Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Hawa watoto wa siku hizi tuwaite "wagoloko"
 
Karibu JF!!
If you ask me, kati ya kuheshimiwa na watu na uhuru wangu wa kujieleza, nachagua uhuru wangu wa kujieleza.

Heshima nyingine za watu zinakufunga usiweze kujieleza kwa uhuru wako.

Na kama mtu hanielewi, hanielewi tu, sihitaji heshima yake.

I am here to shine my light, I am not here to make friends.

Zaidi, nafikiri hoja nzima ya kumtazama mtu badala ya hoja zinazotolewa ni ujinga.

Watanzania wengi sana, kwa kuangalia uzi huu, hawawezi kuangalia hoja bila kumuangalia mtoa hoja.

Wanaishia kufanya ad hominem logical fallacy kumjadili mtoa hoja badala ya hoja.

Mtu anaishia kusema "kuna mtu nilikuwa namujeshimu sana lakini hapa katoa mashudu matupu".

Kauli hii inaonesha matatizo mengi ya Watanzania.

Hatutaki kujadili hoja. Tunamjadili mtoa hoja.

Hatutaki kuwa wawazi, huyo mtu nani? Mashudu yake yapi? Kwa nini mashudu?

Yani hata JF kwenye anonimity pamekuwa sehemu za "kuna mtu" bila kumtaja huyo mtu na "mashudu" bila kuelezea yapi, kwa nini ni mashudu. Hawa watu hawawezi kutetea hoja zao.

Dalili za maongezi ya watu wajinga na waoga ambao hawawezi kujadili hoja toe by toe.
 
Leta hapa death certificate ya Afande Mwasifiga, wacha kuleta "habari za nasikia"

Utakufa wewe UCD ukaungane na mungu wenu Magufuli na utaniacha
Kufa ni kawaida kama ulivyozaliwa. Vipi wewe unaogopa kufa? Tusipokufa basi hata wakuzaliwa hatakuwepo hiyo ndio maana ya "reproduction"
 
Magu alikuwa Mbabe sana .
 
Wahaya na wanyakyusa ni Walewale tu. Sema tu wahaya siyo.jeuri kama nyakyusa
Wewe utakuwa muhaya bila shaka. Nchi hii kama kuna kabila linakngoza kwa sifa (zingine zikiwa za kijinga) ni watu wa Bukoba.

Kuna uzi huku jamaa aliandika(ga) miaka mingi imepita eti "kufika mwaka 2012 Bukoba kuipiku dubai kwa miundombinu." Hadi leo hii imepita miaka 12 bado Bukoba hata stendi ya maana hakuna
 
Wabongo bana. So point yako nini mkuu
 
Kufa ni kawaida kama ulivyozaliwa. Vipi wewe unaogopa kufa? Tusipokufa basi hata wakuzaliwa hatakuwepo hiyo ndio maana ya "reproduction"
Kafie mbali na roho zenu mbaya kama shetani
 
Aliwaweka watu jela kama Rugemalira, Kitilya wa TRA, Mwaimu wa NIDA. Akapora mapesa ya wafanya biashara wengi benki.

Wewe pimbi ni masikini kajamba nani huwezi juwa kwa vile hukuwa na frdha benki
yaan alichukua pesa bila sababu ? huyo Rugemalila mm namjuaa binafsi nje na ww unamsoma na kumuona kweny Tv , alikuwa mpigaj sana acha mengine tusiyataje humu , hao walioporwa pesa bank ni wale walipiga pesa za serikali , mf hospital ya mbagala inayojengwa ss hv ilitolewa pesa kitambo sn enz za Jakaya ila watu walipiga zile na kukimbia wachache walikamatwa pesa zikachukuliwa.

HV UNAEZA NTAJIA TAJIR AMBAYE HAJAIBIA SERIKALI HAPA TANZANIA ?

KIPIND JPM ANAINGIA MADARAKAN UNAKUMBUKA YALE MADENI YA KODI ALIKUWA ANAYATAJA ? ULIKUWA HUNA RADIO YAKO YA ANTENA KIPIND HIKO ?

UNAHITAJ MAOMBEZ UNASHABIKIA UJINGA UNAOUJUAVKIUNDANI ILA UMECHAGUA KUWA MNAFIK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…