#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KWENYE UCHUNGUZI WAKE, KILE AMBACHO MHUSIKA AMEKIONA HADI MUDA HUU JAPO YEYE SIYO MTAALAMU WA MAMBO YA TV

Ni KWAMBA OPTICAL PORT IPO KWENYE TV YAKE ISIPOKUWA INAHITAJI CABLE AMBAYO INA VICHWA VYA AINA MBILI YAANI " MALE" NA "FEMALE". DUKANI ALIPEWA CABLE AMBAYO NI "MALE TO MALE" NA HVIYO CABLE HIYO INASHINDWA KUINGIA KWENYE PORT AMBAYO NI MALE; POSSIBLY KWA SABABU WAKATI WANAMFUNGASHIA PACKAGE YAKE MHUSIKA WALISAHAU KUMUWEKEA ADAPTOR YENYE UWEZO WA KUBADILISHA KICHWA KIMOJA CHA OPTICAL CABLE WALIYOMPA, KUTOKA MALE KWENDA FEMALE. PORT ILIYO KWENYE TV YA MHUSIKA INAHITAJI KICHWA AMBACHO NI FEMALE .CABLE ALIYOPEWA DUKANI VICHWA VYOTE NI MALE NA HIVI NDIVYO VINAVYOPELEKEA AKACHUKULIWE ADAPTOR NYINGINE KARIAKOO
NI MARA YA PILI SASA ANASHAURIWA KWENDA KUNUNULIWA ADAPTOR KARIAKOO. MARA YA KWANZA ILIKUWA MWEZI WA SABA ALIPOSHAURIWA KWENDA KUNULIWA KIFAA CHA KWENYE REDIO YA GARI LAKE NA FUNDI WA REDIO YA GARI LAKE. KIFAA HICHO KILIKUWA NI KWA AJILI YA RADIO YA GARI LAKE AMBAYO NI MBOVU HADI MUDA HUU
 
NAMNA ZILIVYO BAADHI YA TECHNICAL FUNCTIONS ZA SOUNDBAR HIYO

INA BLUETOOTH PIA NA INA CONNECT NA SUBWOOFER NYINGINE KUBWA KWA KUTUMIA BLUETOOTH TU NA SIYO PHYSICAL CABLE

KIILE ALICHOFANYA MHUSIKA MPAKA MUDA HUU
MHUSIKA AMECHUKUA HATUA YA KURUDI TENA DUKANI AKIWA PAMOJA NA HDMI CABLE. BAADA YA KUFIKA DUKANI, IKAONEKANA KUNA LAPTOP PALE DUKANI AMBAYO ILIWEZA KU-CONNECT KWA KUTUMIA HDMI CABLE HIYO.
HIKI KITU KILIKUWA KIGENI KWA MHUSIKA NA KIMEMSHANGAZA KIASI NA BAADA YA HAPO MSISITIZO UMEENDELEA KUWA INABIDI MHUSIKA AFUNGIWE KIFAA KINGINE KITAKACHNUNULIWA KUTOKA KARIAKOO. MHUSIKA AKIWA HAJARIDHIKA NA UAMUZI WA KIFAA HICHO CHA KARIAKOO, ALILAZIMIKA KURUDI NYUMBANI NA HATIMAYE KUEKEKEA OFISINI KWENDA KU-TEST TENA CABLE HIYO KWA KUTUMIA LAPTOP PAMOJA N.A. DIGITAL PROJECTOR. BAADA YA KUFANYA TEST, HDMI CABLE HAIKUFANYA KAZI TENA, SAFARI HII MBELE YA MTU MWINGINE SHUHUDA.. MHUSIKA KUONAN HIVYO, ALIAMUA KURUDI NYUMBANI AKIWA AMEAMBATANA NA SHUHUDA HUYO NA KUMPATIA SOUNBAR HIYO PAMOJA NA DOCUUMENTS ZAKE ZOTE

KWA HIYO KWA SASA, MHUSIKA HANA TENA SOUNDBAR HIYO, AMELAZIMIKA KUIGAWA KWA MTU MWINGINE. NI KWA SABABU AMEONA NI BORA IMETUMIKA NA MTU MWINGINE KULIKO MHUSIKA AITUMIE HUKU IKIWA IMEFUNGWA KIFAA KINGINE KUTOKA SEHEMU NYINGINE ISIYOJULIKANA

ZAIDI NI KUWA MUUZAJI WA SIUNDBAR HIYO ALISISITIZA KUWA, KAMA NI YEYE AMBAYE ANGEFANYA KAZI YA KUMFUNGIA MHUSIKA NYUMBANI KWAKE KIFAA HICHO CHA KUTOKA KARIAKOO, BASI INGEBIDI AFANYE KAZI HIYO USIKU BAADA YA SAA MBILI KWA SABABU YUKO PEKE YAKE OFISINI NA KAZI ZAKE HUWA ZINAISHA SAA MBILI USIKU KILA SIKU.
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILE AMBACHO MHUSIKA AMESHAKIONA MPAKA MUDA HUU KWENYE HILI SAKATA LA "SOUNBAR"

INAONYESHA KAMA WALE ALIOWAHI KUWAACHIA GARI MWAKA 2010 "ARE STILL SEEKING FOR AN EQUALIZER". INAONYESHA ISSUE HII YA SOUNBAR ILIKUWA NA ALTERNATIVE PLAN AMBAYO ILIKUWA IMEKUSUDIWA KUM-PROMPT MHUSIKA A-ACT IN A SIMILAR MANNER KAMA ALIVYOWAHI KU-ACT KWENYE SWALA LA GARI HILO
 
UPDATE: WEDNESDAY 28TH SEPTEMBER 2022

KUHUSIANA NA SET-UP YA NAMNA MTOTO MTT1990 ALIVYOZALIWA; MWEZI MARCH 1990

Kwa mara ya kwanza mhusika alikuja kuibaini set-up hii mwaka 2017 (mika 27 baadaye). Hapo kabla, kabisa mhusika hakuwahi kujua kama tarehe ya kuzaliwa MTT1990 ilikuwa na kitu kingine kikubwa sana nyuma yake


Kala ya hapo, mhusika alikuwa anaona matukio yakiendelea tu, likiwemo la MTT1900 kuwa anashambuliwa sana ikiwa ni pamoja na kutegeshewa matukio yaliyopelekea aende jela mara kwa mara, kama siyo kukimbia nyumbani na kuanza kuishi maisha ya mtaani na watoto machokoraa; wengi wao wakiwa ni wale wasiokuwa na wazazi

Kwa hiyo kabla ya mwaka 2017 mhusika alikuwa kabisa hajui kuwa kulikuwa na kitu kingine kikubwa nyuma ya matukio yaliyokuwa yakimwandama MTT1990, alikuwa anaona ni matukio yanayotokea tu pasipo kuwa na chanzo kingine kikubwa cha ziada nyuma yake

Ni mtoto ambaye ilikuwa inapotokea ameenda jela, japo kwa kosa ambalo kisheria ni halali, unamuona kabisa mzazi wake amefurahi wakati kilichompeleka jela hakina ule uzito au uhalali wa kumfanya mzazi afurahi ibadala ya kumhuzunisha
 
“PLOT” NZIMA YA MCHORO ULIVYOANZA TANGU MWAKA 1989 NA KAMA AMBAVYO ULIKUWA UKITEKELZWA NA SHMJ, BABA YAKE NA MTT1900;

“PLOT” HII NI KULINGANA NA NAMNA MHUSIKA ALIVYOIONA NA ANAWEZA PIA AKAWA HAYUKO SAHIHI, ila hii namna mhusika alivyoiona kwa jicho lake mwenyewe

………….itaendelea
 
UPDATE: TUESDAY 03RD OCTOBER 2022

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA TENA NA MADA ANAYOENDELA NAYO KWENYE KIPINDI HIKI

MHUSIKA ANAPENDA KUONGELEA KWA KIFUPI MATUKIO MATATU AMBAYO YAMEONYESHA MFANANO WA KIPEKEE


Kila mojawapo ya matukio haya lilipelekea mhusika apewe ushauri wa kufunga kwenye mali zake ambazo huwa anatumia, kifaa cha kununua kutoka Kariakoo

TUKIO LA KWANZA.

July 2021 (mwaka jana) baada ya mhusika kulazimika kubadilisha compressor ya AC ya gari lake; baada ya injini ya gari lake kubadilishwa na hatimaye kuonekana kuwa compressor ya AC iliyokuwepo ilikuwa haifanyi kazi
  • Ilionekana kuwa lile propeller ambalo huwa linapuliza upepo kwenye radiator ni bovu, halina nguvu ya kutosha
  • Kwa hali hiyo, pamoja na ukweli kuwa mhusika aliweka compressor nyingine ya AC, propeller hilo lilikuwa linapelekea AC hiyo isiweze kupoza hewa
  • Maelezo haya yalikuwa ni kwa mujibu wa fundi wa gari la mhusika
Kutokana na hali hiyo mhusika alishauriwa anunue propeller jingine kutoka Kariakoo halafu lije lifungwe kwenye gari lake

Mhusika hakununua propeller hilo na wala hajalibadilisha hadi leo. HILO LIKAPITA

TUKIO LA PILI
:

Hivi karibuni ndani ya mwaka huu wa 2022, ghafula redio ya gari lake ikapata matatizo ya kiufundi
  • Baada ya hapo mhusika aliamua kumpelekea fundi wake pale Mwenge ambaye amekuwa akii-service muda wote
  • Baada ya fundi kuikagua redio kwa takribani dakika 30 hivi, fundi aligundua kuwa redio hiyo iko beyond repair na hivyo ilihitaji kuwekewa kifaa kingine (sparepart) ambacho yeye fundi hakuwa nacho
  • Fundi huyo alishauri kifaa hicho kikanunuliwe Kariakoo
Mhusika alimwachia fundi hela ya kununua kifaa hicho na kwa taarifa za mwisho walipowasiliana, fundi huyo alisema tayari alishanunua kifaa hicho

Hata hivyo hadi leo mhusika hajampelekea fundi huuyo gari kwa ajili ya kufunga kifaa hicho kwenye redio; na actually hana kabisa mpango huo. HILO NALO LIKAPITA

TUKIO LA TATU


Soundbar ya hivi karibuni (mwishoni mwa mwezi Septemba 2022) aliyonunua kwenye duka moja pale Mlinani City; ilihitaji kifaa kingine (accessory) kutoka Kariaakoo

Hii ni baada ya kuonekana kuwa terminals za optical cable zilikuwa haziwezi kuunga kwenye TV ya mhusika; huku HDMI cable aliyonunua nayo ikiwa haiwezi kutoa signal

Duka waliomuuzia walisema kuwa hawakuwa na HDMI cable kwa ajili ya Soundbar hiyo; kwamba vifaa hivyo kawaida huwa vinakuja na optical cable tu bila HDMI cable

Matukio haya yote matatu yametokea katika namna anbayo kila moja lilimhitaji mhusika AFUNGE ACCESSORY nyingine kwenye mali zake anazotumia

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 05TH OCTOBER 2022

SWALI
KWA WAJUVI WA MASWALA YA MIAMALA YA FEDHA KUPITIA BANK


Ukifanya EXTERNAL TRANSFER ya fedha kutoka kwenye Account yako iliyo Benki A Mkoa A kwenda Benki nyingine tofauti (tuseme Benki F iliyoko Mkoa F);

Assuming Account Number ya mpokeaji ilikosewa na hivyo kupelekea fedha hiyo kurudishwa kwenye account ya mtumaji

SWALI: Je, huwa inachukua muda gani kwa fedha hiyo kurudishwa kwenye account ya mtumaji?

MAELEZO MUHIMU YA ZIADA


Mwezi May 2021, mhusika aliwahi kufanya EXTERNAL TRANSFER ya fedha kutoka kwenye account yake kwenda kwenye aacount ya mtu mwingine iliyoko mkoa mwingine, TZS 18,000,000/= (million kumi na nane tu)

Baadaye ilikuja kuonekana kuwa account ya mpokeaji ilikuwa imekosewa na hivyo kupelekea fedha hiyo kurudishwa kwenye account ya mtumaji/mhusika

Fedha hiyo ilirudishwa kwenye account ya mhusika baada ya siku kumi na nane (18 days)

Mbali na hilo, JUMAMOSI ASUBUHI ya tarehe 01 Oktoba 2022, mhusika alifanya tena EXTERNAL TRANSFER ya fedha kutoka kwenye account yake, sawa kama ile aliyowahi kufanya mwaka jana 2022 isipokuwa safari hii kiasi kilikuwa ni TZS 5,500,000/= (million tano na laki tano tu)

Safari hii tena imeonekana kuwa account ya mpokeaji haikuwa sahihi na fedha hizo zimerudishwa tena kwenye account ya mhusika

Fedha hizo zimerudishwa leo JUMATATNO tarehe 05 oktoba 2022 majira ya saa 10 jioni; siku nne (4) kamili tangu mhusika afanye muamala huo


Matukio haya yote mawili ni kwenye tawi moja la Benki ambayo mhusika ni mteja wake

Je, fedha hizi ambazo huwa zinazoangukia kwenye muamala wenye makosa ya aina hii, huwa zinachukua muda gani kurudishwa kwenye account ya mtumaji, ambaye ndiye mwenye fedha?

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Matukio haya yote mawili ya fedha hizi ambazo zimekuwa zikirudi yanawahusu ndugu zake mhusika. INAONYESHA KAMA WANALAZIMISHWA KUTUMIKA KWA NAMNA HIYO NA HAWANA NAMNA NYINGINE INABIDI ISIPOKUWA INABIDI WAKUBALIANE NA MAELEKEZO WANAYOPEWA NA MAMLAKA INAYOWAAMURU KUFANYA HIVYO
 
UPDATE: MONDAY 10TH OCTOBER 2022

MATUKIO MUHIMU YA HIVI KARIBUNI YALIYOJIRI UPANDE WA MHUSIKA MENGI YAKIWA NI YALE AMBAYO HAJAWAHI KUYALETA HUMU JUKWAANI

YALE YALIYOJIRI MUDA MFUPI KABLA YA MHUSIKA KUANZA LIKIZO YAKE YA MWAKA ILIYOANZIA TAREHE 05/09 NA KUISHIA TAREHE 02/10/2022


Yafuatayo hapa chini ni baadhi tu ya mambo machache muhimu yaliyojiri ndani ya wiki ya mwisho ya mhusika kuwepo ofisini (tarehe 29/09/2022 hadi tarehe 02/10/2022) kabla hajaanza likizo yake ya mwaka 2022

Kwenye mojawapo ya siku za mwanzoni za wiki hiyo tajwa, mhusika alilazimika kufika kwenye jengo la utawala (Central Administarion-CA) kuulizia barua yake ya likizo kwa sababu hadi kufikia wiki hiyo, barua hiyo ilikuwa bado haijatoka; kitu kilichopelekea asiweze kujua kama maombi yake ya likizo yalikuwa yamekubaliwa ama la

  • Kwenye siku husika ya safari hiyo, mhusika alitoka idarani kwake akielekea utawala
  • Pale nje kabla ya kuingia lango kuu la jengo la CA; huwa kuna security check-point ya watu wa usalama wanaohusika na jengo hilo
  • Siku hiyo, ofisa aliyekuwa anahusika na usalama, alimruhusu mhusika aingie ndani ya jengo hilo pasipo kumkagua na mhusika alifanya hivyo kulingana na matakwa ya ofisa huyo.
  • Hii ikawa ni mara ya kwanza kwa mhusika kuingia ndani ya jengo hilo la CA pasipo kuwa amekaguliwa
Kwa kifupi tu ni kwamba hadi kufikia siku hiyo, mara ya mwisho mhusika aliingia kwenye jengo hilo ilikuwa ni mwezi wa 10 mwaka jana (2021).

  • Ilikuwa ni kwenye siku ambayo alikuwa anaenda kuripoti kwenye ofisi husika, baada ya kuwa amemaliza likizo yake ya mwaka 2021
  • Hapo kabla, mara zote mhusika amekuwa akipita kwenye security chek-point hiyo kwa utaratibu wa kukaguliwa kwa kutumia simple scanner ya mwili na/ mavazi
Kwa hiyo ndani ya kipindi cha miaka mingi sana nyuma, siku hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kupita kwenye security chek-point pasipo kukaguliwa

Baada ya kuruhusiwa kupita pasipo kufanyiwa ukaguzi, mhusika aliendelea hadi kwenye ofisi husika; kuulizia maombi yake kama yalikuwa yameshaanza kushughulikiwa

Kwenye ofisi husika, mhusika alijibiwa kuwa maombi yake bado yanashughulikiwa na kwamba barua ya ruhusa ya likizo yake ilikuwa imechelewa kidogo kutoka kutokana na maombi hayo ya likizo kugongana na maombi yake mengine ya kitu kingine tofauti cha nyuma na hivyo kupelekea taarifa zake (mhusika) kuhitajika kwenye ofisi mbili tofauti ila kwa wakati mmoja

Zaidi ofisi hiyo ilimtaarifu mhusika kuwa hadi kufikia Ijumaa ya wiki hiyo, yaani tarehe 02/10/2022, majibu ya maombi ya likizo yake (mhusika) yatakuwa tayari yameshatoka na hivyo kuashiria uwezekano wa yeye kuanza likizo yake ya mwaka tarehe 05/10/2022

Baada ya majibu hayo, mhusika alitoka ofisini hapo na kuanza kurudi ofisini kwake, idarani

SIKU YA MWISHO (IJUMAA YA TAREHE 02/10/2022) YAWADIA PASIPO MHUSIKA KUWA AMEPATA MAJIBU YA MAOMBI YA LIKIZO YAKE

Hadi kufikia siku ya mwisho ya wiki hiyo; yaani Ijumaa ya tarehe 02/10/2022, majibu ya maombi ya likizo ya mhusika yalikuwa bado hayatoka

  • Mbali na hilo, likizo hiyo ilikuwa ni ya malipo ambapo malipo hayo nayo pia yalikuwa bado hayatoka hadi Ijumaa hiyo
  • Zaidi ni kuwa malipo hayo hayakuweza kutoka katika kipindi chote ambacho mhusika alikuwa yupo likizo, na hadi leo hii, malipo hayo bado hayajaweza kutoka
BAADA YA MAJIBU YA MAOMBI YA LIKIZO YA MHUSIKA KUSHINDWA KUTOKA HADI KUFIKIA IJUMAA YA TAREHE 02/20/2022, SIKU AMBAYO ILITAKIWA IWE NI YA MWISHO KWA MHUSIKA KUWEPO OFISINI; KABLA YA KUANZA LIKIZO YAKE YA MWAKA

Kutokana na majibu ya maombi ya likizo ya mhusika kushindwa kutoka katika muda uliotarajiwa, mhusika alilazimika kuwepo ofisini kwenye wiki iliyofuata kwa siku tatu zaidi

  • Mhusika alilazimika kuendelea kuwepo ofisini siku tatu za kwanza za J3 hadi J5 kwenye wiki ile ambayo alitakiwa kuwa ameshaanza likizo
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa barua ya ruhusa ilifika idarani kwa mhusika siku ya J5 tarehe 07/10/2022
KILICHOTOKEA BAADA YA BARUA YA RUHUSA YA LIKIZO KUFIKA IDARANI KWA MHUSIKA

Baada ya barua hiyo kufika idarani, mtu mmoja ambaye mhusika hadi muda huu hajui kama ni staff ama la, alitumwa na Katibu Mhutasi wa Mkuu wa Idara (KMWI) kuipeleka barua hiyo ofisini kwa mhusika.

  • Hiki kitu si cha kawaida sana kwa sababu mara zote barua zake na pia za staff wengine; huwa zinawekwa kwenye pigeon holes zilizopo sehemu ya mapokezi ya ofisi ya MWI.
  • Kawaida ni kwamba mtindo huu wa mtu kupelekewa barua zake ofisini, na hasa staff wa kawaida asiyekuwa na cheo chochote kama alivyo mhusika, huwa haupo.
  • Kwa kupelekewa barua ofisini kwake, kwa mara ya kwanza mhusika alijiona amepanda cheo kidogo
Mbali na hayo, kwenye kipindi chote cha siku hizi tatu ambazo mhusika alikuwa anaendelea kufika ofisini kwa ajili ya kusubiria majibu ya maombi ya likizo yake, mhusika hakuwahi kurudi tena kwenye ofisi husika iliyopo jengo la CA kwa sababu pamoja na kwamba maombi ya barua yake hayakuwa yametoka kama walivyokuwa wamemwahidi, lakini bado walikuwa wamemhakikishia kuwa majibu hayo yatatoka. Kwa hiyo kwa siku zote hizo tatu, mhusika aliendelea kuwepo idarani tu akisubiria majibu hayo yamfikie idarani kwake

Hata hivyo, ikumbukwe pia kuwa kwenye siku ya Ijumaa ya tarehe 02/10/2022; mhusika aliwahi kukumbana na tukio ambalo halikuwa la kawaida sana jioni ya siku hiyo wakati alipokuwa anatoka ofisini kurudi nyumbani.

Tukio hilo alikumbana nalo kwenye parking na taarifa zake aliwahi kuzileta humu kupitia kwenye post hii hapa #1,125 .

Kwa hiyo tukio hilo nalo lilikuwa ni kitu kingine pia cha nyongeza kilichopelekea mhusika aendelee kuwepo idarani ofisini kwake tu na pasipo kufuatilia kwenye ofisi iliyoko CA, majibu ya maombi ya likizo yake, pamoja na kuwa yalikuwa tayari yameshachelewa

………………………..inaendelea
 
BAADA YA BARUA YA RUHUSA YA LIKIZO YA MHUSIKA KUTOKA J5 YA TAREHE 07-09-2022

MHUSIKA AGUNDUA MATATIZO MAWILI YA MSINGI KWENYE BARUA YAKE NA HIVYO KULAZIMIKA ARUDI TENA KWENYE OFISI ILIYOPO JENGO LA “CA”


Mhusika aligundua kuwa barua hiyo haikuwa imepitia kwa KIONGOZI WA MAJOR UNIT ambayo idara ya mhusika iko chini yake (tuseme idara ya mhusika iko chini ya MAJOR UNIT A)

  • Barua hiyo ilikuwa imepitia kwa KIONGOZI WA MAJOR UNIT nyingine (tuiite MAJOR UNIT B); UNIT ambayo hapo kabla, idara ya mhusika iliwahi kuwa chini yake; kabla ya idara hiyo ku-merge na idara nyingine na baada ya merging kufanyika, idara hizi zilipelekea kuunda MAJOR UNIT mpya ambayo ndiyo MAJOR UNIT A.
  • Kwa hiyo idara ya mhusika iko chini ya MAJOR UNIT A na hivyo barua hiyo ilitakiwa kupitia kwa Mkuu wa MAJOR UNIT A isipokuwa ilikuwa imepitia kwa Mkuu wa MAJOR UNIT B.
Hata hivyo, hapo kabla, idara ya mhusika iliwahi kuwa chini ya MAJOR UNIT B kabla MAJOR UNIT A haijawa established. Mpaka hapa hili likawa ni tatizo la kwanza aliloliona mhusika kwenye barua hiyo

Mbali na hilo barua hiyo ilikuwa imesainiwa lakini haikuwa imegongwa muhuri wa mamlaka zilizokuwa zimeithibitisha na kuitoa

Baada ya mhusika kuyaona matatizo haya mawili, alilazimika kwa mara nyingine tena kurudi kwenye ofisi husika J5 hiyo, ambayo imo ndani ya jengo la CA; kwenda kuihakiki barua hiyo kwa wahusika

BAADA YA MHUSIKA KUWASILI TENA MAENEO LILIPO JENGO LA CA J5 HIYO

Pale nje kwenye security chek-point hapakuwa na ofisa yeyote
; isipokuwa mule ndani ya jengo la CA sehemu ya mapokezi ndiyo kulikuwa na mabinti wawili

Siku hiyo, mhusika alilazimika kuanzia mapokezi na baada ya kuwa ameeleza shida yake; walimruhusu aendelee na safari yake kuelekea kwenye ofisi alikokuwa amepanga kwenda

Kwa hiyo ndani ya muda usiozidi wiki mbili, mhusika akawa kwa mara nyingine tena, ameingia ndani ya jengo la CA na pasipokuwa amefanyiwa security scan

Hii sasa ikawa ni safari ya pili ya mhusika kuingia ndani ya jengo la CA pasipokuwa amefanyiwa security scan

Baada ya kutoka mapokezi, mhusika alifika kwenye ofisi husika, na baada ya kuwaona wahusika, walimhakikishia kuwa hapakuwa na tatizo lolote kwa barua hiyo kupitia kwa kiongozi wa MAJOR UNIT B.

Baada ya hapo, barua hiyo iligongwa mhuri pia hapo hapo ofisini, mhusika akarudishiwa barua hiyo hatimaye akanza safari ya kuondoka ofisini hapo akirudi idarani kwake

MAELEZO MENGINE YA ZIADA YALIYOKUWA KWENYE BARUA HIYO

Mbali na hayo, barua hiyo ilikuwa pia na maelezo mengine ya ziada yaliyomhitaji mhusika afike kwa ajili ya kufuatilia malipo ya likizo yake, kwenye ofisi kuu ile ambayo huwa inazoshughulika na maswala ya fedha kwa taasisi nzima. Hata hivyo, mhusika hakuona haja hiyo kwa sababu mara zote barua zake zimekuwa zikiambatana na maelezo ya namna hiyo, lakini mara zote pia tangu aajiriwe, amekuwa akiyapata malipo hayo ya likizo kwa wakati na pasipo kuwa amefanya ufuatiliaji wa namna yoyote ile, licha ya kuwa mara zote barua hizo zimekuwa zikielekeza afanye ufuatiliaji

Mhusika aliamua kwenda kuihakiki barua hiyo kwa sababu huko nyuma kwenye miaka ya 2016, barua za likizo zilishawahi kutumika kama mtego wa kumutengenezea matatizo. Ilikuwa chini ya uongozi wa Mkuu wa Taasisi aliyepita, kabla ya huyu aliyepo sasa.

Mkuu huyo aliyepita, alikuwa pia yeye mwenyewe akishiriki kama main player kwenye mitego hii iliyokuwa ikihusisha barua za likizo za mhusika

……………………..inaendelea
 
BAADA YA BARUA YA MHUSIKA KUWA IMEGONGWA MUHURI NA HATIMAYE KUHAKIKISHIWA KUWA HAIKUWA NA TATIZO TENA

Mhusika rasmi likizo yake ya siku 28, ALHAMIS ya tarehe 08/09/2022 badala ya tarehe J3 ya tarehe 05/09/2022 na ilipofika J3 ya tarehe 03/10/2022 mhusika aliripoti idarani kama barua hiyo ilivyokuwa imeagiza

YALE YALIYOJIRI MUDA MFUPI BAADA YA MHUSIKA KURUDI KUTOKA LIKIZO YAKE YA MWAKA ILIYOANZIA TAREHE 05/09 NA KUISHIA TAREHE 02/10/2022



J5 ya tarehe 05/10/2022, mhusika alilipoti pia kwenye ofisi husika iliyopo jengo la CA. Kawaida alitakiwa aripoti kwenye ofisi hii ya pili siku hiyo hiyo ya J3 ya tarehe 03/10/2022 lakini alisita kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo kwa sasa hawezi kuziweka wazi sana humu jukwaani

Ukizingatia matukio yale yaliyojiri muda mfupi kabla mhusika hajaenda likizo, mhusika hakupendelea sana kuingia ndani ya jengo la CA siku ya kwanza tu baada ya kuwa ametoka likizo; na possibly uamuzi wake huu ulikuwa sahihi zaidi

BAADHI YA MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI SIKU HIYO YA J5 YA TAREHE 05/10/2022 BAADA YA MHUSIKA KUINGIA TENA NDANI YA JENGO HILO LA “CA” (KWA MARA YA TATU SASA NDANI YA KIPINDI CHA TAKRIBANI MWEZI MMOJA) AKIWA ANAENDA KURIPOTI; BAADA YA KUTOKA LIKIZO

Baada ya mhusika kufika kwenye eneo lilipo jengo la “CA”, pale nje kwenye security chek point safari hii alimkuta security officer ambaye naye kwa mara nyingine tena, alimruhusu mhusika aingie ndani ya jengo la CA pasipo kuwa amemfanyia (mhusika) security scan. Mpaka hapa ikawa sasa ni mara ya tatu ndani ya kipidi cha takribani mwezi mmoja, mhusika akiwa anaingia ndani ya jengo la CA na pasipo kufanyiwa security scan

Baada ya mhusika kufika kwenye ofisi husika, aliwapatia nakala ya barua yake ya likizo, na baada ya maofisa hao kuwa wameweka rekodi sawa, walimrudishia barua hiyo na kumruhusu aondoke

  • Kabla hajaondoka, mhusika aliulizia kuhusu malipo ya likizo yake
  • Mmojawapo wa maofisa husika wa ofisi hiyo, alimuomba tena mhusika barua yake na baada ya kuiangalia; ofisa huyo alimwelekeza mhusika sehemu husika
Baada ya hapo, mhusika alitoka ofisini hapo na kuanza kuelekea kwenye ofisi nyingine husika aliyokuwa ameelekezwa akaulizie malipo hayo ya likizo yake

Huko alifika na maelezo alipewa kuwa asubirie kidogo malipo hayo hadi wiki ijayo (yaani wiki hii tuliyonayo sasa)

  • Baada ya mhusika kutoka kwenye ofisi hiyo ya pili, kwa maamuzi yake mwenyewe na pasipo maelekzo ya mtu mwingine yeyote yule, aliamua sasa kuelekea kwenye ofisi nyingine, ofisi ile kuu inayohusika na maswala ya fedha.
  • Nia ilikuwa ni kwenda kuulizia ule mchakato ambao siku kadhaa nyuma, uliwahi kugongana na swala la likizo yake na hatimaye kupelekea barua yake ya likizo kuchelewa.
  • Huko mhusika alitamani kujua mchakato huo umefikia wapi na alitamani pia kuonana na boss wake (mhusika) anayeshikilia ofisi hiyo
Ilikuwa ni bahati nzuri kwamba alimkuta Katibu Muhtasi wa boss na ambaye baada ya kuongea naye, mama huyu aliridhia mhusika aweze kuonana na kuongea na boss wake

Hata hivyo ilionekana kuwa kwa muda huo, boss alikuwa anaongea na mtu mwingine ndani na hivyo mhusika kuombwa aketi kidogo kwenye kiti ili asubirie mtu huyo atoke kwanza. Mhusika aliketi kwenye mojawpo ya viti vya wageni na kuanza kusubiria

YALE MUHIMU TU YALIYOJIRI PINDI MHUSIKA ALIPOKUWA OFISINI HAPO AKIWA ANASUBIRIIA MTU ATOKE ILI NAYE AINGIE NDANI OFISINI AKAONGEE NA BOSS WAKE

GHAFLA KIJANA MMOJA WA KIUME ALIYEKUWA AMEBEBA BEGI MGONGONI, MIAKA ISIYOZIDI 30, ALIINGIA OFISINI HAPO!


  • Kijana huyu alikuwa anatetemeka kwa hasira, na alikuwa karibia anataka kulia
  • Baada ya kuingia ofisini, alienda akasimama kwenye kaunta karibu na mahali alipokuwa amekaa Katibu Muhtasi (KMH)
  • Kijana huyu alianza kulalamika kuwa alikuwa chumba namba 200, ametokea huko na ambako kuna “binti mweupe” ambaye ana majibu mabaya. Kijana alikuwa amejibiwa vibaya na “binti mweupe”
Baada ya maeongezi mafupi ya kijana huyo na KMH, kijana alitoka nje ya ofisi na baada ya sekunde kadhaa, KMH naye alitoka pia huku akiuacha mlango wa ofisi yake nusu wazi, hakuufunga.

  • Mhusika alibaki hapo mbele ya mapokezi peke yake huku kwenye ofisi mbili zlizokuwa kulia na kushoto mwa veranda ya mapokezi kukiwa na watu ndani; na mojawapo ya ofisi hizo ilikuwa ni ile ambayo mhusika alikuwa anasubiria kuingia
  • Baada ya muda kidogo, mtu mwingine binti aliingia ofisini hapo akiwa ameshika handbag, akiwa anamuulizia KMH
  • Mhusika hakumjibu binti huyu kwa sababu hata kwa kutumia macho yu, ofisi yenyewe ilikuwa inamjibu.
  • Binti huyu hakukaa sana; hakumaliza hata nusu dakika; alitoka nje
Wakati huo wote mhusika alikuwa amebaki peke yake pale mbele ya mapokezi ya ofisi ya KMH, mlango wa ofisi hiyo ukiwa uko nusu wazi na kulikuwa na watu wengi tu ambao mhusika alikuwa anawaona wakiwa wanapita kwenye korido

Baada ya kuwa zimepita takribani dakika 7-10, KMH alirudi ofisini huku huyu mtu aliyekuwa anaongea na Boss wakati mhusika anawasili ofisini hapo, akiwa bado hajatoka nje ya ofisi ya Boss

Baada ya takribani dakika 2 tangu KMH arudi, mtu huyu alitoka na KMH aliingia ofisini kwa Boss, kwenda kuona kama alikuwa bado ana muda wa kufanya maongezi na mtu mwingine

Muda siyo mrefu KMH alitoka nje ya ofisi ya boss na hatimaye kumruhusu mhusika aingie ndani

Mhusika aliingia ndani kwa boss na baada ya hapo, ilipita kama nusu dakika hivi kabla mhusika hajasalimiana na kuongea na boss kwa sababu alimkuta akiwa anaongea na simu

KITAMBO KIFUPI KABLA MHUSIKA NA BOSS WAKE HAWAJAANZA MAONGEZI; KIPINDI BOSS ALIPOKUWA BADO ANAONGEA NA SIMU

Mhusika alifanya tathmini na kugundua kuwa aliyemkuta ofisini hapo si boss yule wa siku zote (PERMANENT) ambaye yeye (mhusika) anamfahamu siku zote

  • Zaidi ni kuwa boss huyu mpya alikuwa ni kijana miaka si zaidi ya 35, kitu ambacho hata kama angekuwa ni boss mpya kwenye ofisi, ni nadra sana kwa ofisi hiyo kubwa mno kushikiliwa na mtu wa umri huo kwa sababu mara zote huwa inahitaji watu wenye uzoefu wa miaka si chini ya 15 kwenye eneo la utaalamu wa maswal ya fedha
  • Kwa kijana huyu kuwa na uzoefu wa miaka hiyo na kupelekea aweze kuaminiwa kwenye ofisi kubwa namna hiyo, maana yake ni kwamba mtu huyu atakuwa alianza kazi akiwa na umri usiozidi miaka 20
Mpaka hapa ruling ya mhusika kichwani kwake ikamwambia kuwa aliyekuwepo ofisini hapo alikuwa ni ACTING, japo mhusika aliingia akiwa hajaelezwa kuwa aliyekuwepo ofisini siku hiyo alikuwa ni ACTING

BAADA YA BOSS KUMALIZA KUFANYA MAONGEZI KWENYE SIMU


Mhusika alimweleza boss wake shida yake kwamba alikuwa anaomba kujua mchakato wa malipo yake ya muda mrefu uliouacha ukiwa unaendelea alipokuwa anaondoka kwenda likizo, kuwa ulikuwa umefikia hatua gani hadi siku hiyo

  • Baada ya mhusika kuwasilisha ombi lake kwa boss wake huyo, yalifuatia majadiliano ya muda mfupi, na baada ya majadiliano hayo, boss huyo aliamua kupiga simu kwenye mojawapo ya ofisi zilizo chini yake. Baada ya maongezi mengine mafupi kwenye simu, boss alimwelekeza mhusika aende ofisi namba 315 na akamuone mtu ambaye alimtajia jina
  • Mhusika aliondoka ofisini hapo kwa boss, akielekea chumba alichotajiwa na kwa mtu aliyekuwa ametajiwa jina lake
Ofisi aliyokuwa ameelekezwa aende ilikuwa jirani, mkabala tu na ofiisi ile ya mwanzo alipoanzia mhusika wakati anawasilisha nyaraka zake zilizohusiana na maswala yake ya kuripoti kutoka likizo

  • Ofisi ilikuwa wazi huku mlango wake ukiwa umeachwa nusu wazi, isipokuwa mtu (binti) aliyekuwepo ofisini pale muda huo si yule ambaye mhusika alikuwa ameelekezwa akamuone
  • Baada ya mhusika kuongea na binti aliyekuwepo kwenye ofisi hiyo muda huo, binti alimjulisha mhusika kuwa yule ambaye mhusika alikuwa ameelekezwa kwake alikuwa ametoka kidogo
  • Binti huyu alienda mbali zaidi kutaka kujua shida ya mhusika ili (binti) aone kama anaweza kusaidia
  • Kusikia hivyo, mhusika naye hakusita kumweleza binti shida yake na hivyo kulazimika kujieleza tena ila kwa kifupi sana
Baada ya binti kuisikia shida ya mhusika, aliamua kumpigia simu huyu ambaye alikuwa amepelekea mhusika afike ofisini hapo lakini kwa bahati mbaya hakuwepo ofisini, alikuwa ametoka kidogo

Huku binti huyu akiwa amemkaribisha mhusika kwenye kiti; mhusika akiwa tayari amekaa kwenye kiti; binti aliamua kutoka nje ya ofisi huku akipiga simu ili akaongee na simu akiwa yuko nje.

HITIMISHO


Kwenye ofisi hiyo, mhusika alikuwa amekaa pembezoni mwa mlango wa kutokea nje wa ofisi hiyo, na kilichotokea ni kwamba wakati binti anajiandaa atoke nje huku akiwa anaashiria dalili za kutaka kuongea na simu (alikuwa hajaanza kuongea) mhusika naye alinyanyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na hivyo kupelekea mhusika na binti; wote wawili kwa pamoja kupita pale mlangoni wakiwa wamejipanga kama askari wawili walio kwenye mstari wa kwata

Baadaye, kilichoendelea baada ya hapo huku mhusika akiwa kwenye korido nje ya ofisi hiyo, kilikuwa ni kile tu ambacho mhusika hakuweza tena kukielewa

Muda mfupi baadaye, hatimaye mhusika alitoka maeneo zilipo ofisi hizo, akatoka nje ya jengo la CA na kurudi idarani kwake.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 11TH OCTOBER 2012
JAMBO JINGINE MUHIMU AMBALO PENGINE LINAWEZA KUWA LIKO CONNECTED NA HAYA AMBAYO MHUSIKA AMEYAELEZA HAPO JUU NI OPRAS
OPRAS ya mhusika ya mwaka uliopita 2021/2022 bado haijakamilika. Ilishatoka kwake lakini bado anaiona ikiwa ime-halt kwenye ngazi nyingine ya juu ikisubiria kujazwa
Hata hivyo OPRAS nyingine ya mwaka huu wa 2022/2023 ulioanza July 2022, mpaka muda huu haipo kwenye akaunti yake na hivyo hajaweza kujaza OPRAS hiyo hadi kufikia muda huu
Mhusika hana uhakika sana kama jambo hili la kukosekana kwa OPRAS hadi muda huu ni la kawaida ama la
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 16TH OCTOBER 2012

MACHACHE SANA KATI YA YALE MENGI AMBAYO MHUSIKA ALIYAONA KUWA HAYAKUWA YA KAWAIDA SANA WAKATI WA IBADA YA J2 YA LEO HAPO KANISANI KWAKE (KANISA A)

KUBWA ZAIDI NI KWAMBA KWA MARA NYINGINE YA PILI UPANDE ALIOKUWA AMEKAA MHUSIKA SPIKA ZILIKUWA HAZISIKIKI VIZURI


J2 ya leo, mhusika alifika Kanisani Ibada ikiwa tayari imeshaanza na hivyo kwenda kukaa karibu na sehemu ambayo huwa anakaa siku zote.

