Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Hicho kitabu cha kwanza nimekisoma last year lakini probably sio applicable kwa wanawake wa kitanzania, probability ni 50 percent sababu wengi ni watafuta pesa.

Hii story yako probability ya kuwa ni kweli ni 50 percent sababu hapo mwisho umesema ukitaka hicho kitabu basi vocha utachangia means huyo jamaa kwa asilimia 90% usingemkataa.
 
tuliambiwa tutafute pesa imekuwaje mwenye pesa kala kibuti? 😂😂😂😂
Tafuta pesa sana kwa kufanya kazi kwa bidii. Lakini usijidanganye kuwa ukiwa na pesa utapata kila mwanamke unayemtaka. Bado kuna wanawake wengi wazuri watakuwa na pesa zaidi yako na wale ambao pesa zako haziwezi kuwa kigezo cha kuwarubuni.

Ndio maana nawaambia someni vitabu nilivyowashauri. Ukisoma hivyo vitabu, angalau kimoja tu thamani yako ya uanaume itapanda mara tatu au zaidi.
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.
Joannah hebu njoo umelizie nimeishia hapo "Na ile business card.....:
 
Wanawake wa zamani akikuta mwanaume ana mapungufu, atamwambia na kumsaidia kujirekebisha. And thats why baba zetu hawakuwa wakihangaika sana na wanawake hovyo sababu mwanamke anaekutana nae anakuwa ameshaanza wifely duties papo hapo.

Hawa wasasa sijui wamefundishwa au kujifunza wapi kuwa mwanaume akiwa na changamoto yoyote aidha ya tabia au kiuchumi au kimuonekano mfano kuwa na mwili ambao haunavuto sababu haujanawili basi huyo mwanaume umkimbie.

Funny thing is sijawahi kuona mwanaume anakosa mwanamke wa kuishi nae kama mke hata kama akichelewa sana kuoa. Ila nimeona wanawake wengi wanaozaa nje ya ndoa na kukosa kabisa mwanaume serious wa kuishi na kufanya nao maisha. Na wanawake wenyewe ndio sampuli yako wewe mleta mada.

Ulisikia ile story ya mwanamke mkosa hekima au mpumbavu basi wewe ni aina yake.

Wewe unajua huyo james amepitia maisha ya aina gani hadi kumiliki hiyo harrier na BMW?! Umejiuliza ni kwanini anatake a great pride na hizo vitu vyake?!

Ni vipi kama James alishapigwa vibuti au kukataliwa mara kadhaa kwasababu kila mwanamke alionyesha kutaka james awe na gari au kazi nzuri ili aweze kuwa mwanaume,haudhani kuwa hiyo ni sababu tosha kwake kuanza katabia kakujiproud ili before mwanamke hajamfahamu kiundani ampe respect kwa mali alizonazo?!

Kwasababu tusiseme uongo wanawake wa sasa mnataka utelezi na hicho ndicho kigezo namba moja kama ukiacha unafiki.

James naona amejaribu na aliperform vizuri kama mwanaume na hakuwa na kosa. Pengine alikuamini haraka sana na alitaka wewe kama future wife wake uanze kujua possession zake sababu itakufanya kumuona yeye kwa mafanikio yake maana ndicho kitu wanawake wasasa mnapenda.

Kwann hakuwasiliana na james na alikusisitiza mawasiliano na wewe ili umwambie kuwa alichofanya si kitu kibaya ila haikuwa lazima sana maana ungejua tu kuwa hizo mali kuwa anazo?! Ukaona ni wise utupe business card halafu uje kutuambia sisi. Sasa sisi ndio James?! Umemuacha james anasubiria simu yako unakuja hapa kutuambia kuwa James kakukwaza, mtu kusema anamiliki nini na nini au kusikia fahari ya mali yake imekuwa tusi. Kwahiyo ukija kuwa na mume hautapenda ajisikie fahari kuwa na wewe na kukutambulisha mbele za watu?!

Sasa umemuachia James aende na ukumbuke yeye ndie alikufuata. Unajuaje labda MUNGU alimuelekeza kuja mgahawani kukutana na future wife wake ambae ndie wewe hata haujitambui. Kesho na kesho kutwa utiwe mimba na mume wa mtu uanze kuwatafuta akina james wawe baba wa lazima kwa mtoto wako sababu umeshaharibu.

