Mkao wa Vita: Viongozi wa Kijeshi wa Niger wajiandaa kikamilifu kwa vita

Mkao wa Vita: Viongozi wa Kijeshi wa Niger wajiandaa kikamilifu kwa vita

Kwa nini iwe Niger tu; vipi kuhusu Mali, Burkina Faso, Guinea
kila jambo huanza kwa muda wake , ss hv ndo wameamka acha waanze na Niger ili wengine wajifunze kurudisha utawala wa kiraia
 
Hao ni Waislam waliiochoka kutawaliwa na wakatoliki.
waislam mna shida gan ? mnashinda vibarazan hlf mnasingizia wakatolik ndo wamewafanya msile , ebu fuatilia kwanza hapo Niger mfumo wa utawala ukoje , km una uhusiano ukatolik
 
ECOWAS ni madalali wa mabeberu na wanahofia ipo siku nao watapinduliwa na raia waliochoshwa na demokrasia uchwara.
ttzo la watu weusi huendeshwa na story za huenda na kutofuatilia miziz ya jambo
 
Nakumbuka, lakini kwa nyakati hizi hizo nchi jirani zote zimefanya mapinduzi, kwa nini wana focus kwa Niger tu, kuna nini huko?
ttzo unawawaza mabeberu , unahis ecowas wajinga , huez pigana na nchi 4 kwa wakati mmoja , walikosea na wamestuka wameanza na Niger ambaye yupo mezan , kama unahisi wataishia kwa Niger bas nenda kapindue serikali ya nchi za magharibi
 
Acha kujitutumua katika vitu usivyovielewa. Hizi mada zinakuzidi sana, rikiboy njoo uchukue hii bibi yako uipeleke kwenye uzi wa kula tunda kimasikhara, kule kutamfaa, na To yeye njoo ukamtambulishe huyu kwenye uzi wa Bamia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamechoshwa kutawaliwa na wakatoliki na vibaraka wao.

Sasa hivi Afrika nzima ukiwa na utawala ambao sio wa kikatoliki au vibaraka wao uelewe kuwa hiyo nchi haitabaki kwenye amani mpaka mizizi ya kikatoliki ing'olewe.
alshabab , boko haram , is , al answar hao wakatolik?
 
FB_IMG_1692477970315.jpg
 
Exactly, na hapo ndo naanza kuamini kuwa ECOWAS Ina double standards, it makes no sense. Naona nao Kama wakoloni tu
ebu tumien akili zenu vzr , wqmestuka ss hv , je kisa waliiacha Mali na Burkina Fasso ndo waache tabia iwe kubwa zaid? muda mwingine sisi watu weusi tunafikiri kijinga hata nyani haez fikir hivyo , Ndo nyiny mnashabikia mkataba mbovu wa bandari kisa huko nyuma tumewai kuwa na mikataba mibov , ngoz nyeus kuna kitu mungu alisahau kweny uumbaj wake
 
Hao wanajeshi wa Niger ni mikwara tu hawana lolote wameshakubali kufanya mazungumzo na Ecowas.

Watu wanafanya mapinduzi kwa kudanganywa na Russia wakati hawana lolote watakachoifanyia hiyo nchi na wenyewe ni wapigaji walewale. Bure kabisa.
 
Hao wanajeshi wa Niger ni mikwara tu hawana lolote wameshakubali kufanya mazungumzo na Ecowas.

Watu wanafanya mapinduzi kwa kudanganywa na Russia wakati hawana lolote watakachoifanyia hiyo nchi na wenyewe ni wapigaji walewale. Bure kabisa.
Kwahyo Rais aliyepinduliwa atarudi? Mie nnachojua ECOWAS walitoa wiki moja Rais aliyepinduliwa arudishwe madarakani la sivyo watavamia kijeshi, wameingia kijeahi?

Njia waliochukua ECOWAS ya mazungumzo ya kidopromasia ni njia sahihi, pamoja na hayo usitegemee Rais kibaraka kurudi madarakani, au ufaransa kuendelea kuchukua vitu vya dezo pale.. wakubwa wanakomoana, ya Niger sio bahati mbaya kuna nguvu kubwa nyuma.
 
Naona watu mnamvaimia Dada Faizafox wakati anasema ukweli, Kinacho endelea Niger ni udini na ukabila, Tu
sasa iko ivi Rais Aliye pinduliwa na Aliye pindua wote wote ni Waislam ndio ila ila Rais amepinduliwa alianza kuchukiwa na kuhujumiwa kwa sababu. 1. Anashikiana na Wakristo(wafaransa na wamarekani) Wakati 99% Niger Waislam
2.pia Rais iliye pinduliwa anaka kabila dogo ni mwaarab(ubaguzi wa rangi). Kama Dada Faizafox anasema Hawataki Wakristo (USA, France).. alafu hawa taking kutawali muarab Rais Aliye pinduliwa. NIGER ni wa Dini na wakabila. ECOWAS ikiongozwa Ghana na Nigeria kibaraka wa Wakristo(France na USA). Alafu baadhia nchi za Kiislamu kama Senegal, Sierra lione, Gambia, Ivory Coast, Zinaenda kuuwa Waislam wenzao.Nalia sana AU mko wapi? Waafrika wenzetu kwann wauane kisa dini?
 
Kwahyo Rais aliyepinduliwa atarudi? Mie nnachojua ECOWAS walitoa wiki moja Rais aliyepinduliwa arudishwe madarakani la sivyo watavamia kijeshi, wameingia kijeahi?

Njia waliochukua ECOWAS ya mazungumzo ya kidopromasia ni njia sahihi, pamoja na hayo usitegemee Rais kibaraka kurudi madarakani, au ufaransa kuendelea kuchukua vitu vya dezo pale.. wakubwa wanakomoana, ya Niger sio bahati mbaya kuna nguvu kubwa nyuma.
Hao wanajeshi nao ni vibaraka wa Russia sasa tofauti iko wapi, unakataa rungu unanunua bakora, hakuna watu wajinga duniani kama waafrika na ndio maana bara tajiri la kutupwa lkn watu wake maskini wa kutupwa. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom