#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

BAADA YA BARUA ZA MHUSIKA KUPITIA MKONDO WA ZAMANI KUWA ZINARUDI: WALICHOONGEA MHUSIKA NA KAIMU MKUU WA IDARA (K-MWI) OFISINI KWA MKUU HUYO

……………..inaendelea


KMH alifika ofisini kwa mhusika na kumjulisha kuwa K-MWI alikuwa anamhitaji waongee ofisini. K-MWI huyu hakuwa yule wa siku zote, yule wa siku zote alikuwa yuko safarini

  • Mhusika alitikia wito huo na kuelekea ofisi ya MWI kwa ajili ya maongezi hayo
  • K-MWI alimweleza mhusika kuwa barua zake anazoandika kupitia mkondo wa mawasiliano wa zamani zinarudi
  • Zaidi K-MWI alimuuliza swali mhusika kuwa “sasa tufanyeje?”
  • Mhusika alimjibu K-MWI kuwa inabidi hilo zoezi tulisitishe kwanza, akimaanisha kuwa aache kwanza kushughulika na swala la barua hizo kwa sababu lilikuwa linamletea utata kwa kuwa na mawasilano ambyao ni ya aina mbili
  • K-MWI alimjibu mhusika akisema kuwa “hizi hela ni za kwako, inabidi uzipate. Leo upo kesho haupo”
  • Mhusika alimjibu bosi wake huyo kwamba hela hizo atazipata. Vile vile alimweleza kuwa hakuna haja ya kuwa na haraka kiasi hicho kwa sababu zimekaa muda mrefu muno
Maongezi ya mhusika na bosi wake yaliishia hapo na wakaachana kwa makubaliano hayo. Hiyo sasa ilikuwa J3 ya tarehe 07/02/2021.

Tangu tarehe hiyo hadi J3 nyingine tena ya tarehe 01/03/2021 hapakuwa na chochote kile kisichokuwa cha kawaida isipokuwa kuanzia J4 ndiyo kukaanza kujitokeza pilika pilika zisizokuwa za kawaida na kupelekea mhusika kuamua kufuatilia kuona kama barua yake ya kwanza ilifika kule alikokuwa ameielekeza, kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa barua pekee iliyosemekana kutumia mkondo sahihi wa mawasilano. Barua hiyo aliikuta haijafika huko. Hata hivyo ile ambayo alidhani kuwa ilitumia mkondo usio sahihi, na ambayo alikuja kuiandika nyuma ya ile ya kwanza, yenyewe pekee ndiyo aliikuta imeshafika kunakohusika



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
“MAJOR UNIT-B” KAMA ILIVYO KWA SASA TANGU KUTANGAZWA KUANZA KWAKE RASMI 02 NOVEMBA 2020

Kinachojulikana rasmi mpaka muda huu ni kwamba UNIT-A iliyotoka MAJOR UNIT-A na kwenda kuwa sehemu ya MAJOR UNIT-B, ndiyo mojawapo ya idara pekee zinazojulikana na zinazounda MAJOR UNIT-B

  • Mkuu wa unit hii ndiye yule aliyekuwa mkuu wa UNIT-A, na hivyo UNIT-A kwa sasa inaye K-MWI mwingine mpya ambaye naye pia bado hajatangazwa rasmi
  • Idara zingine zitakazounda uniti hii bado ziko midomoni mwa watu wa ngazi za chini, mmoja wao akiwa ni huyu mkuu wa hii unit mpya, yaani MAJOR UNIT-B
  • Hivyo basi mpaka muda huu, ngazi za juu hazijawahi kutamka chochote rasmi, yaani kwa njia ya maandishi, juu ya uwepo wa components nyingine za "major unit" hii, japo ukweli ni kwamba components hizi lazima zitakuwepo kwa sabau UNIT-A peke yake haitoshi kuunda unit ambayo ni MAJOR UNIT
Kwa hiyo kwa sasa, MAJOR UNIT-B, haina jengo wala ofisi ya mkuu wa unit hiyo isispokuwa

  • Kumekuwa tu na BANGO ambalo limekuwa likipepepea kwenye mlingoti kama wa bendera kwa muda mrefu sana kwenye jengo la UNIT-A linaloonyesha jina la "major unit" hiyo
  • BANGO hilo limekuwepo tangu Novemba 2020 mara tu wanafunzi waliporudi kutoka likizo
  • Mpaka wiki ya jana, yaani ile iliyoanzia tarehe 22/02/2021 mpaka 28/02/2021, BANGO hilo lilikuwepo kwa siku za kuanzia J3 hadi Ijumaa
  • Hata hivyo bango hilo kwa sasa halipo, limeshatolewa
Mhusika hakumbuki kwa mara ya mwisho ni lini aliiliona BANGO hilo ndani ya wiki hii, ila ukweli ni kwamba mpaka jana Ijumaa ya tarehe 05/02/2021, BANGO hilo halikuwapo tena mahali lilipokuwa likipepea, limeshatolewa



