#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE MONDAY 26TH JULY 2022

KILE AMBACHO MHUSIKA ALIKUWA AMEAMUA KUTOKUKISEMA HUMU JUKWAANI

KILICHOWAHI KUTOKEA JULY/AUGUST 2021 (MWAKA JANA); MUDA MFUPI KABLA YA MHUSIKA KUCHUKUA LIKIZO YAKE NA HATIMAYE KURUDI OFISINI NA KUKUTA BARUA YA MAJIBU YA MASLAHI YAKE IKIWA HAIJULIKANI KUWA ILIAANDIKWA NA NANI: PATTERN ANAYOENDELEA KUIONYESHA KATIBU MHUTASI WA MKUU WA IDARA


Kwenye muda huo kati ya Julai na August, Katibu Mhutasi wa Mkuu wa Idara (KMMWI) alitengeneza utaratibu ambao ilikuwa ni vigumu kwa mhusika kuweza kuongea naye ofisini kwake, just in case angetokea kuhitaji kuongea naye

Kilichotokea kwenye kipindi hicho ni kwamba kila mhusika alipokuwa anafika ofisni kwa Mkuu wa Idara (MWI); alikuwa akimkuta KMMWI yuko occupied akifanya mojawapo ya mambo matatu yafuatayo

Aidha
alikuwa:

Akiongea maongezi marefu na mtu mwingine kwenye simu

Au

Alikuwa ametoka ofisini na kwenda kukaa kwenye chumba cha chai akipata chakula (mchana) au chai (asubuhi)

Au

Alikuwa yupo kwenye mojawapo ya madarasa yaliyo jirani na ofisi ya MWI akifanya Ibada


Ikumbukwe kuwa haya yote yalianza kufanyika baada ya wanafunzi kuwa wameondoka mazingira ya ofisini

Mtindo huu uliendelea kwa kipindi cha wiki kadhaa hadi ilipofikia hatua mhusika akaamua kuchukua likizo yake na baada ya likizo hiyo kuisha, alirudi ofisini na kukuta maslahi yake aliyokuwa anadai hayapo kulingana na barua aliyoikuta ikiwa imesainiwa na mtu ambaye alikuwa hajulikani ni nani

Mhusika ameamua kulisema hili kwa sababu mtindo huu unaonekana kujirudia tena kwa kipindi hiki, japo safari hiii umekuja kwa namna nyingine tofauti na ile ya mwaka jana.

Ni kwamba Safari hii KMMWI amepata second palyer ambaye anamtumia na ambaye mpaka muda huu mhusika hajawahi kujua kama mtu huyu ni staff kweli ama la. Hii ni kutokana na ukweli kuwa mtu huyu huwa yuko ON and OFF kwa vipindi virefu na toaauti tofauti, na hajawahi kutambulishwa idarani kama ni mmojawapo wa staff. Zaidi ni kuwa mtu huyu hajawahi kuhudhuria hata kikao kiomja tu cha idara. Vikao karibia vyote vimekuwa vikifanyika yeye akiwa yuko OFF

Ikumbukwe pia kuwa hadi leo hii, mhusika bado analipwa mshahara kulingana na barua ya promotion ya Julai 2012 (miaka 10 iliyopita) na hajawahi kulipwa maslahi yake anayodai hadi muda huu

Details zaidi zitawajieni muda siyo mrefu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 27TH JULY 2022

NDANI YA WIKI HII KUMETANGAZWA MAOMBI KANISA A; KAMA KAWAIDA AJALI ZA BARARABANI NAZO ZIMEITIKIA TENA KWA AJALI ANGALAU MOJA MPAKA MUDA HUU.

COINCIDENCE YA NAMNA HII NI YA NNE KWA MATUKIO YA AINA HII AMBAYO MHUSIKA TAYARI AMESHAYALETA HUMU JUKWAANI; NA YA SITA UKIUNGANISHA NA MATUKIO MENGINE MAWILI YA HIVI KARIBUNI AMBAYO MHUSIKA ANAYAKUMBUKA ILA HAKUWAHI KUYALETA HUMU JUKWAA




Kwenye post hizi hapa chini, mhusika ameongelea coincidences ambazo zimekuwa zikijitokeza kati ya maombi yanayotangazwa Kanisa A na KM-A na ajali za barabarani

#929

#1,037

#1,051

#926

MARA ZOTE, COINCIDENCES hizi zimekuwa zikikaa hivi:

  • Kunakuwa hakuna kabisa ajali za barabarani nchi nzima kabla ya maombi Baada ya hapo, KM-A anatangaza maombi Kanisa A
  • Ndani ya wiki hiyo ya maombi yaliyotangazwa ndiyo sasa ajali za barabarani zinafungulia, na kwa mwaka huu wa 2022, ajali za kwanza kabisa kutokea ndani ya mwaka huu zilitokea kwenye wiki ambayo maombi yalitangazwa
Kwa hiyo ukiondoa post #926 ambayo yenyewe likuwa inaongelea dhana aliyonayo mhusika kuhusiana na uhusiano kati ya maombi ya Kanisa A na ajali hizi, kwenye posts zingine zilizobaki mhusika alikuwa analalamika kuhusiana na kufungulia kwa ajali za barabarani (ambazo kabla hazikuwepo) ndani ya wiki ile ambayo maombi ya Kanisa A yanakuwa yametangazwa na KM-A

COINCIDENCES NYINGINE MBILI ZA AINA HII AMBAZO MHUSIKA HAKUWAHI KUZIONGELEA HUMU JUKWAANI

Kuna coincidences nyingine mbili za aina hii ambazo mhusika hakuwahi kuziongelea humu jukwaani, mojawapo ikiwa ni ajali ya mtoto aliyewahi kufariki kwa kugongwa na gari la shule baada ya kuwa limemshusha. Huyu mtoto alishuka kwenye gari la shule lililokuwa limembeba, na baada ya kushuka kwenye gari hilo, muda mfupi baadaye gari hilo hilo ndiyo likaja likamgonga tena na kumuuua

  • Kwa kumbukumbu zake mhusika, ndani ya wiki hiyo ya mtoto kugogwa na gari kulitokea ajali zadi ya moja
  • Ajali hizi zilikuwa zimetulia ila zilikuja kuamka kwenye wiki hiyo ya maombi
Mbali na ajali za ndani ya wiki hiyo, kuna wiki nyingine tena ambayo nayo ilikuwa imefuata pattern ya namna hii, mhusika hakumbuki vizuri kama wiki hii ilikuwa nyuma au mbele ya ile ambayo mtoto aligongwa na gari la shule aliyokuwa akisoma

AJALI NYINGINE KUBWA NDANI YA WIKI HII YA MAOMBI YALIYOTANGAZWA J2 ILIYOPITA HAPO KANISA A

Kuna ajali nyingine kubwa imetokea ndani ya wiki hii ya maombi na katika muda ambao ajali hizi zilikuwa zimetulia tena. Wiki ya maombi imeanza tena na ajali sawa kabisa kama mhusika aliyowahi kutanbihisha kwenye posts zake zilizopita alizozitaja hapo juu

KUNENA KWA LUGHA:

ULINGANIFU KATI YA MAKANISA MAWILI MAKUBWA AMBAYO MHUSIKA AMEWAHI KUWA MUUMINI WA KILA KANISA NA KWA KIPINDI KIREFU CHA KUTOSHA

KWENYE KANISA B HAKUNA MUUMINI HATA MMOJA ALIYE NA UJAZO WA ROHO MTAKATIFU KWA SABABU NDANI YA MIAKA MITATU, MHUSIKA HAKUWAHI KUMSIKIA MUUMINI AU MTUMISHI WA MUNGU HATA MMOJA AKINENA KWA LUGHA KWENYE KANISA HILO


Yeye mhusika pia hajawahi Kunena kwa Lugha hata siku moja. Katika hali ya kawaida, Kunena kwa lugha ni ishara ya nje ya ujazo wa Roho Mtakatifu kwa maana kuwa si kila anayenena kwa lugha amejazwa Roho Mtakatifu kwa sababu wengine hufanya hivyo wakiwa chini ya influence ya mapepo

  • Hata hivyo kwa Kanisa A, kunena kwa lugha ndiyo ishara pekee ya ujazo wa Roho Mtakatifu
  • Mhusika aliwahi kukaa kwenye Kanisa jingine kubwa, Kanisa B
  • Ndani ya kipindi cha miaka mitatu aliyowahi kukaa kwenye Kanisa hilo, hakuwahi kumsikia mtumishi yeyote wa Mungu,au muumini yeyote, akinena kwa lugha
Kwa hiyo, kwa standards za Kanisa A, hakuna mtumishi au muumini wa Kanisa B ambaye ana ujazo wa Roho Mtakatifu!

Ni kanisa A tu ambalo ndiyo lina waumini na watumishi ambao wamejazwa Roho Mtakatifu, akiwemo nabii ambaye aliwahi kuwaambia waumini wa Kanisa A kuwa huwa wanawageuza wake zao nyuma. Nabii huyu ndiyo amejazwa hasa na Roho Mtakatifu na ndiye anategemewa sana pale Kanisa A kwenye maswala haya ya kunena kwa lugha

Kwa hiyo kwa standards za Kanisa A, kunena kwa lugha ndiyo ishara pekee thabiti yenye kuonyesha pasipo shaka kuwa muumini husika amejazwa Roho Mtakatifu

……………itaendelea
 
UPDATE: THURSDAY 28TH JULY 2022

…………………..inaendelea


Kabla ya maelezo mengine ya nyongeza kuhusiana na kilichoandikwa hapo juu, mhusika anawaomba wasomaji wazipitie tena posts hizi hapa chini ikiwa ni pamoja na CLIPS zilizoambatanishwa kwenye post hizo
  • Post #239 pamoja na audio clip ya ufafanuzi iliyoko kwenye post hiyo
  • Post #906 pamoja na audio clip ya ufafanuzi iliyoko kwenye post hiyo
 
MAELEZO MENGINE MUHIMU YA UFAFANUZI YANAYOFUATA

  • Ni audio clips za ufafanuzi juu ya huduma ya nabii.
  • Audio clips hizi ni za kwenye Semina iliyowahi kufanyika hapo Kanisa A, mwanzoni mwa mwaka 2013
  • Ni za mtumishi wa Mungu mahiri sana kwenye huduma hiyo, aliyekuja kutoa huduma hapo kanisa A, baada ya STRIFE kuwa imetokea Kanisani hapo
  • STRIFE hiyo ilitokea baada ya NABII ambaye ni maarufu sana kanisani hapo (mnawageuza wake zenu nyuma) ; kuwa ana tabia ya kutoa unabii ambao ulitokea kusababisha hiyo STRIFE, huku akiwa anapata sapport kiubwa sana kutoka kwa KM-A
Kwa hiyo ilifikia hatua mtumishi huyu akatumwa hapo Kanisa A kuja ku-RESCUE situation hiyo, huku akiwa ameambatana na mtumishi mwingine mmoja pamoja na viongozi wengine muhimu sana wa ngazi ya Jimbo

KIKUBWA KABISA AMBACHO MTUMISHI HUYU MAHIRI ALIWAHI KUWALELEZA WAUMINI WA KANISA A KWENYE SEMINA HIYO

Wakati anahitimisha mafundisho yake kwa kuruhusu maswali kutoka kwa waumini wa Kanisa A, mtumishi huyu alisema wazi wazi kabisa kuwa UNABII wowote unaoendana na Maandiko Matakatifu, huwa hauwezi hata siku moja, kusababisha STRIFE kwenye nyumba ya yoyote ya Ibada

……………..inaendelea
 

Clip hii inaongelea unabii ikiwa ni pamoja na kujibu maswali ya waumini waliokuwa na shauku ya kujua zaidi juu ya unabii hasa uliokuwa unatolewa kipindi hicho. Clips nyingine zinazofutana na hii ziko hapa chini na ile ya mwisho kabisa (ya tatu ) ndiyo inayoongea kuhusu STRIFE
 

Mafundisho ya clips hizi tatu yamefuatana
 
Mwanzoni kabisa mwa audio clip hii ndiyo sehemu ambayo Mtumishi wa Mungu aliongelea STRIFE juu ya Unabii. Kwenye clips zote hizi tatu, Mtumishi alikuwa anaulizwa maswali na waumini wa kanisa A

.......................inaendelea
 
Clip fupi hii hapa chini ni hitimisho la clip ya mwisho iliyopo hapo juu


................itaendelea
 
Clips hizi ni sehemu tu ya mafundisho ya siku moja kutoka kwenye siku tatu ambazo Mtumishi wa Mungu aliwakalisha kitako waumini wa Kanisa A akiwafundisha kuhusiana na NABII NA UNABII
 
UPDATE MONDAY 1ST AUGUST 2022

SINK LA JIKONI LILIZIBA TENA JANA J2 JIONI NA HAKUNA NAMNA YOYOTE YA MHUSIKA KUWEZA KULIZIBUA.

KWA HALI HIYO INABIDI MHUSIKA AKAJAZE FOMU NYINGINE YA MAOMBI ILI MAFUNDI BOMBA WARUHUSIWE KUJA KUTATUTA TATIZO HILO KWA MARA NYINGINE TENA


Katika hali ya kawaida, mhusika alitakiwa aende akajaze fomu ya kuwaomba tena mafundi bomba kuja kutatua tatizo lake hilo, leo J3 asubuhi alipokuwa anatoka nyumbani akielekea ofisni, lakini kwa makusudi tu aliamua kutokufanya hivyo

Badala yake alinyoosha moja kwa moja hadi ofisini na baada ya kufika huko alikuta kuna e-mail iliyokuwa imeandikwa na Mkuu wa Idara (MWI) ikimjulisha mhusika kuhudhuria mkutano uliokuwa unaanza saa 2:45 asubuhi na ambao ulikuwa unawahusu si wafanyakazi kwenye idara ya mhusika tu, bali wafanyakazi wote wa taasisi nzima

E-mail hiyo iliandikwa na MWI Ijumaa wiki iliyopita na iliandikwa baada ya saa 11:00 jioni

  • Kwa hiyo iwapo kama mhusika angeamua kuanzia ofisi za idara ya miliki ya nyumba
  • Uwezekano mkubwa ni kwamba ageweza kukuta hapana mtu husika kule kwa sababu possibly nao pia wangeweza kuwa wameelekea kwenye mkutano
  • Zaidi ni kuwa mhusika asingeweza kujua kama kulikuwa na mkutano asubuhi hiyo kwa sababu hakuwa amesoma email kwenye siku za weekened, yaani Jumammosi na Jumapili


RATIBA INAYOAANZA KUJIDHIHIRISHA YA NAMNA SINK HILO LINAVYOZIBA:

LINAZIBA WEEKEND ILI J3 ASUBUHI NA MAPEMA, MHUSIKA AKAJAZE FOMU YA KUOMBA MAFUNDI WAJE WALISHUGHULIKIE

Mpaka muda huu, mhusika ameanza kujiridhisha kuwa sink hilo limekuwa na kawaida ya kuziba siku za weekend na hivyo kupelekea J3 asubuhi ya wiki inayofuata, mhusika alazimike kwenda kutoa ripoti ikiwa ni pamoja na kujaza fomu ili mafundi husika waje walishughulikie

Hii ni kutokana na ukweli kuwa kwenye tukio lililopita la hivi karibuni la kuziba kwa sink hilo, sink hilo lilikuja kuzibuliwa na fundi Ijumaa asubuhi halafu ilipofika jioni ya siku hiyo hiyo, sink hilo liliziba tena.

Kutokana na hali hiyo, mhusika alilazimika kwenda kutoa ripoti ya tatizo la kuziba tena kwa sink hilo J3 asubuhi ya wiki iliyofuata; na hatimaye mafundi walikuja kulishughulikia J3 hiyo

Mambo mengi sana yaliendelea J3 ya kuzibuliwa kwa sink hilo, ambayo mhusika hana haja ya kuyarudia tena humu jukwaani

Maelezo kamili ya tukio hili yatafuata baadaye, mhusika akishakamilisha pilika pilika za kiofisi za kuomba mafundi waje walishughulikie tena sink hilo

KUHUSIANA NA JIRANI AMBAYE KWENYE TUKIO LA AWALI, MAJI TAKA TOKA NYUMBANI KWAKE YALIKUWA YAKIVUJA KUPITIA BAFU NA CHOO VYA NYUMBANI KWA MHUSIKA

Katika kipindi chao chote cha ujirani wao katika maisha yao yote, mhusika na jirani huyu kwa mara ya kwanza walifanikiwa kugongana kwenye parking J2 asubuhi, (mhusika akiwa anatoka kuelekea Kanisani) jirani huyu naye akiwa yupo na familia yake nzima akiwa anarudi kutoka Kanisani

Mojawapo ya watu waliokuwepo kwenye familia jirani huyu J2 hiyo, ni mtoto mjukuu wake na mhusika na ambaye ni rafiki yake wa karibu pia. Katika hali ya kawaida, mhusika asingeweza kumpita mjukuu wake bila kumsalimia, japo alikuwa bado hajashuka kwenye gari

Mhusika alimwita mjukuu akashuka kwenye gari, wakasalimiana na baada ya hapo akawaslimia na wengine wote kwenye familia wakiwemo wazazi wa mjukuu wake

Ilikuwa ni experience ya pekee J2 hiyo kwa sababu ilikuwa ni mara yake ya kwanza kabisa mhusika kupata nafasi ya kusalimiana na familia nzima kwa mpigo hapo nje kwenye parking

Details zaidi zitafuata baadaye mhusika akishakamilisha kutatua tatizo la sink lililoziba

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
UP NEXT:

Clips za mafundisho yote ya siku tatu kuhusiana na unabii, yaliyowahi kutolewa na Mtumishi wa Mungu hapo Kanisa A mwanzoni mwaka 2013
 
UPDATE WEDNESDAY 03RD AUGUST 2022

KWA WAUMINI WA KANISA A:


CLIPS ZA MAFUNDISHO YA SEMINA YA MWAKA 2012 (MIAKA KUMI ILIYOPITA) KUHUSIANA NA NABII NA UNABII; AMBAZO KWA MUDA HUU NI MUHIMU SANA MKAZISIKILIZA TENA UPYA


CLIPS ZA SEMINA SIKU YA PILI KWA MFUATANO
#1,085 (clip ya pili)
#1,086 (clip ya tatu)
##1,087 (clip ya nne)
#1,088 (clip ya tano)


Na hii hapa chini ni clip ya kwanza kwa siku ya pili




Clips zingine za siku ya kwanza na ya tatu zinafuata
 
CLIPS ZA SEMINA SIKU YA KWANZA
Clip ya kwanza siku ya kwanza
 
Clip ya pili siku ya kwanza
 
Clip ya tatu

siku ya kwanza
 
Clip ya nne siku ya kwanza

 
Clip ya tano siku ya kwanza

 
CLIPS ZA SIKU YA TATU (na ya mwisho)


Clip ya kwanza siku ya TATU
 
Clip ya pili siku ya TATU

 
Clip ya tatu

siku ya TATU
 
Clip ya nne siku ya TATU
 
Back
Top Bottom