Walipewa walichotaka mchina anakupa unachotaka wenyewe walikuwa janja janja.Lakini mbona Nchi nyingine mfano Indonesia aliwafadhili SGR na Vichwa vilivuopelekwa nivya mchongoko.Ukiona Mchina kafeli jua janja janja nyingi kwenye uwo mradi.Kenya amepeleka vichwa vya mchongoko?
Huna hoja kupeYaani Serikali impe mkandarasi pesa badala ya ajenge harafu aombe malipo ndio imlipe? Toa upumbavu.
Na kjvunja mkataba ningumu na bahati mbaya mikataba hii ya Kimataifa Huwa inafanyiwa sattlements Kimataifa na ni ngumu ndio sababu atasubiriwa Hadi atengamae kifedha.
Ni pamoja na alizochota handsome wa msogaHawa viongozi viwavi jeshi hawana utani na kodi za Watanzania..... Ila ipo siku!!
Toa upumbavu wenu hapa,Mimi na.wewe nani hana hoja? Mpe Sasa pesa Yappi mliyemleta ajenge reli.Huna hoja kupe
Mpeni pesa ajenge!
Kwani kama kajenga kote huko kuna shida gani mkimpa pesa mkamdai yeye kazi?
Ma.vi matupu
Wewe alikuwa anaomba kisiri siri na kukopaMuanzilishi wa mradi mbona alikuwa na muelekeo mzuri tu! Mbona hakuwahi kulia kuomba pesa!
Jamani Tanzania shamba la babu! Wizi wizi tu! Waziri wa fedha hautoshi hapo mahali !!
Nimpe mimi tena?Toa upumbavu wenu hapa,Mimi na.wewe nani hana hoja? Mpe Sasa pesa Yappi mliyemleta ajenge reli.
Na Kwa financial status yake Kwa Sasa ni hatari kwa Serikali kumlipa.
🗑️🗑️🗑️🗑️ Si ndio mlomleta nyie misukile ya Mwendazake,mpeni ndio.Nimpe mimi tena?
Hivi uchawa huwa unawatoa akili kabisa?
Mpeni hela mkandarasi ajenge hiyo reli acheni uzwazwa
Uchawa ndio nini? Kipi.kinakuchanganga? Taarifa ipo wazi mkandarasi wa mchongo hana uwezo wewe msukule wa Mwendazake unataka kujua kipi hasa? Kawapinge hayo yapi mliowaleta basihuyu ChoiceVariable anatuchanganya tu vitu vinavyo hitaji ufikilivu yeye anatumia uchawa
Sure, hawa jamaa ukienda nao ki-profesional na kukawa na seriousness kwenye usimamizi basi utaona ufanisi mzuri sana and vice versa is true.Walipewa walichotaka mchina anakupa unachotaka wenyewe walikuwa janja janja.Lakini mbona Nchi nyingine mfano Indonesia aliwafadhili SGR na Vichwa vilivuopelekwa nivya mchongoko.Ukiona Mchina kafeli jua janja janja nyingi kwenye uwo mradi.
Mlikuja kwa mbwembwe mlifikiri hela zinadondoka kama mvua?[emoji2781][emoji2781][emoji2781][emoji2781] Si ndio mlomleta nyie misukile ya Mwendazake,mpeni ndio.
Pesa ipo ila za Kuchezea kwenye mamiradi ya kisengerema hazipo,Bora Hilo li Sgr tembo mweupe likamilike 2080 ila sio Kuchezea pesa ,tuna mambo mengi ya kufanya.Mlikuja kwa mbwembwe mlifikiri hela zinadondoka kama mvua?
Na bado, mtalia sana mataahira nyie!
Kwa hiyo mamako anaendelea na miradi ya kisengerema?Pesa ipo ila za Kuchezea kwenye mamiradi ya kisengerema hazipo,Bora Hilo li Sgr tembo mweupe likamilike 2080 ila sio Kuchezea pesa ,tuna mambo mengi ya kufanya.
machawa mkiguswa mnakimbilia kusema mwenda zake sijui nini nimetaja hapo kinausiana na mwenda zake haya majibu yako nikipimo tosha cha ufikilivu wako yeyote anaepinga mtamuita sukuma gang mnashindwa kuangalia hojaUchawa ndio nini? Kipi.kinakuchanganga? Taarifa ipo wazi mkandarasi wa mchongo hana uwezo wewe msukule wa Mwendazake unataka kujua kipi hasa? Kawapinge hayo yapi mliowaleta basi
Yule dikteta ndiyo chanzo cha matatizo yote tunayopitia hivi Sasa kama taifa. Alikuwa akikopa kwa siri mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa kiasi kwamba hivi Sasa mama analazimika kukopa sehemu nyingine ili kufanya marejesho.Muanzilishi wa mradi mbona alikuwa na muelekeo mzuri tu! Mbona hakuwahi kulia kuomba pesa!
Mchina naye anakipande chake cha Mwanza-IsakaHii Tenda bora angepewa Mchina rafiki yetu wa dhati kwa miongo mingi.Angetupa mpaka mabehewa na vichwa vya kisasa vile vya mchongoko.
Ongea kitu unachokijua mkuu, China hajajenga SGR Indonesia.Walipewa walichotaka mchina anakupa unachotaka wenyewe walikuwa janja janja.Lakini mbona Nchi nyingine mfano Indonesia aliwafadhili SGR na Vichwa vilivuopelekwa nivya mchongoko.Ukiona Mchina kafeli jua janja janja nyingi kwenye uwo mradi.
Miradi ya kisengerema pelekeni Chato.Mpka 2030 vyupi mtqvaa kichwani walahi