhihirisha hapa tayar… uyo jamaa angekuja kwako na hizo swaga usingechomoa[emoji38]
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa...hakuna asopenda hela..ht mimi napenda kweli tena haswaa....ila kuna namna wanakosea approach....kujimwambafy kwa maneno inakeraaaaaaaa[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…