Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

kwa katiba ya wabongo Rais ana mamlaka ya kumpandisha/Kumshusha cheo askari yeyote bila kuhitaji justification yoyote.

Tukirudi Gerezani it seems ya kwamba askari husika ni kweli alikuwa akiumiza wafungwa.. Kwahivyo tutende haki bila kukiogopa kifo!

Kufa tutakufa tu!
 
Tatizo la Watanzania wengi ni sadists. Unaweza kukuta Magereza wanaonea watu ki sadist, lakini hata rais anayekuja kuangalia kero za wafungwa na yeye badala ya kumulika ubaya wa sadism kwa kufuata due process kuhukumu maafisa wa Magereza, anawakomoa wale Magereza ki sadist kwa summary execution.

Na Watanzania wengi wanafurahia wale Magereza kukomolewa ki sadist, kwa sababu wao wanaona wale Magereza wanaonea wafungwa wanyonge, sasa na wao zamu yao ya kuonewa na rais kigangwe imefika.

Bila ya kuelewa kuwa wanashangilia tatizo lile lile la sadism tu.

Yani Watanzania wengi hawaelewi tofauti ya justice na revenge, wanaona revenge ndiyo justice.
 
Angeacha kupokea mshahara wa serikali akiwa nje ya kazi hiyo private imlipe
 
Kiranga una chuki kubwa sana na magufuli tangu zamani sana

Hii haifai
Hapana mkuu,

Wewe una uvivu fulani hivi ambao unakufanya ushindwe kutofautisha chuki na tofauti za kifalsafa.

Mimi nina tofauti za kifalsafa si tu na Magufuli, bali na Watanzania wengi sana.

Kwa mfano, mimi nathamini due process na justice.

Watanzania wengi, hususan wa JF kwenye uzi huu, hamthamini due process wala justice, mnataka show ya kibabe, summary execution na revenge.

Sasa nikianza kuelezea tofauti za misimamo miwili hii kifalsafa, wengi wenu hamna uwezo wa kuelewa, mnaishia kuona chuki binafsi tu.

Mkuu,

Magufuli katupa famikia yangu nyumba Oysterbay. Magufuli anajuana na Baba yangu tangu hajawa rais. Baba yangu alimpa maneno yake Mkapa kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya umma, maneno ambayo mawaziri wengi walitaka kusema lakini wakamuogopa Makapa. Baba yangu akausema wazi.

Kesho yake Magufuli akampigia simu baba yangu na kumshukuru sana kwa maneno yake yale kwamba kama amesema kwa niaba ya kina Magufuli waliotaka kusema wakashindwa.

Sasa huyo mtu ambaye kwetu tunamjua personally, kabla hajawa rais, si mtu wa kumsoma magazetini tu, mtu kama huyo mini naanzaje kumchukia kwa chuki binafsi?

Magufuli katupa jumba la serikali la US $ 3 million Oysterbay.

Sasa mimi namchukiaje huyo mtu kwa chuki binafsi?

Ukienda kwa habari binafsi mimi nilitakiwa kuwa namuimbia mapambio ya uchawa Magufuli.

Hizi ni tofauti za kifalsafa, si chuki binafsi.

Familia yangu inakula rent ya jumba la Oysterbay alilotupa Magufuli mpaka leo.

Sasa namchukiaje Magufuli kwa chuki binafsi hapo?

Ni yofauti za kifalsafa tu, ila wengi zimewapita kimo.
 
Mkuu,

Nikiandika inabidi usome huku kichwa kimetulia.

Maana ni rahisi kutoelewa ninachoandika.

Nimeandika Mungu anasingiziwa kwa sababu siamini kuwa yupo.

Watu wanaisingizia ile character ya Mungu kuivika mambo yao mengi, wakati huyo Mungu mwenyewe hata hayupo.

Mtu kashindwa mtihani kwa sababu hajajiandaa kusoma, anasema kirahisi tu "Mungu hakuniwezesha".

Mungu anasingiziwa tu.

Ushaelewa?
 
Sijui kama huyo dr. Atakuwepo kazini hadi sasa. Atakuwa alishatenguliwa muda mrefu. Ile mauti Mungu aliiruhusu kwa sababu.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=z1Oq2b0lFhs
 
You are proving my point.

Thanks for being honest in your monstrous sociopathy.
 
Sikusema hana mamlaka na wala sikujadili katiba.

Kwa katiba ya Bongo rais ana mamlaka ya kuuza ardhi ya nchi nzima, lakini je, afanye hivyo?
 
Nilikuwa nafuatilia anchokiandika sio yeye....ila leo kaandika ukurutu sijategemea aisee
 
Mwisho wa siku mfungwa aliendelea kubakia mfungwa, askari akaendelea kuwa askari na Rais akaendelea kuwa Rais...

Tujitahidi kurekebisha mifumo na sio watu, maana mfumo ukiwa thabiti sisi watu tutaishi tukihakikisha tunaufuata...
 
Sasa Dada yangu mmmmm!!! Ila una Kilanga wewe, umri uliokuwa nao bado unajikita kwenye spelling kikubwa ni kuelewa dada yangu mpendwa.

Angalia attachment yako, neno la kiongozi wa nchi uwa linaanza na herufi kubwa Rais na sio rais au kwa kuwa ni nyani ndio maana hauoni kundule.
 

Attachments

  • Screenshot_20241128_201218_Chrome.jpg
    348.6 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…