Upuuuzi wa karne. Sasa endelea. Huyo ni james mmoja hatujui ni akina james wangapi umewazingua kisa unaona wanakufuata. Kuna msemo unasema kila mbwa na siku yake, vivyo hivyo kila mwanamke mwenye maringo na kiburi kuna mwisho wake.

Endelea kukataa na kutupa business card. Halafu tutaona huyo ambaye wewe unamtaka na ulimuumba asiye na dosari akija kukufuata muanze mahusino.

Dharau tu...... Msyuuuuuuuu..... Me sipendi mabinti wenye tabia za kujiona wao ndio top class au toleo la pekee.... Kumbe takataka tu shenzi type. [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Umeongea ukweli mwana
 
Hicho kitabu cha kwanza nimekisoma last year lakini probably sio applicable kwa wanawake wa kitanzania, probability ni 50 percent sababu wengi ni watafuta pesa.

Hii story yako probability ya kuwa ni kweli ni 50 percent sababu hapo mwisho umesema ukitaka hicho kitabu basi vocha utachangia means huyo jamaa kwa asilimia 90% usingemkataa.
😂😂😂 Nani aliyewadanganya ukiwa na hayo magari unapata kila mwanamke unayemtaka? Ndio maana mkiwa nayo mnahangaika kuyatangaza? Legeza ubongo kidogo. Acha uTomaso. Chukua madini yatakusaidia.
 
Wanawake wa zamani akikuta mwanaume ana mapungufu, atamwambia na kumsaidia kujirekebisha. And thats why baba zetu hawakuwa wakihangaika sana na wanawake hovyo sababu mwanamke anaekutana nae anakuwa ameshaanza wifely duties papo hapo.

Hawa wasasa sijui wamefundishwa au kujifunza wapi kuwa mwanaume akiwa na changamoto yoyote aidha ya tabia au kiuchumi au kimuonekano mfano kuwa na mwili ambao haunavuto sababu haujanawili basi huyo mwanaume umkimbie.

Funny thing is sijawahi kuona mwanaume anakosa mwanamke wa kuishi nae kama mke hata kama akichelewa sana kuoa. Ila nimeona wanawake wengi wanaozaa nje ya ndoa na kukosa kabisa mwanaume serious wa kuishi na kufanya nao maisha. Na wanawake wenyewe ndio sampuli yako wewe mleta mada.

Ulisikia ile story ya mwanamke mkosa hekima au mpumbavu basi wewe ni aina yake.

Wewe unajua huyo james amepitia maisha ya aina gani hadi kumiliki hiyo harrier na BMW?! Umejiuliza ni kwanini anatake a great pride na hizo vitu vyake?!

Ni vipi kama James alishapigwa vibuti au kukataliwa mara kadhaa kwasababu kila mwanamke alionyesha kutaka james awe na gari au kazi nzuri ili aweze kuwa mwanaume,haudhani kuwa hiyo ni sababu tosha kwake kuanza katabia kakujiproud ili before mwanamke hajamfahamu kiundani ampe respect kwa mali alizonazo?!

Kwasababu tusiseme uongo wanawake wa sasa mnataka utelezi na hicho ndicho kigezo namba moja kama ukiacha unafiki.

James naona amejaribu na aliperform vizuri kama mwanaume na hakuwa na kosa. Pengine alikuamini haraka sana na alitaka wewe kama future wife wake uanze kujua possession zake sababu itakufanya kumuona yeye kwa mafanikio yake maana ndicho kitu wanawake wasasa mnapenda.

Kwann hakuwasiliana na james na alikusisitiza mawasiliano na wewe ili umwambie kuwa alichofanya si kitu kibaya ila haikuwa lazima sana maana ungejua tu kuwa hizo mali kuwa anazo?! Ukaona ni wise utupe business card halafu uje kutuambia sisi. Sasa sisi ndio James?! Umemuacha james anasubiria simu yako unakuja hapa kutuambia kuwa James kakukwaza, mtu kusema anamiliki nini na nini au kusikia fahari ya mali yake imekuwa tusi. Kwahiyo ukija kuwa na mume hautapenda ajisikie fahari kuwa na wewe na kukutambulisha mbele za watu?!

Sasa umemuachia James aende na ukumbuke yeye ndie alikufuata. Unajuaje labda MUNGU alimuelekeza kuja mgahawani kukutana na future wife wake ambae ndie wewe hata haujitambui. Kesho na kesho kutwa utiwe mimba na mume wa mtu uanze kuwatafuta akina james wawe baba wa lazima kwa mtoto wako sababu umeshaharibu.

Upuuuzi wa karne. Sasa endelea. Huyo ni james mmoja hatujui ni akina james wangapi umewazingua kisa unaona wanakufuata. Kuna msemo unasema kila mbwa na siku yake, vivyo hivyo kila mwanamke mwenye maringo na kiburi kuna mwisho wake.

Endelea kukataa na kutupa business card. Halafu tutaona huyo ambaye wewe unamtaka na ulimuumba asiye na dosari akija kukufuata muanze mahusino.

Dharau tu...... Msyuuuuuuuu..... Me sipendi mabinti wenye tabia za kujiona wao ndio top class au toleo la pekee.... Kumbe takataka tu shenzi type. [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Kaka umekaa vizuri kwenye viatu vya James. Lakini umeonesha moja ya dalili kuu za wanaume wasiojiamini. Nayo ni kuchukulia mambo too personal na kuumia kihisia wanapodhani wamedharauliwa. Unahitaji mafunzo ili uweze kujiamini. Legeza ubongo. Kuwa tayari kujifunza.
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.
Hahahaa

Kwa hiyo baada ya Salam angekwambia kwamba nikupe shs ngapi ili unipe utamu wako!!
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.
Na wew ni mzue lakn pamoja na chura unayo ?? Au hivyo hivyo tu ?
 
Kaka umekaa vizuri kwenye viatu vya James. Lakini umeonesha moja ya dalili kuu za wanaume wasiojiamini. Nayo ni kuchukulia mambo too personal na kuumia kihisia wanapodhani wamedharauliwa. Unahitaji mafunzo ili uweze kujiamini. Legeza ubongo. Kuwa tayari kujifunza.

Sometimes you need to flaunt your wealth in order to snatch chicks like you.
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili. Usipovipata njoo nikutumie bure tu. Utachangia bando lakini.
Ok, kumbe lengo kuu ni kuvitangaza vitabu hivyo.

Basi sawa
 
😂😂😂 Nani aliyewadanganya ukiwa na hayo magari unapata kila mwanamke unayemtaka? Ndio maana mkiwa nayo mnahangaika kuyatangaza? Legeza ubongo kidogo. Acha uTomaso. Chukua madini yatakusaidia.
Utomaso?... I see you're funny.
To be specific mimi katika maisha yangu yote sijawahi kupoteza muda kuimpress mwanamke.
Huwa mnajileta wenyewe so sioni madini yoyote ya kuchukua hapa labda wewe ndio uchukue madini kutoka kwangu.

Hicho kitabu cha kwanza kipo under 500Kb, hakifiki hata mb 1 kudownload, na bado ukasema ukikitaka basi uchangie vocha.
Yaani hata kitabu cha mb 1 uchangie vocha seriously?.

Wakati huohuo huyo mshikaji amekutokea na BMW na show off nyingine hapohapo umkamkataa kisa anafanya show off.
Wakati wewe hapa unataka mchango wa vocha kudownload kitabu cha mb1?.... Come on!

Hii story yako clearly ni ya kutunga otherwise usingechomoa hata iweje.
Nice try.
 
Utomaso?... I see you're funny.
To be specific mimi katika maisha yangu yote sijawahi kupoteza muda kuimpress mwanamke.
Huwa mnajileta wenyewe so sioni madini yoyote ya kuchukua hapa labda wewe ndio uchukue madini kutoka kwangu.

Hicho kitabu cha kwanza kipo under 500Kb, hakifiki hata mb 1 kudownload, na bado ukasema ukikitaka basi uchangie vocha.
Yaani hata kitabu cha mb 1 uchangie vocha seriously?.

Wakati huohuo huyo mshikaji amekutokea na BMW na show off nyingine hapohapo umkamkataa kisa anafanya show off.
Wakati wewe hapa unataka mchango wa vocha kudownload kitabu cha mb1?.... Come on!

Hii story yako clearly ni ya kutunga otherwise usingechomoa hata iweje.
Nice try.
Hee jamani we kaka ni noma! Warembo wenyewe wanajileta kwako. Nyie ndio wale mnaoitwa Sukari ya Warembo?!
 
Back
Top Bottom