UPDATE-2: THURSDAY, 27TH JULY 2023
MAENFELEO YA KM-A KUTOKEA KWENYE MWILI MZIMA KUPITIA KWENYE VIUNGO HADI KUFIKIA KWENYE CELLS
Kichocheo kikubwa kilichomuwezesha KM-A kuhama kutoka kwenye VIUNGO VYA MWILI na kuingia kwenye CELLS, ni mishipa ya damu ya OM wa mhusika ambayo inaonekana kwa macho ya nyama
KM-A alianza kufanya kazi akiwa anahusisha vitu vizima (matter) au mwili mzima (kwa viumbe hai kama vile binadamu)
Kama ilivyowahi kudokezwa hapo kabla, hadi kufikia Desemba 2020, KM-A
aliweza kuhama kwa mara ya kwanza, kutoka kwenye mwili mzima na kuingia kwenye viungo, mojawapo vikiwa ni milango ya fahamu ambayo ni PUA, MACHO, MASIKIO NGOZI NA ULIMI
Maelezo ya namna alivyoingia huko mhusika alishawahi kuyatoa humu mara kwa mara na hivyo kwa post hii hana haja ya kuyarudia
Hata hivyo, baada ya Office Mate (OM) kuwasili ofisini, KM-A alipata tena fursa nyingine ya kuhama safari
kwa mara ya pili, kutoka kwenye VIUNGO na kuingia kwenye CELLS
MLOLONGO WA MATUKIO MUHIMU YA UTHIBITHO WA KM-A KUHAMA KUTOKA KWENYE VIUNGO NA KUINGIA KWENYE CELLS
Mlolongo wa matukio haya unaanzia siku ya
IJUMAA YA TAREHE 26/05/2023 ofisini kwake mhusika, siku ambayo baada ya kupita, ilifuatiwa na J2 ambayo KM-A alitoa tangazo la ushiriki wa mbaraka Kanisani kwa wanaume peke yao,tangazo alilolitoa
J2 YA TAREHE 28/05/2023
Kabla hajaendelea zaidi na maelezo yake, mhusika anawaomba wasomaji waangalie kwanza mlolongo wa matukio haya yanayoanzia IJUMAA YA TAREHE 26/05/2023
IJUMAA YA TAREHE 26/05/2023
OM wa mhusika akiwa yuko kwenye maandalizi ya safari ya kikazi, alimkabidhi mhusika form za NHIF na kumuomba kumkabidhi binti ambaye angekuja kuzichukua ofisini hapo J3 ya wiki iliyokuwa inafuata
- Maelezo ya awali ya form hizo yako kwenye post hii hapa #1,524
- Form hizo zilikuwa ni HARD COPY na mhusika alizishika kwa mikono yake
J2 YA WIKI HIYO HIYO TAREHE 28/05/2023 MHUSIKA AKIWA YUPO KANISANI
KM-A atangaza mbaraka kwa wanaume wote huku akiwa na HARD COPIES za document ambayo wanaume wote waligawiwa na kuzishika kwa mikono yao
- Document hiyo nayo ilikuwa kwenye HARD COPY ambayo mhusika pia aliishika kwa mikono yake
- Kama alivyowahi kudokeza hapo awali, hapakuwa na haja hiyo kutolewa kwa HARD COPY na kwa uwingi huo wa wanaume kwa sababu PROJECTOR ya kuweza kuonyesga SOFT COPY ilikiwepo
Swala hapa lilikuwa ni kwamba MHUSIKA
ALITAKIWA AGUSE DOCUMENT HIYO YA KANISANI J2 HIYO, BAADA YA KUWA AMEGUSA ILE YA OFISINI IJUMAA YA WIKI HIYO
Document aliyoigusa mhusika Ijumaa, ni ile aliyopewa na OM kwa ajili ya kumkabidhi binti
- Mmojawapo wa wasmabazaji wa document ile ya Kanisani, alikuwa ni MR X
- Baada ya tangazo hilo, KM-A alitangaza sasa chakula kwa Kanisa zima ili ashughulike na CELLS ZA KWENYE PUA NA ZA KWENYE ULIMI
Chakula hicho kiliahirishwa, na baadaa ya hapo
J2 TAREHE 25/06/2023 MHUSIKA AKIWA YUPO KANISANI
Baada ya Ibada ya pili kumalizika, KINYESI CHENYE MCHANGANYYIKO WA MAVI NA MAJI, kiliachiwa pale Kanisani na hivyo KM-A akawa ameweza kushughulika na CELLS ZA PUA kwa namna nyingine tofauti na ile ya chakula kilichowahi kuahirishwa
KEY PRINCIPLE INAYOTUMIKA KWENYE MIKAKATI YOTE HII
Ni kwamba ili zoezi lifanikiwe, NI LAZIMA MHUSIKA AWE MMOJAWPO WA WASHIRIKI, vinginevyo KINYESI hicho kingeweza kuachiwa hata wakati wa Ibada ya kwanza. NI LAZIMA MHUSIKA ASHIRIKI KWENYE TUKIO halafu ndio tukio linaweza kuja kuzaa matunda yanayohitajika huko mbele ya safari
J2 NYINGINE YA TAREHE 09/07/2023 MHUSIKA AKIWA YUPO KANISANI VILE VILE
KM- A alitoa tangazo jingine la pili kuhusiana na mbaraka wa awali, safari hii akiwashirikisha akina mama tu kama alivyowahi kuahidi kabla
Tangazo hili halikutumia HARD COPIES bali SOFT COPIES zilizorushwa kwa kutumia PROJECTORS
HITIMISHO
KM-A asingeweza kulitoa tangazo hilo kwa mkupuo mmoja kwa Kanisa zima kwa sababu ushahidi uliopo sasa unaonyesha kuwa KILA AWAMU YA TANGAZO HILO ULIIKUSUSDIWA KUSHUGHULIKA NA VITU TOFAUTI
- Mkupuo wa kwanza ulishughulika na CELLS ZA NGOZI na za MASIKIO, ilhali ule wa pili wa akina mama, ulishughulika na CELLS ZA MACHO, na matanagazo haya yote mawili mhusika alihusika kwa sababu yote aliyashuhudia
- Baada ya session ya tangazo la mkupuo wa pili wa akina mama kupita, tangazo hiloliliachwa kwenye display hadi Ibada ya pili ilipoanza
- Mbali na hilo, wakati wa Ibada ya pili J2 hiyo, DISPLAY SCREENS ziliendelea kuonyesha mkono wa mtu ulokuwa unachora mistari kwenye maandiko ya kitabu, kwa zaidi ya nusu sasa, kitendo ambacho ilikuwa ni mara ya kwanza kutokea
Vile vile, mwaka huu wa 2023, OM wa mhusika aliingia ofisini ALMOST muda ule ule ambao MTOTO aliyesadikika kuwa alikuwa nanaumwa na kuhitaji OPERATION, aliingia huku Dar es salaam mwaka jana 2022
- Pamoja na mambo mengine, mikakati yote hii miwili inaonyesha pia imekuwa ina SCHEDULES ambazo zimekuwa zikilenga kufanya TIMING ya kitu fulani muhimu, in as much as kama alivyowahi kudhihirisha MR X tarehe 23 na 24 Novemba 2022 siku alipowasili maeneo ya ofisini akiwa ameambatana na rafiki zake mhusika
- HIGHLY RECOMMENDED hapa ni kwamba kama ambavyo mhusika amewahi kudokeza kwenye posts za hivi karibuni zilizopita, BABA WA MTOTO MPWA WA MHUSIKA ANATAKIWA AJULIKANE ALIPO; ANAWEZA KUWA NA MSAADA WA MAANA SANA KWENYE HAYA YANAYOENDELEA OFISINI KWA MHUSIKA MUDA HUU
Ni kwa sababu baba huyo pamoja na OM wa mhusika, wanatoka mkoa mmoja, mkoa ambao una watu wengine pia kwenye mazingira aliyopo mhusika ambao wameshadhihirsha
pattern isiyo shaka ya kushughulika na maswala haya ambayo mhusika amekuwa akiyaongelea humu jukwaani
Zaidi ni kuwa mkakati uliokuwa umeambatana na mtoto huyo aliyesemekena kuwa mgonjwa mwaka jana 2022, unaonekana kuwa na malengo sawa na huu wa mwaka huu unaomhusisha OM wa mhusika, na hata
TIMING ya muda wake ina-
MATCH
Kuna post ya awali kuhusiana na tangazo la pili la KM-A la ushiriki wa mbaraka na ambayo ni ya hivi karibuni san, ambayo mhusika aliiweka humu kwa lengo lakuja kuirejea baadaye, lakini anaona hakuna haja ya kuirejea kwa sasa kwa sababu ni siku chache mno zimepita tangu aiweke post hiyo
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA