#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: SATURDAY, 27TH JANUARY 2024
MATUKIO YALIMYOTOKEA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE MHUSIKA SIKU ZA HIVI KARIBUNI


NI YALE MATUNDA YA KUWA ANAFICHWA CIRCULARS ZA MWAJIRI.

J4 YA WIKI HII KULIKUWA NA TUKIO JINGINE TENA AMBALO LILIPANGWA NA MKUU WA IDARA, TAARIFA ZAKE ZITAFUATA BAADAYE.

WAKATI ANAHAMISHIWA IDARANI, KATIBU MUHTASI WA MWI (KMWI) ALITOKEA KWENYE OFISI AMBAYO NDIYO ILE INAYOTAKIWA KUMLIPA MHUSIKA MADAI YAKE AMBAYO HAJALIPWA

KILE KINACHOENDELEA KWA MUDA HUU NI KAMA UJAMBAZI TU NA MHUSIKA NAYE KWA SASA NDIYO AMEFIKA KABISA KWENYE STEAD STATE YAKE, ANAWAKARIBISHA SANA

HIZO HELA WATAZIPATA TU IWAPO WAKO PAOMJA NA MUNGU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 27TH JANUARY 2024
KUNA TUKIO MOJA MUHIMU SANA LILIWAHI KUTOKEA MWISHONI MWA MWEZI JULAI MWAKA JANA 2023 AMBALO MHUSIKA HAKUWAHI KULIONGELEA WAKATI ALIPOKUWA ANATOA MAELEZO YALIYOHUSIANA NA POST HII HAPA



TUKIO HILO LIMEJIRUDIA TENA WIKI JANA SIKU YA ALHAMIS TAREHE 25/01/2024 MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO MAENEO YA BENKI MLIMANI CITY

KUNA MTU ALIYEKUTANA NAYE KULE MLIMANI CITY SIKU HIYO NA AKAOMBA NAMBA YA SIMU YA MHUSIKA: MTU AMBAYE MAELEZO YAKE TAYARI YAPO KWENYE POST ZILIZOPO HAPO JUU

UWEZEKANO MKUBWA NI KWMBA MTU HUYO HYUO NDIYE ALIYEHUSIKA NA TUIKO LA MWAKA JANA, AMBALO MHUSIKA HAKUWAHI KULIONGELEA

KWA KIFUPI TU NI KWAMBA, MWAKA JANA MHUSIKA ALIPITIA MAENEO YA SAVEI KWA AJILI YA KUNUNUA MAHITAJI YA NYUMBANI, BAADA YA KUWA AMETOKA BENKI

HAPO ALIIKUTA GARI YA MKUU WA KITENGO CHA MATETEMEKO, ILA HAKUWAONA WALIOKUUWA NDANI YA GARI HIYO

MBALI NA MKUU HUYO, MKUU WA IDARA NA MWENZI WAKE, NAO PIA WALIOKUWEPO PALE NA HAO NDIYO ALIOBAHATIKA KUSALIMIANA NAO NA KUONGEA NAO MAWIILI MATATU, KIPINDI ALPOKUWA ANARUDI KWENYE GARI LAKE ILE AELEKEE NYUMBANI

KABLA HAJAINGIA KWENYE GARI LAKE, KUNA WATU WALIOKUWA KARIBU MAENEO YALE, WALIMUULIZA MHUSIKA KAMA ALIPIGIWA SIMU NA MTU ALIYEKUWA AMESIMAMA HAPO KWENYE GARI LAKE AKIMSUBIRIA, NA AMBAYE HATIMAYE ALITAKA KUMWACHIA MHUSIKA KIFAA HAPO KWENYE GARI LAKE

MHUSIKA ALIKANUSHA NA HAKULIJALI SANA SWALI LA WATU HAO SIKU HIYO KWA SABABU KWA SIKU HIYO HALIKUMAANISHA CHOCHOTE KWAKE, ISIPOKUWA KWA SASA BAADA YA KUWA AMEKUTANA NA MTU KULE BENKI WIKI ILIYOPITA
 
KILE AMBACHO KINAWEZA KUWA KILIKUWA KIMETARAJIWA KUTOKEA SIKU HIYO MHUSIKA ALIPOKUWA AMEENDA BENKI

ILITARAJIWA KUWA WAKATI WA KURUDI, MHUSIKA ANGESIMAMA TENA SEHEMU ILE ALIYOWAHI KUSIMAMA MWAKA JANA, AU SEHEMU NYINGINE TOFAUTI

BAADA YA HAPO, MTU WALIYEKUTANA NAYE BENKI ANGEKUJA KWENYE GARI LA MHUSIKA, MHUSIKA AKIWA HAYUPO KWENYE GARI, NA WATU WASINGEWEZA KUMTILIA MASHAKA SAFARI HII KWA SABABU BAADHI YAO WANGEKUWA NI WALE WALIOWAHI KUMUONA MUDA MFUPI MAKIWA YUKO BENKI ANAONGEA NA MHUSIKA.

NA KWA SABABU ALIKUWA NI MWANAMKE, WATU HAO WANGEWEZA KUPATA PICHA KUWA POSSIBLY MHUSIKA NA MTU HUYO WALIPEANA MIADI KUJA KUKUTANA MAENEO HAYO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 02ND FEBRUARY 2024

TUKIO MUHIMU LILILOTOKEA MUDA HUU OFISINI KWAO MHUSIKA LIKIWAHUSISHA MR X, OM-1 NA OM-2

MUDA MFUPI ULIOPITA, KUNA WATU WATATU WAMEILETWA OFISINI NA OM-2 NA MMOJA WAO KUKABIDHIWA KUTUMIA MEZA YA MHUSIKA


Mhusika alitoka kidogo ofisini akimwacha OM-1 akiwa yupo peke yake ofisini kwa sababu OM-2 alikuwa ametoka, na aliporudi amemkuta OM-2 amerudi na OM-1 akiwa naye akiwa ametoka

OM-2 alikuwa amewaleta watu watatu ofisini, mmoja wao akiwa ni yule mtu pekee aliyewahi kukusanya project report yake kwa mhusika, na ambaye mhusika anadhani kuwa pengine si mwanafunzi ila ni mtu kutoka nje ya mazingira ya taasisi

Mtu huyu alikuwa amekabidhiwa na OM-2 kutumia Meza ya mhusika, ila hakuwa amekaa kwenye kiti, na alikuwa na amabeba begi mgongoni

Mlango wa chumba cha Microscope ulikuwa umefunguliwa na kuachwa wazi na hiyo ndiyo kazi iliyokuwa imemleta MR X

Kitendo cha mlango huo kuwa wazi, kilipelekea, kutoa mwanya wa watu hao kuwepo ofisini kwao mhusika pasipo kuonekana na Kamera ambayo huwa inamulika kwenye korido

Wakati mhusika anatoka, MR X hakuwepo kwenye chumba jirani, isipokuwa MR X alimpita mhusika akiwa yupo anapumzika kwenye veranda,

Kama kutakuwa na taarifa zaidi za nyongeza kuhusiana na tukio hli, zinaweza kuwajia baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA TAARIFA YA WATU WATATU WALIOINGIZWA NA OM-2 OFISINI KWAO MHUSIKA

WATU HAO WALIKUWA WAPO PAMOJA NA OM-2 KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES, NA BAADA YA KUMUONA MHUSIKA AMETOKA, OM-2 ALIAMBATANA NAO KWA KUIFUNGUA MLANGO WA CHUMBA CHA MICROSCOPES NA KUINGIA MOJA KWA MOJA OFISINI KWAO MHUSIKA, WAKIUACHA MLANGO WA MICROSCOPES UKO WAZI ILI WASIWEZE KUONEKANA NA KAMERA
KITENDO HIKI KILIFANYIKA MUDA MFUPI TU BAADA YA MR X KUWA AMEINGIA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY, 04TH FEBRUARY 2024
WALE WANAOSHIKILIA REKODI KWENYE HAYA MASWALA AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIYALETA HUMU JUKWAANI


MKUU WA MAJOR UNIT ANAONGOZA, AKIFUATIWA NA MR X.

HATA HIVYO KUNA UWEZEKANO MKUBWA JIRANI MAJI MACHAFU AKAJA AKWAPIKU WOTE HAPO BAADAYE

TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 06th FEBRUARY 2024

MHUSIKA ANAOMBA TENA MSAADA KATIKA HILI


KILE KINACHOENDELEA NYUMBANI KWAKE KUHUSIANA NA HACKING ZA SIGNALS ZA VIFAA VYA ELECTRONICS ZIKIWEMO TELEVISHENI NA RAOIO, KWA SASA NI FUJO ZA HALI YA JUU, TENA ZILE ZA KITOTO

MWAKA 2018, MHUSIKA ALILAZIMIKA KURIPOTI TATIZO HILI TCRA KWA MAANDISHI

MAELEZO YA UTANGULIZI


Mnamo mwaka 2018, mhusika aliwahi kuandika na kupeleka barua TCRA Makao Makuu, akiomba Mamlaka hiyo imsaidie kuona kama hapakuwa na interference yoyote ya signals za TV na Radio kwennye nyumba anayoishi

Hii ilitokana na ukweli kuwa mhusika alikuwa anaona nyumba ya jirani wakiendelea kukamata tuseme TV staion A, ambayo hata awali naye pia alikuwa anaikamata, lakini baadaye, all of a sudden, TV station A imepotea moja kwa moja kwake na hawezi kuikamata tena

  • Mbali na hilo, mhusika anazo redio mbili kubwa moja ikiwa sebuleni na nyingine kwenye chumba cha kulala
  • Alichokiona kwa kipindi hicho ni kwamba, Radio iliyo sebuleni inaweza kuwa inakamata station kadhaa za radio, huku ikiwa inaendelea kukamata Station B, na ya chumbani nayo pia imekuwa ikikamata station kadhaa ikiwemo Station B, ila kwa sasa, redio ya chumbani haiwezi tena kukamata Station B, huku ikiwa inaendelea kukamata stations zingine zilizobaki kama kawaida
Vile kwa kipimdi hicho, Hapakuwa na shift ya frequencies za mawasiliano kutoka kwa Service Providers na hata kama ingekuwepo, tatizo la signal hizo lilngeweza kurekebishika kwa kufanya retuning ya frequencies mpya za mawasiliano hayo

Radio hizi almost zipo kwenye location moja ndani ya nyumba kwa sababu kinachozitenganisha ni ule ukuta tu wa sebule na chumba cha kulala, kiasi kwamba ukiutoboa ukuta kutokea pale ilipo redio ya sebuleni, unakutana na radio iliyopo chumbani

Hili ndilo tatizo lililokuwa likimtatiza mhusika na na hivyo kuamua kwenda kuripoti TCRA ambao walichukua hatua ya mara kwa mara na katika muda tofauti, kuwa wanakuja na kupita karibu na nyumba wakiwa vifaa vyao vya kitaalamu, wakijaribu ku-tracekuona kama kulikuwa na foreign signal intereference lakini hawakufanikiwa kuona chochote

Hadi kufikia leo hii, mhusika tena redio wala TV, vyote vimezimwa; huku remote controls, za vifa husika zikiwa zimekuwa disable baadhi ya buttons muhimu, ili asiweze kuzitumia

KILE AMBACHO MHUSIKA AMESHAKIONA KUTOKANA NA UTAFITI WAKE WA MUDA MREFU SASA

Kuna mtu ana kifaa ambacho ni remote control ambacho kina uwezo wa kufanya baadhi tu ya mambo haya hapa chini


  • Kupunguza au kuongeza speed za feni na kuzifanya zizunguke zikiwa zinapiga kelele
  • Kuongeza au kupunguza sauti za radio au kuzizima kabisa ziziweze kutoa sauti
  • Ku-disable microwave oven na kushindwa kufanya kazi mithili ya microwave iliyoharibika, ilhali microwave hiyo ni nzima
  • Kupunguza moto wa microwave kiasi kwamba badala ya microwave kutumia dakika 2 kuchemsha kitu, microwave hiyo inaweza kutumia dakika kuanzia 8 na kuendelea
  • Kupunguza au kuongeza moto wa plates za majiko la umeme
Matukio haya yote mhusika anao ushahidi wa kutosha, kwa kuunganisha na matukio mengine matatu au manne, huku mawili kati yake yakiwa yamefanyika kwenye JUMAMOSI ZA WIKI MBILI MFULULIZO, yaani Jumamosi ya wiki juzi tarehe 27/01/2024 na ile ya wiki jana ya 03/02/2024

DHANA ALIYONAYO MHUSIKA KUHUSIANA NA NAMNA MATUKIO HAYA YANAVYOFANYIKA

Kabla ya dhana, uhakika alionao ni kwamba KUNA KIFAA KINACHO-OPERATE REMOTELY
kwa sababu kwa siku za hivi karibuni, kifaa hicho kimefanya kazi mara kadhaa na yeye akiwa anashuhudia LIVE

Kwa hiyo, dhana aliyonayo mhusika kuhusiana na kifaa hicho kiachotumika kwenye hacking ya signal hizi ni kwamba kifaa hicho kinafanya kazi on demand kwa kuwashwa na kuzimwa na kikishazimwa, hakiwezi kuwa detected na vifaa vingine vya kitaalamu na ndiyo maana kwenye matukio ya mwaka 2018, TCRA walishindwa kugundua kitu chochote

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA HIDDEN REMOTE CONTROLS ZINAZOFANYA KAZI KWENYE VIFAA VYA ELECTRONICS VYA MHUSIKA

Matukio yote ya hivi karibuni, yote ametokea baada ya mhusika kuiondoa taa ialiyokuwa ameiweka kwa ajili ya kumulika nje ya jengo anaLoishi, TAA ambayo hivi karibuni ilikuwa imelengwa kupasuliwa REMOTELY ili iweze kuunguza NET iliyozungushiwa kwenye jengo hilo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA MAHASIMU WA MHUSIKA AMBAO WANAPENDELEA PLAN ZAO ZIENDELEE KUWA FOOLPROOF, watu hao WANASHAURIWA WASIYATUMIE MAKUNDI YA WATU WAFUATAO
MOSI: WATOTO
PILI: WAREMBO


Taarifa zaidi kuhusiana na swala la hackings za signals nyumbani kwa mhusika zitawajieni kuanzia kesho

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY, 11th FEBRUARY 2024

RATIBA YA VIPINDI VYA MAOMBI YA DHARULA VYA KANISA A KWA WIIKI 7 MFULULIZO TANGU MWAKA HUU WA 2024 UANZE


KAWAIDA MAOMBI YA DHARULA YANAPOKUWEPO, HUWA YANAFUTA VIPINDI VYA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU AMBAVYO HUWA VINATAKIWA KUFANYIKA J5 YA KILA WIKI

WIKI YA KUANZIA TAREHE 8-14 JANUARI 2034:
MAOMBI YA SIKU 3 YA MFUNGO MAJI TU KUANZIAJ5 HADI IJUMAA

WIKI YA KUANZIA TAREHE 9-15 JANUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA TAREHE 16-21 JANUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA TAREHE 22-28 JANUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA TAREHE 29 JANUARI-4 FEBARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA 5-11 FEBRUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA 12-16 FEBRUARI 2024:
MAOMBI YA SIKU MBILI ZA J5 NA IJUMAA, MAOMBI YA IJMUAA YAKIWA NI YA MFUNGO, HUKU YALE YA J5 YAKIFUTA IBADA YA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU

RATIBA HII "STRONGLY RECOMMENDS" KWAMBA VIONGOZI WA KANISA HILI WANAHITAJI MSAADA MKUBWA SANA WA KIROHO

MBALI NA RATIBA HII, J2 YA LEO TAREHE 11/02/2024 KIONGOZI MKUU WA KANISA A ALIBUNI PROGRAM YA DHARULA AMBAYO HAIKUWA IMETANGAZWA AWALI KWENYE RATIBA ILIYOTANGAZWA J2 ILIYOPITA YA TAREHE 04/02/2024

SABABU ANYOIONA MHUSIKA KUWA INAWEZA KUWA ILIPELEKEA KM-A KUBUNI PROGRAM HIYO


ANAWEZA IKUWA KWA MARA YA KWANZA, ALIKUWA ANAJARIBU KUVURUGA PATTERN YA MHUDUMU AMBAYE HUWA ANAHUDUMU KILA J2 AMBAZO MHUSIKA HUWA ANAKUWA AMEHUDHURIA IBADA YA KWANZA AU KWENYE J2 AMBAZO HUWA KUNAKUWA NA IBADA MOJA; KULIKUWA NA IBADA MOJA

KWA MUDA MREFU, IMEKUWA NI KAWIDA KUWA KILA MHUSIKA ANAPOKUWA AMEHUDHURIA IBADA YA KWANZA, AU RATIBA INAPOKUWA NI YA IBADA MOJA, MHUDUMU WA IBADA HIZO AMEKUWA NI MTU MMOJA YULE YULE TANGU J2 YA TAREHE 08 MARCH 2021, YAANI TANGU MIAKA MITATU ILIYOPITA

J2 YA LEO, ILIKUWA NI MARA YA KWANZA KWA MHUSIKA KUMUONA KM-A AKIHUDUMU KWENYE J2 YENYE IBADA MOJA, NA ALITUMIA MUDA USIOZIDI NUSU SAA NA BAADA YA HAPO, ILIFUATA PROGRAM ALIYOIBUNI PAPO KWA PAPO, HAIKUWA IMETANGAZWA J2 ILIYOPITA

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA PROGRAM YA DHARULA ILIYOKUWA IKIENDELEA KANISANI LEO

BREAKING NEWS:

KATI YA WATU WALIOBAHATIKA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNIJ 2 YA LEO KWA AJILI YA KUOMBEWA, ANGALSU KULIKUWA NA MTU MWENYE JINSIA TATA ALIYEGUSA MIMBALI YA KWENYE MADHABAHU, BAADA YA KUWA IMEHAMISHWA KUTOKA MAHALI AMBAPO HUWA INAKAA SIKU ZOTE


KILICHOPELEKEA ZOEZI HILO KUFANYOKA NI KWAMBA KUNA MTU AIDHA ALIKUWEPO JUU AU ALIYEPANDISHA MADHABAHUNI AMBAYE JINSIA YAKE (SEX) NI TATA, YAANI JINSIA YAKE HAJULIKANI KAMA NI MWANAUME AU NI MWANAMKE.

ANAWEZA AKAWA ANAONEKANA KUWA NI MWANAUME KWA MACHO, ILA KIUHALISIA SIYO MWANAMME PERCE, AU AKAWA ANAONEKANA KAMA MWANAMKE ILA SI MWANAMKE PERCE

UWEZEKANO MKUBWA NI KWMBA MTU HUYU YUPO MIONGONI MWA WALE WAIMBAJI WA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU, NA AMBAO NDIYO PEKEE WALIHUDUMU KWENYE IBADA HIYO HUKU WAKIWA WAMEKABIDHIWA MIMBALI YA KWENYE MADHABAHU KUKAA NAYO, BAADA YA KUWA IMEGAMISHWA KWA AJILI YA KUWAPISHA WAUMINI WALIOKUWA WANAPITA JUU YA MADHABAHU KWA AJILI YA KUOMBEWA

KAMA NDANI YA KUNDI HILO HAYUPO MTU WA AINA HIYO, BASI MTU HUYO ATAKUWA ALIKUWEPO MIONGONI MWA WAUMINI WALE WALIOKUWA WANAPANDA JUU MADHABAHUNI KWA AJILI YA KUOMBEWA

KILE KILICHOPELEKEA J2 ILIYOPITA KUTOLEWA TANGAZO LA J2 YA LEO KUWEPO IBADA MOJA, NI ZOEZI LA KUTOA SADAKA KWA AJILI YA KINARA WA MATANGAZO, BAADA YA KUWA AMEHAMA KANISA

ZOEZI LA ZIADA LILILOFANYIKA LA WAUMINI KUPITA JUU MADHABAHNI KWA AJILI YA KUOMBEWA, HALIKUTANGAZWA J2 ILIYOPITA; ULIKUWA NI UBUNIFU TU WA PAPO KWA PAPI WA KM-A

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KAMA MTU WA AINA HIYO ATAPATIKANA KWENYE MAZINGIRA YA KANISANI KWAKE MHUSIKA, BASI THOROUGH CHECK IFANYIKE PIA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE, HASA KWA HAWA WATOTO WA USAFI, NA NYUMBANI KWAKE PIA, MAHALI ANAPOISHI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
ZOEZI LA MAOMBEZI YA J2 HIYO YALIYOTAJWA HAPO JUU, LILIKUWA NI LA KIPEKEE SANA KIASI KWAMBA KILA MTU ALIHITAJIKA KUPANDISHA JUU YA MADHABAHU PALE AMBAPO MIMBALI HUWA INAKAA, BADALA YA KUOMBEWA WAKIWA CHINI SEHEMU AMBAYO SIKU ZOTE MAOMBI HUWA YANAFANYIKIA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA KILCHOKUWA KINAENDELEA KANISANI JANA J2

ZOEZI LILIOFANYIKA JANA J2 KANISANI KWAO MHUSIKA, ILIKUWA NI RENEW NYINGINE YA MAPEPO KWENYE MILANGO YA FAHAMU YA MWANADAMU

TAARIFA ZAIDI AITAWJIENI HIVI PUNDE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 12th FEBRUARY 2024

MAELEZO KAMILI KUHUSIANA NA ZOEZI LA DHARULA LILOFANYIKA JANA HAPO KANISA A LA WAUMINI KUPANDISHA JUU YA MADHABAHU KWA AJILI YA KUOMBEA


Ilikuwa ni muhimu kwa watu kuombewa wakiwa juu ya madhabahu kwa sababu madhabahu hiyo ilikuwa imepungukiwa kitu ambacho KM-A huwa anakitumia siku zote

Kutokana na hali hiyo, ilikuwa ni lazima mbadala wa kitu hicho upatikane madhabahuni, na uweze kusambazwa kwa waumini wote pia

Kwa hali hiyo angalau mtu mwenye jinsia tata au watu wenye jinsia tata, walitakiwa kukanyaga juu ya madhabahu hiyo

MIMBALI YA MADHABAHU ILIKUWA HAIHITAJIKI, INGEWEZA KUKWAMISHA ZOEZI HILO

MIMBALI ya madhabahu ilikuwa haihitajiki kwa sababu ingekuwa kikwazo kwa zoezi hilo kufanyika, na kama zoezi hilo lingefanyikia chini, basi MIMBALI ingehusika kwa sababu isingehamishwa, kitu ambacho kingeweza kukwamisha zoezi husika

Kwa hiyo zoezi hilo lilifanyikia juu madhabahuni, ILI MIMBALI ISIHUSIKE, KUKWEPA KUKWAMISHA ZOEZI

MIMBALI hiyo ilikuwa imesogezwa pembeni, na possbibly kuna watu waliokuwa wamekabidhiwa kuhakikisha kuwa wanashughulika nayo wakati zoezi lilipokuwa linaendelea

……………………..inaendelea
 
……………………..inaendelea

NAMNA ZOEZI HILO LILIVYORATIBIWA NA KM-A


KM-A alianza kwa kusoma na kufundisha kwa ufupi sana Maandiko Matakatifu, kabla hajachomekea maneno akisema kuwa somo la siku hiyo ni fupi kwa sababu baadaye kutakuwa na zoezi la watu kupita kupanga JUU YA MADAHABAHU kwa ajili ya kuombewa

Baada ya mhusika kuyasikia maneno hayo, alidhani kuwa pengine ameelewa vibaya kwa sababu kitu hicho kilikuwa kigeni masikioni mwake kwa maana kuwa hakuwa amewahi kukisikia kabla ya J2 hiyo

KILICHOFANYIKA KABLA YA ZOEZI KUANZA, KM-ALIWAAPISHA WAUMINI KWA KUWAOMBA WATAMKE MANENO YALIYOHUSIANA NA BAADHI TU YA MILANGO YA FAHAMU

Maneno hayo ya kiapo yalihusiana na viungo vifuatavyo

MACHO

ULIMI

MASIKIO

MIGUU,
ambayo hii ilikuwa inawakilsha ngozi

Kwa hiyo hadi hapo, KM-A akawa ameshughulika na milango mine, akawa amebakiza mlango mmoja wa PUA pamoja na SENSE OF TASTE

BAADA YA ZOEZI LA WAUMINI KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI KUKAMILIKA

Zoezi hilo lilitumia zaidi ya masaa matatu

Baada ya zoezi kukamilika, KM-A aliwaomba waumini wasimamae ili awatamkie mbaraka akitumia fungu kutoka kitabu cha Hesabu linalosema

Hes 6:24-27 SUV

BWANA akubarikie, na kukulinda; BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani.

Kabla hajatamka mbaraka huo, KM-A aliwaomba kila mmoja wa waumini, anyooshe juu mkono wake wa kulia na ule wa kushoto auweke kwenye KIFUA

Kifuani
ndiyo sehemu pale ulipo MOYO wa binadamu moyo ambao kawaida huwa unawakilisha ROHO, huku maneno mengine aliyotamka yaliyosema

“…nyoosha mkono wako

yakiwa yanamaanisha “wewe (NAFSI) uunyooshe mkono wako…”

Hadi kufikia hapo akawa tena amekava NAFSI pamoja na ROHO, akibakiza PUA pamoja na LADHA ya ulimi kwa sababu ulimi kama ulimi nayo pia ni ngozi tu.

Ni mpaka pale ulimi unapoonja kitu ndiyo pale SENSE OF TASTE inapokuwa imefanya kazi

Hii ilikuwa ni baada ya zoezi la waumini kupita juu madhabahuni kuwa limekamilika

KULE MWISHO KABISA WAKATI WA KUHITIMISHA IBADA

Kule mwishoni kabisa kabla KM-A hajawaaga waumini, alimkaribisha Kiongozi mwenyeji-mgeni ambaye kwenye J2 husika, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuonekana tena kwenye huduma Kanisani hapo, baada ya kuwa hayupo Kanisani hapo kwa angalau miaka miwili

Hata hivyo, kiongozi huyu amekuwa kwa mara sana chache akionekana tu Kanisani hapo kwa ajili ya Ibada ila si kwenye huduma ya Ibada kama Kiongozi Kanisani hapo, kama ilivyotokea J2 iliyopita. Kiongozi huyu ni yule aliyehamia nchi jirani ya Msunbiji

Kiongozi huyu alikaribishwa kupandisha juu madhabahuni si kwa ajili ya kuwasalimia waumini baada ya kuwa amepotezana nao kwa muda mrefu, bali alitoa tangazo la kuwaomba wahudumu wote waliohusika na Ibada ya maombezi ya siku hiyo wabaki baada ya Ibada

Hapo hapo KM-A naye aliongezea neno ambalo kwa akili ya mtu mzima, liliashiria kuwa wahudumu hao walikuwa wanatakiwa na kiongozi huyu wabaki kwa ajili chakula cha mchana

Hadi hapo uwezekano mkubwwa ni kwamba vitengo vya PUA na TASTE vlivyokuwa vimebaki, navyo vilipata huduma yake stahiki baada ya waumini wengine kuwa wameondoka Kanisani hapo, assuming tangazo la Kiongozi huyo kweli lilihusiana na chakula

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO MENGINE YA AWALI YANAYOFANANA NA TUKIO LA J2 ILIYOPITA

Matukio mengine ya awali ambayo KM-A aliwahi ku-act in a similar manner, mhusika alishawahi kuyaleta humu kupitia posts hizi hapa

#388 ,#415 , #419 , #420 , #423 , #846 , #849 ,

#1,160 , #1,216 , #1,478 #1,545 #1,602 #1,769

RENEWAL hii iliyofanyika J2, ndiyo ile iliyopelekea mafundisho ya J5 ya wiki kufutwa na badala kuwepo mamombi tena, ilhali Kanisa limekuwa kwenye maombi mfululizo tangu tarahe 08 Jnauari 2902 hadi muda huu, pasipo waumini kupokea mafundisho yoyote kwenye siku za J5 za wiki

Vinginevyo pampja na kuwa mhusika huwa mara kwa mara anahudhuria Ibada ya pili na hivyo kuwa na uwezekano wa baadhi ya sura za waumini wa Ibada ya kwanza, kwa Ibada ya J2 iliyopita, sura ngeni zilikuwa ni nyingi mno zikiwemo za wasichana warembo ambao ilikuwa ni mara yake ya kwanza kaabisa kuwaona wakiwa wapo Kanisani hapo

Sura za wasichana wote warembo
waliopo Kanisani hapo, mhusika anazifahamu bila kujali kuwa huwa wanahudhuria Ibada ya kwanza au ya pili

MENGINE YA MUHIMU YALIYOJIRI KANISANI HAPO KWA UPANDE WA MHUSIKA, J2 HIYO YA TAREHE 11/02/2024

Mhusika aliingia Kanisani na kukuta Ibada ikiwa tayari imeshaanza

Viti vingi vilikuwa vimejaa ila alibahatika kupata kiti kilichokuwa jirani na shemeji yake mpendwa mmoja

Baada ya kuwa amekaa hapo kwa dakika kadhaa, mhusika alisikia joto lisilo la kawaida na hivyo kuamua kuhama na kiti hiicho na kwenda kukaa kwenye nafasi iliyo karibu na mlango wa kutokea nje, sehemu ambayo huwa siku zote anapendelea kukaa

Hapo alikaa jirani na kijana ambaye kwa sura hakuweza kumfahamu; sura yake ilikuwa ni ngeni

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI MAHALI HAPO ALIPOHAMIA MHUSIKA NA KUKAA NA JIRANI YAKE

Baada ya zoezi la watu kupita juu madhabahuni kuanza, kijana huyu aliyekuwa amekaa jirani na mhusika, aliondoka huku akiacha note book kwenye kiti alichokuwa amekaa, na hakurudi tena kwenye Ibada

Wakati wa hitimisho ya Ibada ya kupita juu madhabahuni, kwenye kiti kingine kilichofuata baada ya kile ambacho kijana aliyekuwa ameondoka moja kwa moja aliwahi kukaa, alikuja Shemasi kijana wa kiume na kukaa pale

Mhusika alimuuliza Shemasi kama alikuwa anaitambua note book iliyokuwa kwenye kiti jirani, ilikuwa ni ya nani kwa sababu hadi kufikia muda huo, ilikuwa imekaa pale peke yake kwa muda wa zaidi ya masaa matatu

  • Shemasi huyu alikanusha kwa kusema kuwa alikuwa hafamu note book hiyo ilikuwa ya nani
  • Baada ya muda kidogo, Shemasi alinyanyuka kwenye kiti na kuondoka na baada ya muda si mrefu, alirudi tena na safari hii, alihamia kwenye kiti pale ilipokuwepo note book, hakukaa kwenye kiti chake cha awali
Shemasi huyu aliikaa akiwa ameipakata note book hiyo mikononi mwake na baada ya muda mfupi kupita, kijana mwingine ambaye si yule aliyekuwa ameacha notebook hiyo kwenye kiti hciho, alikuja na hatimaye Shemasi kumpisha kijana huyu kwenye kiti hicho huku amipatia notebook aliyokuwa ameibeba mikononi mwake

Kijana huyu aliyekuja mara ya pili na hatimaye kupishwa kwenye kiti na Shemasi huku akikabdihiwa note book, si yule wa mwanzo ambaye aliondoka na kuiacha note book hiyo pale


Zaidi ni kuwa kijana huyu, alikuwa na michubuko ya makovu mabichi upande wa nje wa kiganja cha mkono wake wa kushoto

MAANA HALISI YA MICHUBUKO HIYO ILIYOKUWA KWENYE MIKONO YA KIJANA HUYO

Kijana huyu alikuwa tayari amenza sasa kazi ya usambazaji wa PEPO kupitia RECEPTOR CELLS , baada ya kazi ya aliyokuwa anafanya KM-A pale madhabahuni kuwa imekamilika

Mara zote RECEPTOR CELLS zinatumika kwenye usambazaji wa pepo kwenye CELLS za mwili wa kiumbe, BAADA YA PEPO KUWA TAYARI AMERUSHWA

Kwa hali hiyo MATUKIO yote TATA ya awali ambayo mhusika aliwahi kuyaleta humu jukwaani yaliyowahi kuonyeshwa kwenye MEDIA yakiwa yanahusisha watu waliokuwa wanaonekana wamejeruhiwa, wengine wakiwa wamefunga bandage, yote yalikuwa yanahusiana na usambazaji WA MAPEPO kwenye CELL RECEPTORS za mwili wa binadamu, baada ya MAPEPO husika kuwa yamerushwa kutoka kwenye LOCATION fulani

WAKATI HAYA YOTE YAKIWA YANAENDELEA KANISANI J2 HIYO, TUKIO JINGINE LA AINA HII LILIKUWA TAYARI LIMESHAMTOKEA MHUSIKA SIKU YA IJUMAA YA WIKI HIYO MAENEO YA OFISINI,

Kabla ya J2 hiyo, tukio jingine la aina hii, lilikuwa limejitokeza tena maeneo ya ofisini kwa mhusika siku ya Ijumaa ya tarehe 09/02/2024 na alioyehusika na kuratibu tukio hilo ni SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE), japo yeye hakuwepo ofisini siku hiyo

SMKE alihusika pasipo kuwepo ofisini Ijumaa hiyo kwa sababu kiuhalisia, aliyehusika na tukio lenyewe ni mgeni ambaye mara kwa mara na mara zote, huwa anafika ofisini akiwa anamtafuta SMKE

Taarifa zaidi za tukio la ofisini zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
YALE MUHIMU YALIYOJIRI MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE MHUSIKA KUANZIA J5 YA TAREHE 30/01/2024 HADI SIKU YA LEO J3 YA TAREHE 12/02/2024

Kwenye Alasiri ya J5 ya tarehe 30/01/2024 mhusika akiwa yupo anapumzika kwenye veranda; staffmate wake, binti mmoja akamfuata mhusika na kumweleza kuwa kesho yake Alhamis ya tarehe 01/02/2024 kutakuwa na DEFENCE ya mwanafunzi wa ngazi za juu itakayofanyikia kwenye chumba cha mikutano cha Idara

Baada ya kusikia hivyo, mhusika alimweleza binti kuwa circular ya tukio hilo kubwa alikuwa bado hajaiona

  • Baada ya mhusika kutoa hoja hiyo, binti huyu akaanza kumung’unya mungunya maneno pasipo kutoa hoja ya msingi kwa mhusika kutokuwa amepata circular ya tukio hilo kubwa mno
  • Baada ya hapo, binti alienda tena mbali zaidi kwa kumweleza mhusika kuwa muda huo alikuwa yupo pia anachanagisha fedha kwa ajili ya hafla ya jioni baada ya DEFENCE kuwa imemalizika
Hapa tena kukaibuka contradiction nyingine kubwa kwamba kawaida matukio ya aina hii huwa yana budget yake idarani kwa sababu yanajulikana kutokana na umuhimu wake na ukubwa wake

Hapo mhusika akakwepa tena kwa kutoa sababu ya msingi ya kutoshiriki kwenye uchangiaji wa fedha za tukio hilo

Hadi inafika siku ya tukio lenyewe Alhamis ya tarehe 01/04/2024, mhusika alikuwa bado hajapata taarifa zozote official kwa njia ya circular, isipokuwa aliamua kujipeleka tu mwenyewe kwenye tukio na kwa kutumia taarifa zile za mdomoni

Tukio hilo lilifanyika kwa ufanisi mkubwa na lilichukua takribani masaa matatu, na mmoja wapo wa wahusika kwenye tukio hilo alikuwa ni mgeni yule Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi, alikuwa ni miongoni mwa panelists

Baada ya tukio kumalizika, hapakuwa na lunch na watu walitawanyika na kutokomea kila mmoja ofisini kwake

TUKIO MUHIMU LILILOTUKIA WAKATI PRESENTATION YA DEFENCE HIYO ILIPOKUWA INAENDELEA


Defender alikuwa amepewa dakika 45 za PRESENTATION na masaa mengine mawili ya kujibu maswali kutoka kwa watu ambao mhusika aliwafahamu siku hiyo kama panelists

Baada ya PRESENTATION kuwa imemalizika na kufuata masaa mawili ya maswali, UMEME ULIKATIKA na wakati huo STANDBY generator kubwa haikuwaka, possibly haikuwa na mafuta

Kukatika huko kwa umeme kulisababisha DEFENDER atumie almost masaa yote mawili akiwa anajibu maswali kwenye chumba chenye joto, kitu ambacho kilipelekea atoe jasho mwili mzima hadi kulowanisha nguo za juu alizokuwa amevaa

SENSORY MECHANISMS ZA MWILI WA DEFENDER AMBAZO ZILIKUWA AFFECTED BAADA YA UMEME KUWA UMEKATIKA


Ni OSMOREGULATION/ HOMEOSTASIS na BLOOD PRESSURE

Mechanisms hizi ndiyo zile zilizopelekea DEFENDER aweze kutoa jasho jingi kwa kiasi hicho

Hapa contradiction nyingine tena ilijitokeza kwa sababu kwa tukio kubwa namna hiyo, kukatika huko kwa umeme kusingetokea katika namna ambayo hata STANDBY generator lisingeweza kuwa la masaada

  • Still, kwenye tukio la aina hiyo, hata generator nyingine ndogo ya mafuta ingeweza kuwa imeandakiwa kama mbadala wa generator rkubwa lile kubwa
  • Incidences zote hizi, ukiongezea na swala la kukosekana circular, zilimpa picha mhusika kuwa tukio la DEFENCE hiyo lilikuwa ni la kushtukiza na kwamba kukatika kwa umeme huku generator likiwa haliwezi kufanya kazi kulifanyika makusudi
Tukio hilo la Alhamis likapita

Baada ya tukio kupita, likafuata tukio jingine tena linalofanana na hilo, J3 ya wiki iliyofuata tarehe 05/02/2024, baada ya Ijumaa hiyo, mhusika hakupata tena circcular ila alipewa taarifa za mdomoni tu na wenzake na nadni ya masaa machcahe tu kabla ya muda wa tukio lenyewe

  • Baadaye tena, likafuata tukio jingine tena Alhamis ya wiki hiyo tarehe 08/02/2024, mhusika hakupata tena circular, alipewa taarifa za mdomoni na wenzake
  • Likafuata tukio jingine tena kesho yake Ijumaa ya tarehe 09/02/2024, mhusika hakupata tena circular, alipewa taarifa za mdomoni na wenzake
Hata hivyo, kwenye tukio hili la Ijumaa, mhusika aliamua kuifuatilia circular siku hiyo hiyo ya Ijumaa kwenye Ofisi ya Mkuu wa Idara na baada ya hapo alipatiwa soft copy yake kwa kutumiwa kwenye email, circular hiyo ikiwa kwenye karatasi ambayo haina nembo ya Taasisi na ikiwa imesainiwa na MKUU WA MAJOR UNIT

Baada ya matukio hayo yote, limefuata tukio jingine tena leo J3 ya tarehe 12/02/2024, mhusika hakupata tena circular, alipewa taarifa za mdomoni na wenzake

Miongoni mwa matukio haya yote yaliyofuata baada ya lile la DEFENCE, mhusika anapenda kugusia kidogo tukio lile la IIjumaa ya tarehe 09/02/2024 ambalo lilihusiana na uchaguzi wa awali wa mchujo wa kiongozi wa MAJOR UNIT

Attribute moja kubwa kuhusiana na matukio haya yote, ukiondoa lile la DEFENCE ambalo mhusika alipewa taarifa za mdomoni siku moja kabla ya siku ya tukio, kwa matukio mengine yote yaliyofuata baada ya hilo, MHUSIKA AMEKUWA AKIZIPTA TAARIFA ZAKE KWA MDOMO KUTOKA KWA WENZAKE; SIKU HIYO HIYO, NA NDANI YA MASAA MACHACHE TU KABLA YA MUDA WA TUKIO HUSIKA

Taarifa zaidi kuhusiana na tukio la Ijumaa iliyopita zinafuata baadaye


Tukio hili la Ijumaa iliyopita, ndiyo lile linalomhusisha pia mgeni wa SMKE, huku likishahibiana na lile lililotokea Kanisani J2 iliyopita ya tarehe 11/02/2024

MOTIVE YA MHUSIKA YA KUYAONGELEA MATUKIO HAYA

Mhusika anapenda kuyaleta humu matukio haya kwa sababu zipo cases za awali ambazo mhusika alishawahi kuwa triggrered pasipo uwepo wa circular na hatimaye kupelekea akashiriki kwenye matuko ambayo baadaye yalikuja kuonekana kuwa yalikuwa ni MAIGIZO tu ya watu wajanja, isipokuwa kilichokuwa hasa kinatafutwa kwake ni yeye kuwa mmojawapo wa washriki kwenye event hizo

………………..inaendelea
 
NAMNA TUKIO LA IJUMAA ILIYOPITA YA TAREHE 09/02/2024 LILIVYOTOKEA NA NAMNA LILIVYOFANANA NA LILE LA KULE KANISANI JUMAPILI ILIYOFUATA

Mhusika alipata taarifa za tukio hilo masaa machache tu kabla ya tukio lenyewe, na lilihusiana na mchujo kwa ajili ya kumpata mtu mmoja kiongozi mpya MKUU WA MAJOR UNIT (MMU)

Baada ya kuwa amechukua hatua alizozitaja awali hapo juu, mhusika alifanikiwa kuwepo kwenye tuko hilo la mchujo wa viongozi

  • Very qualified and competent Staff wapatao 10 walikuwa wameorodheshwa kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, na ndiyo wale ambao mchujo ulikuwa unawasakama ili hatimaye aweze kupatikana MAHIRI mmoja
  • Kati ya wale ambao waliokuwa kwenye orodha hiyo ya washindani, ni mtu mmoja tu aliyefanikiwa kuwepo kwenye kikao hicho; Mkuu wa Idara (MWI) ya mhusika
  • Wengine wote waliosomwa majina yao na Mwenyekiti wa tukio, hawakuwepo siku hiyo
The incumbent MMU naye alikuwepo kwenye orodha ya mchujo huo na ndiye aliyekuwa amesaini circular ya tukio, lakini naye vile vile hakuwepo kwenye tukio hilo

KUHUSIANA NA AKIDI YA MKUTANO HUO

Mbali na hayo yote, watu waliokuwa wanatakiwa kuwepo kwenye kikao hicho walikuwa hawapungu 80,

Kutokana na hali ya watu kuwa wachache, mjadala ulianza kati ya MWENYEKITI na waliokuwepo na hivyo kupelekea kutumika kwa baadhi tu ya COMMANDS kama vile

……..ABORT…,ABORTSESSION…, ABSENT,……

COMMANNDS hizi zilianza kusikika kutoka miongoni mwa watu wliokuwepo kwenye mkutano huo lakini hatimaye ABORTSESSION ilishindwa na hivyo zoezi hilo kufanyika huku akidi ikiwa ni watu wapatao 30 tu kati ya wapatao 80

NAMNA MKUTANO HUO WA MCHUJO WA VIONGOZI ULIVYOANZA NA KUMALIZIKA

Mwenyekiti alianza kwa kufungua kikao na kutaja agenda za mkutano

Baada ya mjadala wa aidha kuahirisha au kutokuahirisha, zoezi la mchujo lilifanyika na kabla mwenyekiti hajafunga mkutano, watu wote, isipokuwa wawili au watatu, mhusika akiwa mmoja wao, walikuwa tayari wameshatokomea mithili ya walivyowahi kutokomea kwenye tukio lile la awali la DEFENCE

Kwa hali hiyo, MWENYEKITI alipata nafasi ya kufungua mkutano tu ila hakuweza kupata nafasi ya kufunga mkutano kwa sababu kabla hajafunga mkutano, watu walikuwa tayari wameshatoweka kwenye chumba cha mkutano

BAADA YA MHUSIKA KUTOKA KWENYE CHUMBA HICHO CHA MKUTANO


Mwenyekiti wa uchaguzi alimuagiza mhusika afike ofisini kwa Mkuu wa Idara (MWI) kwa ajili ya kumpa taarifa za msisitioz kutoka kwa Mwenyekiti, kwamba MWI huyo ahakikishe kuwa wale wote ambao hawakuwepo kwenye zoezi hilo Ijumaa hiyo, zoezi lao lifanyike J3 ya tarehe 12/02/2024 yaani siku hii ya leo

Baada ya kutoka humo, mhusika alinyoosha moja kwa moja kuelekea ofisi ya MWI akipelekea taarifa hizo

  • Huko alikuta ofisi ya MWI ikiwa imefungwa, KMWI hakuwemo oofisini
  • Baada ya hapo, mhusika alielekea tena sehemu nyingine ambayo ni TEA ROOM kwa kudhani kuwa pengine KMWI angekuwa yupo humo
Huko aleinda akakutana na watu wawili mmoja wwao akiwa ni ndugu yake na SMKE akiwa amening’iniza SHINGONI mkono wake wa KULIA uliokuwa umefungwa POP

Ilionekana kuwa CELL RECEPTORS za mkono wa mtu huyu zilikuwa zimepata shida kubwa

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumkuta mtu huyu kwenye LOCATION hiyo
  • Mara zote mhusika amekuwa akimuona mtu huyu akiwa anatembea kwenye floor ilipo ofisi yake mhusika, aidha akiwa anatoka au anaelekea kwenye ofisi jirani ya ndugu yake ambaye ni SMKE
Vinginevyo mtu mwingine aliyekuwemo kwenye chumba hicho, ni mfanyakazi anayesemekana kuwa amehamishiwa hivi karibuni idarani hapo, takribani wiki mbili au tatu zilizopita, ila taarifa rasmi za utambulisho wake bado hazijafanyika na hivyo mhusiika bado hajamfahamu vizuri

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NEXT:
Taarifa zaidi kuhusiana na tukio hili hapa

 
Back
Top Bottom