#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KUHUSIANA NA CHUMBA CHA MICROSCOPES ZA MAABARA YA MR X

Chumba hicho cha MICROSCOPES za maabara ya MR X, kina madhabahu ya kuzimu ambayo ilishapelekea chumba hicho kuwa ni kitovu cha mapepo, ambamo watu huwa wanakuja kujichotea na hatimaye kuondoka

  • Ndiyo kile kilichowahi kusababisha viongozi wa juu wa Taasisi wakawa wanapita kwenye maabara
  • Source ya mapepo hayo ni KM-A, ambaye aliwahi kurusha mapepo kwenye milango mitano ya fahamu mwaka 2020 na baada ya hapo, kazi aliyobaki kwake kwa wakati huu ni RENEWAL tu ya mapepo hayo mithili ya vile alivyofanya J2 iliyopita ya tarehe 28/05/2023
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 01ST JUNE 2023

BAADHI YA MATUKIO MACHACHE YA MUHIMU YALIYOJIRI UPANDE WA MHUSIKA SIKU ZA NYUMA KABLA YA TANGAZO LA MKUTANO WA DHARURA WA WANAUME ULIOTISHWA NA KM-A


Jumapili ya tarehe 21/05/2023 mhusika alifika maeneo ya Kanisani na kukuta Ibada ya kwanza ikiwa bado inaendelea

Kutokana na hali hiyo mhusika alipaki gari lake nje kwanza, na hatimaye muda muafaka ulipofika, alienda kulichukua ili aliingize ndani ya uzio wa Kanisa

  • Mara tu baada ya kufika kwenye gari na kuwasha ili aanze kuondoka kuelekea ndani ya uzio wa Kanisa, umbali kidogo kama wa mita 20-30 hivi, alimuona mama ambaye aliamua kugeuza njia ghafla na kuanza kuelekea mahali pale alipokuwa mhusika
  • Mama huyu alifika na kumuuliza mhusika kama anaweza kumpatia lift yeye na wenzake waliokuwa wanaelekea Mlimani City
Mama huyu ana matatizo ya uelewa kwa sababu hata kipindi cha nyuma cha miaka ya 2017 au 2018, mhusika alishawahi kumuonya kwa tabia yake ya kusingizia kuwa ana jambo hili kwa maneno, wakati moyoni mwake anaonekana dhahiri kabisa kuwa ana kitu kingine tofauti kabisa na kile anachoongea

  • Siyo kweli kwamba mama huyu alikuwa anahitaji lift kutoka kwa mhusika, isipokuwa alikuwa anatengeneza mazingira ya kuonyesha kuwa yeye na mhusika huwa wanaongea faragha
  • Ni kwa sababu mama huyu anajua siku zote kuwa mhusika huwa anahudhuria Ibada ya pili na hata kwa J2 hiyo pia, mama huyu alijua kuwa mhusika alikuwa amehudhuria Ibada ya pili.
Kilichofanyika siku hiyo ni kwamba mama huyu aliamua kumfanyia timing mhusika pale alipokuwa anaenda kuchukua gari ili aliingize ndani ya uzio wa Kanisa, na hivyo kujifanya kama alikuwa anataka lift ya kwenda Mlimani City

  • Hoja yake haikuwa hivyo bali kuuonyesha umma kuwa huwa anafanya maongezi ya faragha na mhusika.
  • Ni onyo kwa mara pili kwa mama huyu kutoka kwa mhusika na mhusika anaomba asirudie tena kitendo hicho.
Mhusika anamheshimu sana mama huyu kwa sababu ana uhusiano mzuri naye na ukizingatia kuwa ni mtu ambaye wanaongea lugha moja ya kuzaliwa

Ndiyo yale yale kama ya J2 iliyopita baada ya kumalizika kwa kiao cha wanaume na KM-A; mengine unashindwa hata kuyaelezea vizuri. Mhusika huwa hapendi upumbavu

OMBI NA PIA USHAURI KWA AKINA MAMA WOTE WA KANISA A

Zab 24:1 SUV


Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.

Kwa hiyo, magari yote pia ni mali ya BWANA; hakuna anayeyamiliki gari isipokuwa wote tumekasimishwa na mmiliki wake ambaye ni mmoja tu; BWANA

  • Kwa hiyo hata kama ni kuomba lift kwa mtu mwingine, akina mama wawe huru kabisa na ni haki yao kabisa, isipokuwa tu wasiwe wanafanya hivyo kwa kujifichaficha kitu kinachopelekea baadhi yetu kuhisi kama kuna kitu kingine nyuma ya lift hizo
  • Mbali na hilo, akina mama wawe huru kuongea kuwa wanahitaji lift na si kujibanzabanza pembezoni mwa barabara pasipo kusema chochote, ilhali mtu akiwaangalia anaona kabisa kuwa hawa watu wanahitaji lift
Magari yote nayo vilevile ni ya BWANA

……………………………inaendelea
 
Tafadhali naomba usome tu, usichangie. Kama una hoja simply PM!
By the way, source ya aliyeleta taatifa za DR ilikuwa ni mitandao ya jamii. Kama ulimuona anaongea ni wewe ila si yule aliyeleta taarifa za DR; yeye alisema source yake ilikuwa ni mitandao ya jamii
Huu uzi wako unautumia kuweka kumbukumbu za matukio yako (diary) ama?
 
BAADA YA TUKIO LA LIFT KUPITTA J2 HIYO

Baada ya tukio la mama huyu aliyeomba lift kupita, wakati wa Ibada, kwa mara ya kwanza J2 hiyo (tarehe 21/05/2023), mhusika aliamua kukaa sehemu tofauti na ile ambayo huwa anakaa siku zote

Zipo pia siku zingine chache ambazo mhusika alishawahi kukaa sehemu tofauti na ile aliyozoea kukaa siku zote, isipokuwa ilikuwa tu katika siku zile ambazo aliikuta sehemu hiyo ikiwa imejazwa na watu wengine na hivyo kutokuwa na nafasi tena

J2 hiyo, mhusika akiwa amekaa sehemu hiyo ambayo ni tofauti na ile ambayo amezoea kukaa siku zote, mgeni mwenye begi dogo kama la Laptop alikuja akakaa karibu kabisa na mhusika, kitendo kilchopelekea mhusika kubadilisha tena nafasi ya kukaa na hivyo kwenda kukaa sehemu nyingine

KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUBADILISHA SEHEMU YA KUKAA J2 HIYO

Kwa siku za hivi karibuni, mhusika aliona dalili kama kuna muumini mwingine ambaye awali alikuwa hakai maeneo hayo, amehamia huko na hivyo kuanza kukaa karibu na mhusika, huku akionekana kama ana mission maalumu; japo mhusika hawezi kuhakikisha kuwa kweli mtu huyo alihamia eneo hilo akiwa mission maalumu

Muumini huyu ni yule kijana mmojawapo wa wale wawili waliokuwa wanatumika kama mifano mwaka 2020 wakati KM-A alipokuwa anafundisha somo lililokuwa likihusiana na NAFSSI, MWILI NA ROHO; somo ambalo lilipelekea KM-A aka-devise NEW WEAPON inayofanya kazi kupitia milango mitano ya fahamu

Kwa hiyo, baada ya mhusika kuona kijana huyu amehamia maeneo hayo, mhusika aliamua kubadilisha sehemu ya kukaa ili aone kitatokea nini

Baada ya J2 hiyo kupita, kwenye J2 nyingine iliyofuata ya tarehe 28/05/2023 mhusika aliamua kuendelea kukaa sehemu ile ile mpya aliyochagua, na kilichotokea baada ya hapo maelezo yake tayari yapo kwenye post zilizopo hapo juu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MR M

MWENDELEZO WA TAARIFA ZA MR M KUTOKEA KWENYE POS HII #1,471


Siku hiyo, mhusika alimkabidhi funguo za Conference Room (CR) mwakilishi wa darasa (MD), ili baada ya kipindi MR M arudishe funguo hizo ofisini kwa MWI

Darasa alillokuwa ameliahirisha siku hiyo mhusika, walikuwa wamekubaliana kukutana tena kwenye kipindi cha J3 ya tarehe 22/05/2023; kipindi ambacho kwa bahati mbaya halikufanyika baada ya wanafunzi kushindwa kufika kwenye chumba cha mhadhara, kutokana na taarifa walizosambaziwa kuwa darasa hilo lisingeweza kuwepo siku hiyo

NAMNA MD WALIVYOFAHAMIANA NA MHUSIKA:

HADI SIKU HIYO, MD ALIKUWA AMESHATAMBULISHWA KWA MHUSIKA NA MR M, WIKI KADHAA NYUMA WALIPOKUWA KIWA WAPO KWENYE VERANDA/ KORIDO

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSIANA NA KOZI MPYA


J3 ya tarehe 27/03/2023, MR M alifika ofisini kwa mhusika kumkumbusha kuwa kwa mhula huu, mhusika alikuwa amepangiwa na MWI kwa mara ya kwanza kushiriki kufundisha kozi ambayo huwa anafundisha MR M

  • Mara ya mwisho mhusika aliwahi kushiriki kwenye kozi hiyo ilikuwa ni mwaka 2001 (miaka 22 iliyopita) na alifundisha vipengele viwili kwa muda wa kipindi kimoja tu
  • Darasa alilowhi kufundisha mhusika mwaka huo, lilikuwa ni lile alilokuwa akisoma MR M, kipindi hicho akiwa bado ni mwanafunzi
HII ILIKUWA NI KOZI MPYA KWA MHUSIKA KWA MWAKA 2022/2023

Baada ya mwaka huo kupita, mhusika hakuwahi kushiriki tena kufundisha kozi hiyo kwa sababu anachokijua kwenye kozi hiyo ni hivyo vipengele viwili tu alivyowahi kuvifundisha mwaka 2001

  • Hata hivyo, ilitokea kwa mara nyingine tena kwenye majukumu yake ya kazi, mhusika akawa amepangiwa kwa mara nyingine tene, kushiriki kwenye kozi hiyo mwaka huu wa 2023
  • Kwa hiyo kwenye J3 tajwa, MR M alikuwa amefika ofisini kwa mhusika kumkumbusha kuwa kozi ilikuwa tayari imeshaanza na hivyo aweze ku-note ratiba ya vipindi
Na kwa wakati huo, ratiba ilikuwa bado ni draft na ilikuwa temporarily imewekwa kwenye pdf format kwa kuanzia

Mhusika alitakiwa kuanza kazi hiyo kwenye wiki liliyokuwa inafuata, yaani kuanzia J3 ya tarehe 05/04/2023

Hata hivyo, hapo katikati kabla ya wiki hiyo kuanza, MR M alifika tena ofisini kwa mhusika na kumjulisha kuwa inabidi asubirie kidogo na hivyo asianze J3 ya tarehe tajwa kwa sababu yeye (MR M) alikuwa bado ana kipengele anamalizia kukifundisha

Mhusika na MR M walikubaliana pia katika hilo, na hapo MR M aliaga na kuondoka ofisini kwa mhusika

BAADA YA KUAHIRISHWA KWA MUDA VIPINDI VYA MHUSIKA, MR M NA MHUSIKA WAKUTANA TENA KWENYE PRESENTATION YA MWANAFUNZI WA NGAZI ZA JUU ALHAMISI YA TAREHE 08/04/2023

Mwanafunzi huyu ni mpya na ni FOREIGNER na hivyo alkuwa anafanya presentation yake kwa mara ya kwanza

Mhusika alitangulia kufika kwenye chumba cha presentation hiyo ambayo ndiyo CR kama kilivyotwajwa hapo juu, halafu baadaye kidogo MR M naye aliwasili kwenye chumba hicho

  • Baada ya kuingia CR, MR alichukua nafasi na kukaa kwenye kiti kilichokuwa nyuma usawa wa pale mhusika alipokuwa amekaa
  • Baada ya presentation kumalizika, MR M alimshika begani mhusika kutokea nyuma ya kiti alichokuwa amekaa, akimweleza mhusika kuwa yeye (MR M) alikuwa tayari ameshamkamilisha sehemu yake na hivyo wiki ijayo mhusika anaweza kuendelea na kipengele chake kwenye somo hilo
Kwa hiyo mhusika kuanzia siku hiyo, MR M akatoa sasa nafasi ya kuanza kwa sessions za mhusika kwenye somo hilo, kuanzia J4 ya tarehe 11/04/2023 badala ya J3 kwa sababu J3 yake ilikuwa ni J3 ya Pasaka

SIKU YA KUANZA KWA DARASA LA MHUSIKA ILIPOWADIA, J4 YA TAREHE 11/04/2023:

WATU WATATU AMBAO NI MR M, MHUSIKA PAMOJA NA MWAKILISHI WA DARASA (MD) WAKUTANA NDANI YA JENGO LA IDARA, SAFARI HII IKIWA NI KWENYE KORIDO/ VERANDA YA GHOROFA YA KWANZA


Kwa bahati tu MR M, mhusika na MD walibahatika kukutana kwenye veranda ya ghororofa ya kwanza siku hiyo ya J4, huku yakiwa yamebaki masaa machache tu kabla ya darasa la mhusika kuanza siku hiyo

Muda huo, mhusika alikuwa ametoka kidogo akiwa anapumzika kwenye veranda hiyo, huku MR M naye kumbe alikuwa yupo na MD ofisini kwake wakijiandaa kuelekea ofisini kwa mhusika, nia ikiwa ni MR M kwenda kumtambulsha MD kwa mhusika

Baada ya kukutana kwa bahati tu kwenye veranda hiyo, MR M aliahirisha safari ya kuelekea ofisini kwa mhusika na hivyo kuifanya kazi hiyo ya kumtambulisha MD kwa mhusika wakiwa wapo hapo kwenye veranda

BAADA YA SESSIONS ZA MHUSIKA KUANZA

Sessions hizo zilikuwa zinafanyikia kwenye VENUES mpya kabisa, ukizingatia kuwa wakati huo ratiba ilikuwa bado ni draft iliyokuwa bado iiko kwenye pdf format badala ya html

Kwa maana nyingine, vipindi hivyo vilikuwa vinafanyikia kwenye LOCATION mpya

Kwa hiyo hadi hapa tunapata vitu kadhaa vifuatavyo

  • FOREIGN KEY (siku ya presentation)
  • NEW COURSE
  • NEW LOCATION
  • NEW VENUE
…………………..inaendelea
 
