Mkanganyiko wa biashara ya kamari: Mitandao vs vyombo vya habari

Mkanganyiko wa biashara ya kamari: Mitandao vs vyombo vya habari

Mzee mkinga au?
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.

Nilikua napenda hoja yake, alikua anajua anachokiongea sema ni mbishi sana, hataki mwingine aongee. Anatembea na masanduku ya nyaraka.

Apumzike kwa amani mzee Mkinga.
 
Mzee mkinga au?
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.

Nilikua napenda hoja yake, alikua anajua anachokiongea sema ni mbishi sana, hataki mwingine aongee. Anatembea na masanduku ya nyaraka.

Apumzike kwa amani mzee Mkinga.
Hakuwahi kuwa na nidhamu kwenye midahalo ya moja kwa moja! Alitaka kuongea yeye tu! Ukimkatisha twende mapumziko (ni takwa la kiutaratibu after every 15 minutes) yeye ana foka! Mtu kama huyo anatakiwa anunue airtime yake , azungumze anayotaka sio kuvuruga utaratibu! (Tabia hii anayo pia Heche)
:
Mtikila (RIP Champ) alikua na jambo moja, ukihudhuria press yake usipokua Mwandishi/ reporter makini, hutotoka na taarifa yoyote! Alikua ana tukana vibaya sana!
😂😂 Mkuu unawajua vizuri sana.

Wapumzike kwa amani hao wazee
 
Mzee mkinga au?
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.

Nilikua napenda hoja yake, alikua anajua anachokiongea sema ni mbishi sana, hataki mwingine aongee. Anatembea na masanduku ya nyaraka.

Apumzike kwa amani mzee Mkinga.
Hakuwahi kuwa na nidhamu kwenye midahalo ya moja kwa moja! Alitaka kuongea yeye tu! Ukimkatisha twende mapumziko (ni takwa la kiutaratibu after every 15 minutes) yeye ana foka! Mtu kama huyo anatakiwa anunue airtime yake , azungumze anayotaka sio kuvuruga utaratibu! (Tabia hii anayo pia Heche)
:
Mtikila (RIP Champ) alikua na jambo moja, ukihudhuria press yake usipokua Mwandishi/ reporter makini, hutotoka na taarifa yoyote! Alikua ana tukana vibaya sana!
😂😂 Mkuu unawajua vizuri sana.

Wapumzike kwa amani hao wazee
 
Mzee mkinga au?
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.

Nilikua napenda hoja yake, alikua anajua anachokiongea sema ni mbishi sana, hataki mwingine aongee. Anatembea na masanduku ya nyaraka.

Apumzike kwa amani mzee Mkinga.
Hakuwahi kuwa na nidhamu kwenye midahalo ya moja kwa moja! Alitaka kuongea yeye tu! Ukimkatisha twende mapumziko (ni takwa la kiutaratibu after every 15 minutes) yeye ana foka! Mtu kama huyo anatakiwa anunue airtime yake , azungumze anayotaka sio kuvuruga utaratibu! (Tabia hii anayo pia Heche)
:
Mtikila (RIP Champ) alikua na jambo moja, ukihudhuria press yake usipokua Mwandishi/ reporter makini, hutotoka na taarifa yoyote! Alikua ana tukana vibaya sana!
😂😂 Mkuu unawajua vizuri sana.

Wapumzike kwa amani hao wazee
 
Kweli vyombo vya habari Tanzania vina hali mbaya sana, vinapumulia mashine.

Wiki nzima hii niko nyumbani siendi kwenye mihangaiko ya kila siku, mihangaiko naifanyia nyumbani.

Kwa kua kwangu nyumbani na kifurushi cha dstv kikaisha muda wake hivyo nimejikuta muda wote naangalia tv za bure, eatv, itv, tbc1, upendo tv, clouds tv. Nina miaka mingi sana sijawahi kuangalia hizi tv stations za ndani, miaka mingi.

Hivyo kwa kuangalia hizi tv stations kwa muda wa wiki nzima, nimegundua kua hizi media zetu kubwa Tanzania zina hali mbaya sana ya kifedha, ni matangazo ya waganga wa Jadi, watenda miujiza na kamari.

Hizo kamari sio kutoka kwenye kampuni za kamari kama labda sports pesa ana mbet, bali ni kamari za clouds tv, itv, Chanel ten, eatv n.k.

Wale mnaodaiwa na hivi vyombo vya habari walipeni, vyombo vya habari Tanzania vinapumulia mashine. Watangazaji wana hali mbaya, star tv wafanyakazi wana miaka 2 hawajalipwa mishahara. Hali ni mbaya. Sasa wanategemea kamari kulipa mishahara.

Hawa wasiposaidiwa miaka5 ijayo vituo hivi vitafungwa.
Vinaposhirikiana na serikali kunajisi demokrasia na kutoa taarifa zonazowafanya wananchi kiendelea kuwa gizani, hayo ndo malipo yao stahiki


Hawana ubunifu wala hawana contents zenye mashiko kwa wananchi. Matangazo ya biashara yanahjtaji vituo vyenye ubunifu wa kuvutia wasikilizaji wengi....
 
Kweli vyombo vya habari Tanzania vina hali mbaya sana, vinapumulia mashine.

Wiki nzima hii niko nyumbani siendi kwenye mihangaiko ya kila siku, mihangaiko naifanyia nyumbani.

Kwa kua kwangu nyumbani na kifurushi cha dstv kikaisha muda wake hivyo nimejikuta muda wote naangalia tv za bure, eatv, itv, tbc1, upendo tv, clouds tv. Nina miaka mingi sana sijawahi kuangalia hizi tv stations za ndani, miaka mingi.

Hivyo kwa kuangalia hizi tv stations kwa muda wa wiki nzima, nimegundua kua hizi media zetu kubwa Tanzania zina hali mbaya sana ya kifedha, ni matangazo ya waganga wa Jadi, watenda miujiza na kamari.

Hizo kamari sio kutoka kwenye kampuni za kamari kama labda sports pesa ana mbet, bali ni kamari za clouds tv, itv, Chanel ten, eatv n.k.

Wale mnaodaiwa na hivi vyombo vya habari walipeni, vyombo vya habari Tanzania vinapumulia mashine. Watangazaji wana hali mbaya, star tv wafanyakazi wana miaka 2 hawajalipwa mishahara. Hali ni mbaya. Sasa wanategemea kamari kulipa mishahara.

Hawa wasiposaidiwa miaka5 ijayo vituo hivi vitafungwa.
Vinaposhirikiana na serikali kunajisi demokrasia na kutoa taarifa zonazowafanya wananchi kiendelea kuwa gizani, hayo ndo malipo yao stahiki


Hawana ubunifu wala hawana contents zenye mashiko kwa wananchi. Matangazo ya biashara yanahjtaji vituo vyenye ubunifu wa kuvutia wasikilizaji wengi....
 
Kweli vyombo vya habari Tanzania vina hali mbaya sana, vinapumulia mashine.

Wiki nzima hii niko nyumbani siendi kwenye mihangaiko ya kila siku, mihangaiko naifanyia nyumbani.

Kwa kua kwangu nyumbani na kifurushi cha dstv kikaisha muda wake hivyo nimejikuta muda wote naangalia tv za bure, eatv, itv, tbc1, upendo tv, clouds tv. Nina miaka mingi sana sijawahi kuangalia hizi tv stations za ndani, miaka mingi.

Hivyo kwa kuangalia hizi tv stations kwa muda wa wiki nzima, nimegundua kua hizi media zetu kubwa Tanzania zina hali mbaya sana ya kifedha, ni matangazo ya waganga wa Jadi, watenda miujiza na kamari.

Hizo kamari sio kutoka kwenye kampuni za kamari kama labda sports pesa ana mbet, bali ni kamari za clouds tv, itv, Chanel ten, eatv n.k.

Wale mnaodaiwa na hivi vyombo vya habari walipeni, vyombo vya habari Tanzania vinapumulia mashine. Watangazaji wana hali mbaya, star tv wafanyakazi wana miaka 2 hawajalipwa mishahara. Hali ni mbaya. Sasa wanategemea kamari kulipa mishahara.

Hawa wasiposaidiwa miaka5 ijayo vituo hivi vitafungwa.
Vinaposhirikiana na serikali kunajisi demokrasia na kutoa taarifa zonazowafanya wananchi kiendelea kuwa gizani, hayo ndo malipo yao stahiki


Hawana ubunifu wala hawana contents zenye mashiko kwa wananchi. Matangazo ya biashara yanahjtaji vituo vyenye ubunifu wa kuvutia wasikilizaji wengi....
 
Kila Station ni matangazo ya kubahatisha. Kila mara" cheza mkwanja" Je, studio hizi zimeshindwa kujiendesha hadi kuanza michezo ya kubahatisha?

Hii michezo ya kubahatisha kwenye redio kwanza hakuna uhalisia wa kushinda au kushindwa kwa sababu mteja hawezi kushuhudia ukweli.

Ila wanaobet kwenye soka kuna unahakika kuona matokeo ya kushinda au kushindwa.

Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
 
Kila Station ni matangazo ya kubahatisha. Kila mara" cheza mkwanja" Je, studio hizi zimeshindwa kujiendesha hadi kuanza michezo ya kubahatisha?

Hii michezo ya kubahatisha kwenye redio kwanza hakuna uhalisia wa kushinda au kushindwa kwa sababu mteja hawezi kushuhudia ukweli.

Ila wanaobet kwenye soka kuna unahakika kuona matokeo ya kushinda au kushindwa.

Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
Inanikera sana... Sikuhizi natembea na tbc taifa tu... Sijawahi sikia hizo habari
 
Hapa serikali iingilie kati.
Hiyo serikali yenyewe unayoitaka iingilie, na yenyewe imekaa kikubatisha.

Haya yapo kwa sababu wajinga ni wengi. Kwani huujui ule msemo wa wajinga ndio waliwao? Mjingahata ukimsaidia asiliwe na matapeli wa redioni, ataenda kuliwa na matapeli wa aina nyingine.
 
Kamari mbaya sana tena sana tena sana tena sana tena sana tena sana tena sana.
 
20230808_193659.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom