Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

mi nashkuru tu kuwa leo ni holiday...ila sina maadhimisho yoyote kwa nafsi yangu
 

No Fact there your not smart intelligent. Please give us a single fact of the real situation if you have bt if you don't have your nothing.

"ALWAYS OUT OF THE SYSTEM IS NOTHING"
 
Date ukisha kuijua utafanya nini hayo mambo ya usalama wa taifa wewe yana kuhusu nini mbwa mdogo?
 
Mandela kafariki au bado, watanzania mlichmba had makabuli
 
navojua kuwa hakufariki tarehe kama ya leo hayo mengine wanajua sumaye na mkapa kama wako humu jamvini wanajibu kimoyo kimoyo.

Wewe no research no right to speak acha kukurupuka
 
kwa hiyo alifariki lini sasa?cha muhimu alishakufa basi
 
Mimi simlaumu Mkapa kwa kubadili tarehe isipokuwa namlaumu kwa kutangaza kuwa Nyerere alifariki kwa ugonjwa wa upungufu wa kinga mwilini yaani UKIMWI,inahusu!
 

hebu tuambie ww nyerere akifariki lini?
 
Hivi kumbe hili jukwaa lilishabadilishwa maudhui yake yale ya mwanzo?
 
Ushahidi uko wapi?

Au unataka tufanyie kazi hisia zako?
 
Hawa wanaong'ang'ania tarehe za vifo wakati hawakufika hata hospitali aliyokuwa amelazwa marehemu ni wachochezi. Lengo waonekane wanajua kubishana na kukosoa wenzao. Mfano wa Mandela unatosha kuwatia aibu wanaopenda kubishana bila kujua mazingira husika. Mtu akipoteza fahamu siyo kwamba amekufa.
 

Ilikuwa lazima iwe hivyo Ili kugawana majukumu kama Komba atunge kabisa nyimbo afu kumbukeni Yule bwana aliondoka anatembea afu arudi kwenye jeneza lazima kujipanga kwanza
 
Ungekuwa South Africa ungeshamuua Mandela kitambo.... Mkapa yawezekana baada ya kuona gharama zinazidi kuwa kubwa! na dalili za kupona mzee ni ngumu na pia na endapo angepona uuzwaji wa mashirika ya Uma ungekuwa ni mgumu pengine alipata ushauri machine izimwe tu na kawaida machine ikizimwa ndio unakuwa mwisho wa matumaini ya uhai wa mgonjwa... so kinachofuatiwa ni kutangaza kifo tu... ndio sababu kuu... Nchi yetu sio ya kitajili kumuhudumia mstaafu kwa gharama kubwa kihivyo.... Hizo kesi nazokupa za wakuu wa nchi Kama South Africa na Israel.... Israel Waziri mkuu wa nchi hiyo hedi leo hii yupo kwenye machine inayomsaidia kupumua...

Kuna thread humu inayohusu kifo itafute utajifunza vingi sana... kufa kwa binadamu kuna step nyingi... na ubongo ukifa ndio hakuna matumaini tena... Moyo unaweza kusimama lakini mtu asife ndio kesi nyingi ziwapatazo binadamu na wengi huzikwa wakiwa hawajafa....
 

Weka tarehe halisi basi, mbona unaongea mambo ya kusikia tu, hivi uhalisia unousema toa basi kaushahidi kidogo kwamba sio tarehe 14/10/1999.
 

Unaousema "ukweli" usitarajie kuuona the way you wish it would be.. Sometimes huwa tunaangalia na gharama za ukweli wenyewe.. The theory of "The choice of a lesser evil" applies here...!
 
Hapa ndio utajuwa Faiza Fox na hili jinga si mashabiki wa CCM Bali ni mashabiki wa dini ya kigaidi.

Halafu wewe nae eti unataka kugombea ubunge huku unauita uislamu dini ya kigaidi. Matola haya tunayahifadhi labda kama kura unategemea wakristo pekee za waislamu huzitaki. Ritz muone huyu jamaa anavyotutukana huku.
 
Last edited by a moderator:
Kwa dhana ya kufikirika si vyema ukapotosha uma angali ww mwenyewe huna hakika na jambo ulisemalo.
Ingekuwa vyema ungetupa ushahidi wako vinginevyo stop accusing our beloved former president and let the late rest in peace.kucheza kwingi mwishowe kukaa uchi na kujua kwingi huishia katika ujinga kwenye kwa smart pple.mkapa hakudanganya ila ww ndo unataka kudanganya watu hapa.nikirudi na punch death certificate ya nyerere.tunasubiri utuambie na mandela kafa lini
 
tuambie sasa alifariki lini? au alifariki kabla hajapekwa? maana inaonekana ww ndo unataka kutudanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…