WASHIRIKI WA COURSE HIYO YA MR M WALIKUWA NI WALE WALE WA COURSE AMBAYO BADO ANAENDELEA NAYO HADI MUDA HUU

Mhusika alifundisha kipengele chake kwenye course hiyo, darasa likiwa limechangamka hadi akajisahau na kutaka kupitiliza

Baada ya kugundua hilo, mhusika alirudisha tena darasa hilo kwa MR M, lakini bado akawa anaendelea tena na watu hao hao kwenye kozi nyingie ambayo yenyewe bado inaendelea hadi muda huu

Hawa ndiyo wale waliokosa darasa lile la Ijumaa ya tarehe 26/05/2023

HITIMISHO


Kwa hiyo MD naye pia alikuwa anakuwa yupo kwenye darasa hilo lillowahi kuwa linafanyikia kwenye VENUE mpya

Hata hivyo kwa darasa hili linaloendelea hadi muda huu, MD ni mshiriki pia isipokuwa kwa mara ya kwanza alionekana kwenye darasa hilo ilikuwa ni siku ya J3 ile alipokuwa ametumwa funguo za chumba cha CR na MR M

Kwa kufuata logic ya mlolongo wa maelezo hapo juu, hapa MD anasimama kama PRIMARY KEY

Kwa hiyo siku MR M na mhusika wanakutana kwa ajili ya utambulisho kwenye VERANDA; MR M alikuwa ameambatana na PRIMARY KEY

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
COMING UP NEXT: HISTORIA YA VIFAA VYA MATETEMEKO VILIVYOPO OFISINI KWA MHUSIKA
 
KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA UCHAMBUZI WA IGIZO LA WATOTO AMBALO BAADHI YA VIPENGELE VYAKE VILIONEKANA KU-OFFEND AU KUKASHIFU WAZAZI KANISANI

Tukirudi nyuma kidogo mwaka jana wakati wa Kongamano lililowahi kufanyika Kanisa A mwezi Oktoba 2022 mara baada ya KM-A kuwa amerudi kutoka likizz yake aliyochukua kwa mara ya kwanza

Kwa muda wote wa takribani miezi minane kuanzia pale hadi kufikia siku ya J2 iliyopita, ni jumla ya J2 angalau/ zisizopungua 32

Katika kipindi hiki cha J2 zote hizi, viongozi wafuatao ndiyo wamebahatika kusimama madhabahuni siku za J2 na kutoa ujumbe wa neno la Mungu, baadhi yao wakiwa ni wageni kutoka nje ya Kanisa A

VIONGOZI WENYEJI KUTOKA NDANI YA KANISA A WALIOBAHATIKA KUSIMAMA MADHABAHUNI NDANI YA KIPINDI KILICHOTAJWA

Hawa ni:

  • MOSI: Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)
  • PILI: Kiongozi kijana mwandamizi ambaye karibia mara zote huwa anasimama na baada ya hapo, KM-A huwa anafuata tena
  • TATU: Mzee wa Kanisa kijana ambaye alisimama kwenye J2 moja tu ambayo mhusika aliishindwa kufika Kanisani baada ya gari lake kufanyiwa hujuma
Kwenye kipindi chote hiki cha J2 zisizopungua 32, kati ya viongozi saba (7) (ukiondoa wazee wa Kanisa) waliopo chini ya OFISI YA KM-A, hawa pekee ndiyo viongozi wa Kanisa A waliobahatika kusimama kwenye madhabahu ya Kanisa A kwa kipindi hicho cha kuanzia Oktoba 2022 hadi hii June 2023

VIONGOZI WENGINE:

VIONGOZI WAGENI WALIOBAHATIKA KUSIMAMA MADHABAHUNI NDANI YA KIPINDI KILICHOTAJWA HAPIO JUU


Hawa orodha yao ni kama ifuatavyo

MOSI: Kiongozi mgeni aliyewahi kusimama madhabahuni mwishoni mwaka jana akiwa anatokea Kigoma; ilikuwa ni baada ya Kongamano kupita

PILI:
Kiongozi mgeni aliyewahi kusimama madhabahuni mwezi March 2023 kwenye J2 ya Sikukuu ya wanawake

TATU:
Kiongozi mgeni aliyewahi kusimama madhabahuni hivi karibuni kwenye wiki la Pentekoste

NNE:
Viongozi wengine wageni watatu waliosimama madhabahuni kwenye wiki tatu hizi mfululizo kuanzia J2 ya tarehe 27/05/2023; J2 ya tarehe 03/06/2023 hadi J2 ya jana tarehe 10/06/2023

  • Kwa hiyo kwenye J2 zisizopungua 32, ni jumla ya J2 sita ambazo walisimama wageni kutoka nje ya Kanisa A
  • Ukiongezea na J2 nyingine moja aliyowahi kusimama Mzee wa Kanisa A, J2 zingine zote zilizobaki (angalau J2 25 kwa ujumla) zinagawanyika kwa watu wawili ambao ni KM-A na Kiongozi yule Junior
VIONGOZI WENGINE WATANO WA KANISA A WAMEKUWA PENDING KUSIMAMA MADHABAHUNI TANGU MWAKA JANA BAADA YA KONGAMANO LA OKTOBA 2022

Baada ya kongamano la Oktoba 2022 kuwa limepita, mhusika hakumbuki kumuona Kiongozi mwingine wa Kanisa A akiwa amesimama madhabahuni kwa ajili ya kutoa neno, tofauti na hawa wawili, ukiongezea na Mzee wa Kanisa ambaye yeye alisimama J2 moja tu

Kwenye wiki zote hizi ambazo KM-A amekuwa akisimama madhabahuni, amekuwa akiongelea theme moja (mhusika asingependa kuitaja), na ambayo aliichukua tangu mwishoni mwa mwaka jana 2022 na kuingia nayo hadi kwenye mwaka huu wa 2023 hadi kipindi cha hivi karibuni kabla ya Pasaka, pale KM-A alipoachia tena ngazi kwenye madhabahu na madhabahu kuchukuliwa na Kiongozi junior ikiwa ni pamoja na wageni ambao wamekuwa wakiendelea kuwepo Kanisa A

Hadi kufikia J2 ya mwisho (ndani ya mwaka huu) ambayo KM-A aliwahi kusimama madhabahuni kwa mara ya mwisho, KM-A alikuwa anaongelea theme hiyo hiyo moja ambayo aliwahi kuvuka nayo mwaka kutoka kipindi cha mwaka jana baada ya Kongamano

Kwa hiyo KM-A amekuwa akishushughulika na topic hiyo tangu mwaka jana hadi wiki ya J2 ya mwisho mwaka huu siku alipokuwa ameismama madhabahuni kwa mara ya mwisho

………………………inaendelea
 
Rekodi hizo hapo juu hazijumuishi aina ya viongozi waliowahi kuhudumu kwenye J2 ambazo Ibada za pili kulikuwa na Harusi, kwa sababu kwenye J2 za aina hiyo mhusika huwa anahuddhuria Ibada ya kwanza
 
MOJAWAPO YA THEME YA WATOTO KWENYE IGIZO LAO AMBAYO HAIKUWA NA TATIZO LA KINIDHAMU KWA WAZAZI

Ilikuwa ni ile ambayo KM-A amekuwa akishughulika nayo madhabahuni na hivyo kuvuka nayo kutoka mwishoni mwa mwaka jana 2022 hadi hivi majuzi mwaka huu wa 2023

  • Kwa hiyo, pamoja na KM-A kushughulika na theme hii kwa muda mrefu kiasi hicho, bado watoto nao pia walipewa tena theme hiyo kwenye igizo lao ili kuwakumbushia tena wazazi
  • Hii inaonyesha kuwa kwa sasa, ratiba ya KM-A kusimama madhabahuni imekuwa interrupted tu lakini kama isingekuwa hivyo, KM-A angekuwa bado anaendelea kusimamama madhabahuni hadi leo huku akiwa na theme hiyo ya mwaka jana
  • Kuna kipindi fulani cha miaka ya nyuma ambapo KM-A aliwahi kufundisha theme hiyo hiyo kwa muda wa miezi sita, na taarifa zake mhusika alishawahi kuziongelea humu jukwaani kwenye posts zake za nyuma
Hiki kitu kinaanza kudhihirsha indicator ya uwepo wa mismatch kati ya priorities za maslahi ya waumini wa Kanisa A na yale ya KM-A; kiasi kwamba:

  • Kile ambacho KM-A amekuwa akifundisha kwa msisitizo na kwa muda mrefu sana, hakifanyiki kama anavyotamani hadi inapelekea sasa anaanza kutuma watoto indirectly
  • Hakuna ubaya wowote wa kuwatumia watoto kwenye maswala ambayo ni ya msingi, isipokuwa tatizo linakuja pale ambao watoto wanapewa theme zenye manttiki huku zikiwa zimechanganywa ma zimgine a,bazo zimebena upumbavu
  • Kwa upande mwingine, waumini wa Kanisa A wanaweza kuwa wanafanya kama KM-A anayotamani wafanye, ila yeye bado hajafikia kwenye level ya kuridhika nao na kuwa-appreciate kuwa kuwa wanafanya kama anavyotaka
Still, waumini wa Kanisa A wanaweza kuwa pengine ni kweli kuwa hawafikii lengo ambalo KM-A anatamani walifikie kutokana na ukweli kuwa priority ya KM-A ni kitu kingine, na zile za waumini nazo ni kitu kingine pia

Waumini wanataka ustawi mzuri wa kiroho ndani ya Kristo Yesu, kwao na kwa watoto wao; kupitia Madhabahu ya BWANA isiyochakachuliwa kwa mapepo; priorities ambazo KM-A hawezi kuzi-sense hata kidogo tu kwa sababu kwa uzoefu, mhusika amekuja kumfahamu KM-A kama kiongozi mwenye sifa nyingi mno na nzuri mno kiasi kwamba ni viongozi wachache mno ambao huwa wanasimama kwenye madhabahu mbalimbali nchini au duniani, wanaoweza kuwa na sifa kama za KM-A.

Mhusika huwa anazisikia sifa hizi mara kwa mara kutoka kwenye shuhuda za watu mbalimbali ambao huwa wanabahatika kupata nafasi ya kusimama na kutoa shuhudia mbele ya waumini Kanisani

………………..itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 13TH JUNE 2023

KILE ALICHOKUWA ANASEMA MHUSIKA KWENYE MAELEZO YAKE HAPO JUU


Kwenye maelezo hayo hapo juu, alichokuwa anataka kukisema mhusika ni kwamba pamoja na KM-A kuwa-GROUND viongozi wengine watano pale Kanisani na kumiliki madhabahu peke yake kwa kipindi kirefu mno huku akifundisha somo moja refu unnecessarily, bado hiyo haikutosha kiasi kwamba alihitaji tena kufikisha ujumbe wake kupitia igizo la watoto

Kawaida kwenye J2 za sikukuu za watoto, pamoja na watoto kufanya mambo mengine ya ziada madhabahuni, watoto huwa wanataja pia mafungu kutoka kwenye Biblia kwa mtindo wa KILA MMOJA PEKE YAKE.

  • Safari hii haikuwa hivyo, japo mafungu nayo yalitajwa pia, yalitajwa kwa mtindo wa kundi kubwa la watoto kutaja mafungu kwa pamoja
  • Vinginevyo kingine walichofanya ni kile kilichosemwa awali kwamba BAADHI YA WATOTO HAO WALITUMIKA kupitia igizo la kuwadhihaki waumini kwa kwa kuwauliza, “JE HUU NI UUNGWANA?”
KUHUSIANA NA SWALI HILI LA “JE HUU NI UUNGWANA?”

Swali hili liliulizwa mara kadhaa na watoto husika kwa waumini, na details zinazohusiana na yale yaliyokuwa yanasemwa kwa waumini kabla hawajaulizwa swali hilo la “JE HUU NI UUNGWANA?”; walimu wa watoto hao wanazo. Possibly hata wazazi wa watoto waliotumika kwenye igizo hili nao pia wanazo details hizo, na hivyo mhusika haoni haja ya kuendelea kuuandika upumbavu huo humu jukwaani, ni aibu

IBADA YA J2 YA TAREHE 11/06/2023 HAIKUWA LIVE NA HIVYO HAIPO KWENYE MTANDAO LEO

Ni kawaida siku hizi kwa Kanisa A kwamba Ibada zote huwa zinakuwepo kwenye mtandao, ila safari hii Inada ya J2 ya tarehe 11/06/2023 haipo kwenye mtandao na hivyo ni Ibada ambayo ilikuwa hairuki LIVE na hivyo hadi leo hii haipo kwenye mtandao

MAMBO MENGINE YA MUHIMU YALIYOTOKEA MADHABAHUNI J2 HIYO

MOSI:

BAADA YA MAIGIZO YA WATOTO KUMALIZIKA; KM-A ALIMKARIBISHA MADHABAHUNI MTUMISHI WA MUNGU KWA AJILI YA NENO LA UZIMA


Mtumishi huyu alikuwa mgeni na alikuwa amekuwepo pia ndani ya siku za wiki akihudumu tangu J5 ya wiki hiyo, akifundisha ujumbe murua kabisa unaohusisha maombi na wokovu, kwamba bila maombi hakuna wokovu.

Kwa mlokole halisi, ujumbe huu una uhalisia wa zaidi ya asilimia 200% kwa sababu ulokole ni mchakato na hivyo bila maombi, mchakato huo lazima ukakwame kwenye DEAD END

Ndiyo maana watu ambao siyo walokole huwa wanahoji kwa nini ninyi ni walokole lakini bado mko hapa duniani wakati mmeshaokoka. Hili swali huwa linasbabishwa na ukosefu au uhaba wa vocabulary kwenye Kiswahili kiasi cha kupelekea watu hawa wasio walokole, kuwauliza walokole swali hili

BAADA YA KUPANDA MADHABAHUNI, MTUMISHI WA MUNGU AAMUA KUBADILISHA UJUMBE WAKE KUTOKA KWENYE THEME YA AWALI “MAOMBI” NA KUU-ALIGN NA BAADHI TA THEMES ZILIZOKUWA KWENYE MAIGIZO YA WATOTO

Ilikuwa ni baada ya mtumishi huyo kuvutiwa na mojawapo themes zilizokuwa kwenye maigizo ya watoto; theme ambayo ilikuwa inaendana pia na swali la “JE, HUU NI UUNGWANA?” walilokuwa watoto hao wakiliuliza mara kwa mara kwa waumini wakati walipokuwa wanafanya igizo lao

Katika hali ya kawaida siku zote

Mara tu baada ya Ibada ya Kusifu na Kuabudu kumalizika, immediately Ibada Kuu yaani huduma kwa ajili ya neno la uzima, huwa inafuata

Ilikuwa ni mara ya kwanza, kwa mhusika kuona IBADA YA KUSIFU NA KUABDU INAFUATIWA NA MAIGIZO YA WATOTO KWANZA halafu baada ya hapo ndiyo neno la uzima likafuata, KIASI KWAMBA IBADA KUU ILIKATIZWA NA KITU KINGINE KISICHOKUWA NA UHUSIANAO NA IBADA KUU

Kulikuwa na uharaka wa maigizo ya watoto, kiasi cha maigizo hayo KUKATIZA IBADA KUU?


Kawaida kwenye siku za sikukuu kama ilivyokuwa J2 hiyo, mazagazaga mengine yote kama haya ya maigizo ya watoto, huwa yanafuata baada ya Ibada kuu kumalizika; huwa hayakatizi Ibada kuu katikati

Hii inaashiria kuwa kulitakiwa kufanyike maandalizi fulani fulaini kwanza kwenye madhabahu, kabla mtumishi wa huyo Mungu hajapanda madhabahuni

………………………..inaendelea
 
BAADA YA MTUMISHI WA MUNGU KUPANDA MADHABAHUNI

Mtumishi alisema kuwa ameamua kubadilisha ujumbe wake siku hiyo na hivyo kuamua kufundisha ujumbe ulioendana na mojawapo ya themes za igizo walilokuwa wamefanya watoto

Mtumishi aliwaomba waumini kusoma mafungu kutoka Kitabu cha Wafalme wa kwanza sura ya 19:15---- mafungu yanayosema hivi:

15 BWANA akamwambia, Enenda, urudi njia ya jangwa la Dameski; ukifika, mtie mafuta Hazaeli awe mfalme wa Shamu. 16Na Yehu mwana wa Nimshi mtie mafuta awe mfalme wa Israeli; na Elisha mwana wa Shafati wa Abel-Mehola mtie mafuta awe nabii mahali pako. 17Na itakuwa atakayeokoka na upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua; na atakayeokoka na upanga wa Yehu, Elisha atamwua. 18Pamoja na hayo nitajisazia katika Israeli watu elfu saba, kila goti lisilomwinamia Baali, na kila kinywa kisichombusu.

……………………………………………………


TUKIRUDI TENA KIDOGO KWENYE IGIZO LA WATOTO LILILOKUWA LIMEKATIZA IBADA KUU

Kwenye mojawapo ya themes za igizo la watoto hao, watoto waliwalalamikia waumini wenye tabia ya kurukaruka huku na huku kwenye makanisa tofauti tofauti (hawa KM-A yeye huwa anawaita HELICOPTER. Mhusika aliwahi kucheka mno J2 moja mara ya kwanza alipolisikia neno hilo kutoka kwa KM-A. On the other side of him, KM-A huwa anachekesha sana)

Hawa ni wale waumini ambao leo anakuwa yupo Kanisa hili na kesho tena Kanisa lile kiasi kwamba wanakuwa hawaeleweki kuwa ni waumini wa Kanisa gani; wanatuatua na kurukakuruka kila mahali kama HELICOPTER

  • Mbali na hilo waumini hawa wanakuwa wanatoa zaka na sadaka kwenye makanisa mengine ambayo si yale wanayoabudu siku zote
  • Kwa upande mwingine, igizo la watoto lilikuwa na baadhi ya sehemu zenye ujumbe mzuri na VALID; isipokuwa tatizo ni namna walivyotumika kufikisha ujumbe huo kwa hadhira, huku igizo lao likitumika KUKATISHA IBADA KUU KATIKATI.
  • Mbali na hilo, kitendo cha watoto hao kuwa wanawauliza wazazi swali la “JE HUU NI UUNGWANA?” huku wakiwa wapo kwenye Madhabahu, ya BWANA na hatimaye kubinuka; kitu ambacho kilikuwa ni dhahiri UTOVU WA NIDHANU KWA WAZAZI
Kwa hiyo baada ya igizo kumalizika, Mtumishi wa Mungu (tumwite MWM), alilazimika kubadilisha ujumbe wake na kuamua kutumia mafungu kama yalivyonukuliwa hapo juu

MWM alianza kwa kuwaomba waumini wasome fungu hilo na baada ya hapo pale akaanza kufundsha neno, HAKUOMBA KABLA ya kuanza kufundsha neno

UHUSIANO WA MAFUNGU HAYA ALIYOTUMIA MWM KWENYE IBADA KUU NA KILE KILICHOKUWA KWENYE IGIZO LA WATOTO


MWM alianza kwa kufafanua kuwa Eliya alitumwa na Mungu kwenda kuwapaka mafuta watu watatu ili wawe wafalme ambao ni Elisha, Yehu na Hazaeli

  • Alipofika kule alikokuwa ametumwa (LOCATION), alimkuta Elisha peke yake na na hivyo kumpaka mafuta kama alivyokuwa ameagizwa
  • Wale wengine wawili ambao ni Yehu na Hazaeli hakuwakuta
  • Hawa hawakuwepo kwenye LOCATION yao na hivyo hawakuweza kuwa wafalme kwa wakati huo hadi baadaye
Baada ya hapo, MWM aliwaasa waumini wa Kanisa A watulie kwenye LOCATION yao, vinginevyo kuna siku watakuja kukwepana na mibaraka yao kama walivyowahi kukwepana nayo akina Yehu na Hazaeli

Kikubwa kingine alichoki-note mhusika wakati wa Ibada kuu ni kwamba MWM hakuitumia kabisa kusoma Maandiko Matakatifu, Biblia aliyokuwa amepanda nayo Madhabahuni

  • Kwa hiyo ilifikia hatua yeye naye akawa anatumia maandishi yanayorushwa kwenye target screen ya Digital Projector ukutani, ambayo kawaida maandishi hayo huwa yanarushwa kwa ajili ya waunini
  • Kwa hiyo hadi kufikia pale mwisho, Ibada Kuu ilibadilika kidogo na kuanza kuonyesha sura ya kama MWM alikuwa kwenye presentation ambayo audience yake walikuwa ndiyo waumini
Vinginecyo mafungu yote yakutoka kitabu cha Wafalme wa kwanza sura ya 19, kitabu alichotumia MWM ni kama yafuatavyo hapa chini

Eliya Amkimbia Yezebeli

1 Basi, Ahabu akamwambia Yezebeli habari ya mambo yote aliyoyafanya Eliya, na jinsi alivyowaua manabii wote kwa upanga. 2Ndipo Yezebeli akampelekea Eliya mjumbe, kusema, Miungu wanifanyie hivyo na kuzidi, nisipokufanya roho yako kesho, panapo wakati huu, kama roho ya mmojawapo wa hao. 3Naye alipoona hayo, aliondoka, akaenda aihifadhi roho yake, akafika Beer-sheba, mji wa Yuda, akamwacha mtumishi wake huko.

4 Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu. 5Naye akajinyosha akalala chini ya mretemu; na tazama, malaika akamgusa, akamwambia, Inuka, ule. 6Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena. 7Malaika wa BWANA akamwendea mara ya pili, akamgusa, akasema, Inuka, ule; maana safari hii ni kubwa mno kwako. 8Akainuka, akala, akanywa, akaenda katika nguvu za chakula hicho siku arobaini mchana na usiku hata akafika Horebu, mlima wa Mungu. 9Akafika kunako pango, akalala ndani yake. Na tazama, neno la BWANA likamjia, naye akamwambia, Unafanya nini hapa, Eliya? 10Akasema, Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya BWANA Mungu wa majeshi; kwa kuwa wana wa Israeli wameyaacha maagano yako, na kuzivunja madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga; nami nimesalia, mimi peke yangu; nao wanitafuta roho yangu, waiondoe.

Mungu Amtokea Eliya Mlimani Horebu

11 Akasema, Toka, usimame mlimani mbele za BWANA. Na tazama, BWANA akapita; upepo mwingi wa nguvu ukaipasua milima, ukaivunja-vunja miamba mbele za BWANA; lakini BWANA hakuwamo katika upepo ule; na baada ya upepo, tetemeko la nchi; lakini BWANA hakuwamo katika lile tetemeko la nchi; 12na baada ya tetemeko la nchi kukawa na moto; lakini BWANA hakuwamo katika moto ule; na baada ya moto sauti ndogo, ya utulivu. 13Ikawa, Eliya alipoisikia, alijifunika uso wake katika mavazi yake, akatoka, akasimama mlangoni mwa pango. Na tazama, sauti ikamjia, kusema, Unafanya nini hapa, Eliya? 14Akasema, Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya BWANA, Mungu wa majeshi; kwa kuwa wana wa Israeli wameyaacha maagano yako, na kuzivunja madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga; nami nimesalia, mimi peke yangu; nao wanitafuta roho yangu waiondoe.

15 BWANA akamwambia, Enenda, urudi njia ya jangwa la Dameski; ukifika, mtie mafuta Hazaeli awe mfalme wa Shamu. 16Na Yehu mwana wa Nimshi mtie mafuta awe mfalme wa Israeli; na Elisha mwana wa Shafati wa Abel-Mehola mtie mafuta awe nabii mahali pako. 17Na itakuwa atakayeokoka na upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua; na atakayeokoka na upanga wa Yehu, Elisha atamwua. 18Pamoja na hayo nitajisazia katika Israeli watu elfu saba, kila goti lisilomwinamia Baali, na kila kinywa kisichombusu.

Elisha kuwa Mwanafunzi wa Eliya

19Basi, akaondoka huko, akamkuta Elisha mwana wa Shafati, aliyekuwa akilima, mwenye jozi za ng’ombe kumi na mbili mbele yake, na yeye mwenyewe alikuwa pamoja na lile la kumi na mbili. Eliya akapita karibu naye, akatupa vazi lake juu yake. 20Naye akawaacha ng’ombe, akamfuata Eliya mbio, akasema, Nipe ruhusa, nakuomba, nimbusu baba yangu na mama yangu, kisha mimi nitakufuata. Akamwambia, Enenda, urudi; ni nini niliyokutendea? 21Akarudi akiacha kumfuata, akatwaa lile jozi la ng’ombe, akawachinja, akatokosa nyama zao kwa ile miti ya ng’ombe, akawapa watu, wakala. Kisha akainuka, akamfuata Eliya, akamhudumia.


…………………….inaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADA YA IBADA KUU KUMALIZIKA HUKU HAYA YOTE YAKIWA TAYARI YAMESHAFANYIKA KWENYE MADHABAHU YA BWANA

HATIMAYE WAKATI WA MATANGAZO ULIWADIA NA HAPO NDIPO KINARA WA MATANGAZO (tumwite KWM) ALIPOAMUA KUCHUKUA NAFASI YAKE TENA J2 HIYO


Wakati wa matangazo ulipowadia, Kiongozi wa Zamu (tumwite KWZ) alipanda juu madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo yaliyokuwepo J2 hiyo

  • Baada ya kuhitimisha matangazo yake, KWZ alisema kuwa KWM naye pia alikuwa na tangazo na hivyo angependa kumkaribisha KWM kabla KM-A hajapanda kwa ajili ya kuhitimisha Ibada
  • Kwa hiyo, KWZ alimkaribisha KWM juu madhabahuni na baada ya KWM kupanda juu madhabahuni, KWM alimnong’oneza kitu KWZ
Baada ya KWZ kuwa amenong’onezwa kitu na KWM, hapo hapo KWZ, aliongezea kitu kwenye matangazo yake aliyokuwa ameyahitimisha muda mfupi uliokuwa umepita

KWZ, alisema kuwa kulikuwa na mabdiliko kidogo kwenye matangazo yake na kwamba J2 ijayo kutakuwa na sadaka mbili badala ya moja kama alivyokuwa ametangaza awali******** (hapa Mwandishi anaweka nyota kwenye maneno haya meusi kwa sababu huko mbele kuna ufafanuzi unaohusina na maneno haya utakuja kufuata)

Baada ya tangazo hilo la nyongeza kutoka kwa KWZ, hatimaye sasa KWM alikabidhiwa madhabahu

Baada ya kukabidhiwa madhabahu, KWM alikuja na tangazo zito la dharula na ambalo siku zote, miaka yote, matangazo ya aina hiyo huwa yanatolewa na KM-A tu; isipokuwa tu pale anapokuwa hayupo; amesafiri

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kusikia tangazo la aina hiyo likitolewa na Kiongozi mwandamizi ilhali KM-A naye pia alikuwaepo
  • Still., tuseme labda kama ingetokea kuwa KM-A angekuwa hayupo J2 hiyo amesafiri, bado KWM hakuwa na uhalali wa kutoa tangazo hilo kwa sababu hakuwa zamu
Tangazo hilo lilitakiwa kutolewa na KWZ kama KM-A asingekuwepo

Mpaka hapa, inaonyesha KWM alikuwa amekuwa kwa makusudi programmed kutoa tangazo hilo; yakiwa ni makubaliano kati yake na KM-A

  • Mbali na hilo, hata kwa safari hii vile vile, tangazo hilo nalo lilikuwa linahusisha pia title ya “DR”; title ambayo yaweza kuwa KM-A alikuwa anajaribu kuikwepa kuitaja akiwa juu madhabahuni
  • KM-A atakuwa alikuwa anakwepa kuitaja title hiyo, baada ya kuwa ameitumia visivyo miezi kadhaa iliyopita wakati alipokuwa anatoa tangazo la MAOMBI YA ULAWITI NA UFILAJI
Kwa hiyo, hizi zinaweza kuwa ni baadhi tu ya sababu nyingine nyingi zilizopelekea KWM akawa programmed kutoa tangazo ilhali KM-A alikuwepo

MAUDHUI YA TANGAZO LENYEWE

KWM aliwashtua waumini wote alipotoa taarifa kuwa kuwa mmojawapo wa waumini wa Kanisa A ambaye title yake ni “DR”, yeye pamoja familia mbili, familia yake na watoto na familia ya shemeji yake na watoto, wamepata ajali wakiwa wanaelekea Kaskazini kwa shughuli za kimila

KWM aliongezea akisema kuwa gari waliyokuwa wanasafiria imepinduka na kuviringika mara tatu na hivyo kupelekea uwepo wa majeruhi kwenye ajali hiyo, ila kwa bahati nzuri hakuna aliyepoteza maisha

Mpaka hapa, mambo kadhaa makubwa yafuatayo yanajitokeza

MOSI: KWA MLOKOLE, shughuli ya pekee ya kimila anayoweza kufanya ni kujenga makaburi ya wapendwa wake kwa ajili ya kumbukumbu tu na si vinginevyo

PILI: Kwa mlokole vile vile, hakuna Ibada yoyote ambayo huwa inafanyika kabla au baada ya ujenzi wa makaburi ya wapendwa wao

TATU: “DR” aliyetajwa ni mwalimu na katika kipindi hiki, wanafunzi wake wamebakiza wiki chache sana kuelekea kwenye mitihani.

Kwa hiyo kwa wakati huu, uwezekano mkubwa ni kwamba ni dharura tu kama vile msiba, ambayo inaweza ikamtoa “DR” Dar es salaam na kumpeleka mbali huko mikoani na si shughuli za kimila

NNE:
Mbali na hayo; kwa wanaomfamu “DR” ikiwa ni pamoja na gari zake ambazo muda mwingi huwa anapenda kutumia anapokuwa yupo Kanisani; assuming alikuwa ametumia mojawapo ya gari hizo kwenye safari hiyo; gari hizo haziwezi ku-sustain majeruhi tu kwa kuviringika mara tatu, bali mambo mengine ya ajabu ambayo, asante Mungu ameyaepusha hayakutokea; yangekuwa yametokea

Vinginevyo pengine labda kama safari hii “DR” alikuwa ameamua kutumia V8 yake kwenye safari hiyo, gari ambayo mara nyingi huwa hapendi kuitumia kwa safari za kwenye Ibada Kanisani

Kwa hiyo baada ya KWM kutoa taarifa hizo kwa waumini Kanisani, kwa hekima ya pekee alienda mbele kwa kuwaomba waumini kuwaombea majeruhi wa ajali hiyo, ambao ilisemekana mmojawapo alikuwa tayari ameshapelekwa hospitali ya rufaa; na waumini nao bila kusita waliitikia wito huo

KILE ANACHOJARIBU KUKISEMA HAPA MHUISKA KWENYE MAELEZO YA AJLI HII


Anachojaribu kukisema hapa mhusika ni kwamba ni “DR” na familia zake mbili wamepata ajali na anawapa pole sana, isipokuwa taaarifa za ajali hiyo zinaonyesha dalili za kutumika vibaya na watu aliowatuma kufikisha ujumbe kwa waumini. Taarifa zile ambazo “DR” aliwapa viongozi wa Kanisa A wazifikishe Kanisani, zinaonyesha dalili ya kufika zikiwa zimeambatana na distortion kubwa sana

Chances ni kwamba safari ya “DR” ilikuwa ni ya dharula pengine labda kama vile msiba or something similar na si mambo ya kimila kama ilivyotangzwa Kaniasni

“DR” mwenyewe ndiye aliyekuwa anaendesha gari wakati ajali inatokea, na ilisemekana kuwa alikuwa anaendesha kwa speed ya kati ya 80-100 kilomita kwa saa

………………………………inaendelea
 
BAADA YA KWM KUWA AMETOA TANGAZO LA AJALI YA “DR” J2 HIYO; SWALI GUMU LA KUJIULIZA MUDA HUU

Wakati KWM anapanda juu kutoa tangazo la ajali, KWZ naye alikuwa tayari ameshatangaza maombi ya siku tatu mfululizo kwa wiki iliyokuwa inafuata (yaani wiki hii) kuanzia J3 hadi J5

The already established fact hadi muda huu ni kwamba, karibia mara zote kunapokuwa na maombi Kanisa A, ajali huwa zinatokea

Sasa mtu akiangalia hapa anaona kuwa baada ya tangazo la maombi ya siku tatu kuwa limetoka, kuna mtu mwingine tena amelinda madhabahuni (KWM) na kutoa tangazo lilnalohusiana na AJALI, ilihali SI YEYE ALIYESTAHILI KUTOA TANGAZO HILO

Baada ya matangazo ya J2 hiyo kuwa yamepita; kesho yake J3 jioni (yaani jana) zinatoka taarifa kupitia taarifa ya habari, za ajali mbaya huko Songea iliyoua jumla ya watu wanne (4) na kuacha majeruhi wengine 19

Je, huyu mtu aliyepanda madhabahuni kutoa tangazo la ajali ilhali si yeye aliyekuwa anastahili kutoa tangazo hilo, yaweza kuwa alikuwa anatabiri ajali pia?

Ikumbukwe kuwa hata ajali ya ndege ilitabiriwa kwanza halafu ndiyo ikaja kutokea

……………………..inaendelea
 
BAADHI TU YA USHAHIDI KUTOKA SIKU ZA NYUMA UNAOONYESHA KUWA MATANGAZO YOTE YA DHARULA KANISANI HUWA YANATOLEWA NA KM-A TU ANAPOKUWA HAJASAFIRI

Kawaida, matangazo ya aina hii huwa yanatolewa na KM-A tu, pale anapokuwa yupo Kanisani hajasfiri

Mifano hai ni kwamba mwaka 2017 au 2018 muumini wa kawaida Kanisani ambaye pia ni msaidizi wa karibu wa KM-A, alivamiwa na majambazi nyumbani kwake usiku

  • Tangazo la taarifa za muumini huyu ikiwa ni pamoja na ombi la mkono wa pole kutoka kwa waumini wenzake, lilitolewa na KM-A
  • Mbali na huyo, tangazo hilo la msaidizi wa KM-A liligongana na tangazo jingine la dharula kwa muumini mwingine ambaye chumba chake kiliungua moto
Matangazo haya mawili yote yalikuja kwa wakati mmoja, aidha siku moja au kwa kupishana wiki tu na si mwezi

Baada ya matangazo hayo ya mwanzo kupita, lilikuja likafuatia tangazo jingine tena la muumini mwingine ambaye naye pia aliunguliwa chumba chake

  • Safari hii KM-A aliwaomba waumini kutoa sadaka madhabahuni kama msaada kwa muumini huyo
  • Hao wengine wawili wa mwanzo, KM-A aliwaomba waumini kuchanga, fedha ambayo ilikusanywa na hatimaye wakapatiwa
Kwa hawa wawili wa mwanzo, mhusika hakuweza kuchanga wakati wa tangazo kwa sababu hakuwa na hela, ila alipopata, alichomoka ofisini siku moja mchana wakati wa lunch na kwenda kukabidhi mchango wake kwa ajili ya watu hao wailii

Mchango aliokabidhi ulikuwa ni kwa ajili ya msaidizi wa KM-A pamoja na muumini aliyekuwa ameunguliwa chumba. Fedha hii ya watu wawili aliikabidhi kwa mmojawapo wa waathirika wa matukio haya tajwa

…………………….inaendelea
 
KUHUSIANA NA MBARAKA ULIOTANGAZWA NA KM-A J2 YA TAREHE 28/05/2023; AMBAO ULIHUSISHA WANAUME TU KWA KUANZIA

Deadline ya kushiriki mbaraka huo ilikuwa ni J2 ya tarehe 04/06/2023

KILE ALICHOFANYA KM-A J2 HIYO YA MWISHO WA USHIRIKI WA MBARAKA HUO

Kawaida kabla ya matoleo, KM-A huwa anasimama kukumbushia sadaka zingine zote ambazo siyo regular; kuwakumbusha waumini waliokusudia kushiriki kwenye sadaka hizo, waweze kuzitoa kwa wakati wasije wakajisahau wakapiltiliza na kuzitoa mbele wakati walikuwa wapo tayari kuzitoa muda huo.

Nia ni ku-keep consistence ili waumini wasije wakapitwa na deadline yake wakati sadaka wanayo tayari, kitu ambacho ni kizuri kuwakumbushia

Kwa hiyo, J2 ya tarehe 04/06/2023 ilikuwa ni deadline ya sadaka hiyo

  • Hata hivyo kabla ya matoleo, KM-A hakuwakumbushia wanaume kuhusu sadaka hiyo, bali alikuja kufanya hivyo baada ya matoleo kuwa yamepita
  • Kawaida sadaka ikitolewa wakati wa Sadaka kuu, huwa inaombewa
  • Vile vile, kawaida, kila sadaka inayotoka Kanisani huwa inatakiwa kuombewa, japo hili kwa Kanisa A huwa halifanyiki hivyo
Kwa hiyo kwa Kanisa A, baadhi ya sadaka huwa haziombewi

  • Mojawapo ya sadaka hizo ni kama ile ambayo huwa inatolewa wakati wa au baada ya somo la Uanafunzi na Maandiko
  • Sadaka nyingine ambaye huwa haiombewi, ni ile ya akina mama ambayo imeanza kutolewa siku za hivi karibuni huu; sadaka hiyo haijawahi kuombea hata siku moja
BAADA YA MUDA WA SADAKA KUU KUWA UMEPITA, HUKU ILE YA WANAUME IKIWA BADO HAJATOLEWA

Baada ya matoleo kupita, KM-A alisimama sasa muda huo, kuwakumbusha wanaume ambao walikuwa bado hawajatoa sadaka hiyo ili waweze kuitoa

Kikapu kiliwekwa mbele na baadhi ya watu walioonekana wa mwamnzo wakitoa sadaka hiyo ni KINAR WA MATANGAZO (KWM)

Waumini wengine wanaume nao vile vile walitoa.

Sadaka hiyo haikuombewa, ilikusanywa tu kama mchango

Hadi hapa tunarejea kwenye maneno ya post mojawapo hapo juu, pale mhusika aliposema kuwa
..............................................................................................................................
“…………………………HATIMAYE WAKATI WA MATANGAZO ULIWADIA NA HAPO NDIPO KINARA WA MATANGAZO (tumwite KWM) ALIPOAMUA KUCHUKUA NAFASI YAKE TENA J2 HIYO

Wakati wa matangazo ulipowadia, Kiongozi wa Zamu (tumwite KWZ) alipanda juu madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo yaliyokuwepo J2 hiyo

Baada ya kuhitimisha matangazo yake, KWZ alisema kuwa KWM naye pia alikuwa na tangazo na hivyo angependa kumkaribisha KWM kabla KM-A hajapanda kwa ajili ya kuhitimisha Ibada

Kwa hiyo, KWZ alimkaribisha KWM juu madhabahuni na baada ya KWM kupanda juu madhabahuni, KWM alimnong’oneza kitu KWZ

Baada ya KWZ kuwa amenong’onezwa kitu na KWM, hapo hapo KWZ, aliongezea kitu kwenye matangazo yake aliyokuwa ameyahitimisha muda mfupi uliokuwa umepita

KWZ, alisema kuwa kulikuwa na mabadiliko kidogo kwenye matangazo yake na kwamba J2 ijayo kutakuwa na sadaka mbili badala ya moja kama alivyokuwa ametangaza awali********

(hapa Mwandishi anaweka nyota kwenye maneno haya meusi kwa sababu huko mbele kuna ufafanuzi unaohusina na maneno haya utakuja kufuata
)……………..”

…………………………………………………......................................................

Mwisho wa kunukuu

J2 ya siku ya tangazo la kwanza la sadaka hiyo (siku zilipogawiwa picha zinazohusiana na sadaka hiyo) napo vile vile sadaka hiyo haikuombewa

Kwa hiyo kwa J2 zote mbili, sadaka hiyo ya wanaume haikuombewa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILE AMBACHO MHUSIKA ANADHANI SIYO KIZURI SANA

Ni pale mtumishi wa Mungu mgeni aliyefika wiki juzi Kanisa A na kutumia wiki yake nzima hapo akifundisha kuhusiana na mahusiano kati ya wazazi/ walezi na watoto, atakaposikia kilichotokea kati ya watoto hao na wazazi J2 iliyopita; watoto walipokuwa wakiwakejeli wazazi kwa swali “JE HUU NI UUNGWANA?”

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 14TH JUNE 2023

TUKIO JINGINE MUHIMU LILILOFANYIKA KATIKATI YA IBADA KUU WAKATI WA IGIZO LA WATOTO

WAUMINI WAWILI, KINARA WA MATANGAZO (KWM) PAMOJA NA MAMA MWINGINE; WALIKARIBISHWA KWENYE STUDIO YA REDIO YA WATOTO KWA AJILI YA MAHOJIANO MAALUM


Kwenye maigizo hayo, watoto walikuwa na Redio yao iliyokuwa na watangazaji waliokuwa wakirusha matangazo LIVE

Kabla watoto hawajashuka chini, Redio hiyo iliwakaribisha juu ya madhabahu, waumini wawili kwa ajili ya mahojiiano

  • Waumini hao alikuwa ni KWM pamoja na mama mwingine
  • Mahojiano hayo yalihusiana na uwepo wa imani potofu sehemu mbalimbali mithili ya zile ambazo hivi karibuni, zimepelekea vifo vya waumini wengi huko nchini Kenya
  • Wasemaji kwenye mada hiyo walikuwa KWM na muumiini mwingine wa kike
Anachotaka kukumbushia hapa mhusika ni kwamba wakati KWM anapanda juu kwa ajili ya kutoa tangazo la ajali baada ya IBADA KUU kumalizika, alikuwa tayari ameshapata nafasi nyingine ya awali ya kufanya hivyo wakati wa igizo la watoto, lililokuwa limekatiza katikati ya IBADA KUU

Kwa hiyo tuseme kwa mfano KM-A akiamua kuwachukulia hatua baadhi ya waumini watu wazima waliokuwa wamekiuka utaratibu wa Ibada kwa kukatiza katikatai ya IBADA KUU J2 hiyo, basi KWM lazima awe ni mmoja wao

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
COMING UP NEXT:

BAADHI TU YA MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI KWENYE MAZINGIRA YA OFISSINI KWA MHUSIKA NDANI YA WIKI 3-4 ZILIZOPITA HADI LEO

………………………itaendelea
 
Back
Top Bottom