Mhusika hakukaa EXACTLY sehemu ile ambayo huwa anakaa siku zote bali alikaa tu karibu na sehemu ile, maeneo yale

  • Mahubiri yalipoanza, mhusika akagundua kuwa kulikuwa usikivu hafifu sehemu ile kutokea madhabahuni
  • Mhusika akadhani kuwa pengine tatizo lilikuwa ni aina ya microphone (MIC) aliyokuwa anatumia mhubiri
MHUBIRI APANDISHA MADHABAHUNI AKIWA NA “AINA YA MIC” AMBAYO MHUSIKA HAIJAWAHI KUIONA IKITUMIKA KANISANI HAPO

Kwa mara ya kwanza
mhubiri wa J2 ya leo alitumia MIC ambayo mhusika hajawahi kuiona hata mara moja ikitumika Kanisani hapo

  • MIC aliyokuwa anatumia ni ile ya kuvaa masikioni ambayo haihitaji mtumiaji aishikile kwa mikono yake
  • Baada ya kuona mhusika anapata usikivu hafifu, akili yake ilimtuma kuwa pengine kwa J2 hiyo, tatizo lilikuwa ni hiyo MIC
Baada ya kuwa umepita muda siyo mrefu sana, mhubiri aliamua kubadilisha MIC na kuanza kutumia ile ya siku zote, ile ya kushikilia kwa mkono

Hapa kidogo mhusika akawa amepata unafuu mwingine wa kusikia na hivyo kudhani kuwa ruling yake kuwa alikuwa hasikii kutokana na aina ya MIC aliyokuwa antumia mhusika; ilikuwa sahihi

BAADA YA MAHUBIRI KUISHA, MHUSIKA ALAZIMIKA KUBADILISHA SEHEMU YA KUKAA KUTOKANA NA TATIZO LA KUTOKUSIKIA VIZURI KUJITOKEZA TENA; SAFARI HII LIKIWA NI KUBWA ZAIDI KULIKO ILIVYOKUWA MWANZO

Baada ya mhubiri kushuka kutoka madhabahuni, mhusika alianza tena kutokusikia vizuri kutokea madhabahuni; akianza na mtumishi yule aliyepanda madhabahuni baada ya mhubiri. Safari hii tatizo likawa ni kubwa zaidi kuliko lile la

Kitu hiki kilipelekea mhusika abadilishe sehemu ya kukaa na hivyo kulazimika kwenda kukaa nyuma kabisa ya Kanisa sehemu ambayo aliwahi kukaa J2 ile ya kwanza alipowahi kulazimika kufanya zoezi la kuhama nafasi kwa mara ya kwanza kutokana na tatizo la aina hii

KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUBADILISHA NAFASI NA KWENDA KUKAA NYUMA KWENYE KITI KINGINE

Baada ya mhusika kuwa amechagua siti na kukaa nyuma kule ambako usikivu huwa hauna shaka:

  • Ghafla alitokea mtu kutoka nje nyuma ya Kanisa na kwenda kukaa karibu kabisa na kiti alichokuwa amehamia mhusika
  • Mtu huyu alikuwa ni mgeni kabisa machoni pa mhusika, na alikuwa na begi dogo
  • Baada ya kama dakika 10 hivi kupita, mhusika aliamua kubadilisha nafasi ya kiti na hivyo kuhamia kwenye kiti kingine akiacha nafasi ya kiti kimoja kati yake na mgeni huyo
  • Immediately baada ya mhusika kubadilisha kiti; mgeni huyu alitoka nje ya Kanisa, akatokea nyuma kule kule alikokuwa ametokea na hakuonekana tena hadi mwisho wa Ibada
Wakati mgeni huyu anatoka, ulikuwa ni wakati wa kutoa sadaka na hivyo mgeni alikimbia utoaji, hakutoa sadaka

Kitu ambacho mhusika anaelekea kuki-establish kuhusiana na usalama wa nyumba hiyo ya Ibada ni kwamba, kuna uwezekano mkubwa kuwa SURVEILLANCE CAMERAS ambazo zimekuwa installed ndani ya nyumba hiyo ya Ibada, huwa hazioni vizuri kule nyuma ya Kanisa kiasi kwamba zinaweza kuwa huwa zinaona baadhi tu ya sehemu nyuma ya Kanisa hilo
Mengine mengi yanayoambatana na J2 ya leo watawajieni siku za mbele kidogo ila hivi karibuni
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 17TH OCTOBER 2012

KUHUSIANA NA NAMNA AMBAVYO MARA ZOTE “TANGAZO” LA WANAOTENGWA KANISANI KUTOKANA NA TUHUMA ZA UZINZI LIMEKUWA LIKITOLEWA


Tangazo hilo huwa linasisitiza kuwa hao wanaotengwa”

………“muda wote wa kutngwa kwao, watakuwa wanakaa sehemu ile ya nyuma kabisa ya Kanisa katika kipindi chote ambacho watakuwa wanatumikia adhabu ya kutengwa huko”

Kwa bahati nzuri mhusika naye J2 ya tarehe 17 Oktoba 2022, kwa mara ya pili alilazimika kukaa sehemu hiyo ya nyuma Kanisa, most likely ikiwa maeneo yale yale ambayo wale ambao wamekuwa wakitengwa huwa wanakaa

Kutokana tukio hilo, mhusika ana uhakika kuwa ameshapata kitu cha kufanyia utafiti ambacho matokea yake atakuja kuyatoa humu hivi karibuni

KITU KIMOJA CHA AJABU SANA NA CHA AIBU SANA AMBACHO HUWA KINAFANYWA NA VIONGOZI WOTE WA KANISA A

NAMNA AMBAVYO HUWA WANAINGIA NDANI YA NYUMBA HIYO YA IBADA; IBADA IKIWA TAYARI IMESHAANZA

Kawaida siku zote na mara zote
, viongozi hawa huwa wanaingia ndani ya nyumba ya hiyo ya Ibada; Ibada ikiwa tayari imeshaanza

Ukiondoa viongozi wa Kanisa A wale ambao ambao kwa baadhi ya siku tuseme huwa wanalazimika kuambatana na mhudumu mgeni (kwa siku zile ambazo Kanisa A huwa limebahatika kupata neema ya kuhudumiwa na mtumishi mgeni kutoka nje ya Kanisa); viongozi wa aina hii hapo Kanisa A ndiyo ambao pekee hawaangukii katika kile ambacho mhusika anakwenda kukielezea hapa

Tofauti na aina ya viongozi hawa waliotajwa hapo juu, viongozi wengine wote waliobaki wanaangukia kwenye tatizo ambalo mhusika anakwenda kulielezea hapa chini

NAMNA AMBAVYO VIONGOZI WA KANISA A HUWA WANAINGIA NDANI YA KANISA HUKU IBADA IKIWA TAYARI IMESHAANZA

MARA ZOTE
, viongozi hawa huwa wanaingia IBADA IKIWA TAYARI IMESHAANZA

Namna ambavyo huwa wanaingia ni kwamba kila mmoja huwa anaingia kwa wakati wake, na kwa kutumia lango kuu la nyuma ambako waliotengwa kwa swala la uzinzi ndiyo sehemu pekee wanayoruhusiwa kukaa

Huwa wanaingia mmoja mmoja na kwa staili ambayo si kama watu wanaoingia kwenye nyumba ya Ibada; sawa tu na mtu anayeleekea chooni

Haijawahi kutokea hata mara moja, Ibada ya Kanisa A ikaanza halafu viongozi wote waliopo Kanisani kwa ajlili ya Ibada ya siku hiyo, wakawa wapo tayari mbele madhabahuni wakiwa wamekakaa au wamesimama; hicho kitu hakipo na hakijawahi kutokea hata mara moja

  • Mara zote viongozi hawa huwa wanaingia Ibada ikiwa tayari imeshaanza, na huwa wanaingia kila mmoja kwa wakati wake.
  • Huwa wanaingia katika namna ambayo haileti kabisa heshima ndani ya nyumba ya Ibada na pengine inaweza kuwa haipo nyumba nyingine ya Ibada ambayo viongozi wake huwa wanaingia Ibadani kwa mtindo huo
Hata hivyo, mhusika anaendelea kusisitiza kuwa maelezo haya kuhusiana na “manners” ya namna viongozi wa Kanisa A huwa wanaingia ndani ya nyumba ya Ibada wakati wa Ibada; hayawahusu viongozi wa Kanisa A ambao kwenye baadhi ya siku; huwa wanalazimika kuambatana na wahudumu wageni waliotoka nje ya Kanisa A, ambao (wageni hao) AIDHA huwa wanamefika Kanisa A kwa ajili ya huduma au kwa ajili ya kuabudu

HITIMISHO


Kwa maoni yake yeye mhusika ni kwamba ilikuwa inaleta LOGIC zaidi kama wanaotengwa wangepewa agizo lililo kinyume la sasa; kwamba WASIKAE SEHMEU ILE YA MBELE YA KANISA isipokuwa wakae mahali pengine popote pale tofauti na sehemu hiyo

