Mkao wa Vita: Viongozi wa Kijeshi wa Niger wajiandaa kikamilifu kwa vita

Mkao wa Vita: Viongozi wa Kijeshi wa Niger wajiandaa kikamilifu kwa vita

Wewe ndiyo huwezi kunielewa, upo finyu sana.

Huifahamu historia ya Afrika Magharibi na ilivyotawanywa ilitawaliwe na wakatoliki.

Rejea Tanzania ya nyerere na vita ya biafra.
Kwa hiyo Mohammed Bazoum ni mkatoliki.?
 
Niger hawataweza mziki wa ECOWAS ni vile wantaka kuumiza raia wao bora wakubali kumrejesha madarakani yule jamaa, otherwise nchi yao itakuwa mashakani na hiyo mikataba waliyoingia hapo awal na jumuiya za ulaya
Nadhani wamuue tujue moja maana akirudi atawaua wao.Shauri yao.
 
Niger hawataweza mziki wa ECOWAS ni vile wantaka kuumiza raia wao bora wakubali kumrejesha madarakani yule jamaa, otherwise nchi yao itakuwa mashakani na hiyo mikataba waliyoingia hapo awal na jumuiya za ulaya
na wamesema , ikiwa ECOWAS watavamia Basi watamuua huyo rais .
 
Wewe ndiyo huwezi kunielewa, upo finyu sana.

Huifahamu historia ya Afrika Magharibi na ilivyotawanywa ilitawaliwe na wakatoliki.

Rejea Tanzania ya nyerere na vita ya biafra.
Naona waislamu wenzako wenye roho nzuri wamehamisha familia zao.
Waislamu wenye roho mbaya wameacha familia zao Niger.
Wewe udini unakusumbua. Nasikia mwarabu mweupe ni mjomba wako?
 
Niger hawataweza mziki wa ECOWAS ni vile wantaka kuumiza raia wao bora wakubali kumrejesha madarakani yule jamaa, otherwise nchi yao itakuwa mashakani na hiyo mikataba waliyoingia hapo awal na jumuiya za ulaya
Yani wamrudishe madarakani halafu wao waje wanyongwe hadi kufa!

Hata kanuni rahisi tu za kijeshi umeshindwa kuzifikiria?!
 
Niger hawataweza mziki wa ECOWAS ni vile wantaka kuumiza raia wao bora wakubali kumrejesha madarakani yule jamaa, otherwise nchi yao itakuwa mashakani na hiyo mikataba waliyoingia hapo awal na jumuiya za ulaya
ECOWAS hawatauweza Muzik wa Wagner Group
 
Kumbe huelewi kinachoendelea.

Unafahamu kuwa ma jenerali 5 katika waliopindua mmoja wao ni kiongozi wao, wote ni Waislam na wote wamefundishwa USA?
Hutaki kulala wewe Bibi kizeee
Ebu lala uko kikongwe !
Mambo ya 5 Generals wa Niger waachie wao
Acha udini pumbafu
 
Back
Top Bottom