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MOJAWAPO YA SABABU AMBAZO HAPO AWALI ZILIZOKUWA ZIMEPELEKEA MHUSIKA KUACHA KUANDIKA BARUA ZAIDI KWA AJILI YA KUFUATILIA MASLAHI HAYA

Ukiachilia mbali hatua ya mhusika kuwahi kuacha kufuatilia maslahi yake kwa njia ambayo ni physical, yaani ile ya kwenda kuonana na wahusika moja kwa moja maofisini mwao, mhusika pia vile vile alikuwa maeachka kuandika barua kwenda ngazi za juu kwa ajili ya kudai maslahi yake hayo,. Hii inatokana na ukweli kuwa

  • Mkuu wa Idara wa UNIT-A aliyepita alikuwa anagoma kupitisha barua zake kwenda kwenye ofisi iliyokuwa inafuata, yaani ile ya mkuu wa MAJOR UNIT-A
  • Ikumbukwe kuwa hapo MAJOR UNIT-B ilikuwa bado haijazaliwa
  • Aliyekuwa akigoma kupitisha barua hizo, ndiye huyu ambaye kwa sasa, amekuwa mkuu wa MAJOR UNIT-B, unit mpya ambayo imezaliwa hivi karibuni
  • Vile vile ndiye huyu ambaye kwa sasa, barua zote anazoandika mhusika inabidi zipitie tena kwake halafu ndiyo ziende ngazi za juu
  • Mpaka muda huu, mojawapo ya barua zilizopitia kwake ni ile ya tarehe 21/01/2021 na ambayo haikuwahi kufika kule ilikokuwa imeelekezwa
  • Hata hivyo, ile ambayo haikupitia kwake bali kwa mkuu wa MAJOR UNIT-A, ndiyo ile ilifanikiwa kufika kwenye mamlaka husika
Kwa kukumbushia tu ni kwamba, mikondo ya mawasiliano ya barua za mhusika ni kama ilivyoonyeshwa hapa chini

Mkondo wa zamani:

UNIT-A⟹⟹MAJOR UNIT-A⟹⟹NGAZI ZA JUU



Mkondo wa sasa (mpya):

UNIT-A ⟹⟹MAJOR UNIT-B⟹⟹NGAZI ZA JUU



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KIONGOZI MKUU WA KANISA A

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A

KUFUTWA KWA SOMO LA UANANFUNZI NA MAANDIKO SIKU ZA JUMAPILI

Hapo awali, mhusika alidhani kuwa somo hilo limefutwa kwa sababu ya chai

  • Ni kwa sababu kila KM-A alipokuwa akimaliza kuwapanga waumini namna ya ukaaji wakati wa somo hilo, alikuwa anaondoka kwenda kunywa chai
  • Mhusika alidhani kuwa pengine somo hilo limefutwa kwa sababu KM-A anaona aibu kwenda kunywa chai wakati somo hilo likiwa linaendelea kufundishwa, kumbe hapana.
Utafiti wa kina wa kiroho wa mhusika umeonyesha kuwa

  • Somo hilo limefutwa baada ya kujulikana kuwa “JENGO JIPYA” ni neno linalotumika kama “secret code” ya kurusha mapepo kanisani hapo
  • KM-A alikuwa analitumia neno hilo wakati akiwa anawapanga waumini namna ya ukaaji, huku akiwaambia wengine ambao hawakuwa na ratiba ya kushiriki somo hilo “ mlioko “JENGO JIPYA” sogeeni mbali……..”
  • Kila alipokuwa akiwapanga waumini, ilikuwa ni lazima atoe tahadhari ya wale waliokuwa wako “JENGO JIPYA”
  • Kwa kufanya hivyo alikuwa anapata nafasi ya kui-invoke “secret code” yake hiyo
Kwa hiyo katika hili, swala la kuwapanga waumini namna ya ukaaji lilikuwa linatumika kama mwavuli tu, swala hasa lilikuwa ni katika kuhakikisha kuwa “secret code” hiyo imekuwa invoked, kabla ya somo hilo kuanza kufundishwa

Na hiki kitu kilikuwa kinafanyika kwenye J2 ambazo mapepo yalionekana kuwa yameadimika kanisani. Kwa siku ambazo yalikuwa yanakuwa yako plenty, somo la Uanafunzi na Maandiko lilikuwa linatafutiwa sababu za visingizio halafu linafiutwa. Ni kwa sababu kwa siku hizo, hapakuwa na ulazmia wa KM-A kutaja secret code yake hiyo kwa kuhofia kuwa mwishowe itakuja kujulikana

Kwa hiyo somo hilo kwa sasa limefutwa haliwezi kufundishwa tena siku za J2 kwa sababu

  • Likifundishwa KM-A hataweza tena kuwapanga waumini namna ya ukaaji, siri yake ilishafichuka
  • Vile vile hataweza tena kuitaja “secret code JENGO JIPYA”
  • Ikitokea somo hilo likafundishwa siku za J2 na KM-A akawa hajapata nafasi ya kutaja “secret code JENGO JIPYA” somo hilo linaweza kusababbisha madhara makubwa sana kwenye ufalme ule ambao yeye pamoja na wenzake wamekuwa wakitumika kwa miongo kadhaa sasa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA RISITI YA FDR AMBAYO ALIWAHI KUPEWA BANK B MWAKA JANA APRIL 2020

Ni kwamba nyumbani kwake mhusika anayo pia smart TV yenye uwezo wa kuhifadhi files na hivyo soft copy ya risiti hiyo ipo pia nyumbani siku zote kwenye TV yake

Kuna watu ambao kama wasingekuwa wamepata ajira, uwezekano mkubwa ni kwamba walikuwa ni majambazi yale ya kutumia silaha

Mtu mwingine atashangaa kwa nini mhusika ameamua kutoa tena taarifa hii mtandaoni siku hii ya leo!!

FDR Aaliyofungua mhusika APRIL 2020 ni ya miaka miwil, yaani hadi APRIL 2022 ambapo riba yake ya kwanza anatarajia kuipokea siku ya Mei Mosi, yaani tarehe 01 MAY 2021



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
..................au hata hapo kabla wanakuwa walishawahi kuwa majambazi ila mahali fulani wakaja wakabadilisha mkondo wa maisha ila tabia ikaendelea kubaki ile ile
 
KIONGOZI MKUU WA KANISA A

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A

KUFUTWA KWA SOMO LA UANANFUNZI NA MAANDIKO SIKU ZA JUMAPILI

Hapo awali, mhusika alidhani kuwa somo hilo limefutwa kwa sababu ya chai

  • Ni kwa sababu kila KM-A alipokuwa akimaliza kuwapanga waumini namna ya ukaaji wakati wa somo hilo, alikuwa anaondoka kwenda kunywa chai
  • Mhusika alidhani kuwa pengine somo hilo limefutwa kwa sababu KM-A anaona aibu kwenda kunywa chai wakati somo hilo likiwa linaendelea kufundishwa, kumbe hapana.
Utafiti wa kina wa kiroho wa mhusika umeonyesha kuwa

  • Somo hilo limefutwa baada ya kujulikana kuwa “JENGO JIPYA” ni neno linalotumika kama “secret code” ya kurusha mapepo kanisani hapo
  • KM-A alikuwa analitumia neno hilo wakati akiwa anawapanga waumini namna ya ukaaji, huku akiwaambia wengine ambao hawakuwa na ratiba ya kushiriki somo hilo “ mlioko “JENGO JIPYA” sogeeni mbali……..”
  • Kila alipokuwa akiwapanga waumini, ilikuwa ni lazima atoe tahadhari ya wale waliokuwa wako “JENGO JIPYA”
  • Kwa kufanya hivyo alikuwa anapata nafasi ya kui-invoke “secret code” yake hiyo
Kwa hiyo katika hili, swala la kuwapanga waumini namna ya ukaaji lilikuwa linatumika kama mwavuli tu, swala hasa lilikuwa ni katika kuhakikisha kuwa “secret code” hiyo imekuwa invoked, kabla ya somo hilo kuanza kufundishwa

Na hiki kitu kilikuwa kinafanyika kwenye J2 ambazo mapepo yalionekana kuwa yameadimika kanisani. Kwa siku ambazo yalikuwa yanakuwa yako plenty, somo la Uanafunzi na Maandiko lilikuwa linatafutiwa sababu za visingizio halafu linafiutwa. Ni kwa sababu kwa siku hizo, hapakuwa na ulazmia wa KM-A kutaja secret code yake hiyo kwa kuhofia kuwa mwishowe itakuja kujulikana

Kwa hiyo somo hilo kwa sasa limefutwa haliwezi kufundishwa tena siku za J2 kwa sababu

  • Likifundishwa KM-A hataweza tena kuwapanga waumini namna ya ukaaji, siri yake ilishafichuka
  • Vile vile hataweza tena kuitaja “secret code JENGO JIPYA”
  • Ikitokea somo hilo likafundishwa siku za J2 na KM-A akawa hajapata nafasi ya kutaja “secret code JENGO JIPYA” somo hilo linaweza kusababbisha madhara makubwa sana kwenye ufalme ule ambao yeye pamoja na wenzake wamekuwa wakitumika kwa miongo kadhaa sasa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
Kama hii secret code imeshajulikana sasa wataanza tena yale mahubiri ya uzinzi!
Maana inaonekana hayo ndio mambo yanayofanya mambo yao yanawanyookea
 
Kama hii secret code imeshajulikana sasa wataanza tena yale mahubiri ya uzinzi!
Maana inaonekana hayo ndio mambo yanayofanya mambo yao yanawanyookea
Waache. Subiri huko mbele wanakuja kulipua kikubwa zaidi kuliko hayo waliyofanya mwanzo. Bado wanaendelea kurutubisha bomu la mapepo kwa ajili ya kuja kuwalipukia wao wenyewe.

Kiongozi Mkuu wa kanisa A:

  • Ni mwiko kwake kusimama madhabahuni na akawasalimu waumini kwa salaam "Bwana Yesu Asifiwe”, piga ua hicho kitu hakipo hata siku moja. Anazidiwa hadi na wanasiasa tena wale ambao wala siyo wakristo
  • Ni mwiko kwake kusimama madhabahuni mara baada ya kuwa ametoa sala wakati wa kufungua Ibada, au wakati wa kuhitimisha Ibada ya kusifu na Kuabudu halafu asiombe watu wasimame na kupiga makofi. Yeye makaofi yake ni lazima yapigwe na watu wakiwa wamesimama. Ni ibada kwake
  • Ni mwiko kwake kukaribisha mhudumu mgeni au mwingine madhabahuni halafu asiombe waumini kupiga makofi ya ziada kwa ajili ya mgeni au mhudumu huyo. Kawaida waumini huwa waanapiga makofi yao ya hiari wakiwa wamefurahia taarifa za kusikia uwepo wa mgeni kutoka nje ya kanisa, kama mhudumu wao kwa siku hiyoi. Hata hivyo wakishapiga makofi hayo, KM-A yeye huwa ni lazima tena awaombe waumini waongeze makofi. Huwa anajenga hoja yake hivi makofi hayo hayatoshi, wengine walikuwa bado hawajakaa sawa, ……, hapo sasa anataka makofi ya ziada
Ni mwiko kwake kuwepo kwenye Ibada bila kuwa amefanya mojawapo ya mambo hayo, au yote kulingana na ratiba ya siku husika. Kama makofi ingekuwa siyo Ibada kwake, kuna siku ambazo angekuwa anaacha kuwaomba waumini wapige makofi

Hat hivyo kwa nadra sana huwa inatokea analazimika kuacha kuomba makofi hayo, na ukiona hivyo basi ujue siku hiyo Kanisani kuko sawa, hakuna mapepo. Ni kwamba hawa mapepo anaowatumia, pengine hawamruhusu awaombe waumini kusimama na kupiga makofi iwapo tu wanakuwa hawapo Kanisani siku hiyo wamekimbizwa na uapako wa baadhi ya waumini. Inaweza ikawa pengine labda makubaliano ni kwamba akifanya hivyo wakiwa hawapo, siku nyingine aatakapokuwa anawahitaji wanaweza wasije tena
 
Yeremia 23:29 Je! Neno langu si kama moto? Asema Bwana; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?

Mambo ya Walawi 11-13
11 Kisha atayavua mavazi yake, na kuvaa mavazi mengine, kisha atayachukua yale majivu kwenda nayo nje ya marago hata mahali safi.
12 Na huo moto ulio madhabahuni atautunza uwake daima juu yake, usizimike; naye kuhani atateketeza kuni katika moto huo kila siku asubuhi; naye ataipanga sadaka ya kuteketezwa juu yake, naye atayateketeza mafuta ya sadaka za amani juu yake.
13 Moto utatunzwa uwake juu ya madhabahu daima; usizimike.

Neno la Bwana lisichakachuliwe kwenye madhabahu yake kwa sababu huwa halizimiki, ni moto ulao na nyundo ivunjayo mawe vipande vipande.

Mungu alishasema kuwa moto wake hautazimika madhabahuni pake milele, na kama upo moto mwingine unaohofiwa kuwa utazimika, huo utakuwa ni moto mwingine, siyo ule wa Bwana. Na huo lazima tu utazimika kwa sababu si ule unaotakiwa kuwepo madhabahuni pa Bwana
 
  • Na ili kuthibitisha wasiwasi wake huu kwa wasomaji, mhusika alilazimika sasa kutoa taarifa kwa wasomaji, ya baadhi ya matukio machache sana ambayo yalishawahi kumpata huko nyuma., nia yake ikiwa ni kuwapa mwanga wasomaji waweze kupima juu ya wasiwasi wake huo kwamba, HAWA VIONGOZI AMBAO MHUSIKA ANADAI KUWA WANAWEZA KUWA WALIKUWA WAMEPANGA KUFANYA FUJO SIKU HIYO YA MKUTANO; FUJO AMBAYO INGEWEZA HATA KUPELEKEA VYOMBO VYA DOLA KUSOGEA KANISANI HAPO KWA AJILI YA KUTULIZA GHASIA, JE NI KWELI KWAMBA VIONGOZI HAO WANAWEZA KUWA WANA DALILI ZA UELEKEO WA MASHAKA YA MHUSIKA, AU ANAWASINGIZIA? JE, NI KWELI VIONGOZI HAO WANAFANANAFANANA NA MATENDO YA NAMNA HIYO?
Mhusika aliweka post hii (post # 141 ya tarehe 03/06/2020, iko ukurasa wa 8) katika kipindi ambacho mawazo yake yalikuwa yamejikita katika kufikiria safari zake za zamani zilizopita kwa ajili ya kukagua vituo vya matetemeko tu pamoja na maslahi yake yanayoendelea kushikiliwa pasipo sababu zozote za msingi.

Kwa bahati nzuri, kwa sasa hivi, angalau ameweza kufikiria nje ya box na kupata mwanga kamili....... kumbe ndivyo ilivyo!

Unajua nini? Amerudi nyuma kidogo kwenye matukio matatu ya nyuma kwenye mazingira yake ya kazi, moja la mwaka 2016 na mengine mawili ya Novemba 2018, na ambayo taarifa zake hawezi kuzileta humu jukwaani. Angalau sasa matukio hayo matatu yamemfungua akili na kuweza kujua kwa nini hiki kinachoendelea kwake kwa muda huu, kinaendelea kwake! Kumbe.......!
Mwanzoni alikuwa anafikiria mbesa tu, kudhani kuwa hizo ndiyo zinazochangia kila kitu kinachoendelea kwa sasa, wakati kumbe watu walishahama huko miaka kadhaa nyuma, wako kwingine kabisa!
 
NEXT:
MKUTANO WA KIMATAIFA ULIOFANYIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE MWANZONI MWA MWAKA 2017, AMBAO "MR Y" ALIKUWA MMOJAWAPO WA ORGANISERS WA MKUTANO HUO
Stay tuned
 
UPDATE: SATURDAY 13 MARCH 2021

MKUTANO WA KIMATAIFA ULIOFANYIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE MWANZONI MWA MWAKA 2017, AMBAO "MR Y" ALIKUWA MMOJAWAPO WA ORGANISERS WA MKUTANO HUO


Mhusika naye pia alikuwa mmoja wa waliohudhuria mkutano huo

  • Ufunguzi wa mkutano huo ulifanyikia kwenye Mezzanine Floor (MF)
  • Baada ya ufunguzi, baadhi ya watu walishuka chini Grond Floor (GF), baadhi yao wakiwa wameambatana na mgeni rasmi aliyekuwa amefika siku hiyo kwa ajili ya kufungua mkutano huo, kwa ajili ya kubadilishana mawili matatu
  • Mmojawapo wa watu hao walioshuka kutoka MF kwenda GF alikuwa ni Mkuu wa Chuo cha nje ya nchi (MKCNA), nje ya Afrika
Huyu MKCNA alikuwa ametoka chuo kile ambacho mhusika aliwahi kwenda kusoma huko

  • Ndiyo chuo kile ambacho siku anarudi kutoka huko, alikwama kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa nchi hiyo kwa kudaiwa kuwa alikuwa amezidisha uzito wa mizigo yake
  • Hali hiyo ilipelekea akoswekoswe kuachwa na ndege na pia kulazimika kuacha baadhi ya mizigo hiyo airport akiwa ameifungia kwenye kabati, na hatimaye kumpigia mwenzake aliyekuwa amebaki chuoni kuja kuichukua mizigo hiyo na kurudi nayo tema chuoni
Mkasa wa tukio hili la airport alishawahi kuutolea maelezo kwa ufasaha humu jukwaani, hapo awali



Mhusika akiwa yuko huko masomoni nje ya nchi, hakuwahi kumumaki kwa sura huyu MKCNA ambaye alikuwa amehudhuria mkutano huu, na hakuweza kujua kama ndiyo yule yyule wa kipindi kile mhusika alipokuwa anasoma huko au ni mwingine aliyekuja kuchukua nafasi hiyo baadaye, mhusika akiwa tayari ameshatoka huko. Mhusika alimjua huyu MKCNA kipindi cha utambulisho wa wageni wakati wa ufunguzi wa mkutano huo. Alitambulishwa kuwa alitokea chuo hicho

Kwa hiyo baada ya ufunguzi wa mkutano huo, baadhi ya watu walishuka chini GF na mhusika naye akiwa mmoja wao



…………………inaendelea
 
MKUTANO WA KIMATAIFA ULIOFANYIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE MWANZONI MWA MWAKA 2017, AMBAO "MR Y" ALIKUWA MMOJAWAPO WA ORGANISERS WA MKUTANO HUO
…………………inaendelea


Mhusika alishuka GF akiwa na nia ya kwenda kubadilishana mawili matatu na mwalimu wake huyo mgeni lakini kwa bahati mbaya kuna kitu kiliingilia kati na kuepelekea kushindwa kwenda kusalimiana naye. Muda kitambo ulipita mhusika akiwa na pilika pilika zake nyingine, na baada ya hapo, hatimaye mhusika alipandisha tena juu MF na kwenda kukaa sehemu ile ile pale alipokuwa amekaa awali wakati wa ufunguzi wa mkutano, na kwa bahati nzuri, alifika hapo na kukuta MKCNA naye pia akiwa amekaa eneo hilo hilo karibu kabisa na kiti alichokaa mhusika awali wakati wa ufunguzi wa mkutano

  • MKCNA alikaa hapo wakiwa na mama mwingine ambaye walikuwa wamekuja wote, yaweza kuwa alikuwa ni Katibu Muhtasi wake
  • Awali wakati wa ufunguzi wa mkutano, MKCNA na mama huyo hawakuwa wamekaa mahali hapo, walikuwa sehemu nyingine mbali na hapo
  • Mhusika baada ya kufika na kuwakuta pale aliwasalimia na pia akajitambulisha kuwa yeye pia ni mmoja wa wanafunzi alumni wa chuo chao
  • Wageni hawa walifurahi kusikia hiyo
Baada ya kubadilishana mawili matatu, mama aliyekuwa pamoja na MKCNA alianzisha mada niliyotanhibisha mambo kadhaa kwa mhusika kama ifuatavyo:

  • Mama huyu alimjulisha mhusika kuwa wamekuja kwenye mkutano huo wakiwa na mpango mwingine wa ziada
  • Mpango huo ni wa kukutana na alumni wote waliopo ndani ya nchi, kuna party wameianda, kwa ajili ya mkutano huo
  • Kuonana huko kulikuwa ni siku hiyo hiyo ya mkutano, baada ya mkutano kufungwa kuanzia saa 11 kamili jioni
  • Mama huyu alienda mbele zaidi kwa kumjulisha mhuiska kuwa walioalikwa wote wamepewa kadi, isipokuwa kwa wakati huo kadi zilikuwa zimemwishia, na hivyo alikuwa anamkaribisha mhusika kuhudhuria sherehe hizo ila pasipo kumpa kadi
  • Mhusika alikubali kwa kuitikia wito huo, wa mwaliko usiokuwa na kad,i kwa sababu kadi zilikuwa zimesiha
Kabla ya hapo, mhusika pia hakuwa ameona e-mail yoyote kwenye email inbox yake iliyokuwa inamjulisha chochote kama uwepo wa watu wanaokuja kutoka nje ya nchi kwa ajili ya mkutano na ambao baadaye watahitaji tena kuonana na alumni wote ndani ya nchi

  • Wakati maongezi haya ya mhusika yanaendelea, MKCNA naye alikuwepo muda wote, akiwa kama msikilizaji
  • Hapakuwepo na mtu mwingie wa tatu aliyekuwa karibu kuweza kusikiliza maongezi hayp
Kwa hiyo mkutano huo wa alumni ulikuwa unafanyikia jioni hiyo kwenye Hotel moja kubwa na maarufu iliyoko huko Masaki

Baada ya mkutano mama kuisha jioni hiyo, mhusika aliwasha gari lake na kurudi nyumbani, akiwa amemchukua na office-mate wake mmoja ndani ya gari lake, ambaye yeye pamoja na kuwa ana gari mbili, zote zilikuwa zimepata breakdown na hakuwa na gari siku hiyo

Huyu office-mate alikuwa amemuomba lift mhusika kabla, kipindi cha asubuhi walipoonana kwenye mkutano huo.

Kwa hiyo kama mhusika angeenda kwenye mkutano mwingine uliokuwa unaanza jioni ule wa alumni, na ambao alikuwa amekaribishwa pasipo kupewa kadi, kulikuwa na jicho la pili tayari ambalo lingethibitisha kuwa mhusika alikuwa na program nyingine siku hiyo. Na jicho hilo lilikuwa ni la huyu office-mate aliyekuwa ameomba lift kwenye gari la mhuika

HITIMISHO


Kwa hiyo mhusika baada ya kuachana na wageni hawa, hakuweza kuonana nao tena hadi hii leo.

Kipindi kile akiwa nchini mwao na hatimaye kunusurika kuachwa na ndege, kwa muda huu anaona kana ingetokea kweli akaachwa na ndege siku hiyo, kwa wakti huu yeye anaona kama pengine kulikuwa na mpango wa wahuiska wa airport kumpandisha kwenye ndege nyingine ila kwa ticket isiyokuwa ya ndege hiyo.

Hapa msomaji anaombwa ajaribu kutafakari kwa kina kidogo matukio kadhaa yafuatayo (yanafuata baada ya taarifa hii) yanayohuisana na tikets za safari ambazo ameshawahi kuzifanya mhusika

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

NEXT: MFANANO KIASI WA MATUKIO YANAYOHUSIANA NA TICKETS ZA SAFARI ZA MHUSIKA PINDI ALIPOKUWA ANAKUWA YUPO SAFARINI
 
MFANANO KIASI WA MATUKIO YANAYOHUSIANA NA TICKETS ZA SAFARI ZA MHUSIKA PINDI ALIPOKUWA ANAKUWA YUPO SAFARINI

SAFARI -I


SAFARI YA NJE YA NCHI NDANI YA AFRIKA

Saffari hii ilikuwa ni kwa ajili ya mkutano wa kimataifa kwa kuchakata data za matetemeko ya ardhi

  • Ni kwenye safari ile ambayo alijulishwa na mwandaaji wa mkutano kuwa booking yake ya kurudi nyumbani imebadilika
  • Mabadiliko hayo yalitokea kwake yeye tu, kati ya washiriki wote waliokuwepo kwenye mkutano huo
  • Hata hivyo, mabadiliko hayo hayakuweza kumpelekea mhusika abadilishiwe TIKETI yake ya kusafiria. Aliendelea kubaki na tiketi yake ilele.
Hapa pia ianonyesha kama alitakiwa asafiri na TICKET hiyo ila kwa shirka la ndege tofauti na lile ambalo lillikuwa limetoa TICKET hiyo

SAFARI -II


Safari ya Tunduma mwaka 2010
  • Alisafiri na gari ambayo si ile iliyokuwa imempa TIKET aliyosafiria
  • Wakati wa safari zake za kurudi TIKET zake alizokuwa anasafiria zilikuwa zinaibiwa


SAFARI -III


Hii ni safari yake ya mwisho kabisa aliyowahi kuifanya

  • Gari aliyokuwa anasafiria kutoka Dodoma kuja Dar, ilipata tatizo pale dakwa Morogor
  • Hatimaye muda ulienda ikabidi achukua usafiri mwingine na kufanikiwa kufika mororgoro mjini jua likiwa linazma
  • Alila Morogoro siku hiyo
Akiwa yupo ndani ya chumba chake kwenye nyumba ya kulala wageni, alikagua TIKETI yake ya kusafiria na kukuta haipo kwenye begi lake alimokuwa ameiweka, ilikuwa imeibiwa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

NEXT:

MKUTANO MWINGINE MKUBWA ALIOWAHI KUSHIRIKI KUANDAA “MR Y” NDANI YA MAZINGIRA YA TAASISI WANAYOFANYIA KAZI YEYE NA MHUSIKA
 
MFANANO KIASI WA MATUKIO YANAYOHUSIANA NA TICKETS ZA SAFARI ZA MHUSIKA PINDI ALIPOKUWA ANAKUWA YUPO SAFARINI

SAFARI -I


SAFARI YA NJE YA NCHI NDANI YA AFRIKA

Saffari hii ilikuwa ni kwa ajili ya mkutano wa kimataifa kwa kuchakata data za matetemeko ya ardhi

  • Ni kwenye safari ile ambayo alijulishwa na mwandaaji wa mkutano kuwa booking yake ya kurudi nyumbani imebadilika
  • Mabadiliko hayo yalitokea kwake yeye tu, kati ya washiriki wote waliokuwepo kwenye mkutano huo
  • Hata hivyo, mabadiliko hayo hayakuweza kumpelekea mhusika abadilishiwe TIKETI yake ya kusafiria. Aliendelea kubaki na tiketi yake ilele.
Hapa pia ianonyesha kama alitakiwa asafiri na TICKET hiyo ila kwa shirka la ndege tofauti na lile ambalo lillikuwa limetoa TICKET hiyo

SAFARI -II


Safari ya Tunduma mwaka 2010
  • Alisafiri na gari ambayo si ile iliyokuwa imempa TIKET aliyosafiria
  • Wakati wa safari zake za kurudi TIKET zake alizokuwa anasafiria zilikuwa zinaibiwa


SAFARI -III


Hii ni safari yake ya mwisho kabisa aliyowahi kuifanya

  • Gari aliyokuwa anasafiria kutoka Dodoma kuja Dar, ilipata tatizo pale dakwa Morogor
  • Hatimaye muda ulienda ikabidi achukua usafiri mwingine na kufanikiwa kufika mororgoro mjini jua likiwa linazma
  • Alila Morogoro siku hiyo
Akiwa yupo ndani ya chumba chake kwenye nyumba ya kulala wageni, alikagua TIKETI yake ya kusafiria na kukuta haipo kwenye begi lake alimokuwa ameiweka, ilikuwa imeibiwa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

NEXT:

MKUTANO MWINGINE MKUBWA ALIOWAHI KUSHIRIKI KUANDAA “MR Y” NDANI YA MAZINGIRA YA TAASISI WANAYOFANYIA KAZI YEYE NA MHUSIKA
 
MKUTANO MWINGINE MKUBWA AMBAO “MR Y” ALIWAHI KUSHIRIKI KUANDAA ILA NDANI YA MAZINGIRA YA TAASISI WANAYOFANYIA KAZI YEYE NA MHUSIKA

Mkutano huu ulifanyika, wiki ya kwanza ya Novemba 2018 iliyokuwa inaishia tarehe 04/11/2018
  • Mhusika hakumbuki vizuri ila anadhani kuwa mkutano huo ulifanyika kati ya tarehe 1 (Alhamis) au 2 (Ijumaa), na si zaidi ya hapo
  • Mkutano ulihusisha watu wa kada mbalimbali na ulikuwa umeegemea zaidi kwenye mambo ya siasa ya uchuni na utawala
Details zaidi za kusanyiko la mkutano huu mhusika anaziwthold ila cha muhimu kwa wakati huu ni kwamba kuna tukio ambalo liliwahi kumuweka mhusika kwenye tahadhari kubwa siku hiyo, na ukizingatia ukweli kuwa kwa wakati huo:

  • Wanafunzi walikuwa bado wako likizo, hawakuwepo mazingira ya kazini
  • Walikuwa wanatarajiwa kurudi kuanzia Jumamosi ya tarehe 03/11/2018
HITIMISHO

Kutokana na tukio alilokumbana nalo mhusika siku hiyo, Ilionyesha kama mkutano huo ulifanyika ili kuwawahi wanafunzi kabla hawajaanza kuwepo mazingira ya ofisini. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ilikuwa inaleta logic zaidi kwa mkutano kufanyika ndani ya wiki ya pili ya mwezi Novemba 2018 (iliyokuwa inaanzia tarehe 5-11 Novemba), na wiki ambayo wanafunzi wangekuwa tayari wapo wamefurika mazingira ya ofisini, KULIKO ile ya kwanza iliyokuwa inaanzia 28 Oktoba-4 Novemba

KUSANYIKO JINGIE KUBWA MUDA MFUPI TU BAADA YA MKUTANO HUO KUPITA

  • Kusanyiko jingine kubwa lilifanyika tena ndani ya mwezi huo huo wa Novemba 2018, na ndani ya mazingira ya taasisi
  • Lilifanyika ndani ya wiki ya mwisho ya mwezi Novemba 2018
  • Kusanyiko hili nalo pia lilihusisha watu almost wale wale waliokuwepo kwenye Mkutano wa ule wa mwanzoni mwa Novemba 2018, japo lenyewe lilikuwa ni sherehe ya kitaaluma zaidi kuliko kisiasa
  • Zilikuwa zimepita takribani wiki tatu baada ya mkutano wa kwanza kuwa umepita
  • Kwa wakati huu, wanafunzi tayari walikuwa wamesharudi, walikuwepo wamejaa kwenye mazingira ya ofisini
Siku hiyo, mhusika hakuweza kushuhudia tukio la kusanyiko hilo LIVE kwa sababu SAFARI HII, aliogopa kusogea kwenye mazingira ambayo yeye mwenyewe angeweza kuepelekea kuwa chanjo cha kuhatarisha usalama wa kusanyiko la watu wengi mahali pale

SAFARI HII mhusika aliangalia tukio la kusanyiko hilo kwa njia ya Televisheni akiwa mazingira ya ofisini kwake

MUBARKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TAARIFA HIZO HAPO JUU

Kwenye makusanyiko haya mawili yaliyowahi kufanyikia ndani ya mazingira ya taasisi anayofanyia kazi mhusika, ilikuwa ni rahisi zaidi kwake mhusika kuweza kuona kitu kisichokuwa cha kawaida kwenye matukio hao kwa sababu
  • kwenye kipindi chote cha hivi karibuni, ni mwaka 2016 ndiyo liliwahi kutokea kusanyiko la kwanza linalofanana na hayo mawili aliyoyataja hapo juu, kwa mara ya kwanza
  • Ilikuwa pia ni siku pekee aliyowahi kuona dalili zisizokuwa za kawaida zilizompelekea aweze kuwa kwenye tahadhari kuanzia pale
Na mmojawapo wa watu waliopelekea mhsika kuwa kwenye tahadhari kubwa siku hiyo, alikuwa ni MR Y na wenzake wawili ambao details zao anazi-withold

Zaidi ni kuwa, kila amhusika lipokuwa anaona chochote kile kisichokuwa cha kawaida kimemzingira, alikuwa anatoa taarifa muda huo huo baada ya pale. Hata hivyo, possibly matukio haya yalikuwa yanawawia vigumu baadhi ya watu kuyachambua vizuri, na hivyo kupelekea kumchukulia mhsika kuwa anaelekea kuugua ugonjwa wa kichaa. Possibly kwa sasa vile taarifa hizi zinawafikia watu wengi wenye upeo tofauti tofauti, kuna uwezekano safari hii sasa mhusika aknusurika na tuhuma zake za kuugua ugonjwa wa kichaa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NEXT:

“KANISA B”, “KANISA B”, “KANISA B”, “KANISA B”, “KANISA B”

MZEE KIONGOZI WA KANISA B (MZK-B)

MATUKIO MUHIMU SANA AMBAYO MZK-B AMEWAHI KUYAFANYA KIPINDI MHUSIKA ALIPOKUWA KANISA B


Wasomaji inabidi wakumbuke kuwa “main player” wa matukio yote makubwa kipindi mhusika alipokuwa yuko Kanisa B, ni huyu mtu MZK-B

Katika maelezo yatakayofuata, mhusika ataelezea matukio muhimu yanayomhusu mtu huyu, ukiondoa lile la tangazo la MABOMU YA MAREKANI, ambalo tayari ameshalielezea

Japo kwa kifupi sana, mhusika atamwelezea mtu huyu ikiwa ni pamoja na baadhi ya washirika wake

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom