The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.Mzee mkinga au?
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.Mzee mkinga au?
😂😂 Mkuu unawajua vizuri sana.Hakuwahi kuwa na nidhamu kwenye midahalo ya moja kwa moja! Alitaka kuongea yeye tu! Ukimkatisha twende mapumziko (ni takwa la kiutaratibu after every 15 minutes) yeye ana foka! Mtu kama huyo anatakiwa anunue airtime yake , azungumze anayotaka sio kuvuruga utaratibu! (Tabia hii anayo pia Heche)
:
Mtikila (RIP Champ) alikua na jambo moja, ukihudhuria press yake usipokua Mwandishi/ reporter makini, hutotoka na taarifa yoyote! Alikua ana tukana vibaya sana!
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.Mzee mkinga au?
😂😂 Mkuu unawajua vizuri sana.Hakuwahi kuwa na nidhamu kwenye midahalo ya moja kwa moja! Alitaka kuongea yeye tu! Ukimkatisha twende mapumziko (ni takwa la kiutaratibu after every 15 minutes) yeye ana foka! Mtu kama huyo anatakiwa anunue airtime yake , azungumze anayotaka sio kuvuruga utaratibu! (Tabia hii anayo pia Heche)
:
Mtikila (RIP Champ) alikua na jambo moja, ukihudhuria press yake usipokua Mwandishi/ reporter makini, hutotoka na taarifa yoyote! Alikua ana tukana vibaya sana!
Yes, nilisahau jina lake. Mzee mtaalamu wa masuala ya meli na bandari. Baadae alikuja kuteuliwa kua mjumbe wa bodi ya bandari. Nasikia alifariki mwaka jana.Mzee mkinga au?
😂😂 Mkuu unawajua vizuri sana.Hakuwahi kuwa na nidhamu kwenye midahalo ya moja kwa moja! Alitaka kuongea yeye tu! Ukimkatisha twende mapumziko (ni takwa la kiutaratibu after every 15 minutes) yeye ana foka! Mtu kama huyo anatakiwa anunue airtime yake , azungumze anayotaka sio kuvuruga utaratibu! (Tabia hii anayo pia Heche)
:
Mtikila (RIP Champ) alikua na jambo moja, ukihudhuria press yake usipokua Mwandishi/ reporter makini, hutotoka na taarifa yoyote! Alikua ana tukana vibaya sana!
Vinaposhirikiana na serikali kunajisi demokrasia na kutoa taarifa zonazowafanya wananchi kiendelea kuwa gizani, hayo ndo malipo yao stahikiKweli vyombo vya habari Tanzania vina hali mbaya sana, vinapumulia mashine.
Wiki nzima hii niko nyumbani siendi kwenye mihangaiko ya kila siku, mihangaiko naifanyia nyumbani.
Kwa kua kwangu nyumbani na kifurushi cha dstv kikaisha muda wake hivyo nimejikuta muda wote naangalia tv za bure, eatv, itv, tbc1, upendo tv, clouds tv. Nina miaka mingi sana sijawahi kuangalia hizi tv stations za ndani, miaka mingi.
Hivyo kwa kuangalia hizi tv stations kwa muda wa wiki nzima, nimegundua kua hizi media zetu kubwa Tanzania zina hali mbaya sana ya kifedha, ni matangazo ya waganga wa Jadi, watenda miujiza na kamari.
Hizo kamari sio kutoka kwenye kampuni za kamari kama labda sports pesa ana mbet, bali ni kamari za clouds tv, itv, Chanel ten, eatv n.k.
Wale mnaodaiwa na hivi vyombo vya habari walipeni, vyombo vya habari Tanzania vinapumulia mashine. Watangazaji wana hali mbaya, star tv wafanyakazi wana miaka 2 hawajalipwa mishahara. Hali ni mbaya. Sasa wanategemea kamari kulipa mishahara.
Hawa wasiposaidiwa miaka5 ijayo vituo hivi vitafungwa.
Vinaposhirikiana na serikali kunajisi demokrasia na kutoa taarifa zonazowafanya wananchi kiendelea kuwa gizani, hayo ndo malipo yao stahikiKweli vyombo vya habari Tanzania vina hali mbaya sana, vinapumulia mashine.
Wiki nzima hii niko nyumbani siendi kwenye mihangaiko ya kila siku, mihangaiko naifanyia nyumbani.
Kwa kua kwangu nyumbani na kifurushi cha dstv kikaisha muda wake hivyo nimejikuta muda wote naangalia tv za bure, eatv, itv, tbc1, upendo tv, clouds tv. Nina miaka mingi sana sijawahi kuangalia hizi tv stations za ndani, miaka mingi.
Hivyo kwa kuangalia hizi tv stations kwa muda wa wiki nzima, nimegundua kua hizi media zetu kubwa Tanzania zina hali mbaya sana ya kifedha, ni matangazo ya waganga wa Jadi, watenda miujiza na kamari.
Hizo kamari sio kutoka kwenye kampuni za kamari kama labda sports pesa ana mbet, bali ni kamari za clouds tv, itv, Chanel ten, eatv n.k.
Wale mnaodaiwa na hivi vyombo vya habari walipeni, vyombo vya habari Tanzania vinapumulia mashine. Watangazaji wana hali mbaya, star tv wafanyakazi wana miaka 2 hawajalipwa mishahara. Hali ni mbaya. Sasa wanategemea kamari kulipa mishahara.
Hawa wasiposaidiwa miaka5 ijayo vituo hivi vitafungwa.
Vinaposhirikiana na serikali kunajisi demokrasia na kutoa taarifa zonazowafanya wananchi kiendelea kuwa gizani, hayo ndo malipo yao stahikiKweli vyombo vya habari Tanzania vina hali mbaya sana, vinapumulia mashine.
Wiki nzima hii niko nyumbani siendi kwenye mihangaiko ya kila siku, mihangaiko naifanyia nyumbani.
Kwa kua kwangu nyumbani na kifurushi cha dstv kikaisha muda wake hivyo nimejikuta muda wote naangalia tv za bure, eatv, itv, tbc1, upendo tv, clouds tv. Nina miaka mingi sana sijawahi kuangalia hizi tv stations za ndani, miaka mingi.
Hivyo kwa kuangalia hizi tv stations kwa muda wa wiki nzima, nimegundua kua hizi media zetu kubwa Tanzania zina hali mbaya sana ya kifedha, ni matangazo ya waganga wa Jadi, watenda miujiza na kamari.
Hizo kamari sio kutoka kwenye kampuni za kamari kama labda sports pesa ana mbet, bali ni kamari za clouds tv, itv, Chanel ten, eatv n.k.
Wale mnaodaiwa na hivi vyombo vya habari walipeni, vyombo vya habari Tanzania vinapumulia mashine. Watangazaji wana hali mbaya, star tv wafanyakazi wana miaka 2 hawajalipwa mishahara. Hali ni mbaya. Sasa wanategemea kamari kulipa mishahara.
Hawa wasiposaidiwa miaka5 ijayo vituo hivi vitafungwa.
Inanikera sana... Sikuhizi natembea na tbc taifa tu... Sijawahi sikia hizo habariKila Station ni matangazo ya kubahatisha. Kila mara" cheza mkwanja" Je, studio hizi zimeshindwa kujiendesha hadi kuanza michezo ya kubahatisha?
Hii michezo ya kubahatisha kwenye redio kwanza hakuna uhalisia wa kushinda au kushindwa kwa sababu mteja hawezi kushuhudia ukweli.
Ila wanaobet kwenye soka kuna unahakika kuona matokeo ya kushinda au kushindwa.
Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
Hiyo serikali yenyewe unayoitaka iingilie, na yenyewe imekaa kikubatisha.Hapa serikali iingilie kati.
Tbc taifa nao Hawako nyuma hawana afadhaliInanikera sana... Sikuhizi natembea na tbc taifa tu... Sijawahi sikia hizo habari
Huwa nasikilizaga kipindi cha wosia wa baba na jitambue sijawahi sikia hizo mambo... Labda vipindi vingineTbc taifa nao Hawako nyuma hawana afadhali
Nimeku pm mkuu