Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Ni mtazamo wakoHuo n ulevi kama ulevi mwingine na mwisho wake ni mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtazamo wakoHuo n ulevi kama ulevi mwingine na mwisho wake ni mbaya
Hilo lipo wazi, hizi hata hizi media zinahusika pakubwa kwenye upigaji huuHakika alafu hawana ata aibu,yawezekana viongoZi wanamiliki hzi kampuni za kubashiri
Ndio utaje hata moja wapo na huyo mtaalamu anayemzidi Mwanasiasa hadhiNchi zilizoendelea
Hiyari yashinda moyo, hulazimishwi kucheza, au nakushauri uache kuchezaUshahidi wa uharamu ni huu.Mhindi kachukua laki mbili zako bila jasho.Laki moja kampa JACK DANIEL amebakiwa na laki 1 anakwenda kula urojo bila kutoka jasho.
100,000x28=2.8M ukitoa kodi anabaki na kama 2.3MLinapokuja suala la betting mchezaji anapoteza zaidi ya anavyopata. Mtu yoyote mwenye avarage iq ataliona hilo kupitia set ups za odds, unless hapa unafanya marketing kwa malipo basi jua utapoteza zaidi ya utakachokipata kadri unavyocheza.
Hii michezo haikupaswa kuwa promoted. Ilitakiwa ibaki kuwa burudani tu kwenye maeneo ya starehe.
Hahaha100,000x28=2.8M ukitoa kodi anabaki na kama 2.3M
Ila anazungumzia breakfast ya wiki moja,mafuta ya wiki moja na mtungi mkubwa wa gas vitu ambavyo vinanunulika bila kubet. Labda aje anyooshe maelezo vizuri.
Hebu fanya kama umepotea njia hivi uupeleke huu ujumbe wako kwenye ule uzi wa betting uuone mooto!Ni ukweli usiopingika kwamba (kwa mujibu wa uislamu) hakuna mtu mkamilifu yaani kwamba asitende dhambi; huyo hayupo na Wala hatotokea. Lakini Hilo halitunyimi kukemea na kujizuia na dhambi ambazo ni za wazi kabisa..
Sigara, mkokaa piaKamari ni haram
Uko sahihi sana mkuu.Mtandao ya kijamii ndo imeua main stream media, hata wenyewe wanatoa habari kitoka social media.