#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: THURSDAY 20TH OCTOBER 2022

JAMBO JINGINE MUHIMU AMBALO MHUSIKA ALIKUWA AMESAHAU KULIIELEZA KUHUSIANA NA TUKIO LA JUMAPILI YA TAREHE 16/10/2022 KANISANI

KILE KILICHOPELEKEA MWANZONI MWA IBADA, MHUSIKA KUTOKAA SEHEMU ILE ILE AMBAYO HUWA ANAKAA SIKU ZOTE; KABLA HAJAHAMIA KULE NYUMA YA KANISA KUTOKANA NA USIKIVU MBOVU


Jumapili hiyo mhusika aliingia Kanisani na kukuta Ibada ikiwa tarari imeshaanza
  • Exactly kwenye sehemu ambayo huwa amezoea kukaa siku zote, alimuona binti wanayefahamiana akiwa yuko maeneo yale
  • Kwa kumbukumbu zake mhusika, binti huyu alikuwa hajaonekana Kanisani hapo kwa takribani mwaka mzima; na kama alikuwepo basi watakuwa walikuwa mara nyingi wanapishana na mhusika pasipo kuonana
  • Kwa wakati fulani binti huyu aliwahi kuwa jirani na mhusika; aliwahi kuishi nyumbani kwa mama wa kiroho wa mhusika ambaye mama huyu na mhusika ni majirani mpaka muda huu
Baada ya kumuona binti huyu akiwa maeneo hayo, mhusika aliamua kwenda kukaa sehemu nyingine tofauti na pale ila ambayo haikuwa mbali sana na mahali binti huyo alipokuwa amekaa

Baada ya mhusika kuwa amechukua nafasi nyingine mahali pengine, binti huyu aliamua kuondoka mahali pale na tangia pale mhusika hakumuona tena binti huyu ndani ya nyumba hiyo ya Ibada hadi mwisho wa Ibada

Chances ni kwamba binti huyu alitoka nje na possibly kuanzia pale aliondoka kabisa Kanisani hapo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 21ST OCTOBER 2022

MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA BINTI ALIYEONEKANA KANISANI J2 ILIYOPITA; AMBAYE ALIWAHI KUISHI KWA MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA ANAYEISHI (MAMA WA KIROHO ) JIRANI NA MHUSIKA


Rasmi mhusika na binti huyu walifahamiana mwaka 2008, kipindi ambacho mhusika alikuwa ametembelewa na wageni wawili; ambao walikuwa ni mama yake mzazi na mdogo wake (mhusika)

Wageni hawa wawili hawakuwa wamemtembelea mhusika isipokuwa mama mzazi wa mhusika alikuwa amemleta mdogo wa mhusika (RIP) kwa ajili ya tiba; mtu huyu alikuwa na tatizo la kiafya; alikuwa ameambukizwa TB

KWA KUKUMBUSHIA TU BAADHI YA MAMBO MUHIMU AMBAYO MHUSIKA TAYARI ALISHAWAHI KUYALETA HUMU JUKWAANI

Baada ya wageni hawa kuwasili nyumbani kwa mhusika mnamo August 2008, mhusika aliamua kuchukua likizo

  • Kipindi hicho mhusika alikuwa anaishi peke yake nyumbani kwake na baada ya wageni kuwasili, nyumbani kwa mhusika kukawa na watu watatu
  • Pale mwanzoni mwa likizo hiyo, mhusika akaunganishiwa “dili” la kazi ya kwenda kufanya mikoani, nje ya Dar es Salaam, ambayo details zake alishawahi kuzileta humu kupitia baadhi ya maelezo yaliyopo kwenye post hii hapa #113
  • Kwenye post hiyo, mtu aliyemuunganishia kazi hiyo anam-refer kama MR T, staff-mate wa mhusika; ofisi tofauti, jengo moja la ofisi
Pasipo mhusika kuwa anajua chochote kile kwa wakati huo, anachokijua na alicho na uhakika nacho muda huu ni kwamba MR T (aliyemuunganishia kazi mhusika) na MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA (tumwite MKM) walikuwa na mawasiliano

Mhusika akiwa yupo likizo nyumbani kwake pamoja na wageni wake wawili, MR T (staff-mate) alimuunganishia kazi mhusika ambayo ilikuwa na sifa hizi zifuatazo

  • Ilikuwa inafanyikia mkoani
  • Usafiri wa kwenda na kurudi ulikuwa ni wa ndege
  • Mwenye kazi alionekana kuwa ni mgeni ambaye hakuwa mTanzania;
  • Na kama alikuwa ni mTanzania, basi atakuwa alizaliwa hapa na wazazi ambao hawakuwa raia wa Tanzania kwa kuzaliwa; waliozaliwa nje ya Afrika
  • Siku mhusika ameenda kunaonana na mwenye kazi ofisini baada ya kuwa amepewa appointment ya kufanya hivyo, baadhi ya wafanyakazi wake waliokuwepo maeneo yale ofisini walimjulisha mhusika kuwa tiketi ya usafiri wake wa ndege ilikuwepo tayari
Wakati wanaachana na mwenye kazi, siku mhusika alipokwenda kupewa details za kazi, mwenye kazi alimpa mhusika kitabu cha mambo ya OCEANOGRAPHY, ambacho author ni yeye mwenyewe (tumwite AUTHROR).

Miezi kadhaa mbele, kitabu hiki kilikuja kupelekea mhusika kufahamu kuwa AUTHOR na MKM walikuwa wanafahamiana

“PLOT” YA NAMNA YA SAFARI HIYO YA KIKAZI (HAIKUFANYIKA) ILIVYOTAKIWA KUWA

Mhusika hakufanikiwa kuifanya safari hii kutokana na sababu kadhaa zifuatazo

Ilionekana alitakiwa au alitarajiwa angesafiri bila kuaga ofisini kazini kwake kisa tu alikuwa yuko likizo, kitu ambacho hakuwa tayari kukifanya

Na kama angesafiri kwa kuondoka tu bila kuaga kazini kwa sababu alikuwa yupo likizo,

Chochote kile ambacho kingeweza kumtokea akiwa yuko huko kwenye kazi hiyo, mamlaka za ofisini kwake zisingehusika kwa sababu ukiachilia mbali kuwa alikuwa yuko likizo, mamlaka hizo zisingekuwa na taarifa za kazi hiyo

Mbali na hilo, baadhi ya watu ikiwa ni pamoja na majirani, wasingejua kama mhusika amesafiri kwa sababu kadhaa kama ifuatavyo
  • Wangeendelea kuliona gari lake lipo nje likiwa limepaki
  • Wangeendelea kuona taa za nyumbani kwake zikiwashwa na kuzimwa usiku unapoingia
Na kwa sababu watu wote wanaomfahamu walikuwa wanajua kuwa mhusika huwa anaishi peke yake, basi kwa dalili hizo wangejua kuwa mhusika yupo nyumbani kwake, na ndiye huwa anazima na kuwasha taa usiku unapokuwa umeingia! Kumbe wakati huo mhusika angekuwa amesafiri kwa ndege kuelekea mkoani, nyumbani kwake akiwa amewaacha wageni, na ofisini akiwa hajaaga

Hiki ndicho kilichopelekea mhusika asiende kufanya kazi hiyo; AUTHOR alishindwa kumpa kazi mhusika baada ya kuona kuwa mhusika alitaka aondoke akiwa ameaga ofisini

Baada ya kunyimwa kazi hiyo miezi kadhaa mbele (wageni wakiwa tayari walishaondoka), mhusika alikuja kupata taarifa za mambo mawili muhimu ambayo hapo kabla, hakuwahi kuwa na taarifa zake

TAARIFA MUHIMU YA KWANZA

Ni kwamba mtu huyu ambaye mhusika mpaka huu mhusika anadhani kuwa hakuwa raia na ambaye ailitaka kumpa kazi (mhusika), yaani AUTHOR; mtu huyu alikuwa anafahamiana na mama wa kiroho wa mhusika (MKM)

  • Taarifa hizi mhusika alizipata kutoka kwa MKM mwenyewe, siku moja majira ya baada ya saa moja usiku, baada ya MKM kutembelea kwa dharula nyumbani kwa mhusika
  • Siku hiyo usiku huo, ilikuwa ni mara ya pili kwa MKM kufika nyumbani kwa mhusika, na mara ya kwanza MKM aliwahi kufika pale ilikuwa ni miaka kadhaa na kwa APPOINTMENT; alikuja kusalimia mgeni
Safari hii ya pili MKM hakufanya appointment na hivyo ilikuwa ni dharula kidogo, ukiangalia pia muda ambao aliuona kuwa ni muafaka kufika nyumbani kwa mhusika

TAARIFA MUHIMU YA PILI

Binti aliyeonekana kwa muda tu Kanisani J2 iliyopita na hatimaye kutoweka tena (tumwite BNT), yeye kwa wakati huo, alikuwa anafika mara kwa mara nyumbani kwa mhusika katika kipindi chote cha miezi mitatu ambayo wageni wa mhusika walikuwepo nyumbani. Hata hivyo, mhusika hakuwahi kulijua hilo isipokuwa baadaye muda mrefu uliwa umeshapita huku wageni wakiwa tayari walishaondoka. Kwa hiyo katika kipindi chote hicho, BNT na mhusika hawakuwahi kukutana nyumbani kwa mhusika
  • Hata hivyo, kwenye mazingira ya nje, mhusika na BNT walikuwa wanaonana mara kwa mara, ila BNT hata siku moja hakuwahi kumweleza mhusika kuwa wakati mwingine huwa anafika nyumbani kwake (mhusika) kwa ajili ya kumsalimia mgonjwa
  • Kwa hali hiyo katika kipindi chote cha miezi mitatu, mhusika hakuwahi kujua kabisa kama BNT aliwahi kukanyaga nyumbani kwake hata mara moja, wala BNT naye hakuwahi kumweleza mhusika chochote kuhusiana na hilo
Kwa hiyo mpaka hapa mtu anawexa kuona kuwa angalau kulikuwa na usiri fulani wa namna BNT alivyokuwa anafika nyumbani kwa mhusika

MKM na mhusika ni majirani wanaoishi Ma-block tofauti, isipokuwa kwenye lile block la mhusika, kulikuwa pia na jirani mwingine, aliyekuwa anaishi kwenye nyumba iliyo juu ya ile ya mhusika, na ambaye baadaye ilikuja kusemekana kuwa alikuwa ni ndugu wa damu wa BNT japo BNT alikuwa hakai kwa huyo ndugu yake; alikuwa anakaa kwa MKM

  • Kutokana na hali hiyo BNT alikuwa akifanya visits za mara kwa mara sana kwenye block la mhusika kutokana na ukweli kuwa kwenye block hilo kulikuwa pia na ndugu yake wa damu
  • Kwa hiyo possibly kwa majirani walio wengi walikuwa wakimuona BNT akielekea kwenye block la mhusika na kujua kuwa alikuwa anaelekea kwa ndugu zake; kumbe wakati mwingine alikua anaelekea nyumbani kwa mhusika kwenda kumsalimia mgonjwa
Mgonnjwa alikuwa na TB ambayo baada ya miezi mitatu, alipona na kurudi nyumbani kwake akiwa salama, na tiba yake ilikuwa ni ya bure kupitia Kituo cha Afya cha Taasisi anayofanyia kazi mhusika

Taarifa hizi kuhusiana na ugeni wa BNT nyumbani kwa mhusika, mhusika alikuja kuzipata baadaye kutoka kwa (aliyekuwa) mgonjwa mwenyewe ambaye alikuwa anatembelewa na BNT; kipindi kirefu baadaye mgonjwa akiwa tayari alisharejea mwakwao mwanza

Mpaka hapa inaonyesha wazi kabisa kuwa katika kipindi chote cha miezi mitatu, BNT alikuwa yuko somehow programmed katika namna ambayo alikuwa anafika nyumbani kwa mhusika katika muda ule tu ambao alikuwa anakuwa ana uhakika kuwa mhusika hayupo nyumani.

……………………….inaendelea
 
KILE KILICHOPELEKEA MKM KUTEMBELEA NYUMBANI KWA MHUSIKA KWA DHARURA USIKU:

ALIKWENDA KUCHUKUA KITABU KILE CHA MAMBO YA “OCEANOGGRPAHY”, NA POSSIBLY, PASIPO KUONEKANA NA MTU YEYEOTE IKIWEZEKANA KWA LENGO LA KUFUTA KABISA USHAHIDI AMBAO UNGEWEZA KUTOKANA NA KITABU HICHO HUKO MBELE YA SAFARI


Anavyoona yeye, kitabu kile kingeweza kuja kuwa ushahidi mbaya sana kule mbele, just in case of anything bad kwa uanfde wa mhusika. Kwa hiyo mhusika alitakiwa asiendelee kukaa nacho kitabu hicho kufuta ushahid ule ambao ulikuwa unaowezekana kufutwa kwa wakati huo

  • Mhusika alipewa kitabu hicho na AUTHOR wa kitabu hicho siku alipokuwa amemtembelea ofisini kwake (AUTHOR). AUTHOR alimweleza mhusika kuwa hawezi akafika ofisini kwake halafu akamwacha akaondoka bila zawadi.
  • Mhusika naye allifurahi kuona anapewa zawadi ya kitabu kwa sababu anapenda vitabu.
Baada ya hapo, AUTHOR alimpatia mhuiska kitabu hicho cha mambo ya OCEANOGRAPH

Baada ya kufika nyumbani, mhusika alikiweka kitabu hicho kwenye meza ndogo ya sebuleni, na baada ya hapo hakukigusa tena bali kiliendelea kukaa kwenye meza hiyo kipindi chote katika muda wote ambao wageni walikuwepo nyumbani, na hata baada ya kuwa wameondoka

Baadaye wageni waliondoka na kitabu kiliendelea kuwepo pale kwenye meza sebuleni

  • Siku mbili au tatu hivi baada ya wageni kuondoka, MKM alifika nyumbani kwa mhusika
  • MKM alikiona kitabu hicho mezani na alipokichukua kuanza kukiangalia na kukisoma, aligundua kwamba mtunzi wake yaani AUTHOR anamfahamu
  • Baada ya hapo MKM alimdadisi kwa kifupi mhusika akimhoji alifahamiana vipi na mtu huyo na wapi
  • Baada ya maelezo mafupi ya mhusika, hatimaye MKM alimweleza mhusika kuwa anamfahamu mtu huyo, yaani AUTHOR wa kitabu hicho
  • Zaidi MKM alimuomba mhusika ampatie kitabu hicho
Mhusika naye kwa kuzingatia kuwa MKM ni mbobezi kwenye mambo yanayoelekeana na hayo, hakuona tatizo la kumpa MKM kitabu hicho kwa sababu alijua kuwa kimefika mahali sahihi ambapo kinatakiwa kuwa; kuliko kama angeendelea kuwa nacho yeye mwenyewe (mhusika)

Mhusika aliamua kumpatia MKM kitabu hicho na baada ya muda mfupi, MKM aliaga na kuondoka nacho

HITIMISHO

Katika kipindi chote cha miezi mitatu ambacho wageni wa mhusika walikuwepo nyumbani kwa mhusika, MKM hakuwahi kufika nyumbani kwa mhusika na hivyo hakuwahi hata siku moja kuja kumsalimia mgonjwa. Mara ya kwanza (na ya mwisho kabla ya siku hiyo) kwa MKM kufika nyumbani kwa mhusika ilikuwa ni mwaka 2005

  • BNT pekee ndiye aliyekuwa anafika nyumbani kwa mhusika mara kwa mara, na pasipo mhusika kujua kuwa BNT alikuwa anafika nyumbani kwake (mhusika) mara kwa mara
  • MKM alikuwa amegizwa kwenda kukichukua kitabu hicho nyumbani kwa mhusika, kufuta kabisa ushahidi wowote ambao ungeweza kuonyesha njia (‘trace route’ wataalamu wa IT-networking huwa wanatumia neno hili) , just in case of anything huko mbele ya safari
AUTHOR na MT watakuwa walimshauri MKM hivyo na frequent visits za BNT hazikuwa kwa ajili ya mgonjwa bali zilikuwa ni kwa ajili ya ku-monitor mwenendo wa kitabu hicho kuona kama kitaendelea kuwepo sebuleni au kitahmishwa

Hadi muda unafika wa wageni kuondoka, BNT alienda akamhakikishia MKM kuwa kitabu kilikuwa bado kipo pale sebuleni na hivyo MKM kuamua kuja kukichukua siku chcahe sana baada ya wageni kuwa wameondoka

MKM ana mambo mengi ambayo yamejificha na ni kati ya watu ambao mhusika anawaogopa sana

Miaka ya hivi karibuni MKM aliwahi kufanya tena kitu kingine na mhusika akaamua kuwashirikisha mashemasi kuhusu tabia yake na kuawaeleza kabisa kuwa ni kati ya watu ambao mhusika anawogopa sana. Zaidi aliamua amwite mbele ya mashemasi ili wamuonye lakini baadaye tena mhusika akaamua ku-let it go na kumsamehe isipokuwa akasema ni lazima akutane na mmojawapo wa mashemasi ili wakamuonye.

Baadaye kumbe mchakato huu ulizungushwa zungushwa ukaongezewa na maneno mengine ya kuchakata, halafu baadaye ikatengenezwa taarifa ya kwamba mhusika alikuwa anamtuhumu tu MKM na wala hapakuwa na chochote cha maana. Taarifa zikaenda kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (MK-A). na J2 iliyofuata KM-A alisimama madhabahuni akiwa amefura ana somo linasema “UMEHESHIMIWA, JIHESHIMU”

Haya hapa sasa mengine ambayo KM-A anatakiwa ayajue kuhusu MKM ili aweze kuona kama mhusika anajiheshimu ama la!

Wakati haya yote yanatokea kama yalivyoelezwa hapa, mhusika hakuwahi kujua chochote kwa wakati bali alikuja kujua baadaye baada ya matukio mengine tena ya nyongeza kuwa yametokea. ALIKUJA KUYAJUA BAADAYE KWA KUTUMIA INFERENCE

KM-A inabidi aelewe kuwa madhabahu ni kwa ajili ya Bwana na haipo kwa ajili ya mambo ya kipumbavu kama haya!

MBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 22ND OCTOBER 2022

KWA WAUMINI WAPENDWA WA KANISA A:

KAMA INAWEZEKANA, WANATAKIWA KUWA MAKINI MUDA WOTE WAKATI WA IBADA ILI KUBAINI KASORO ZINGINE AMBAZO NI KUBWA MNO ZINAZOJITOKEZA WAKATI WA IBADA

“KANISA A” SIYO “UKUMBI” BALI NI NYUMBA YA IBADA; HEKALU LA BWANA


SALA YA KUFUNGUA IBADA YA ALHAMIS KABLA MTUMISHI WA MUNGU HAJASIMAMA KWA AJILI YA CHAKULA CHA UZIMA SIKU HIYO, ILITAMKA KUWA WALIOKUWA WAMEKUSANYIKA KWA AJILI YA IBADA SIKU HIYO WALIKUWA KWENYE UKUMBI

Mtumishi wa Mungu aliyekaribishwa kwa ajili ya kutoa sala ya kuombea Ibada ya siku ya Alhamis tarehe 20/10/2022, kabla ya mtumishi wa Mungu aliyekuwa anahudumu siku hiyo hajasimama madhabauni, alipitiwa na kutaja kwenye sala yake kuwa mahali pale walipokuwa wamekusanyika waumini kwa ajili ya Ibada ya siku hiyo, ni UKUMBI

  • Sala hii haikumttendea haki sana mtumishi wa Mungu aliyekuwa amejiangdaa kwa ajili huduma siku hiyo
  • Viongozi wetu ni binadamu na si malaika na hivyo wakati mwingine nao lazima huwa wanapitiwa
Na kwa sababu sisi waumini tuko wengi zaidi yao, tuna wajibu na sisi wa kuwa tunawakumbusha inapotokea pale ambapo wanakuwa wamepitiwa kama ilivyotokea alhamis wiki hii

MAELEZO MENGINE MAFUPI YA NYONGEZA:

NYUMBA YA IBADA AU KANISA SIYO SAWA NA UKUMBI


UKUMBI unaweza ukabadilishwa kwa muda maalum na kuwa nyumba ya Ibada ila kwa hali yoyote ile Kanisa au nyumba ya Ibada haiwezi kwa namna yoyote ile kubadilishwa na kuwa UKUMBI na hivyo Kanisa siyo UKUMBI na hivyo Kanisa haliwezi kuitwa UKUMBI

UKUMBI ni sehemu kama ile ambayo baadhi ya waumini wa Kanisa A waliwahi kuhudhuria hafla ya usiku Desemba 2022 na walipotoka huko wakarudi na story ya kusimulia ikiwa ni pamoja na malalamiko


Tuendeleeni kuwakumbusha viongozi wetu wa Kanisa A ikiwa ni pamoja na Kiongozi Mkuu (KM-A) kwamba nyumba ya Ibada tunayotumia waumini wa Kanisa A siyo JENGO JIPYA na wala siyo UKUMBI bali ni KANISA AMBALO NI NYUMBA YA BWANA. MAKAZI YA BWANA YAPO KWENYE NYUMBA HIYO.

BWANA HUWA HAKAI UKUMBINI BALI ANAKAA KWENYE HEKALU LAKE TAKATIFU AMBAYO NDIYO HIYO NYUMBA YA IBADA ILIYOPO HAPO KANISA A

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 23RD OCTOBER 2022

TAHADHARI MBILI MUHIMU
AMBAZO WAUMINI WA KANISA A INABIDI WAZIZINGATIE; MARA BAADA YA KUWA WAMEHAMIA KWENYE KANISA JIPYA

TAHADHARI YA KWANZA

Ni kwamba Kanisa jipya halijawahi kuwekwa wakfu na hivyo madhabahu yake haijawekwa wakfu

Hata hivyo, pamoja na kwamba madhabahu hiyo haikuwahi kuwekwa wakfu, bado inaweza ikawa iko VERY POWERFUL ukilinganisha na ile nyingine iliyoko kwenye Kanisa la zamani ambalo limeshabadilika na kuwa UKUMBI WA SULEMAN.


Nguvu kubwa ya madhabahu hiyo inatokana na upako wa Ibada zinazoendelea kufanyikia humo; ikiwa ni pamoja na upako unaotokana na waumini wanaokuwepo mbele ya madhabahu hiyo mara kwa mara kwa ajili ya Ibada

TAHADHARI YA PILI
Kwa upande mwingine, Kanisa la zamani
ambalo hivi karibuni kuanzia J2 ya tarehe 21/08/22 lilibadilika jina na kuanza kujulikana kama UKUMBI WA SULEMAN, mhusika hana uhakika sana ila ana anaamini kuwa at one time in the past; Kanisa hilo liliwahi kuwekwa wakfu na hivyo madhabahu yake ilikuwa imewekwa wakfu

Hata hivyo, kwa sasa madhabahu hiyo haipo tena kwa sababu KANISA HILO LA ZAMANI LIMESHAGEUKA NA KUWA UKUMBI huku stage ya madhabahu iliyokuwa imejenngwa huko ikiwa bado ipo, haijabomolewa

HITIMISHO


Kutokana na maelezo hayo hapo juu, kwa kifupi tu ni kwamba; kwa sasa Kanisa A halina madhabahu ambayo imewekwa wakfu kwa BWANA

Kwa hali hiyo, waumini wa Kanisa A inabidi wawe waangalifu sana kwa sababu wakati mwingine wanaweza kujikuta wanakuwa wako wamekaa wakifanya Ibada zao ndani ya KANISA JIPYA huku madhabahu inayotumika huko ikiwa ni ile iliyoko kwenye UKUMBI WA SULEMAIN

Hili jambo kiroho linawezekana kabisa na ni rahisi tu kama mtu kunywa chai ya asubuhi

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 24TH OCTOBER 2022

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA NAMNA AMBAVYO MHUSIKA NA SHEMEJI YAKE WAMEKUWA WAKICHUKUA NAFASI ZAO ZA KUKAA PALE KANISANI


Ikumbukwe kuwa karibia mara zote mhusika na shemeji yake wamekuwa wakikaa sehemu jirani iliyo kwenye eneo moja

Kitu muhimu ambacho mhusika alisahau kidogo kukiongelea ni kwamba ukiiondoa J2 ile ya tarehe 16/10/2023 ambayo watu hawa hawakubahatika kukaa pamoja wakati wa Ibada MARA ZOTE mhusika amekuwa akiwasili kwanza Kanisani na kuchukua sehemu ya kukaa halafu baadaye sasa ndiyo shemeji yake naye huja na kukaa sehemu hiyo

Kwa hiyo MARA ZOTE ukiwakuta watu hawa wamekaa sehemu jirani, ujue kuwa aliyekuwa ametangulia kwenye eneo hilo ni mhusika

Hii ni kutokana na ukweli kwamba MARA ZOTE mhusika huwa anawahi kuliko shemeji yake; na MARA ZOTE ambazo mhusika amekuwa akikaa jirani na shemeji yake, shemeji huwa anafika Kanisani Ibada ikiwa tayari imeshaanza; na karibia mara zote mhusika yeye huwa anafika muda mfupi kabla ya Ibada kuanza

KILICHOTOKEA J2 YA TAREHE 16/10/2022 BAADA YA MHUSIKA KUBADILISHA SEHEMU YA KUKAA NA KUMKUTA SHEMEJI YAKE AKIWA AMEKAA SEHEMU HIYO AMBAYO MHUSIKA ALIHAMIA

TUKIO HILI LINAWEZA KUWA NA UHUSIANO NA TUKIO JINGINE KATI YA WAWILI HAWA LILILOTOKEA J2 ILIYOKUWA IMEPITA NYUMA, YAANI J2 ILE YA 09/10/2022

MAELEZOYA UTANGULIZI


J2 ya tarehe 09/10/2022 mhusika na shemeji yake walikaa sehemu moja au jirani kama ilivyo kawaida yao siku zote

Kama ambavyo imekuwa kawaida siku zote, mhusika alitangulia kufika kwenye Ibada, halafu baadaye kidogo Ibada ikiwa tayari imeshaanza, shemeji yake naye aliingia akiwa ameambatana na mume wake na hatimaye wawili hao kukaa kwenye eneo hilo jirani na mhusika, kwenye safu ya viti vilivyokuwa mbele ya ile ya mhusika

J2 hiyo, ujumbe wa mtumishi wa Mungu aliyesimama madhabahuni ulikuwa na kichwa cha somo kilichokuwa kikisisitiza kuwa IMANI ISIYOKUWA NA MATENDO IMEKUFA

Mhusika na shemeji yake walikaa eneo hilo hadi Ibada ilipoisha.

MARA BAADA YA IBADA YA J2 HIYO YA TAREHE 16/10/2022 KUMALIZIKA NA WAUMINI KUANZA KUTAWANYIKA

Mhusika aliamua kutoka Kanisani akiwa anaelekea UKUMBI WA SULEMAN. Mara nyingi huwa ana kawaida hiyo kila J2 Ibada inapokuwa imemalizika.

  • Waumini walio wengi wa Kanisa A wanajua pasipo shaka sababu ya kwa nini mara nyingi mhusika huwa ana kawaida ya kuelekea huko kila J2 Ibada inapomalizika
  • Kwa hiyo ni kitu rahisi sana kwa muumini yeyote wa Kanisa A anayemfahamu mhusika, kuweza ku-predict kwa usahihi kwa kiwango cha juu, ni njia ipi mhusika atapita atakapokuwa anatoka nje ya Kanisa
Kwa hiyo baada ya Ibada kumalizika mhusika alianza kutoka nje ya Kanisa akiwa anaelekea kwenye UKUMBI WA SULEMAIN

  • Ghafla kule nyuma kidogo ya Kanisa (maeneo yale yale aliyohamia J2 ya wiki iliyofuata baada ya kutokea usikivu mbovu kutoka kwenye spika); mhusika aligongana na shemeji yake ambaye walikuwa wamekaa jirani wakati wa Ibada
  • Wakati wa Ibada, shemeji alikuwa amekaa pamoja na mume wake ila safari hii alikuwa peke yake, hakuwa pamoja na mume wake
  • Zaidi ni kuwa kulikuwepo pia waumini wengine maeneo yale ambao nao kila mmoja wao alikuwa kwenye harakati za kutoka nje ya Kanisa
Kawaida mhusika na shemeji yake (mara nyingi, siyo mara zote) huwa hawana kawaida ya kujadili chochote wanapokutana, ukiondoa salamu fupi tu

  • Hata hivyo, siku hiyo shemeji mtu alimsemesha mhusika akiurudia ujumbe wa Mtumishi wa Mungu wa siku hiyo akisema “IMANI ISIYOKUWA NA MATENDO IMEKUFA”
  • Hapo hapo mhusika naye alimjibu akisema kuwa SIYO TU KWAMBA IMEKUFA ILA HAIPO KABISA.
  • Baada ya jibu hilo kwa shemeji yake, mhusika aliendelea mbele zaidi akisema BORA KINACHOKUFA KWA SABABU CHENYEWE HUWA KIMEWAHI KUWEPO. KISICHOKUWEPO CHENYEWE HUWA HAKIFI KWA SABABU HAKIPO
Hayo ndiyo maongezi mafupi waliyoongea mhusika na shemeji yake huku mhusika akiwa yuko hai hai kutoka nje

Hata hivyo, si kila mtu aliyekuwepo eneo hilo, aliyasikia maneno hayo waliyoongea, isipokuwa uhakika ni kuwa kila mtu aliyekuwa akiwaona wakati huo, alijua pasipo shaka kabisa kuwa wawili hao angalau walikuwa wanaongea au kuteta juu ya jambo fulani

KILE AMBACHO WAUMINI WENGINE WATAKUWA WALIKIONA KUTOKA KWA MHUSIKA NA SHEMEJI YAKE WAKATI WA IBADA NA BAADA YA IBADA YA J2 HIYO

  • Wakati wa Ibada ya J2 hiyo, angalau baadhi ya waumini watakuwa waliwaona watu watatu yaani mhusika, shemeji wa mhusika, pamoja na mume wa shemeji wa mhusika, wakiwa wamekaa sehemu moja au eneo jirani
  • Baada ya Ibada baadhi ya watu watakuwa pia waliowaona watu wawili tu yaani mhusika na shemeji yake wakiwa wapo eneo la nyuma ya Kanisa wakiwa wanateta kitu huku mume wa shemeji wa mhusika akiwa hayupo maeneo hayo.
Hiyo ilikuwa J2 ya tarehe 09/10/2022

KILE KILICHOJIRI SIKU YA IBADA J2 NYINGINE ILIYOFUATA YA TAREHE16/10/2022

  • J2 iliyofuata ya tarehe 16/10/2022, waumini walio wengi watakuwa walimuona mhusika akiwa amekaa sehemu ambayo jirani na eneo hilo, shemeji yake hakuwepo, kitu ambacho ni RARE.
  • Aidha kwenye J2 hiyo mume wake na shemeji yake mhusika hakuwa amehudhuria Ibada na hivyo hakuwepo kabisa Kanisani siku hiyo
WAKATI WA MATANGAZO YA IBADA J2 HIYO ULIPOWADIA

Baada ya Ibada kuisha, ulipofika wakati wa matangazo, “mhusika aliamua kubadilisha sehemu ya kukaa na kwenda kukaa kwenye eneo ambako alimkuta shemeji akiwa amkekaa huko peke yake na waumini wengine, mume wake akiwa hayupo

Zaidi shemeji alikuwa na kitoto ambacho mhusika baada ya kukiona, alikiita na kuanza kuongea nacho na baadaye tena kitoto hicho kiliondoka na kurudi kwa mama yake.

J2 hiyo, ilikuwa ni mara yake ya pili kwa mhusika kukiona kitoto hicho ndani ya nyumba hiyo ya Ibada, tangu Ibada zilipohame kwenye nyumba hiyo Desemba 2021

HITIMISHO


Interactions hizi kati ya mhusika na shemeji yake, zimetokea kuanzia MWISHONI MWA IBADA ya J2 ya tarehe 09/10/2022 hadi MWANZO WA MATANGAZO YA IBADA YA J2 nyingine iliyofuata ya tarehe 16/10/202, huku (interactions hizi) mara zote zikimu-exclude kabisa mume wa shemeji wa mhusika, ukiachilia mbali kuwa mtu huyu (mme wa shemeji) alikuwepo kwenye Ibada ya J2 ile ya tarehe 09/10/2022

  • Mhusika alilazimika kubadilisha nafasi ya kukaa J2 hiyo baada ya kutokea usikivu mbovu kutokea madhabahuni, matangazo ya J2 hiyo yalipoanza kutangazwa
  • Tahadhari anayopenda kuitoa hapa mhusika ni kwamba kama hapatakuwa na SURVEILLANCE CAMERA zinazoweza kuona vizuri muda wote wakati wa Ibada KWENYE SEHEMU HIYO YA NYUMA YA KANISA HASA MAENEO JIRANI NA PALE ALIPOLAZIMIKA KUKAA J2 HIYO, kuna uwezekano sehemu hiyo ya nyumba ya Ibada ikageuka na kuwa kijiwe cha baadhi ya watu kujificha huko kwa malengo yao binafsi wanayoyajua wenyewe
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNEDAY 26TH OCTOBER 2022

BAADHI TU YA MAMBO MUHIMU WANAYOAKIWA KUTAKUMBUKA WAUMINI WA KANISA


Ikumbukwe kuwa kipindi kirefu nyuma (nadhani ilikuwa mwanzoni mwa mwaka 2020 kipindi kifupi kabla ya kuingia kwa CORONA) waumini wa Kanisa A waliwahi kuhamia kwenye Kanisa jipya ila baada ya kuwa wameabudu humo kwa J2 kama mbili hivi, KM-A aliamua kuzirudisha tena Ibada zote kwenye Kanisa la zamani. Sababu kadhaa zilitolewa kwa uamuzi huo wa KM-A mojawapo ikiwa ni mwangwi uliokuwa unapelekea watu wasiweze kusikia vizuri; kitu ambacho hakikuwa kweli.

Ukweli ni kwamba kilichopelekea KM kuchukua uamuzi huo haukuwa mwangwi. Ni kweli kwamba kuna sehemu watu walikuwa wanashindwa kusikia vizuri kutoka madhabahuni lakini sababu hasa iliyokuwa inapelekea tatizo hilo kutokea ni kwamba SPIKA ZILIKUWA ZINACHEZEWA, kama ambavyo imekuja kufanyika kwenye matukio mawili ya hivi karibuni ambayo mhusika ameshayaelezea humu

Kwa hiyo kipindi hicho spika zilichezewa na baada ya hapo, KM-A akawa amesahau kabisa kama waumini walitakiwa kurudi tena kwenye Kanisa hilo jipya hadi majuzi ilipofika Desemba 2021 ndiyo akawa amekumbuka tena.

Kisingizio kilichokuwa kinatolewa kwa kutorejesha mapema Ibada za J2 kwenye Kanisa ilikuwa ni CORONA; kitu ambacho ni contradiction kwa sababu Kanisa Jipya ndiyo lilikuwa linafaa zaidi kufanyia Ibada wakati wa CORONA kuliko lile la zamani kwa sababu lenyewe ni kubwa zaidi ukilinganisha na lile la zamani na hivyo lilikuwa liko MORE SPACIOUS zaidi kuweza kuruhusu watu wengi kukaa kwa umbali ule uliokuwa unatakiwa wakati wa CORONA

Sababu hasa iliyokuwa inatolewa ni kwamba Madhabahu ilikuwa inasubiria vifaa kutoka chini ili ijengwe, vifaa ambavyo havijawahi kuwasili hadi leo lakini hatimaye, bado Ibada ziliweza kuhamia kwenye Kanisa jipya

Hapa mhusika anapenda kuongelea marekebisho kadhaa ambayo yalifanyika kwenye madhabahu hiyo ya Kanisa jipya, baada ya Ibada kuwa zimerejeshwa tena kwenye Kanisa la zamani; na possibly hiyo ndiyo sababu hasa iliyopelekea hapo kabla KM-A kurudisha tena Ibada kwenye Kanisa la zamani kwa kisingizio cha usikivu mbovu nadni ya Kanisa jipya

……………………..inaendelea
 
UPDATE: WEDNEDAY 26TH OCTOBER 2022

BAADHI TU YA MAMBO MUHIMU WANAYOAKIWA KUTAKUMBUKA WAUMINI WA KANISA


Ikumbukwe kuwa kipindi kirefu nyuma (nadhani ilikuwa mwanzoni mwa mwaka 2020 kipindi kifupi kabla ya kuingia kwa CORONA) waumini wa Kanisa A waliwahi kuhamia kwenye Kanisa jipya ila baada ya kuwa wameabudu humo kwa J2 kama mbili hivi, KM-A aliamua kuzirudisha tena Ibada zote kwenye Kanisa la zamani. Sababu kadhaa zilitolewa kwa uamuzi huo wa KM-A mojawapo ikiwa ni mwangwi uliokuwa unapelekea watu wasiweze kusikia vizuri; kitu ambacho hakikuwa kweli.

Ukweli ni kwamba kilichopelekea KM kuchukua uamuzi huo haukuwa mwangwi. Ni kweli kwamba kuna sehemu watu walikuwa wanashindwa kusikia vizuri kutoka madhabahuni lakini sababu hasa iliyokuwa inapelekea tatizo hilo kutokea ni kwamba SPIKA ZILIKUWA ZINACHEZEWA, kama ambavyo imekuja kufanyika kwenye matukio mawili ya hivi karibuni ambayo mhusika ameshayaelezea humu

Kwa hiyo kipindi hicho spika zilichezewa na baada ya hapo, KM-A akawa amesahau kabisa kama waumini walitakiwa kurudi tena kwenye Kanisa hilo jipya hadi majuzi ilipofika Desemba 2021 ndiyo akawa amekumbuka tena.

Kisingizio kilichokuwa kinatolewa kwa kutorejesha mapema Ibada za J2 kwenye Kanisa ilikuwa ni CORONA; kitu ambacho ni contradiction kwa sababu Kanisa Jipya ndiyo lilikuwa linafaa zaidi kufanyia Ibada wakati wa CORONA kuliko lile la zamani kwa sababu lenyewe ni kubwa zaidi ukilinganisha na lile la zamani na hivyo lilikuwa liko MORE SPACIOUS zaidi kuweza kuruhusu watu wengi kukaa kwa umbali ule uliokuwa unatakiwa wakati wa CORONA

Sababu hasa iliyokuwa inatolewa ni kwamba Madhabahu ilikuwa inasubiria vifaa kutoka chini ili ijengwe, vifaa ambavyo havijawahi kuwasili hadi leo lakini hatimaye, bado Ibada ziliweza kuhamia kwenye Kanisa jipya

Hapa mhusika anapenda kuongelea marekebisho kadhaa ambayo yalifanyika kwenye madhabahu hiyo ya Kanisa jipya, baada ya Ibada kuwa zimerejeshwa tena kwenye Kanisa la zamani; na possibly hiyo ndiyo sababu hasa iliyopelekea hapo kabla KM-A kurudisha tena Ibada kwenye Kanisa la zamani kwa kisingizio cha usikivu mbovu nadni ya Kanisa jipya

……………………..inaendelea

MELODY NZURI SANA YA MUZIKI ILIYOANZA KUSIKIKA VIZURI SANA NDANI YA KANISA JIPYA KIPINDI CHA AWALI AMBAYO KWA SASA HAIPO TENA


Baada ya Ibada kuwa zimehamia kwenye Kanisa jipya, muziki mtamu sana ulikuwa unasikika kwenye nyumba hiyo ya Ibada; hata mtu akiwa nje ya uzio wa Kanisa alikuwa anaweza kuusikia mziki huo mzuri muno; mathalani mtu alipokuwa yupo kwenye parking zilizoko nje ya uzio wa Kanisa A

Kwa sasa hivi, one hardly hears the sound tena akiwa ndani ya uzio, yaani anapokuwa jirani kabisa na ukuta wa Kanisa, Vinginevyo mtu yeyote hawezi kusikia chochote cha maana zaidi midundo ya spika tu.

Tuseme kwa mfano watu wageni ambao huwa wanapita nje kando kando ya uzio wa Kanisa hilo, wanaweza kujua tu kuwa maeneo yale jirani kuna Kanisa kwa kuwaona waumini maeneno yale au kwa kuliona jengo la Kanisa lenyewe ila si kwa kusikia sauti yoyote kutokea ndani ya uzio wa Kanisa hilo

Kwa hiyo sababu nyingine ya pili kubwa ambayo mhusika anadhani kuwa iliwahi kuchangia kuhamisha Ibada kipindi kile cha mwanzo, ni melody nzuri sana ya muziki iliyokuwa inatoka ndani ya Kanisa hilo jipya kwa kipindi hicho. Waimbaji walikuwa wanasikika vizuri mno na muziki mtamu sana uliokuwa unatoka kwenye jengo hilo, ambao kwa sasa haupo tena.

Mziki huo haupo tena sasa hivi kwa sababu baada yaIbada kurejea tena kwenye Kanisa jipya, kwenye muziki zimeongezwa drums ili kuizima kabisa hiyo melody. Drums hizo zinatumika katika namna ambayo zikipigwa; muziki wa waimbaji unabadilika na kuwa kelele. Pia umeongezwa mdundo mwingine wenye BASS kubwa unasababisha manena ya wimbo unaoinmbwa yasiweze kusikika, hasa pale inapokuwa imewekwa CD ya muziki kwa ajili ya waumini kusikiliza

DOKEZO MUHIMU KWA WAUMINI WA KANISA A AMBAO BADO HAWAJAGUNDUA: DRUMS ZIPO ZA AINA BILI

Kwa wale ambao bado hawajagundua mpaka muda; kwa sasa drums hizo zipo za aina mbili:

  • Kuna zile ambazo ni za kupigwa LIVE na mtu aliyepo madhabahhuni muda huo
  • Pia kuna zile ambazo zipo INBUILT kwenye kifaa cha mziki ambacho kimewekwa hapo Madhabahuni PERMANENTLY. Kifaa hiki kikiwashwa; hupiga drums chenyewe bila msaada wa mtu yeyoye
Kwa sasa hivi, hizi za aina hii ya pili ndiyo zinazotumika zaidi kwa maana kwamba always mpiga drums anakuwa hayupo Madhabahuni lakini drums zinasikika kwenye muziki

Ikumbukwe kuwa hapa mhusika hapingi matumizi ya drums kwenye mziki isipokuwa anachopinga ni matumizi mabaya ya drums kwa nia ya kuchuja mziki unaotoka madhabahuni

Mbali na hilo, miaka nenda rudi Kanisa A lilikuwa halijihusishi kabisa na matumizi ya muziki wa drums; halafu all of a sudden siku hizi limejikita kwenye drums na hali hii imeanza mara baada tu ya kuhamia kwenye Kanisa jipya

Zaidi ni kwamba, siyo mara ya kwanza mhusika kulalamika kuhusiana na matumizi haya kutumia drums kwa mtindo wa ku-stage. Kitu hiki aliwahi kukilalamikia pia mwanzoni mwa mwaka 2020 baada ya Ibada kuwa zimerejeshwa tena kwenye Kanisa la zamani. Kwa hiyo mhusika hajaliona tatizo hili la drums leo bali aliwahi kuliona tangu kipindi kirefu nyuma

KILE AMBACHO KIMETOKEA KWENYE MUZIKI BAADA YA DRUMS KUANZA KUTUMIKA

Drums hizi kwa sasa zimeshazima kabisa muziki wa waimbaji kiasi kwamba pamoja na kuwa Kanisa A lina waimbaji wazuri sana wa kikundi cha PRAIISE AND WORSHIP (PW); kwa sasa hivi PW hawawezi kuimba tena kama walivyokuwa wanaimba zamani na kinacofanyka kwa sasa ukilinganisha na zamani ni KELELE

KELELE aina hii ziliwahi kumkifu sana mhusika kipindi alipokuwa yupo uhamishoni Kanisa B, na kwa sasa kama angekuwa na alterative katika hili la KELELE kwenye Ibada, angeweza kuichukua hana jinsi; he is there to stay at Kanisa A. Kwa hiyo mtu mwingine mwenye nia tofauti somewhere, asije akadhani kuwa kuchakua mziki wakati wa Ibada, kutamfanya mhusika abadilishe nyumba ya Ibada; hapana hatabadilisha tena nyumba ya Ibada. Na kama itakuja kutokea akafanya huko mbele ya safari, the earliest he can do inaweza kuwa baaada ya 2030; some (solid) 8 years ahead!

………………………inaendelea
 
MABADILIKO YA NYONGEZA (MODIFICATION) YALIYOFANYIKA KWENYE ARCHICTURE YA MADHABAHU YA KANISA JIPYA; IBADA ZILIPOKUWA ZIMEREJESHWA KWENYE MADHABAHU YA ZAMANI

MAELEZO YA UTANGULIZI

Maelezo kuhusiana na architecture ya MADHABAHU YA ZAMANI ambako KM-A alihamishia Ibada kwa muda mwaka 2020


  • Madhabahu hii ilikuwa iko chini kiasi na fupi; kiasi kwamba mtu alikuwa anaweza kurukia juu na hivyo kuweza kupandisha juu madhabahuni kupitia UBAVUNI (KULIA AU KUSHOTO) MWA MADHABAHU HIYO NA SIYO KUPITIA MBELE YA MADHABAHU
  • Kwa hiyo BAADHI ya waimbaji WANAUME wa PW, mara nyingi (siyo mara zote) walikuwa wakipitia ubavuni walipokuwa wakipandisha juu madhabahuni
  • Kutokana na hali hiyo, ilikuwa inawezekana kwa muimbaji MWANAUME wa PW akatokea chooni halafu akapandisha juu madhabauni kwa kupitia ubavuni; na ilikuwa inawezekana hivyo hata pale Ibada ilipokuwa tayari imeshaanza
Ni kwa sababu Madhabahu ya zamani ilikuwa jirani kabisa na choo cha wanaume. Kwa hiyo kwa kipindi hicho, huu mtindo wa kutokea chooni halafu mwimbaji wa PW anapandisha juu madhabahuni, ulikuwa POPULAR sana kwa BAADHI ya WANAUME waimbaji wa PW

BAADA YA KUHAMIA KWENYE MADHABAHU YA KANISA JIPYA MWANZONI MWA MWAKA 2020

Baada ya kuhamia kwenye Kanisa jipya kwa mara ya kwanza mwaka 2020, mtindo huu wa baadhi ya waimbaji WANAUME wa PW kupandisha juu madhabauni kupitia ubavuni; ukawa hauwezekani tena. Hii ilikuwa ni kutokana na ARCHITECTURE ya madhabahu hiyo mpya ilivyokuwa imekaa, kabla haijafanyiwa marekebisho yaliyopelekea kuwa kama ilivyo sasa

NAMNA ARCHICTURE YA MADHABAHU YA KANISA JIPYA ILIVYOKUWA, KABLA YA KUFANYIWA MAREKEBISHO


Architecture ya Madhabahu hiyo ilikuwa ni ya ngazi zilizokuwa kwenye mduara na hivyo ilikuwa ni ya NUSU MDUARA

  • Si kwamba mtu alikuwa hawezi kupandisha madhabahuni kwa kupitia ubavuni kwenye nusu mduara huo; hapana ilikuwa inawezekana
  • Tofauti iliyokuja kujitokeza kati ya madhabahu hii mpya ya mduara na ile ya zamani ni kwamba hii mpya ilikuwa haiwezi tena kuwatofautisha watu wawili waliopandisha juu madhabahuni mmoja akiwa amepitia mbele na mwingine akiwa amepitia kulia au kushoto mwa madhabahu hiyo ya umbo la mduara
Pande hizi tatu za madhabahu yaani mbele, kulia au kushoto hazikuwa identical; na hivyo hazikuwa tofauti. Hata hivyo, tofauti pekee ndogo iliyokuwepo kati ya sehemu hizi ni kwamba nyingine ilikuwa ni kulia kwa madhabahu, nyingine ilikuwa mbele ya madhabahu na nyingine kushoto mwa madhabahu

Hizi ndiyo tofauti pekee zilizokwepo kwenye sehemu/ pande hizi tatau za madhabahu hiyo ya zamani; kabla Ibada hazijarejeshwa tena Knaisa la zamani

BAADA YA KM-A KUREJESHA TENA IBADA KWENYE KANISA LA ZAMANI MWAKA 2020

Baada ya kuonekana hakuna usikivu ndani ya Kanisa jipya, KM-A aliamua kuhamisha tena Ibada kwenda Kanisa la zamani

Baada ya hapo, Architecture ya Madhabahu ilifanyiwa marekebisho kwa madhabahu kutengenezewa njia mbili za nyongeza za kupandishia juu, moja kulia na nyingine kushoto, ambazo (njia hizo za nyongeza) ziko tofauti au identical na NJIA ILE KUU YA MBELE ya kupandishia madhabahuni na ambayo MARA ZOTE WATUMISHI WOTE WA MUNGU KWENYE NYUMBA ZA IBADA, HUWA WANAPANDISHA MADHABAHUNI KWA KUTMIA NJIA HIYO

HITIMISHO


Kwa hali ilivyo sasa hapo Kanisa A, waimbaji wote wa kikundi cha PW strictly huwa wanapadisha juu madhabahuni kwa kutumia njia ile ya kulia tu wakati watumishi wa Mungu wao huwa wanapandisha kwa kutumia mojawapo ya njia zile mbili zilizobaki; yaani ile ya kushoto au ya mbele

Kwa hiyo kwa sasa, strictly hayupo mwimbaji wa PW ambaye huwa anapandisha juu madhabahuni kwa kutumia NJIA KUU, yaani ile ya mbele au ya katikati kwa maneno mengine

Ikumbukwe kuwa kipindi Ibada zikiwa bado zinafanyikia kwenye madhabahu ya zamani; ANGALAU kulikuwa na mwimbaji MWANAUME kwenye kundi la PW ambaye mara nyingi alikuwa anapandisha juu madhabahuni kupitia ubavuni mwa madhabahu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWENYE MUDA WOTE AMBAO MADUDU YA AINA HII YAMEKUWA YAKIENDELEA HAPO KANISA A………….

Yule ambaye anaonekana kuwa ni mmojawapo wa mainjinia wakubwa kabisa wa matukio haya; Kiongozi yule aliyesimama madhabahuni J2 ya tarehe 16/10/2022 akiwa anatumia MIC za aina mbili ….

…… kuna siku (miaka kadhaa nyuma), akiwa amevimbewa yupo madhabahuni anafundisha neno la Mungu, aliwahi kudokeza kuwa kwa cheo alichonacho, hawezi kuonekana ananunua vitu Sokoni kwa sababu kwa kufanya hivyo atakuwa andhalilisha mamlaka ya uteuzi wake.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 27TH OCTOBER 2022

JAMBO JINGINE JIPYA AMBALO HAPO KABLA HALIKUWAHI KUWEPO KANISA A: NAMNA WAGENI WANAOFIKA KWENYE IBADA, WANAVYOELEKEZWA KUTOKA NDANI YA NYUMBA YA IBADA KWENYE BAADHI YA SIKU, MUDA MFUPI KABLA YA IBADA KUFUNGWA


Kwenye baadhi ya siku, wageni wanaofika Kanisa A wamekuwa wakielekezwa kutoka nje ya nyumba ya Ibada KABLA YA IBADA KUFUNGWA RASMI

  • Kawaida Ibada huwa inakuwa imefungwa rasmi baada ya kiongozi anayehusika, kusimama madhabahuni na kutoa sala au kutamka baraka kwa waumini wote wa Ibada husika ya siku hiyo
  • Kwa miaka ya hivi karibuni, umejitokeza utaratibu mpya wa wageni kuruhusiwa kuondoka kabla Kiongozi anayehusika na kufunga Ibada hiyo, hajafunga rasmi kwa sala na hivyo kupelekea wageni hao kukoseshwa ushiriki wao kwenye mchakato wa kufunga Ibada ambayo wao pia walikuwa sehemu yake
Kutokana na hali hiyo, wageni kutoshiriki kufunga Ibada kunawanyima fursa ya kutamkiwa baraka yoyote ya kuwasaidia kuanzia muda huo wanapokuwa wanaondoka Ibadani na kuendelea mbele

Mbali na hilo, kitendo cha wao kuondoka huku Kanisa zima likiwa likiwa limesimama “attention” tayari kwa kufunga Ibada, kinapelekea angalau kila mshiriki mwenyeji wa Kanisa A, kuwaona kwa ufasaha wageni hao washiriki wa Ibada ya siku hiyo.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa wageni hawa huwa wanatakiwa watoke kwanza halafu ndiyo utaratibu wa kufunga Ibada uendelee

HITIMISHO

Utaratibu wa aina hii ulianza baada ya Desemba 2020; baada ya baadhi ya waumini wa Kanisa A kuhudhuria hafla fulani mahali fulani ambako waumini waliona vile ambayo waliviona na hatimaye kurudi Kanisani na kuja kuvitolea maelezo

Vinginevyo katika hali ya kawaida, hakuna LOGIC ya waumini kuwa wanasimamishwa kwa ajili ya kufunga Ibada, halafu baada ya hapo tena, wageni wanaeekezwa watoke nje kabla Kiongozi hajatamka sala ya kufunga Ibada

Mbali na hilo, wakati mwingine inaweza kuleta picha kuwa pengine baadhi ya wageni wanaweza kupoteza kitu badala ya kupokea; assuming sala ya kufunga Ibada inatamkwa huku wakiwa bado wapo ndani Kanisani

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 30TH OCTOBER 2022

KWA WAUMINI WA "KANISA A" WALIOKUWEPO KWENYE IBADA YA KWANZA J2 YA TAREHE 30/10/2022 YENYE SOMO LILILOKUWA NA KICHWA KILICHOSEMA “NGUVU YA JINA LA YESU”


Baadhi tu ya mambo muhimu yaliyofundishwa kwenye somo hili:
  • Tafsiri ya neno Yesu kwa Kiebrania ni Joshua;
  • Baadhi ya watu huwa wanapewa majina ambayo hayaendani na matendo yao;
  • Unaweza ukaitwa Upendo na usiwe na upendo.
Hapa mtumishi wa Mungu alikuwa anatoa mfano na aliwaonba msamaha akina Upendo kwa kuwatolea mfano jina lao

Akina Joshua majina yao huwa hayaendani na matendo yao.

Hapa mtumishi wa Mungu alikuwa hatoi mfano tena bali alikuwa anamaanisha kuwa akina Joshua si wazuri sana kwenye matendo yao kama yalivyo majina yao na nukuu ya maneno yake katika katika hili ni kama ilivyo hapa chini

“Na nimesema KUNA WENGINE WANALITUMIA HILI JINA YESU WANAITWA YOSHUA; Yoshua maana yake ni Yesu. Lakini kawachunguze akina Yoshua wengi unaowafahamu maisha yao wanayoyaishi; yanafanana na ya Bwana Yesu? Wao wanalitumia kama jina tu walibeba wakaamua kujiita hivyo lakini haliakisi kile wanachokiishi”

Je, kuna utafiti wowote wa kiroho (au hata wa kimwili) ambao umeshathibitisha hili ukilinganisha na majina mengine?

Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kwamba MOJAWAPO YA WATU AMBAO WANAJULIKANA PASIPO SHAKA YOYOTE KUWA HUWA WANAISHI MAISHA YASIYOAKISI MAJINA YAO NI AKINA JOSHUA AU AKINA “YESU”. Hawa ndiyo (kwa kiwango kikubwa) baadhi ya wale wanaoonekana kuishi maisha ambayo hayaakisi uhalisia wa maisha yao

Tukirudi kwenye somo letu la J2 ya leo, kichwa cha somo kilikuwa kinasema “NGUVU YA JINA LA YESU”

Tuseme sasa KUNA TAFITI NYINGI TU, TENA ZA KIROHO, ambazo zimeshawahi kufanyika huko nyuma na kuthibitisha pasipo shaka kabisa kuwa AKINA JOSHUA AU AKINA “YESU” huwa hawaishi maisha yasiyoendana na uhalisia wa uzuri wa jina lao

Je, kwa somo hli la J2 ya leo, kuna uhusiano wowote kati ya kichwa cha somo na hili swala la akina YESU kutokuishi maisha yenye kuendana na uzuri wa jina lao?

Mhusika anatamani sana hapo baadaye, kuja kuiongelea point ya mahubiri haya (yanayohusiana na akina Joshua au akina Yesu); akiyahusianisha na mahubiri mengine ya mtumishi huyu huyu wa Mungu alipokuwa amesimama tena madhabahuni J2 ya tarehe 04/09/2022; J2 ile ya kwanza kabisa ambayo Kiongozi Mkuu wa Kanisa A KM-A hakuwepo Kanisani; alikuwa ameanza likizo yake

  • Kichwa cha somo J2 hiyo kilikuwa “YAFAHAMU MAKAO YA UWEPO WA MUNGU WAKATI WA AGANO JIPYA”
  • Somo hili lilianza kufundishwa kwa mara ya kwanza, J2 ya tarehe 28/08/2022 wakati wa Ibada ya kwanza peke yake
  • Kwenye J2 hiyo tajwa, Ibada ya pili ilikuwa ni ya ndoa na hivyo somo hili halikufanikiwa kufundishwa tena
  • Kutokana na hali hiyo, somo hilo lilikuja kufundishwa tena kwa mara nyingine ya pili J2 iliyofuata ya tarehe 04/09/2022
Vile vile, somo la J2 ya leo limefundishwa kwenye Ibada ya kwanza tu
  • Ibada ya pili halikufundishwa kwa sababu ilikuwa ni Ibada ya ndoa pia
  • Somo hili litafundishwa tena J2 ijayo ya tarehe 06/11/2022
……………………itaendelea
 
UPDATE-2: SUNDAY 30TH OCTOBER 2022

MHUSIKA ANA TATIZO JINGINE NYUMBANI KWAKE AMBALO DETAiLS ZAKE NI KAMA ZILIVYO HAPA CHINI; CHANZO CHA TATIZO HILI NI OFISA WA NYUMBA

Mhusika ana jiko la umeme la kupikia lenye plate nne, mbili kubwa na mbili ndogo
  • Kwenye kipindi fulani hapo nyuma, all of a sudden, alikuja kustukia plate mbili kubwa zimepunguza moto ghafla na zikaendelea kupunguza taratibu hadi kufika hatua ya kushindwa kuzitumia kwenye baadhi ya matumizi kama vile ya kupikia wali
  • Ilipofika mwishoni mwa June 2022 (mwaka huu), mhusika alipata wageni na hivyo kulazimika kuwa anatumia jiko la mafuta kwa kupikia wali
  • Ndani ya siku chache tu baada ya kuwasili wageni, plate hizo kubwa zilirudi tena katika hali yake ya kawaida, moto wake wa kawaida ulirudi kama zilivyokuwa huko nyuma
  • Kuanzia pale, mhusika aliacha kutumia jiko la mafuta kwa kupikia wali na hivyo kurudisha tena matumizi ya jiko la umeme kwa ajili ya mapishi ya wali
  • Ilipofika mwishoni mwa mwezi wa 9, wageni waliondoka, na mara tu baada ya wageni kuondoka, plate hizo kubwa za jiko la umeme zilipoteza tena nguvu ya umeme hadi leo hii hazina nguvu ya kutosha; hawezi tena kuzitumia kwa matumizi ya kupikia wali
MAELEZO YA TATIZO HILI KUTOKA KWENYE UZOEFU WA NYUMA

Ni kwamba Ofisa wa Nyumba (tumwite ON) anahusika katika hili
  • Kuna kipindi fulani huko nyuma katika muda tofutti tofauti, aliwahi kuwa anambugudhi mhusika na kampeni yake binafsi na ya kisirisiri ya kumtaka mhusika aanze kutumia GESI badala ya umeme
  • Katika jitihada zake hizo, kwenye vipindi viwili tofauti, aliwahi kufika nyumbani kwa mhusika mara mbili mida ya jioni, na katika muda ambao mhusika mwenyewe hakuwepo nyumbani kwake
  • Katika safari zote hizo, “ON” alikuwa akichomeka barua za kiofisi na ambazo zilikuwa ni za forgery alizokuwa amezitengeneza yeye mwenyewe huku zikionyesha kuwa zimetoka (na hivyo kusainiwa na) mamlaka za ngazi za juu za taasisi
  • Baruahizo zilikuwa na maagizo yaliyomtaka mhusika awaruhusu mafundi waingie ndani nyumbani kwake kwa ajili ya kuweka mfumo wa matumizi ya gesi
  • Kawaida, mara zote barua zote za kiofisi huwa zinamfikia mhusika kwa kupitia ofisini kwa Mkuu wa Idara anayofanyia kazi mhusika
  • Barua hizi mbili kutoka kwa ON, zenyewe zilimfikia mhusika baada ya ON kuzileta yeye mwenyewe nyumbani kwa mhusika na kuzichomeka kpiti chini mlangoni huku mhusika akiwa hayupo nyumbani kwake na chances kubwa ni kwamba alikuwa anzichomeka katika muda ambao hapakuwa na mtu aliyekuwa akimuona. Muda ambao mhusika alikuwa anazikuta barua hizo ndani nyumbani kwake ulikuwa unaashiria kuwa zilikuwa zikichomekwa baada ya giza kuwa limeingia
HITIMISHO

Baada ya ON kuwa ameleta barua hizo mbili na mhusika kutochukua hatua yoyote ndiyo kuanzia pale sasa umeme wa baadhi ya plates za jiko lake ulianza kupungua ikiwa ni pamoja na Microwave Oven yake ya zamani kushindwa kufanya kazi kutokana na umeme kuonekana kuwa ni mdogo

Kwa hali ilivyo sasa hivi, plate hizi mbili kubwa za jiko la umeme tayari zimeshapungua tena nguvu na kwa kadri ya uelewa wake mpana, tatizo hili limekuwa mara zote likisababishwa na ON. Mhusika haelewi namna ambavyo mtu huyu huwa anafanya ila anachojua ni kwamba Ofisa wa Nyumba ndiyo amekuwa akihusika na tatizo hili

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 31ST OCTOBER 2022

KILE KILICHOKUWA KINAENDELEA KWENYE IBADA YA KWANZA KANISA A JANA J2 YA TAREHE 30/10/2022 KINAWEZA KUWA KILIKUWA NA UHUSIANO NA MAANDALIZI YA MAOMBI YOTE YATAKAYOKUWA YANAFANYIKA KANISANI HAPO



USHAHIHIDI KUHUSIANA NA KILICHOSEMWA HAPO JUU

Kwanza kabisa
ushahidi wa hiki kinachosemwa hapa unatoka kwenye mahubiri ya mtumishi wa Mungu aliyekuwa amesimama madhabahuni J2 hiyo.

Ushahidi huu kutoka kwenye mahubiri ya mtumishi wa Mungu, mhusika atakuja kuliongelea zaiidi hapo baadaye


Hata hivyo, ushahidi mwingine wa pili unatoka kwenye kundi linaloundwa na watu kadhaa ambao waliobahatika kusimama juu madhabahuni J2 hiyo; aidha kutokana na nafasi zao Kanisani hapo au kwa kukaribishwa na KM-A ili waweze kuwasalimia waumini. Kundi hili la pili linatengenezwa na watu kadhaa kama ifuatavyo

  • Kuna wale waliosimama kutoa matangazo kuokana na nafasi zao baadhi yao wakiwa ni Kiongozi wa zamu pamoja na Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)
  • Mbali na hao, pia kuna wale waliosimama madhabahuni baada ya kuwa wamekaribishwa na KM-A kwa ajili ya kutoa salaamu fupi kwa waumini
Kundi jingine la tatu na la mwisho, linaundwa na mtu mmoja tu na ambaye ni Kiongozi pia.

Kiongozi huyu yeye hakusimama madhabahuni isipokuwa alipandisha kidogo tu kwenye ngazi za madhabahu, (hakuzimaliza aliishia katikati), alipokuwa anampelekea Biblia KM-A ambayo (KM-A) alisahau kupandisha nayo juu madhabahuni, kitendo kilichopelekea KM-A kuwepo juu madhabahuni bila kuwa na Biblia



KAZI YA BIBLIA HIYO ALIYOKUWA AMEISAHAU KM-A NA KUPELEKEA KIONGOZI MWINGINE APANDISHE NGAZI AKIWA ANAPELEKEA BIBLIA KWA KM-A


Kazi kubwa ya Biblia hiyo aliyoihitaji KM-A na kupelekewa akiwa yupo juu madhabahuni, ilikuwa ni kuinyoosha juu tu na baada ya hapo KM-A kuwaomba waumini wote waliokuwa wamebeba Biblia zao, nao pia wanyooshe juu mikono yao ikiwa imebeba Biblia hizo, ombi ambalo waumini walitekeleza

Baada ya ombi la kwanza la KM-A kwa waumini, KM-A aliwaomba tena waumini wanyooshe juu madaftari yao ambayo huwa wanayatumia kuandika notisi za kwenye kila Ibada, na waumini walitekeleza ombi hilo pia

Hata kwa upande wa mhusika, yeye hakutekeleza maagizo yote mawili kwa sababu yalishawahi kumletea madhara huko nyuma na kwa kupitia kiongozi huyu huyu aliyekuwa anatoa maombi hayo kwa mara nyingine tena huku akiwa amesimama madhabahuni. Hata hivyo mhusika anayo smartphone ambayo ni DEDICATED BIBLE (huwa haitumiki kwa matumizi mengine yoyote yale isipokuwa kama Biblia tu) na ambayo inaweza kutumika kama note book pia. Ina 32GB storage capacity na aliinunua zaidi ya miaka minane (8) iliyopita

DETAILS ZA KILA KUNDI LILILOBAHATIKA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI J2 HIYO

………………inaendelea
 
DETAILS ZA KILA KUNDI LILILOBAHATIKA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI J2 HIYO

KATIKA MAZINGIRA YA KAWAIDA YA KILA SIKU MAHALI POPOTE PALE:

VYEO/ HADHI AMBAZO HUWA ZINAAMBATANA NA MAJINA YA WATU WOTE MAHALI POPOTE PALE/ WAUMINI WOTE KANISANI PINDI INAPOTOKEA MAJINA YAO YAMETAJWA AU KUTAMKWA

Hapa wasomaji inabidi wakumbuke PRINCIPLE MOJA KUBWA ambayo mhusika alishaifanyia utafiti siku nyingi na kuithibitisha pasipo shaka kuwa MADHABAHU INAPOKUWA IMESHAMBULIWA,

KILA KINACHOTAMKWA KUTOKEA KWENYE MADHABAHU HIYO HUWA KINAKUWA NI SHAMBULIZI LINALOELEKEZWA KWA KILE KILICHOTAMKWA; NA KWAMBA MOJAWAPO YA NJIA AMBAZO HUWA ZINAPELEKEA MADHABAHU KUSHAMBULIWA NI KWA NJIA YA MTU KUSIMAMA MADHABAHUNI NA KUANZA KUTAMKA MANENO MACHAFU YASIYOSTAHILI AU KWA KUTUMIA UTAALAMU WA MAANDIKO MATAKATIFU YALIYO KWENYE BIBLIA AMBAYO HUWA YANAGEUZWA KATIKA NAMNA AMBAYO MAANDIKO HAYO HUANZA KUFANYA KAZI YAKIWA YANA-SUPPORT UPANDE ULE ULIO KINYUME NA MAANDIKO HAYO

Baad ya kuiona Principle hii muhimu, tunaweza sasa kuendelea na maelezo ya nyongeza kuhusiana na mada iliyopo mezani: “DETAILS ZA KILA KUNDI LILILOBAHATIKA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI J2 HIYO”
 
DETAILS ZA “CODE” YA KILA KUNDI LILILOBAHATIKA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI J2 HIYO

Wale wote waliobahatika kupandisha juu madhabahuni J2 hiyo kutokana na majukukumu yao Kanisani hapo, kila mmoja wao alikuwa na angalau title moja

Details za watumishi wa kwanza watatu waliosimama madhabahuni kabla ya KM-A hajapanda madhabahuni ziko kama zilivyoainishwa hapa chini

  • Mhuburi wa neno la siku hiyo: Mtumishi huyu mara zote jina lake huwa linaambatana na title fulani ambayo tunaweza kuipa code PSTR hapa
  • Kiongozi wa zamu: huyu naye pia, mara zote jina lake huwa linaambatana na title hiyo hiyo ya PSTR
  • Kiongozi aliyesimama kutoa matangazo kutoka Ofisi ya Wazee. Huyu jina lake huwa linatumia title ambayo ina code mbili moja ikiwa ni ya hapo Kanisani na nyingine ya nje ya Kanisa
Code ya title ya mtumishi huyu Kanisani tuiite MZEE na ile ya nje ya Kanisa tuiite PRF

CODE AMBAZO ZILIKUWA TAYARI ZIMESHAKANYAGA MADHABAHUNI KABLA KM-A HAJAPANDISHA MADHABUNI


Kwa hiyo kabla KM-A hajapandisha juu madhabahuni J2 hiyo; code ambazo zilikuwa tayari zimeshakanyaga madhabahuni zilikuwa ni tatu ambazo ni PSTR, MZEE na PRF na zikiwa zinabeba uwakilishi wa watu watatu

Code zingine za waumini waliopo Kanisani A (au hata watu wengine waliopo mtaani) ambazo zilikuwa bado hazijakanyaga madhabahuni au zilizokuwa zimebaki ni hizi hapa:

MR, MRS, DR na ACTING (Ag.)

Ikumbukwe kuwa hizi ni code zinazohusiana na watu ambao angalau walisimama madhabahuni kwa kutumia muda wa kipekee na hivyo kupelekea watu hao kuonekana na waumini wote kanisani hapo na wengi wao kupata nafasi ya angalau kuongea neno kwa waumini

Kwa hiyo kwa upande mwingine, code hizi hazihusiani na kundi la vijana waliokuwa wanahudumu kwenye Ibada kwa njia ya uimbaji J2 hiyo kwa sababu

  • Kusimama kwao madhabahuni kwa ajili ya huduma siku hiyo kulikuwa hakupelekei wao nao kuwakilisha code yoyote ile kati ya hizi zitakazoongelewa humu.
  • Kama kuna code zozote zile ambazo vijana hao nao walikuwa wanaziwakilihsa, basi kwa hizo mhusika atakuwa bado hajazifahamu ila uhakika ni kwamba kama zipo basi zitakuwa ni za aina nyingine tofauti na hizi anazoziongelea hapa
  • Kwa hali hiyo kwa vijana hawa, code zao nazo zilikuja kuwakilishwa baadaye na watu wale wale waliopata nafasi ya kusimama madhabahuni; wakati na baada ya Ibada kuu
CODE AMBAZO ZILIKUWA BADO HAZIJAKANYAGA MADHABAHUNI HATA BAADA YA KM-A KUWA AMEPANDISHA MADHABUNI

Baada ya KM-A kuwa amepandisha juu madhabahuni; yeye mwenyewe kama KM-A alifanya kazi ile ya kuiwakilisha code yake mwenyewe peke yake kwa sababu Kiongozi Mkuu Kanisani hapo yupo peke yake; ni mmoja tu

HATA HIVYO, HADI KUFIKIA MUDA HUO, CODE ZOTE ZILIZOKUWA ZIMEBAKI NA AMBAZO ZIMETAJWA HAPO JUU (
MR, MRS, DR NA ACTING (AG.)) ZILIKUWA BADO HAZIJAPATA UWAKILISHI MADHABAHUNI NA HIYO NDIYO KAZI NYINGINE AMBAYO KM-A ALITAKIWA KUIFANYA

  • Kuifanya kazi hiyo, kwa kuanzia KM-A alimwita Kiongozi mwingine ambaye anaweza kushika nafasi ya Acting.
  • Huyu alimwita ili ampelekee Biblia juu madhabahuni, baada ya kuwa ameisahau chini
  • Kwa hiyo, huyu aliitwa kuwakilisha code ya watumishi wote wanaoweza kukaa kwenye nafasi ya ku-act kwenye nafasi ya KM-A pale inapotokea kuwa hayupo Kanisani au amesafiri
  • Kwa upande mwingine, huyu ndiye Kiongozi aliyepelekea KM-A akasahau kubeba Biblia alipokuwa anapandisha juu madhabahuni.
  • Wakati anapandisha juu madhabahuni, KM-A alitakiwa asahau kubeba Biblia ili kutengeneza mazingira ambayo yangeweza kupelekea Kiongozi mwingine apandishe juu madhabahuni pasipo kujulikana na waumini, nia nyingine tofauti iliyokuwa imejificha kwenye kitendo
Kitendo cha KM-A kupokea Biblia hiyo aliyopelekewa juu madhabahuni, ndiyo kilipelekea sasa Biblia za waumini wote kuinuliwa juu ikiwa pamoja na note zao. Hilo tendo likapita

Baada ya hapo, KM-A alianza kujibaraguza kidogo kuita watu wengine ambao walionekana kuwa hawakuwepo kwenye Ibada hiyo.

  • Hapo sasa alikuwa anatafuta njia ambayo ni foolproof kwa waumini, ili aweze kuwaita wengine tena aliokuwa bado anawahitaji kwa ajili ya kukamilisha zoezi lake
  • Baada ya kuwakosa alioonekana kuwa aliwahitaji; aliamua kuwaita juu madhabahuni, waunini wengine wawili mmoja akiwa na code ya DR na mwingine code ya MR
  • Waumini hawa waliitikia wito na walipandisha kwa pamoja juu madhabahuni na hatimaye kutoa neno kwa waumini
Kwa hiyo hadi kufikia hapo, code mbili za DR na MR zikawa zimekuwa covered na hivyo KM-A akawa amebakiza code moja ya MRS tu; kwa sababu code ya PROF ilikuwa tayari imeshakuwa covered kwenye code zile za mwanzo ambazo mhusika ameshazitaja hapo juu

Kwa hiyo baada ya hapo, KM-A alimalizia kwa kumwita mama mmoja ambaye pia ni kiongozi kanisani hapo na huyo ndiyo akawa amekamilisha uwakilishi wa code zote na kazi ya KM-A ikawa imeishia hapo

…………………………….inaendelea
 
BAADA YA KUYAONA HAYO YOTE HAPO JUU KAMA YALIVYOTOLEWA UFAFANUZI:

TUKIRUDI SASA KWENYE MAHUBIRI YA MTUMISHI WA MUNGU J2 YA TAREHE 30/10/2022 YALIYOKUWA NA KICHWA CHA SOMO “NGUVU YA JINA LA YESU”


Kwenye baadhi tu ya mambo muhimu kwenye mafundisho yake, mhubiri alianza kwa kutoa tafsiri ya neno “Yesu” kwa Kiebrania na kusema kuwa ni “Yoshua”; kitu ambacho ni sahihi kabisa

Mbali na hilo, mhubiri alitoa maneno yanayosimama badala ya/ yanayomaanisha jina Yoshua

Hadi kufikia kwenye point hii, mhubiri alikuwa tayari ameshaanza kushughulika na mambo kadhaa ambayo ni kama ifuatavyo

Alikuwa anaongelea majina ambayo kwa muktadha aliomo, moja ni jina la binadamu na jingine jina ni la Mungu aliyemuumba binadamu; kiasi kwamba pamoja na ukweli usipingika kuwa tafsiri ya jina “Yesu” ni “Yoshua” kwa hapa kwetu, Yoshua ni bindamu na Yesu ni Mungu na hivyo katika mazingira tuliyopo sisi, hakuna mtu ambaye huwa anaweza kupewa jina YESU isipokuwa watu huwa wanaitwa YOSHUA

  • Hii inamaanisha kuwa kwa hapa kwetu na kwa kuzingatia imani ya Kikristo, kwa upande mmoja STRICTLY jina “YESU” ni jina la MUNGU TU na si vinginevyo na kwa upande mwingine STRICTLY jina “YOSHUA” ni jina la binadmau tu na si vinginevyo
  • Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kwamba kazi kubwa aliyokuwa anafanya mhubiri madhabahuni J2 WAS “TO REDUCE THE NAME “JESUS” INTO THAT OF A HUMAN BEING” na baada ya kuwa amefanya hivyo, mhubiri huyo huyo alitamka sasa maneno haya hapa chini kwa kinywa chake, kuhusiana na majina ya “YOSHUA”
“Na nimesema KUNA WENGINE WANALITUMIA HILI JINA YESU WANAITWA YOSHUA; Yoshua maana yake ni Yesu. Lakini kawachunguze akina Yoshua wengi unaowafahamu maisha yao wanayoyaishi; yanafanana na ya Bwana Yesu? Wao wanalitumia kama jina tu walibeba wakaamua kujiita hivyo lakini haliakisi kile wanachokiishi”

Pasipo kwenda mbali sana; hapa mhubiri alikuwa anashughulika na vitu viwili; MAJINA NA TITLE ZAKE, na katika mazingira yote anatumia JINA LA YESU katika namna aliyokuwa ameificha ndani ya Maandiko Matakatifu Biblia

Kwa hiyo nukuu iliyopo hapo juu; kuhusu YOSHUA/ YESU haiwapondi akina JOSHUA bali inamponda Yesu na kwa hali hiyo HAPA YESU ANAPONDWA NA MTU ALIYESIMAMA MADHABAHUNI KWAKE (YESU) HUKU AKIWA ANAFUNDISHA MAANDIKO MATAKATIFU KWA KUTUMIA BIBLIA. BWANA ANAPONDWA NA MTU AMBAYE AMESIMAMA KWENYE MADHABAHU YAKE

Swali kwa muumini yeyote wa Kanisa A; unadhani ni nini kilitokea J2 hiyo kwenye Madhabahu ya Bwana, baada ya Madhabahu hiyo kuwa imekuwa ABUSED kwa kiwango hiki?

Kwa waliokuwa makini J2 hiyo, wakati wa matangazo yale ya awali; kuna “MRS” nyingi sana zilitajwa J2 hiyo tofauti na ilivyo kawaida siku zote

Kwa kifupi sana, hadi kufikia hapa, mhubiri alikuwa ameshashughulika na lugha, tafsiri za lugha, majina ya watu, title za majina ya watu wakiwemo watu wanaoitwa akina UPENDO ikiwa ni pamoja na UPENDO WENYEWE KAMA TENDO.

Tahadhari kubwa sana katika hili inabidi iende kwa waumini wote wa Kanisa A; hasa wale walioko kwenye ndoa; inabidi wawe waangalifu sana kwa sababu KUNA RUNGU LILISHUWSHWA KWENYE UPENDO WAO KUPITIA MAHUBIRI YA J2 YA TAREHE 30/10/2022

………………….inaendelea
 
LUGHA NA TAFSIRI ZA LUGHA UKIZIHUSIANISHA NA SOMO HILI LILILOKUWA LIMEBEBA KICHWA CHA SOMO “NGUVU YA JINA LA YESU”

Lugha na tafsiri za lugha kwa wale wananonena na /au kutafsiri

  • Wanenaji na watafsri wa lugha upande wa Yesu walishambuliwa
  • Wanenaji na watafsri wa lugha upande ulio kinyume na Yesu “were nourished”. Hapa sasa anaingia yule nabii aliyewahi kutamka maneno makali sana akiwa amesimama madhabahuni kwa kusema “mnawageuza wake zenu nyuma”.
  • Ibada hii ya J2 iliyopita itakuwa imeneemesha sana watu wa aina ya nabii huyu
Possibly watu watanena sana kwa lugha ikiwa ni pamoja na kutafsiri, hasa kwenye haya maombi yaliyotangazwa kuanzia J4 wiki hii huku jina la YESU likiwa limeondolewa nguvu kwa kutumia somo lenye kichwa “NGUVU YA JINA LA YESU”

Na hii ndiyo sababu iliyopelekea hapo awali, mhusika akasema kwamba mafundisho ya J2 iliyopita yameonyesha kuwa na uhusiano na maombi yatakayokuwa yanaendelea kufanyika Kanisa A

KUHUSIANA NA JINA UPENDO LILILOTOLEWA MFANO WAKATI WA MAHUBIRI KWAMBA “AKINA UPENDO HUWA HAWANA UPENDO”


Hili jina nalo pia lilipondwa na kupondwa huko kunawakilisha yafuatayo

  • “Mhusika mkuu” aliyekuwa anapondwa hasa kwa kutumia jina hili ni Yesu mwenyewe kwa sababu MUNGU NI PENDO
  • Wengine waliofuatia sasa kwenye sakata hilo ni wale wote wapendanao wakiwemo wanandoa na/ wanafamilia
  • Hawa walikuwa wanashambuliwa ili wapoteze upendo wao kwenye familia zao na wanandoa nao wahitilafiane na/ au wafarakane.
  • Kwa ujumla kwenye shambulizi hili, pendo la kila mtu lilikuwa linawekwa kwenye dialemma
Mbali na hao, watu wengine wote nao pia walikuwa wanashambuliwa kupitia majina yao, na si wale tu ambao majina yao ni akina UPENDO hapana; bali kila mtu ambaye ana jina alikuwa anashambuliwa. Isipokuwa UPENDO lilikuwa jina wakilishi tu!

Mbali na hayo, title zinazoambatana na majina ya watu nazo zilikuwa zinashambuliwa pia

Nawausia waumini wote wa Kanisa A warudie tena kuyasikiliza mahubiri hayo ya Ibada ya kwanza ya jana J2 ya tarehe 30/10/2022

…………………………itaendelea tena kesho
KUHUSIANA NA BIBLIA NA NOTEBOOK AU DAFTARI

ikiwa ni pamoja na uchambuzi wa baadhi ya mafundisho ya mtumishi huyu huyu aliyatoa kwenye Ibada ya J2 ya tarehe 04/09/2022
 
UPDATE: TUESDAY 011ND NOVEMBER 2022

MHUSIKA ANA TATIZO JINGINE NYUMBANI KWAKE AMBALO DETAiLS ZAKE NI KAMA ZILIVYO HAPA CHINI; CHANZO CHA TATIZO HILI NI OFISA WA NYUMBA


Mhusika ana jiko la umeme la kupikia lenye plate nne, mbili kubwa na mbili ndogo
  • Kwenye kipindi fulani hapo nyuma, all of a sudden, alikuja kustukia plate mbili kubwa zimepunguza moto ghafla na zikaendelea kupunguza taratibu hadi kufika hatua ya kushindwa kuzitumia kwenye baadhi ya matumizi kama vile ya kupikia wali
  • Ilipofika mwishoni mwa June 2022 (mwaka huu), mhusika alipata wageni na hivyo kulazimika kuwa anatumia jiko la mafuta kwa kupikia wali
  • Ndani ya siku chache tu baada ya kuwasili wageni, plate hizo kubwa zilirudi tena katika hali yake ya kawaida, moto wake wa kawaida ulirudi kama zilivyokuwa huko nyuma
  • Kuanzia pale, mhusika aliacha kutumia jiko la mafuta kwa kupikia wali na hivyo kurudisha tena matumizi ya jiko la umeme kwa ajili ya mapishi ya wali
  • Ilipofika mwishoni mwa mwezi wa 9, wageni waliondoka, na mara tu baada ya wageni kuondoka, plate hizo kubwa za jiko la umeme zilipoteza tena nguvu ya umeme hadi leo hii hazina nguvu ya kutosha; hawezi tena kuzitumia kwa matumizi ya kupikia wali
MAELEZO YA TATIZO HILI KUTOKA KWENYE UZOEFU WA NYUMA

Ni kwamba Ofisa wa Nyumba (tumwite ON) anahusika katika hili
  • Kuna kipindi fulani huko nyuma katika muda tofutti tofauti, aliwahi kuwa anambugudhi mhusika na kampeni yake binafsi na ya kisirisiri ya kumtaka mhusika aanze kutumia GESI badala ya umeme
  • Katika jitihada zake hizo, kwenye vipindi viwili tofauti, aliwahi kufika nyumbani kwa mhusika mara mbili mida ya jioni, na katika muda ambao mhusika mwenyewe hakuwepo nyumbani kwake
  • Katika safari zote hizo, “ON” alikuwa akichomeka barua za kiofisi na ambazo zilikuwa ni za forgery alizokuwa amezitengeneza yeye mwenyewe huku zikionyesha kuwa zimetoka (na hivyo kusainiwa na) mamlaka za ngazi za juu za taasisi
  • Baruahizo zilikuwa na maagizo yaliyomtaka mhusika awaruhusu mafundi waingie ndani nyumbani kwake kwa ajili ya kuweka mfumo wa matumizi ya gesi
  • Kawaida, mara zote barua zote za kiofisi huwa zinamfikia mhusika kwa kupitia ofisini kwa Mkuu wa Idara anayofanyia kazi mhusika
  • Barua hizi mbili kutoka kwa ON, zenyewe zilimfikia mhusika baada ya ON kuzileta yeye mwenyewe nyumbani kwa mhusika na kuzichomeka kpiti chini mlangoni huku mhusika akiwa hayupo nyumbani kwake na chances kubwa ni kwamba alikuwa anzichomeka katika muda ambao hapakuwa na mtu aliyekuwa akimuona. Muda ambao mhusika alikuwa anazikuta barua hizo ndani nyumbani kwake ulikuwa unaashiria kuwa zilikuwa zikichomekwa baada ya giza kuwa limeingia
HITIMISHO

Baada ya ON kuwa ameleta barua hizo mbili na mhusika kutochukua hatua yoyote ndiyo kuanzia pale sasa umeme wa baadhi ya plates za jiko lake ulianza kupungua ikiwa ni pamoja na Microwave Oven yake ya zamani kushindwa kufanya kazi kutokana na umeme kuonekana kuwa ni mdogo

Kwa hali ilivyo sasa hivi, plate hizi mbili kubwa za jiko la umeme tayari zimeshapungua tena nguvu na kwa kadri ya uelewa wake mpana, tatizo hili limekuwa mara zote likisababishwa na ON. Mhusika haelewi namna ambavyo mtu huyu huwa anafanya ila anachojua ni kwamba Ofisa wa Nyumba ndiyo amekuwa akihusika na tatizo hili

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom