Mkao wa Vita: Viongozi wa Kijeshi wa Niger wajiandaa kikamilifu kwa vita

Mkao wa Vita: Viongozi wa Kijeshi wa Niger wajiandaa kikamilifu kwa vita

Ukomo wa fikra na mawazo mgando,, kichwa mtumba!
Niliamuwa kunyamaza kimya na naendelea kunyamaza kimya.

Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili/
Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili.
Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na salama tuliojenga kwenye taifa hili.

Hayo itoshe kuwa ujumbe wangu kwenu. - mama Samia - KKKT Arusha 21/08/2023.

Kukuza kusimamia na kuenzi maadili yetu ni kazi ya kanisa.
 
Niliamuwa kunyamaza kimya na naendelea kunyamaza kimya.

Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili/
Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili.
Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na salama tuliojenga kwenye taifa hili.

Hayo itoshe kuwa ujumbe wangu kwenu. - mama Samia - KKKT Arusha 21/08/2023.

Kukuza kusimamia na kuenzi maadili yetu ni kazi ya kanisa.
Na hakuna haswaaa siku zote mama ni mlezi wa familia, tuepuke mambo ya udini na ukabila hili taifa lipo kwenye mikono salama! Tuilinde amani yetu
 
Back
Top Bottom