Mkandarasi aliepewa kazi ya ujenzi wa BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta, anyang'anywe haraka sana kabla hajatupotezea muda

Kwakweli sikuifuatilia sana maana mimi nakaa kigamboni ila hadi Leo sidhani kama imeanza kufanya kazi
Mradi wa miaka miwili, wao waliufanya takriban miaka sita.

Ndomaana natoa tahadhari na hawa wasije ufanya huu nao kwa miaka 6 au zaidi na wakati makubaliano ni miezi 18 serikali ikawaongezea miezi mingine 6 ili iwe miaka miwili kamili.
 
Brt yote ni miradi ya kipigaji angalia kimara inavyofeli mabasi machafu, usalama wake mdogo watu wanajazana.
 
Huo mwendokasi ungeenda hadi Bagamoyo
Nafikiri kwa baadaye BUNJU Kisha bagamoyo, kama ilivyokuwa njia ya morogoro road ilianza mwendokasi kimara Kisha mbezi Sasa mwendokasi imefika kibaha
 
Kama tutakuwa tunaogopa kuongelea madudu mpaka kwanza tumjue aliefanya madudu, basi tutakuwa tunakosea sana.

Mtu akiharibu muwahi kabla hajaharibu zaidi. Ndio inavyotakiwa.
Simaanishi tunaogopa kuongea sababu ya mmiliki wa kampuni ila nataka ujue anapata wapi jeuri ya kufanya kazi atakavyo.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hiii barabara ya Mwenge- Victoria inebomolewa tena wakati imejengwa kwa mambilioni wakati wa Magufuu hata miaka mtano bado?
Hio haijabomolewa? Inaongezewa BRT katikati...lakin njia ya bunju tegeta wangefikiria kuleta trams mjini Dar...sio kila mahali mabasi
 
Huenda pesa zishatolewa na zishaliwa. Sasa pesa ya kuwapa wafanyakazi waendelee na ujenzi tena zitatoka wapi?

That's my thoughts
 
Nimesikikitika kwa mleta mada kutaka ninyang'anywe tenda ya kazi yangu ninayoifanya kwa kujituma na kwa weledi
You sounding like Mr Mwigulu Nchemba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Simaanishi tunaogopa kuongea sababu ya mmiliki wa kampuni ila nataka ujue anapata wapi jeuri ya kufanya kazi atakavyo.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hilo linashangaza sana. Ndomaana nimeshauri jamaa wanyang'anywe tenda haraka sana, kabla hawajafika mbali na kuja kusumbua mbeleni.
 
Kumbe barabara za Dar karibu zote zimetifuliwa, hakuna jam za kutisha?
 
Hiii barabara ya Mwenge- Victoria inebomolewa tena wakati imejengwa kwa mambilioni wakati wa Magufuu hata miaka mtano bado?
Hapo jamhuri ya wadanganyika ujenzi wowote wa jana usishangae ukapita kesho umevunjwa. hatuna dira tunaendaenda bila mpango.
 
Kama imeshindikana kujengwa barabara za njia 6 tu kutoka Dar hadi Bagamoyo, unafikiri hilo la mwendokasi ndo litawezekana!!
ukitaka kuona sisi ni nchi ya kijuha nasikia barabara ya keko wamelazimisha kuweka mwendokasi licha ya ufinyu wa ile barabara. matokeo yake njia moja kwa kila upande wa magari ya kawaida. ikitokea gari imeharibika ni ntiti.
 
Hio haijabomolewa? Inaongezewa BRT katikati...lakin njia ya bunju tegeta wangefikiria kuleta trams mjini Dar...sio kila mahali mabasi
Hili la kuleta train kutoka Tegeta hadi Mwenge nililisikia kwa kigogo mmoja akiliongelea.

Yeye alisema serikali ipo katika hatua ya kumtafuta mjenzi wa reli hiyo ili waingie nae mkataba.
 
ukitaka kuona sisi ni nchi ya kijuha nasikia barabara ya keko wamelazimisha kuweka mwendokasi licha ya ufinyu wa ile barabara. matokeo yake njia moja kwa kila upande wa magari ya kawaida. ikitokea gari imeharibika ni ntiti.
Viongozi tulionao hawana ujuzi wala taalum ya nafasi walizo nazo. Ndomaana hakuna cha maana wanachofanya katika nafasi zao.
 
Mkuu naona maumivu ya kifo cha Haney Tehran Iran kinakuchanganya hadi unamalizia hasira zako kwa wakandarasi wa huo mradi.

Jikaze tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…