Mkuu Niger washakula vya watu sana ata uhuru wamepewa na wao, lakini uchumi na kila kitu maendeleo ya Niger ni kutoka West sasa lazima aonyeshe shukurani kama hataki ndio atalazimishwa kwa mtutuNakumbuka, lakini kwa nyakati hizi hizo nchi jirani zote zimefanya mapinduzi, kwa nini wana focus kwa Niger tu, kuna nini huko?
Wamechoshwa kutawaliwa na wakatoliki na vibaraka wao.ECOWAS ni madalali wa mabeberu na wanahofia ipo siku nao watapinduliwa na raia waliochoshwa na demokrasia uchwara.
Acha kujitutumua katika vitu usivyovielewa. Hizi mada zinakuzidi sana, rikiboy njoo uchukue hii bibi yako uipeleke kwenye uzi wa kula tunda kimasikhara, kule kutamfaa, na To yeye njoo ukamtambulishe huyu kwenye uzi wa BamiaWewe ndiyo huwezi kunielewa, upo finyu sana.
Huifahamu historia ya Afrika Magharibi na ilivyotawanywa ilitawaliwe na wakatoliki.
Rejea Tanzania ya nyerere na vita ya biafra.
MotoniNa raia wasio kuwa na connection yoyote wanahamishiwa wapi
Wamechoshwa kutawaliwa na wakatoliki na vibaraka wao.ECOWAS ni madalali wa mabeberu na wanahofia ipo siku nao watapinduliwa na raia waliochoshwa na demokrasia uchwara.
Exactly, na hapo ndo naanza kuamini kuwa ECOWAS Ina double standards, it makes no sense. Naona nao Kama wakoloni tuKwa nini iwe Niger tu; vipi kuhusu Mali, Burkina Faso, Guinea
Zinakuzidi sana wewe usiyerlewa dunia iko wapi kwa sasa.
Nimekusikia, Je, una lingine?Zinakuzidi sana wewe usiyerlewa dunia iko wapi kwa sasa.
Tumia muda kujisomea kidogo siyo kupelekwa na mihemko.
Sasa hivi kuhusu Niger kuna mzozo wa ma USA ambao ni waxi siyo wakatoliki na Ufaransa ambao ni wakatoliki, jiulize kwanini?
Juzijuzi kabla ya mapinduzi jeshi la USA lilikwenda kuwavamia wanaharakati msituni. Likatandikwa likakimbia, haukupita muda Rais akapinduliwa.
Jiulize kwanini?
Na wewe bibi kila kitu udini.Hao ni Waislam waliiochoka kutawaliwa na wakatoliki.
Mwenyezi Mungu akubariki na kukulinda wewe, na Roho Mtakatifu akakuangazie ukapate kufunguliwa akili na mitazamo.Zinakuzidi sana wewe usiyerlewa dunia iko wapi kwa sasa.
Tumia muda kujisomea kidogo siyo kupelekwa na mihemko.
Sasa hivi kuhusu Niger kuna mzozo wa ma USA ambao ni waxi siyo wakatoliki na Ufaransa ambao ni wakatoliki, jiulize kwanini?
Juzijuzi kabla ya mapinduzi jeshi la USA lilikwenda kuwavamia wanaharakati msituni. Likatandikwa likakimbia, haukupita muda Rais akapinduliwa.
Jiulize kwanini?
Utawala wa kiraia au utawala wa kibarakaWaipishe serikali ya kiraia madarakani waache kupoteza muda.
Adui anaweza Teka familia na hapo mpambano kuvurugwaHawa ni wahuni tu wala hawana uzalendo. Wanahamisha familia zao ila wanataka wananchi ndio wakapambane vifaru. Hii ni hatua ya mwanzo, vita ikichachamaa nao pia hukimbia na kuwaachia msala.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wewe ndiyo huwezi kunielewa, upo finyu sana.
Huifahamu historia ya Afrika Magharibi na ilivyotawanywa ilitawaliwe na wakatoliki.
Rejea Tanzania ya nyerere na vita ya biafra.
Wamrejeshe vip wakati wananchi wenyewe hawamtokiNiger hawataweza mziki wa ECOWAS ni vile wantaka kuumiza raia wao bora wakubali kumrejesha madarakani yule jamaa, otherwise nchi yao itakuwa mashakani na hiyo mikataba waliyoingia hapo awal na jumuiya za ulaya
Sasa kumekucha AfricaKatika kuonyesha kwamba uongozi wa kijeshi nchini Niger umedhamiria kupambana na yeyote atakayeishambulia nchi hiyo.
Viongozi hao wameanza kuhamishia familia zao Dubai, Bukina Faso na kwingineko.
---
There are strong indications that members of the Niger junta have begun to evacuate their families to Bukina Faso and Dubai over the threat of invasion by the Economic Community of West African States.
The exercise was, reportedly, carried out at the country’s Agadez Airport, a few days ago, and it involved Gulfstream G550 jets.
A source familiar with the movement said, “In the night of Friday, 11th to Saturday 12th of August 2023, the Nigerien junta, under the command of General Tchiani, evacuated all the putschists’ families. Indeed, several Gulfstream G550 type aircraft (in particular flight No. BFY824R) took off from Agadez Airport to Burkina Faso and Dubai with their women and children on board.”
According to the source, “General Tchiani appears to have had intelligence of an imminent attack by ECOWAS. He protects his family and leaves Nigerien people behind to a certain death. While he shelters his family, Tchiani is ready to send soldiers into a fratricidal war.
“Like any selfish and totalitarian putschists, he already uses state finances for personal purposes. It is at the expense of the Nigerien state that he sends his family to live richly under the Dubai sun. The junta does not hesitate a moment to set ablaze Niger while preparing a golden exit in Dubai.”
This is as ECOWAS said it was ready to intervene militarily in Niger Republic if diplomatic efforts to persuade the ruling military junta, which ousted President Mohamed Bazoum in a July 26 coup, to restore democracy in the country failed. ECOWAS Commissioner for Political Affairs, Peace and Security, Abdel-Fatau Musah, disclosed this Thursday in Ghana at a gathering of West African defence chiefs, who were meeting to deliberate on a standby force.
“Let no one be in doubt that if everything else fails, the valiant forces of West Africa…are ready to answer to the call of duty,” Reuters quoted Musah as saying. “By all means available, constitutional order will be restored in the country,” he added
Nigeria’s Chief of Defence Staff, General Christopher Gwabin Musa, said at the start of the two-day meeting in Accra, “Democracy is what we stand for and it’s what we encourage…
“The focus of our gathering is not simply to react to events, but to proactively chart a course that results in peace and promotes stability.”
The meeting to discuss Niger’s crisis came after the August 6 deadline for the mutinous soldiers to release and reinstate Bazoum or face military intervention. Bazoum has remained under house arrest with his wife and son in Niger’s capital, Niamey.
ECOWAS had long deliberated on the use of force, which it described as a “last resort” due to several mediation teams it sent to Niamey and also for a
Arise TV
hivi we bibie huwa unawaza nini? Kila mara we ni uislam na waislam huacha kutajaHao ni Waislam waliiochoka kutawaliwa na wakatoliki.
Kwanini unauogopa ukweli?hivi we bibie huwa unawaza nini? Kila mara we ni uislam na waislam huacha kutaja