Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kes
Umaskini wenu na Magufuli wenu usiwe chanzo cha kuwachukia wenye akili na utajiri wao.
Kwa nini Mahakama kwa miaka yote ya Urais wa Magufuli ilishindwa kumkuta na hatia Rugemalira kama kweli alikuwa ni mpigaji ??yaan alichukua pesa bila sababu ? huyo Rugemalila mm namjuaa binafsi nje na ww unamsoma na kumuona kweny Tv , alikuwa mpigaj sana acha mengine tusiyataje humu , hao walioporwa pesa bank ni wale walipiga pesa za serikali , mf hospital ya mbagala inayojengwa ss hv ilitolewa pesa kitambo sn enz za Jakaya ila watu walipiga zile na kukimbia wachache walikamatwa pesa zikachukuliwa.
HV UNAEZA NTAJIA TAJIR AMBAYE HAJAIBIA SERIKALI HAPA TANZANIA ?
KIPIND JPM ANAINGIA MADARAKAN UNAKUMBUKA YALE MADENI YA KODI ALIKUWA ANAYATAJA ? ULIKUWA HUNA RADIO YAKO YA ANTENA KIPIND HIKO ?
UNAHITAJ MAOMBEZ UNASHABIKIA UJINGA UNAOUJUAVKIUNDANI ILA UMECHAGUA KUWA MNAFIK
Umaskini wenu na Magufuli wenu usiwe chanzo cha kuwachukia wenye akili na utajiri wao.