KUHUSIANA NA MTT1990, MTOTO ALIYEZALIWA MARCH 1990 NA ALIYETUMIA MUDA WAKE MWINGI SANA WA MAISHA YAKE AKIKAA JELA
UTAFITI WA KIROHO KUTOKA KWA MHUSIKA KUHUSIANA NA MTOTO HUYU
Mimba ya mtoto huyu ilitungwa kwa makusudi maalum na ilitakiwa iishie kama mimba tu na hivyo kilichokuja kutokea MTT1990 akazaliwa mwaka 1990 ilikuwa ni nje ya matarajio ya planners. MTT1990 Alitakiwa aishie tu kwenye stage ile ya mimba huku akiwa ame-execute mambo kadhaa muhimu, huku walengwa wa mambo wakiwa ni mhusika na baba yake (mhusika) mzazi
Kwa bahati nzuri (mbaya kwa planners), kwa matakwa yake mwenyewe
, MTT1990 mwenyewe aliweza kulazimisha hadi akafikia stage ya kuzaliwa na hivyo kuendelea kuishi hadi leo yupo akiwa ana mke na watoto wawili
PLAN YA AWALI ILIVYOKUWA KUHUSIANA NA MTT1900 KABLA HAJAZALIWA; KILE KILICHOPELEKEA MIMBA YA MTT1990 KUTUNGWA
Akiwa bado yupo tumboni mwa mama yake kabla hajazaliwa,
akiwa bado yupo kwenye stage hiyo ya mimba tu, MTT1900 alitakiwa awaondoe duniani mhusika pamoja na baba mzazi wa mhusika
NAMNA PLAN HII ILIVYOKUWA IMESUKWA
Ni kwamba mhusika alikuwa anatarajiwa kuwepo mazingira ya nyumbani kuanzia Desemba 1989 hadi mwanzoni mwa Julai 1990 kwa sababu kwenye mwaka huo wa 1989, mhusika alikuwa anatarajia kuhitimu masomo yake ya kidato cha nne
Vile vile, mwenye mimba naye pia alikuwa anatarajia kuhitimu masono kwenye mwaka huo huo wa 1989 na hivyo
mimba hiyo ilikuwa imetungwa KWA MAKUSUDI tangu mwezi June 1989, huku mwenye mimba akiwa hajamaliza masomo ya kidato cha nne. Hadi kufikia Novemba 1989 mwenye mimba anahitimu masomo yake ya kidato cha nne, mimba hiyo ilikuwa tayari ina miezi isiyopungua mitano (5)
TIMING ILIYOKUWEPO KWENYE UTUNGWAJI WA MIMBA HIYO
Mimba hiyo ilitungwa huku ikiwa na timing ya baadhi ya mambo kadhaa muhimu na ya lazima kama yafuatayo
- Kwa kutungwa kwake mwezi June 1989 huku mwenye mimba akiwa mwaka wa mwisho wa masomo ya kidato cha nne, assuming MIMBA HIYO ITALAZIMISHA KUZALIWA, mtoto huyo atazaliwa si baada ya mwezi March 1989
- Kama mtoto atazaliwa mwezi March 1989, na assuming mama yake atachanguliwa kuendelea tena na masomo ya kidato cha tano, by Julai 1990 mtoto huyo atakuwa tayari ana angalau miezi mitatu na hivyo mtoto anaweza kuachwa nyumbani akaendelea kunyonya maziwa ya ng’ombe, na hivyo mama yake kuweza kuendelea tena na masomo yake ya kidato cha tano, na hicho ndicho kweli kilikuja kutokea
- Mbali na hayo, timing nyingine muhimu ilikuwa ni kwamba ilikuwa ni lazima mhusika aweze kuwa karibu na mazingira ya kuanzia stage ya mimba (katika kipindi chake chote atakachokuwepo kwenye mazingira ya nyumbani akisubiria matokeo ya kidato cha nne) na possibly, hadi ile ya kuzaliwa mtoto, assuming mimba hiyo italazimisha mtoto kuzaliwa.
- Hii ni kutokana na ukweli kwamba kwenye kipindi hicho cha kusubiria matokeo ya kidato cha nne, kilikuwa ndiyo kipindi pekee kirefu cha mwisho ambacho mhusika na dada yake wangekuwepo kwa pamoja kwenye mazingira ya nyumbani, assuming huko mbele ya safari wataendelea na masomo na hatimaye kupata ajira baada ya kuhitimu masomo yao.
Na kweli hiki ndicho kilitokea. Kilikuwa ni
kipindi kirefu cha mwisho kwa mhusika na dada yake wote wawili kuwepo kwenye mazingira ya nyumbani kwa pamoja
Kwa hiyo, timing ya mimba ya MTT1990 ilifanyika kwa kuzingatia baadhi ya mambo haya muhimu yakiwa yameambtana pia na PLAN B,
just in case kilichokuwa kinatarjiwa kutoka kwenye mimba hiyo kisingeweza kutokea kama kilivykuwa kimetarajiwa. Mojawapo ya mambo yaliyokuja kufanyika baadaye kwenye PLAN B ni kama lile la MTT1990 kuhamia Dar es salaam mwaka 2005. Si hilo tu, bali yapo na mengine kadhaa ambayo mhusika atakuja kuyaongelea hapo baadaye kwenye maelezo yanayofuata
KILICHOTOKEA BAADA YA MTT1990 KUZALIWA MNAMO MARCH 1990
Baada ya MTT1990 kuzaliwa, baba mzazi wa mhusika (babu wa MTT1990) alipoteza maisha miezi sita mbele;
baada ya kuugua ghafla kwa mara ya kwanza na kwa kipindi cha miezi kadhaa tu
- Kawaida, baba yake na mhusika alikuwa haugui, ilikuwa ni mara ya kwanza kwake kuugua na alipougua tu, alipoteza maisha
- Mhusika yeye aliendelea kuwepo na hivyo yeye kuendelea kushughulikiwa kwa kutumia PLAN B
Mojawapo ya mpango kwenye plan hiyo ilikuwa ni MTT1990 mwenyewe (aliyelazimisha kuzaliwa) kuendelea kutumika kwa kumshambulia mhusika kupitia kwenye ulimwengu wa roho. Mpango huu ulipendelewa sana kwa sababu ulionekana kwa kiasi kikubwa sana, ungekuwa FOOL PROOF kiasi kwamba isingekuwa rahisi kwa mhusika kuweza kugundua
Na kweli mpango huo ulikuwa FOOL PROOF KWA KIASI KIKUBWA SANA; na ndiyo maana kwenye kipindi cha miaka ya hivi karibuni baada ya mhusika kuwa ameyafahamu haya anayoyaandika humu muda huu, AMELAZIMIKA KUPOTEZA NDUGU ZAKE WAWILI WAKIDHANIWA KUWA NDIYO WALIOKUWA WAKIMPENYEZEA TAARIFA HIZI, WAKATI SIYO
Kile ambacho mhusika ameshakiona hadi muda huu kuhusiana na namna execution ya mpango huu ilivyokuwa imewekwa ni kwamba baada ya MTT1990 kuwa amefikia stage ya kuwa amepata akili, zailichukuliwa hatua za kumjulisha fika kabisa kuwa kama hataweza kufanikisha swala la kumshambulia mjomba wake, basi zamu ya kile kilichokuwa kinatakiwa kumpata mjomba wake, kitampata yeye. Kwa hiyo hadi anahamia Dar es salaam mwaka 2005, MTT1990 alikuwa analijua hilo na hivyo ajapokuwa pengine alikuwa anafanya kazi hiyo pasipo kupenda, basi alikuwa anafanya hivyo wa niaba ya kuuponya uhai wake
Kwa hiyo, by Desemba 2004, MTT1990 alihitimu masomo ya elimu ya msingi ambapo alishindwa kupata ufaulu wa kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza.
MTT1990 hakuwa na kichwa cha kufeli mtihani wa darasa la saba isipokuwa kilichotokea ni kwamba, (MTT1990) alitengenezewa tu mazingira rutubishi ya makusudi yaliyopelekea kufeli mtihani huo na aliyetengeneza mazingira hayo ni baba yake mzazi. Vinginevyo MTT1990 hakuwa kwenye level hiyo ya kufeli mtihani huo, kwa sababu evidence zilikuja kuonyesha kuwa shule aliyokuja kusoma baadaye pre-form one, yeye ndiyo alikuja kuwa anaongoza kwenye masomo ya Physics na Mathematics
- Kwa hiyo MTT1990 alitelekezwa tu kijanja ili asiweze kupata ufaulu wa kujiunga na kidato cha kwanza ili baadaye aelekee Dar es salaam kwa mjomba wake
- Assumption iliyokuwepo kwa planners wa mambo haya ni kwamba kama MTT1990 angefeli masomo ya elimu ya msingi, basi obvious mhusika angeguswa na hivyo angemchukua kutoka Mwanza na kumleta Dar es Salaam ili aweze kumsomesha kwa kumlipia kwenye shule binafsi, na walikuwa wako sahihi kwa sababu hicho ndicho kweli kilikuja kutokea.
Kwa hiyo by Januari 2005, MTT1990 tayari alikuwa yupo Dar es salaam nyumbani kwa mhusika akisoma kwenye shule binafsi mhusika akiwa amemlipia, yakiwa ni maandalizi mahsusi kwa ajili ya kuanza kidato cha kwanza kwa mwaka uliokuwa unafuata wa 2006
- Pasipo mhusika kujua, kumbe MTT1990 alikuwa amekuja akiwa na mission nyingine maalum ambayo iliwahi kushindikana kutekelezeka tangu mwaka 1989, kipindi MTT1990 alipokuwa bado yupo tumboni mwa mama yake
- Hata hivyo, partly mission hiyo iliwahi kufanya kazi kwa baba mzazi wa mhusika au kwa babu yake MTT1990
Akiwa anaishi nyumbani kwa mhusika huku akisoma, MTT1990 alikuwa akifanya kazi hiyo aliyokuwa ametumwa huku akishirikiana na ndugu wengine kadhaa akiwemo baba yake mzazi (baba wa MTT1990) mwenyewe.
- Still kwa mwaka wote huo wa 2005, bado mhusika alikuwa yuko non-responsive to the attacks
- Mtu mwingine wa nje ambaye aliwahi kushiriki kwenye mpango huu, ni katuni moja iliyowahi kujisogea kwenye maisha ya mhusika nyumbani kwake tangu Julai 2004, kwa lengo la kuolewa
- Katuni hii ndiyo iliyokuwa iki-coordinate maswala muhimu ya mhusika kati ya ndugu zake na pia wafanyakazi wenzake ofisini kwa sababu ilikuwa inasoma pia kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika
Katuni hii ilikuwa inaonekana pia kuwa na uhusiano wa karibu sana na SENIOR MSTAAFU WA KIUME,
staff- mate wa mhusika
Kwa maelezo mafupi tu ni kwamba,
mtu huyu ndiyo alikuwa MR X wa kipindi hicho
………………………….inaendelea