Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

You are proving my point.

Thanks for being honest in your monstrous sociopathy.
Nyinyi huko ulaya civilization ime advance Sana hata GENES zenu zime be civilized 😊☺️

*Mtu anaenda kun'goa miundombinu ya barabara, reli na kwenda kuuza vyuma chakavu.

*Mtu anaiba public funds na kwenda kuzificha uswisi

*Wanaiba madawa ya serikali na kwenda kuyapeleka kwenye maduka yao binafsi

*Pesa ya ujenzi wa shule,kituo Cha afya, mahakama,soko, barabara wanajenga Chini ya kiwango

*Dhuruma,rushwa, wizi, ubadhilifu na everything dirty

*Kama msimamizi wa kituo Cha kupigia kura ana cheat kwa kuingiza kura za muruhani zaidi ya 200..

HAPO HAPO AKIPATIKANA MTU WA KUNYOOSHA PALIPO PINDA KWA MKONO WA CHUMA...TENA HATA KWA KUVUNJA KATIBA.. BINAFSI MIMI NAONA HUO NDIO UZALENDO WA KWELI.
 
Wewe Mlugaluga hata tofauti ya l na r hujui.

Unaniletea shombo tu hapa nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Inasemekana afande pia ashafariki.
Rais akisema mbona manyasi yameota sana
Hapo haulizi bali ni amri hayo manyasi yapaliliwe, Mpo hapo?

Aliposema naweza nikaziondoa hizo nyota maana yake ilikuwa ashushwe cheo
Daa naikumbuka hiyo ziara
 
Rais alikufa usisahau.

Pamoja na kujimwambafy sana "naweza kukuvua manyota".

Yes...

Aliamua kudeal na mtu badala ya kuangalia ni namna gani ya kutatua tatizo kama lipo kwa magereza yote na sio Butimba pekee...
 
Huu mkasa umenikumbusha siku Ile spika wa bunge jobu ndugai aliposema ipo siku Nchi hii itapigwa mnada.Alipoisikia mama hiyo kauli alichukia sana na kuanza kumfokea jobu ndugai na hatimaye kufukuzwa usipika pamoja na kuwa mhimili wa bunge Huwa tunaamimishwa kuwa ni huru
 
You are proving my point.

Thanks for being honest in your monstrous sociopathy.
Nyinyi huko ulaya civilization ime advance Sana hata GENES zenu zime be civilized.

*Mtu anaenda kun'goa miundombinu ya barabara, reli na kwenda kuuza vyuma chakavu.

*Mtu anaiba public funds na kwenda kuzificha uswisi

*Wanaiba madawa ya serikali na kwenda kuyapeleka kwenye maduka yao binafsi

*Pesa ya ujenzi wa shule,kituo Cha afya, mahakama,soko, barabara wanajenga Chini ya kiwango

*Dhuruma,rushwa, wizi, ubadhilifu na everything dirty

*Kama msimamizi wa kituo Cha kupigia kura ana cheat kwa kuingiza kura za muruhani zaidi ya 200..

HAPO HAPO AKIPATIKANA MTU WA KUNYOOSHA PALIPO PINDA KWA MKONO WA CHUMA...TENA HATA KWA KUVUNJA KATIBA.. BINAFSI MIMI NAONA HUO NDIO UZALENDO WA KWELI
 
Ahaaa ila job alifeli
 
Baso ondoeni tu hiyo katiba tujue moja, acheni unafiki.
 
NENDA UHAYANI KAFANYE KAZI...FROM EXPERIENCE WAHAYA NILISHUHUDIA WAKITU DISCUSS KIHAYA KUMBE RAFIKI YANGU NI MZINZA😊☺️ AKAWA ANASIKIA WANAVYO TUSEMA 😅😅
Wahaya hawawafikii Wanyakyusa. Angalia.
1. Ulimboka
2. Sativa
3. Rais wa CHAMA CHA WANASHERIA
4. Kijana aliyechoma picha ya Rais
5. Askofu wa Moravian
6. Mponjoli.

Hili kabila ni hatari halifai. Wajeuri na wanajiamini sana.
 
Alikosea Sheria namba moja ya maisha. Never outshine the master.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…