The fact kwamba watu hawa huwa wanaagizwa wakae nyuma kabisa ya Kanisa, na pia, the fact kwamba VIONGOZI WOTE WA KANISA A huwa wanaingia Kanisani mara zote Ibada ikiwa tayarai imeshaanza na kwa kupitia huko nyuma ambako ndiyo sehemu pekee ambayo wote waliotengwa huwa wanakaa; kuna utafiti mhusika ameanza kuufanya kuhusiana na swala hili na matokeo yake atayaleta kwenu siku si nyingi kuanzia sasa

Yanayopelekea mhusika afanye utafiti huu ni yale aliyoyaona J2 hiyo tajwa baada ya kulazimika kwenda kukaa sehemu hiyo ya Kanisa

Mtu yule aliyemtaja kwenye post hiyo hapo juu kuwa alikuja kukaa karibu naye na hivyo kupelekea mhusika abadilishe kiti:

  • YAWEZA KUWA mtu huyo hakuwa na kingine cha maana isipokuwa kumfanya mhusika a-concentrate naye zaidi ili yale mengine ya maana zaidi yaliyokuwepo sehemu ile yaweze kumpita kirahisi
  • Hata hivyo yaweza pia kuwa mtu huyo naye alikuwa nayo pia package yake iliyokuwa ikijitegemea
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CONFIRMED: AMBACHO KIMEKUWA KIKIPELEKEA MATANGAZO YA UZINZI, ULAWITI NA UBAKAJI KUTAFUTIWA SABABU ZA KUWA YANATOLEWA MARA KWA MARA MADHABAHUNI:

Tarehe 21/08/2022, Ibada ilihamishiwa kwenye kile kilichosemekana siku hiyo kuwa ni UKUMBI WA SULEMANI, bila taarifa za uhamisho huo kuwa zimetolewa kwenye matangazo ya J2 ya wiki iliyokuwa imepita nyuma yake

Baada ya Ibada kuhamishiwa huko; baadaye lilikuja kufuatia tangazo LA ULAWITI NA UBAKAJI

Ni kwamba kwenye Ibada ya J2 hiyo ya tarehe 21/08/2022

  • Kulikuwa na angalau mtu mmoja MGENI kwenye Ibada hiyo ambaye SI MSHIRIKI WA SIKU ZOTE WA KANISA A na ambaye alikuwa hatakiwi kuonekana na SURVEILLANCE CAMERAS
  • Mtu huyu alikaa nyuma kabisa ya Kanisa au UKUMBI WA SULEMAIN, viti vile vya mwisho kabisa
Chances ni kwamba Ibada ilihamishiwa makusudi kwenye Kanisa hilo la zamani ili mtu huyo asije akaonekana na Camera

Vile vile J2 ya jana tarehe 17 Oktoba 2022; MGENI huyu alikuwepo tena na alikaa nyuma ya kabisa ya Kanisa

Mgeni huyu alikaa kwenye angle moja ambayo haikuwa rahisi sana kwake kuonekana na Surveillance Camera; unless iwapo tu wapiga picha wa Kanisani hapo walifika na ku-cover eneo hilo akiwa tayari ameshaingia ndani ya nyumba ya Ibada

Mhusika anakiri kukumbana na mtu huyu mmoja Kanisani hapo kwa mara tatu sasa mojawapo ya siku ikiwa ni kwenye J2 hizi mbili (ile ya tarehe 21/08/2022 na hii ya jana ya tarehe 17/10/2022)

Mtu huyu ana baadhi ya sifa kuu kama hizi zifuatazo hapa chini


  • Ni mgeni kabisa Kanisani hapo na mhusika amebahatika kumuona kwenye J2 tatu tu, yaani hizi mbili ukiongezea na nyingine tena moja ambayo haikumbuki ilikuwa ni limi; ila ni ndani ya mwaka huu huu wa 2022
  • Chances ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kwamba mtu huyu mekuwa akiwepo hapo Kanisani kwenye J2 hizi tatu tu na ambazo mhusika amekuwa pia akifanikiwa kumuona kila anapokuwa amekuja Kanisani
Kwa hiyo, uwepo wa mgeni huyu pale Kanisani possibly umekuwa ukiwa programmed kwamba kila inapotokea amefika Kanisa A, lazima anajiweka katika mazingira ambayo ni lazima mhusika atamuona AU anakuwa ametengenezewa mazingira rutubishi ambayo kwa namna yoyote ile ni lazima tu mhusika amuone

Kwa J2 iliyopita, SPEAKERS zilikuwa zinachezewa ili mhusika abadilishe sehemu ya kukaa na hivyo aende akakae kwenye maeneo yale ambayo mtu huyu alikuwepo karibu na hivyo apate nafasi ya kuweza kumuona

  • Mtu huyu anavaa mavazi ya kike, na anaonekana KAMA mwanamke lakini body physiology imekaa kiume, na anonekana kuwa ni giant; with a body built having strength slightly higher than that of an ordinary woman
  • Anaonekana yuko weak and somehow very rough, possibly kutokana na LIFESTYLE yake
Kwa hiyo J2 iliyopita alikuwepo tena na alikaa kwenye angle ambayo haikuwa rahisi sana kwa SURVEILLANCE CAMERA kuweza kumuona

Na kwa bahati mbaya zaidi, mhusika hakufanikiwa kuwaona wapiga picha wa kawaida wakiwa eneo lile alilokuwa amekaa; unless kama labda walifika huko kabla mhusika hajahamia huko

Kwa waumini wa Kanisa A walio makini; watakuwa walimuona akiwa amekaa nyuma kabisa upande ule wa kulia wa Kanisa, karibu kabisa na ukuta;

Well built and masculine na si rahis sana kwa mtu kuweza ku-rule out kama sura yake ni ya kike au ni ya kiume isipokuwa tu kwa kutumia mavazi anayokuwa maevaa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 18TH OCTOBER 2022

WAUMINI WENGINE (WATATU) AMBAO MHUSIKA KWA HARAKA HARAKA ALIWEZA KUWAONA KWENYE ENEO HILO ALILOHAMIA NA KUKAA WAKATI WA IBADA YA JUMAPILI YA TAREHE 16 OCTOBER 2022


Mhusika anapenda kuwaongelea waumini hawa watatu kwa lengo moja tu kubwa kwamba kama walikuwa makini, basi nao pia watakuwa walimuona huyu mtu ambaye mhusika ameweza kumwongelea hapo juu

MUUMINI WA KWANZA

Huyu ni binti ambaye kwa kipindi kirefu sana mhusika alikuwa hajamuona Kanisani hapo

  • Mara ya mwisho mhusika kumuona binti huyu ilikuwa ni kwenye kipindi kile ambapo biashara ya kuuza bidhaa getini ilikuwa bado inaruhusiwa
  • Baada ya biashara hiyo kuwa imepigwa marufuku kwenye mojawapo ya siku za J2, mhusika hakuwa amewahi kumuona tena binti huyu Kanisani tangu siku hiyo
  • Kwa hiyo siku ya mwisho kabisa kwa mhusika kumuona binti huyu Kanisani hapo ilikuwa ni J2 ile ambayo tangazo la kupigwa marufuku biashara getini lilitolewa
Binti huyu ni yule aliyekuwa anauza nyama mbichi ya nguruwe (a.k.a kitimoto) pale getini

MUUMINI WA PILI

………………inaendelea
 
MUUMINI WA PILI

Huyu naye pia alikuwa ni binti ambaye kwa kipindi kirefu sana mhusika alikuwa hajamuona Kanisani hapo

  • Mara ya mwisho mhusika kumuona binti huyu ilikuwa ni kwenye parking za gari zilizoko pembezoni mwa jengo la ghorofa lililo ndani ya uzio wa nyumba hiyo ya Ibada
  • Ilikuwa ni kwenye J2 ile ambayo gari la mhusika likiwa parking hiyo, lilizibwa na gari la binti mwingine ambaye alikuwa haonekani kwenye parking siku hiyo na hivyo kuppelekea mhusika kukaa kwenye parking kwa muda wa takribani nusu saa
  • J2 hiyo, katika zile harakati za mhusika ku-fumble akiwa anatafuta msaada wa namna ya kumpata mwenye gari iliyokuwa imeziba gari lake (mhusika), binti huyu ndiye aliwahi kufika eneo hilo la parking kwa sababu naye pia alikuwa amepki eneo hilo gari lake aina ya IST ambayo nayo pia ilikuwa imezibwa
J2 hiyo, binti huyu alimweleza mhusika kuwa anamfahamu binti huyo aliyekuwa ameziba gari lake (mhusika) na hivyo kumwahidi mhusika kwenda kumtafuta binti ili aje ampishe.

Hii ndiyo siku ya mwisho ambayo mhusika anakumbuka kuwahi kumuona binti huyu Kanisani hapo, na baada ya hapo alikuwa hajawahi kumuona tena hadi siku ya J2 hii tajwa.

MUUMINI WA TATU

Huyu ni binti shemeji yake na mhusika (mhusika na mume wa binti huyu wanaongea lugha moja ya kuzaliwa)

Hapo kabla, karibia mara zote mhusika na binti huyu (pamoja na mume wa binti) wamekuwa wakikaa sehemu moja. Hali hii imekuwa hivyo tangu kipindi kirefu nyuma Ibada zilipokuwa bado zinafanyika kwenye lile Kanisa la zamani ambalo kwa siku za hivi karibuni limebadilika jina na kuwa UKUMBI WA SULEMAN

Kwa hiyo, hata baada ya Ibada kuwa zimehamia kwenye JENGO JIPYA, mhusika na binti, na hivyo pamoja na mume wa binti, waliendelea kukaa sehemu moja

Mhusika hakumbuki kama kuna J2 moja ambayo mhusika na binti waliwahi kukaa sehemu tofauti; yaweza kuwa ipo ila mhusika haikumbuki

J2 hii ya tarehe 16/10/2022, binti huyu naye alikuwa possibly kwa mara ya kwanza; amebadilisha sehemu ya kukaa na alikuwa amkeaa sehemu hiyo ambayo mhusika alihamia; na possibly kwa sababu pia mume wake hakuwepo kanisani J2 hiyo

Kwa hiyo ni bahati nzuri kwamba J2 hiyo mhusika alihamia eneo hilo alilokuwepo binti hyuu na hivyo kupelekea rekodi yao ya kukaa sehemu moja kuji-reset tena J2 hiyo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAURI AMBAO MHUSIKA ANGEPENDA KUUTOA KWA VIONGOZI WA KANISA A; NA WAKE ZAO

KWA WAKE ZA VIONGOZI


Akina mama hawa possibly wanatakiwa wakumbushwe tena kuwa by virtue of the positions of their husbands; ni VIONGOZI sawa kabisa na walivyo waume zao na bila kujali umri wao

Mhusika anawashauri wawe wanaingia kwenye Ibada na kukaa sehemu stahiki wanazotakiwa kukaa, NA KUTULIA, ukiondoa tu wale ambao wana dharula za msingi kama wale wanaonyonyesha vitoto vichanga

Kuna tabia ambayo baadhi yao viongozi hawa wameshaijenga ambayo siyo nzuri sana, HAWATULII KANISANI, mara yuko huku mara kule.

Tuchukulie kwa mfano, Ibada inaendelea unakuta wengine ndiyo wako kwenye UKUMBI WA SULEMAN, wamekaa kule pamoja na waumini akina mama wenye vitoto vidogo. Waumini wenye vitoto vidogo huwa wanakaa huko kwa sababu wanayo sababu maalumu ya kukaa huko ambayo ni aidha wanakuwa huko kwa ajili ya kunyonyesha au kuvikwepesha vitoto hivyo kuwapigia kelele za vilio waumini wengine Ibada ikiwa inaendelea

Ibada inaendelea, Mama Mchungaji yuko amekaa UKUMBI WA SULEMANI; anakaa huko kufanya nini?

KWA VIONGOZI WA KIUME

Hata kama hawawezi, au hawapendi basi wajitahidi tu kuigiza MANNERS za viongozi wengine kwenye Makanisa mengine

MFANO BORA WENYE KUONYESHA HESHIMA KUBWA KABISA NDANI YA NYUMBA YA IBADA
Mhusika anaomba atoe mfano katika hili

Jumamosi ya tarehe 27/08/2022 mhusika alimua kwenda kuabudu kwenye Kanisa lake la siku zote (Kanisa la kwanza kabisa aliloanza kuabudu alipokuja hapa Dar es Salaam mwaka 1990); Kanisa la Magomeni SDA

Tangu aanze kuabudu kwenye kanisa la walokole mwaka 2011, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kwa mhusika kwenda kuabudu kwenye Kanisa jingine taofauti na lile ambalo anaabudu sasa

IBADA ILIPOANZA

Mchungaji Kiongozi; kijana mdogo tu, possibly below 35, aliambatana na jopo lake la wachungaji na viongozi wengine; wazee wenye heshima zao kwa mamlaka na umri, wakaingia wakiwa wanatembea kwa heshima kabisa hadi MADHABAHUNI, wakapiga magoti na kuomba na hatimaye kukaa kwenye viti vyao kama viongozi wa Ibada siku hiyo

Baada ya pale, hakuna tena kiongozi mwingine aliyekuja kujichomeka au kukaa kwenye viti hivyo walivyokuwa wamekaa viongozi hao. Ibada ilianza kwa heshima zote kabisa kwamba hapa ni Kanisani, nyumbani mwa Bwana

Mhusika hasemi kwamba hata VIONGOZI WA “KANISA A” NAO PIA INABIDI WAFUATE UTARATIBU HUU; hapana, kila Kanisa lina utaratibu wake. Mhusika anajaribu kusisitiza tu heshima kwenye nyumba ya Bwana. Viongozi wa Kanisa A waache tabia ya kuwa wanaingia Kanisani wakati wa Ibada utadhani wanakwenda chooni

Tatizo kubwa kabisa walilonalo VIONGOZI WA KANISA A, wakikosolewa na kwa bahati nzuri wakakosolewa na kushauriwa vizuri, huwa wanaona kama wakiufuata ushauri watakuwa wameendeshwa; kwa hiyo huwa wanaamua ku-defult otherwise halafu kwa kufanya hivyo ndiyo wanaharibu zaidi mambo kuliko iliyokuwa mwanzo

Tuseme kwa mfano, Kiongozi mtumishi wa Bwana unafanya madude Kanisani halafu unategemea upewe ushauri kwa kutumia lugha unayoitaka wewe? Lazima lugha ya kukushauri iendane na madude unayofanya Kanisani; kama unafanya upumbavu lazima usemwe kuwa ulichofanya ni upumbavu na unatakiwa uache

Kikubwa anachotaka kukisema hapa mhusika ni kwamba VIONGOZI WA KANISA WAWE WANAINGIA KWENYE NYUMBA YA BWANA KWA STAHA NA SI KAMA WANAKWENDA CHOONI

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:WEDNESDAY 19TH OCTOBER 2022

NAMNA AMBAVYO ANAKIONA KIKO ORGANISED PALE KANISANI, KITENGO HIKI KINACHOHUSIKA NA MATANGAZO YA UZINZI, UBAKAJI NA ULAWITI


Mhusika anaweza kuwa hayuko sahihi, lakini yeye anaona kuwa kuna kitengo maalumu pale Kanisa A ambacho kinahusika na haya mambo ya aibu, na ambacho kiko organized kama ifuatavyo

Kina kundi maalumu la watu kadhaa ambao wanahusika na kufanya vitendo hivi ambao nao wamegawanyika tena katika makundi mengine madogo matatu:

  • Kundi dogo la kwanza lina watu ambao ni wachache tu wakiwa wamejichanganya ndani ya waumini wa kawaida waliopo Kanisa A. Kundi hili lipo permanently positioned pale Kanisani likiwa limeji-comouflage kama sehemu ya waumini wa kawaida
  • Kundi dogo la pili linaweza kuwa na watu ambao ni watu wa kualikwa kutoka nje ya Kanisa au mtaani na ambao si waumini wa Kanisa lolote lile. Hawa huwa wanafika pale Kanisani mara moja moja tu na kwenye siku maalumu tu ambazo wanakuwa wametakiwa kufika Kanisani hapo
  • Mbali na hao, kitengo hiki kina kundi jingine la tatu ambalo ambalo LIMEUNDWA NA VIONGOZI AMBAO WAPO HAPO KANISANI.
Hawa sasa ndiyo MAIN KEY PLAYERS wa kitengo na kazi yao hasa ni kutoa matangazo yanayohusiana na uzinzi, ulawiti/ufilaji na ubakaji wakiwa wamesimama madhabahuni

Kwa hiyo kazi za makundi mawili ya kwanza ni kutengeneza mazingira rutubshi ili matangazo yaweze kutolewa madhabahuni
. Makundi haya yakishakuwa tayari, huripoti kwenye kundi la tatu la viongozi na hatimaye kundi hilo kuchukua hatua stahiki kwa kutoa matangazo madhabahuni

HITIMISHO

Kitengo hiki kiko coordinated katika namna ambayo at one time in the past; possibly kundi lililopo Kanisani (likiwa lime-comouflage kama waumini wa kawaida), ndiyo liliwahi kutumika kwenda kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) kuwasilisha tuhuma za uzinzi na ufilaji na hivyo kupelelea KM-A kusimama yeye mwenyewe mara kadhaa madhabahuni akishirikiana na kiongozi mwingine ambaye kwa sasa hayupo tena pale Kanisani, akikemea tabia hiyo na hatimaye tena kumtumia nabii uchwara J2 moja kusimama madhabahuni. J2 hiyo, nabii huyu alisimama madhabahuni na kuanza kulikemea Kanisa zima akisema “mnawaguza wake zenu nyuma”

Kwenye swala hili la KM-A na nabii, mhusika anaona kuwa kabla KM-A hajasimama madhabahuni kulikuwa tayari kuna watu waliokuwa wameshatumika kupeleka malalamiko hayo kwa KM-A kwa lengo la kumpa uhalali KM-A (pamoja na yule kiongozi mwingine pamoja na nabii pia), kusimama madhabahuni kwa ajili ya kuongelea mambo hayo ya aibu; ilihali yalikuwa yamefanyika kwa kutengeneza au kuigiza

Kwa hiyo kwa ujumla tu ni kwamba kwenye hili la uzinzi, ulawiti na ubakaji, kikubwa ambacho kimekuwa kikiendelea hapo Kanisani ni makinikia.

