Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Aisee... Yaani bado unaandika pumba, wewe ni hamnazo.
Asingevua watu vyeo, je asingekufa..?
Pumba nyingi sana zina virutubisho muhimu sana vya protini.

Wewe tu hujajua kwa ujinga wako.

Hakuna popote niliposema kwamba asingevua watu vyeo asingekufa.

Wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu unaweka logical non sequitur fallacy na strawman argument fallacy.

Google that.

I know you don't know.
 
Hoja Yako ni dhaifu mkuu na imeharibika kabisa uliposema JPM kafa mapema afande kabaki hai.

Una uhakika upi kama asinge muondoa Ile nyota1 JPM angebaki kuwa hai Hadi Leo?
 
Umenielewesha vema mtiririko wa tukio zima kuliko hata video yenyewe. Thanks kwa update na maelezo mazuri
 
Wewe ni fala tu.
Hapa nilazima nitoke nduki, bila shaka kuna chizi ameng'ang'ania keyboard ⌨️ ana type uharo.
🙌🙌🏃🏃🏃
 
Hoja Yako ni dhaifu mkuu na imeharibika kabisa uliposema JPM kafa mapema afande kabaki hai.

Una uhakika upi kama asinge muondoa Ile nyota1 JPM angebaki kuwa hai Hadi Leo?
Kwani wapi nimesema asingemuondoa nyota angebaki hai?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Hujaelewa hoja kubwa kwamba cheo ni dhamana, rais hakutakiwa kusema mimi naweza kukuondoa nyota. Ile ilikuwa lugha ya "Unanijua mimi nani? " kwa maneno mengine tu. Rais alitakiwa kutumia nguvu ya hoja, si kutumia hoja ya nguvu.

Kwa kufanya vile rais amedogosha nyota za jeshi na kuzifanya kama zinatolewa kwa hisani ya rais tu, si kwa merit ya mtu.

Kwa kusema hivyo, rais ameonesha kiburi kwamba yeye ndiye mwenye mamlaka yote. Guess what, hakuwa na mamlaka ya kukishinda kifo.

Kafa na kamuacha afande anadunda.
 
Kufa kwa Magufuli haku justify tabia mbovu za huyo afande aliyestaafishwa.
 
Kuna mtu nilikuwa nafuatiliaga sana comment zake huwa anaonheaga vitu vya msingi sana.....leo nimeshangaa kwenye huu uzi ame comment mashudu tupu
Mtu gani? Mtaje tu.

Inawezekana katoa mashudu yenye virutubisho vingi vya protein ni wewe tu hujaelewa.

Halafu,

Usimfuatilie mtu, fuatilia hoja.

Ukimfuatilia mtu ndiyo mwanzo wa kujifunga kwa mahaba na mtu hata akikosea usione makosa yake kwa sababu una mahaba naye.
 
Watu wengi hawajui story ya "who will rid me of this troublesome priest?", inafundisha viongozi kuwa makini na kauli zao wakati wana hasira, zinaweza kuwa na madhara makubwa.


Ninavyokumbuka jamaa alijibu "nilijua utaniinua" akimaanisha kuinuliwa kujibu swali.... Sasa mkuu akadhani, anamanaisha atampandisha chati.... Ndio mwisho ukawa hivyo
 
Kalikenye yupo bunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…