Inavyoonyesha ni kweli kwamba matukio hayo yamekuwepo Kanisa A ila YOTE YALIYOPELEKEA VIONGOZI WA KANISA A KUSIMAMA MADHABAHUNI NI YALE TU AMBAYO YALIKUWA NI YA KUTENGENEZA

KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KUHUSIANA NA BIASHARA ILE ILIYOKUWA IKIENDELEA PALE GETINI “KANISA A” NA HATIMAYE TENA KUPIGWA MARUFUKU


Anachokielezea hapa mhusika ni kwa namna alivyoona yeye; na si lazima sana akawa yuko sahihi. Anaweza pia akawa hayuko sahihi

NAMNA AMBAVYO BAADAYE MHUSIKA ALIKUJA KUONA NAMNA BIASHARA HIYO ILIVYOKUWA

Biashara hiyo ilikuwa inatumia bidhaa ambazo zilikuwa zina-operate kwenye PRINCIPLE sawa na ile ambayo kwa wakati fulani huko nyuma (mwezi Desemba 2020 kama kumbukumbu za mhusika zitakuwa bado ziko sawa), waumini wa Kanisa A waliwahi kukaribishwa kwenye hafla moja muhimu ambako walionyeshwa picha za video ambazo baadaye zilipelekea warudishe malalamiko Kanisani kwa KM-A. Inasemekeana karibia waumini wote waliokuwa wamehudhuria hafla hiyo walikuja kulalamika kupata mashambulio ya kiroho baada ya kuwa wameona picha hizo za video

TUKIRUDI SASA KWENYE BIDHAA HIZO ZILIZOKUWA ZINAUZWA GETINI:

Bidhaa hizo nazo pia zilikuwa zina-operate kwenye PRINCIPLE moja sawa na ile ya picha za video walizowahi kuona waumini wa Kanisa A Desemba 2020

  • Bidhaa zilikuwa ni za aina mbalimbali, mojawapo zikiwa ni korosho zilizokuwa zimefungashwa (packed) pamoja na nyama mbichi ya nguruwe ambayo nayo pia ilikuwa kwenye pakiti
  • Kawaida, ilikuwa kila muumini aliyekuwa anapita pale getini (waumini wa ibada ya kwanza walipokuwa wanatoka nje ya geti na waumini wa ibada ya pili walipokuwa wanaingia ndani ya geti), alionyeshwa bidhaa hizo akiombwa anunue
Hicho ndicho kilikuwa kinafanyika na baada ya biashara hiyo kupigwa marufuku, mmojawapo wa watu waliokuwa wanafanya biashara hiyo ambaye ni binti aliyekuwa anauza nyama mbichi ya nguruwe, alipotea ghafla Kanisani hapo na hakuwahi kuonekana tena hadi J2 iliyopita. Anaweza kuwa alikuwa yupo Kanisani isipokuwa tangu siku hiyo, mhusika hakuwa amewahi kumuona tena binti huyo hadi J2 ya wiki iliyopita

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA WAUMINI WA KANISA A

KWA WALE AMBAO PENGINE WANAWEZA KUWA WAMESAHAU NAMNA TUKIO HILI LA DESEMBA 2020 LILIVYOWAHI KUTOKEA


Ni kwamba wiki kadhaa kabla ya tarehe hiyo, KM-A alianza kufundisha somo lililokuwa na mwendelezo lililohusu NAFSI, MWILI NA ROHO akihusianaisha na milango ya ya fahamu ya mwanadamu ambayo baadhi yake ni NGOZI (kugusa), MACHO (kuona), PUA (kunusa), MASIKIO (kusikia) na ULIMI (kuonja/ ladha)

Somo hili alianza kulifundisha akiwa anasimama mbele chini madhabahuni na alikuwa analifundisha kwenye siku za katikati ya wiki tu (J5, IJUMAA) tu, J2 alikuwa hafundishi somo hili

  • Hata hivyo, baada ya siku kadhaa kupita, hatimaye somo hilii alilihamishia tena hata kwenye siku za Ibada kuu za J2
  • Kwa siku za J2 KM-A alikuwa analifundisha somo hili akiwa anatumia sehemu zote mbili za madhabahu; yaani ile ya chini na ile ya juu pia.
  • Hii ilitokana na ukweli kuwa alikuwa akilifundisha kwa kutumia mifano ya waumini wawili, vijana wawili ambao muda wote wa somo walikuwa wanatakiwa kusimama chini, mbele ya madhabahu
Kwa hiyo KM-A alianza kufundisha somo hili akiwa yuko CHINI MBELE YA MADHABAHU, na hatimaye aliongezea tena namna nyingine ya kulifundisha kwa siku za J2 na hivyo kupelekea akawa anatumia sehemu zote mbili; ILE YA CHINI YA MADHABAHUNI NA PIA JUU MADHABAHUNI

Ukiunganisha na uzoefu kutoka kwenye matukio mengine yaliyokuwa tayari yameshapita huko nyuma, mbinu hii ya ufundishaji baadaye ilikuja kudhihirisha pasipo shaka kuwa:

  • KM-A alikuwa ameshapoteza uwezo kupanda juu madahabahuni, na hivyo kupelekea kuanza kufundisha somo hilo kwenye siku za katikati ya wiki akiwa chini ya madhabahu
  • Kadri alivyokuwa anazidi kulifundisha, ndiyo kadri alivyokuwa anazidi ku-GAIN; possibly kutokana na mbinu alizokuwa anazitumia ambazo anazijua yeye mwenyewe, na hivyo kupelekea sasa aanze mazoezi ya kujatribu kupandisha juu madhabahuni.
Baada ya kuona kuwa anaenda vizuri , KM-A aliamua sasa somo hilo liwepo si kwenye siku za katikati ya wiki tu bali hata za J2 pia

Na kwa sababu alikuwa akiambatana na vijana wawili waliokuwa wakisimama chini mbele ya madhabahu, ilikuwa siyo rahisi sana kwa wakati huo, kwa waumini kuweza kung’amua kuwa KM-A alikuwa kwenye zoezi la kujaribu kpandisha juu madhabahuni, baada ya madhabahu hiyo kuwa imemgomea

Baada ya KM-A kuwa amefundisha somo hilo tajwa kwa wiki kadhaa huku akiwa amelenga kwenye milango ya fahamu; ndiyo sasa ikawa imewadia tarehe hiyo ya tukio la Desemba 2022 na akamalizia sasa kwa kuurusha mpira kwenye HAFLA HIYO; AMBAKO WAUMINI WALIENDA WAKAONYESHWA PICHA AMBAZO BAADAYE ZILIKUJA KUWALETEA MATATIZO USIKU WAKIWA WAMELALA

Baada ya tukio hilo la Desemba 2020, KM-A alirudi tena madhabahuni kama kawaida

Huwa siyo kawaida sana kwa KANISA A kukuta somo la katikati ya wiki likiendelezwa na kuwa ni hilo hilo pia hata kwa siku za Ibada kuu za J2; na kwa mwendelezo wa wiki kadhaa mfululizo mbele. Hiki kitu alichowahi kufanya hapa huyu KM-A kilikuwa very unique; japo hata mhusika anakiri pia kuwa hata kabla ya hapo KM-A alishawahi pia kukifanya; na mojawapo ya somo refu sana alilowahi kufundisha kwa mtindo huu liliwahi kuwa na kichwa cha somo “SISI NI WATU WA NENO”. Hiyo ilikuwa mwaka 2017

Kwa hiyo baada ya Desemba 2020 na kuendelea, CHANCES ni kwamba waumini walio wengi wamekuwa wako taabani kwenye milango yao ya fahamu kwa sababu wachache waliowahi kupigwa bomu huko kwenye hafla Desemba 2020, walirudi na kulalamika Kanisa J2 iliyofuata na hapo KM-A akasimama sasa madhabahuni kuangusha rungu kwa Kanisa zima na kwa waumini wa Ibada zote mbili;ya asubuhi na ile ya mchana

Na hapa ndipo KM-A alipofanyia kosa lake la kwanza. Kipindi alipokuwa aanedelea kufunsdsha somo huku akiwahusisha vijana wawili, mtego wake ulikwa uko foolproof. Hata hivyo siku alipopandisha tu madhabahuni kwa ajili ya kuwaomba radhi waumini waliokuwa wameonyeshwa picha chafu, J2 HIYO MADHABAHU NAYO NDIYO IKAAMUA SASA KWA MARA YA KWANZA, KUONGEA



Kwa hiyo tukirudi sasa kwenye mjadala uliopo sasa, kilichokuwa kinafanyika kwenye ile biashara pale GETINI, ilikuwa ni RENEWAL ya kile ambacho kiliwahi kupandikizwa Desemba 2020

In fact, kila kinachofanyika muda huu, ni RENEWAL ya kile alichowahi kupanda Desemba 2020

Ndiyo maana kwenye J2 tarehe ya 21/08/2022 Ibada ilipohamishiwa ghafla kwenye ukumbi uliosemekna siku hiyo kuwa ni UKUMBI WA SULEIMAN, mambo kadhaa yalifanyika ambayo ni kama

  • Spika mpya za mziki kwa ajili ya mikutano ya injili, KUWEKWA WAKFU KWENYE MADHABAHU YA UKUMBI
  • Hapa maana yake ni kwamba spika hizi hazikuwekwa wakfu.
  • Spika ambayo haijawekwa wakfu inaweza kumshambulia muumini kwa njia nyingi mojawapo ambazo ni obvious kabisa zikiwa ni kwa kusikia (sauti inayotoka kwenye spika) na kuona (spika unayoiona).
Hivyo basi kwa urahisi sana, spika yoyote ile ambayo haijawekwa wakfu, inaweza kumshambulia muumini kupitia macho na masikio

Kwa hiyo kwa bidhaa zilizokuwa zinauzwa getini; assuming dhana ya mhusika iko sahihi kwamba zilikuwa zikiuzwa pale zikiwa na kusudi jingine maalumu lililojificha

  • Kwa yule ambaye alikuwa hanunui bali anaishia kuziona tu; alikuwa anapata mashambuliwa kupitia macho yake
  • Kwa yule ambaye alikuwa anazinunua na kwenda kuzitumia, alikuwa anashambuliwa kwa kutumia milango kadhaa ya fahamu ikiwemo macho (kuona) ngozi (kugusa), pua (harufu) na ulimi (ladha ya chakula)
Mbali na spika kuwekwa wakfu siku hiyo, ALIKUWEPO PIA MGENI MMOJA AMBAYE MHUSIKA ANAAMINI KUWA NI MMOJAWAPO WA WATU WALE WANAOUNDA “KITENGO” KILE AMBACHO AMESHAIELEZEA HAPO JUU

MGENI HUYU NDIYE YULE ALIYEKUWEPO PIA JUZI J2 YA TAREHE 16/10/2022

HITIMISHO

Kwa kifupi tu ni kwamba, mpaka muda huu, KM-A bado ana-operate kwa kutumia kile alichowahi ku-invest wakati anafundisha somo llililohusu “mwili, nafsi na roho na namna vilivyo na uhusiano na milango mitano ya fahamu ya mwanadamu”

Mashambulizi ya aina hii ni mabaya sana hasa kwa WANANDOA, especially wale ambao ni wachanga na ambao bado wamejaliwa neema ya kushirirki tendo la ndoa na wenzi wao mara kwa mara. MUNGU ATUSAIDIE SANA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom