#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

CODE YA “KAZI YA MOTO” (C-KYMT)
inaendelea kutkea kwenye post hii hapa #2,176

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSIANA NA WAHUSIKA WAKUU WA CODE HII

Code hii itakuwa na maelezo marefu kidogo, ukilinganisha na code zingine zote zenye maelezo yaliyotangulia

Hii ni kutokana na ukweli kwamba wahusika wa code hi ni wawili huku wote wakiwa ni NAMESAKES, na ambao wanaonekana kama kila mmoja amefanya kazi katika kipindi tofauti na mwenzake;

Wawili hawa wote wana mojawapo ya jina linalofanana kwenye majina yao; huku jina hilo (linalofanana) likiwa lina phonation inayofanana na phonation ya maneno “KAZI YA MOTO”

MTU WA KWANZA KUWAHI KUITUMIA CODE HII (huyu tumwite mmiliki wa SOURCE CODE YA “KAZI YA MOTO” namba moja au MSC-KYMT-1 kwa kifupi)

Mtu wa kwanza kabisa kuwahi kuhusika na code hii, aliwahi kutumika kwenye kipindi cha kuanzia mwaka 2004-2006 na possibly huyu mwigine wa pili (tumwite MSC-KYMT-2), alikuja kupokea sasa baada ya pale

UHUSIANO ULIOKUWEPO KATI YA MSC-KYMT-1 NA MHUSIKA IKIWA NI PAMOJA NA SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME)

MSC-KYMT-1
na SMME waliwahi kufahamiana na kutokana na pilika ilika za kazi zao

  • Kipindi hicho SMME alikuwa ni director wa undergraduatre students, wakati MSC-KYMT-1 alikuwa anashughulika na admission ya foreigners waliokuwa wako chini ya organization aliyokuwa anafanyia kazi, na ambao walikuwa na priviledges za kusomeshwa na Serikali ya JMT kwa masomo ya degree ya kwanza
  • Hivyo basi baadhi ya foreigners hao, walikuwa wanakuwa admittted kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika, chini ya authoristaion ya SMME kwa sababu yeye ndiye alikuwa ni mkuu wa kitengo husika na foreingners hao kwa wakati huo
Hiki ndicho kilipelekea MSC-KYMT-1 na SMME wakafahamiana

Mbali na hilo, MSC-KYMT-1 na mhusika walifahamiana kwa sura mwaka 1994 walipokuwa wanasoma kwenye Chuo kimoja cha Uhasibu hapa jijini; na ilipofika mwaka 2004, walikutana tena kwenye mazingira anayofanyia kazi mhusika na kukumbukana kupitia sura zao kwa sababu walikuwa wameshawahi kuonana kabla

Hata hivyo ambacho kwa sasa mhusika tayari ameshakibani kutokana na ushahidi wa kimazingira uliopo, kukutana huku kwa mara ya pili mwaka 2004 kati ya mhusika na MSC-KYMT-1 hakukuwa kwa bahati mbaya; bali kulipangwa na aliyefanya mpango huo ni SMME

Kwa hiyo mwaka 2004, MSC-KYMT-1 alitumwa kwa mhusika kuja kumletea confusion kwenye career yake; kwa kumuingizia kwenye mipangilio yake, mpango mwingine wa ziada ambao mamlaka zilizo juu ya mhusika, hazikuwa zimeuweka kama mmojawapo wa mpango kwenye career yake

MSC-KYMT-1 alit-take advantage ya kumchanganya mhusika baada ya kuwa amegundua kuwa mpango huo ambao haukuwa umewekwa kwenye career yake, yeye mwenyewe mhusika alikuwa hajui kama mpango huo haupo; na hivyo hadi kufikia muda huo; mhusika alikuwa aki-operate kwa kujua kuwa mpango huo upo pia kwake isipokuwa ni yeye mwenyewe tu ambaye ameuchelewesha

Mpango huo haukuwepo, na taarifa za kutokuwepo mpango huo, MSC-KYMT-1 alikuwa amezipta kutoka kwa SMME

Kwa hiyo MSC-KYMT-1 aliandaliwa na SMME kumu-approach mhusika specially kwa kazi hiyo ili kumchanganya na possibly ikiwezekana, kuanzia pale, kuharibu kabisa mwennendo wa career yake iliyokuwa mbele ya safari yake, huku wakati huo huo MSC-KYMT-1 akiwa anaendesha mipango ya ksirisiri ya kutaka kumuondoa, yaani kumuua

Mbali na hilo, MSC-KYMT-1 alitumwa pia kuja ku-network na baadhi ya ndugu zake mhusika, na ikiwezekana kuwanunua baadhi ili wawe upande wake, kitu ambacho alifanikiwa

Wakati huo mhusika mwenyewe alikuwa hajui kilichokuwa kinaendelea na alikuwa anamuona MSC-KYMT-1 kama mtu wa kawaida tu walivyo watu wengine

Haya anayoyasema humu sasa, amekuja kuwa anayajua kidogo kidogo na kwa vipindi tofauti toafuti, kuanzia mwaka wa 2017

Hiki ndiyo kile ambacho SMME na MSC-KYMT-1 waliwahi kufanya kipindi hicho

Namba ya simu ya MSC-KYMT-1 ni hii hapa 0754267277

MHUSIKA WA PILI WA CODE HII (MSC-KYMT-2): MKUU WA IDARA YA MHUSIKA

Mhusika wa pili wa code hii ni Mkuu wa Idara (MWI) wa sasa wa Idara ya mhusika, na ambaye pia ni mtoto wao staff wawili wastaafu idarani, yaani ni mtoto wao SMME na SMKE

Kama alivyodokeza hapo juu, kwa mara ya kwanza code hii ilianza kutumika mwaka 2004 (miaka 20 iliyopita) na ilipofika Septemba 2006 kuna mazingira ya kutatanisha yalijitokeza na kupelekea mhusika kupoteza ghafla watu watatu muhimu sana kwenye familia yake na ndani ya muda usiozidi miezi miwili; wote watatu walitangulia mbele ya haki ndani ya muda huo mfupi

Maelezo kamili ya namna ndugu hawa wa mhusika walivyowahi kupoteza maisha, yatafuata baadaye.

Hata hivyo sehemu ya maelezo hayo ilishawahi kuwajieni humu kupitia baadhi ya posts za nyuma kama vile post hizi hapa #189, #994, #1,307 ila kwa wakati huo, maelelzo hayo hayakuwa yako linked na code yoyote ile, yalikuwa ni maelezo tu yaliyokuwa yana-hang hewani tu

NAMNA AMBAVYO UMEKUWA UTENDAJI WA HIVI KARIBUNI WACODE HII

Code hii imekuwa ikifanya kazi baada ya mhusika kuwa amesahau kama “MOTO” ni roho pia inayojitegemea na hivyo alitakiwa kushughulika nayo kama alivyowahi kushughulika na roho za viumbe wengine kama vile roho za wanyama na za binadamu pia

……………………..inaendelea
 
UHUSIANO WA MANENO “KAZI YA MOTO” NA “MOTO” KIMUUNDO (MORPHOLOGICALLY)

Kimuundo, maneno haya yanatengeneza KEY ambayo inatokana na neno ‘MOTO’

Kwa hiyo, neno “MOTO” ni key ya maneno yote haya mawili, na KEY hii ikisahaulika; inao uwezo wa kurusha pepo kwenye “KEY” zingine zote, ziwe za maneno, majina ,matendo, images au za vitu physical vinavyoshikika

Kwa mfano, watu wawili wanaofanana (similarity=images) wanatengeneza “KEY” kwenye baadhi ya features za kwenye mwili wao.

Mathalani, mtu mwenye rangi nyeusi tuseme kama ile ya mhusika au ya KM-A, anatengeneza key na mtu mwingine mwenye ngozi ya aina hiyo; tuseme labda JIRANI MAJI MACHAFU (JMM), na halikadhalika pia kwa watu wanaoweza kuwa wana ngozi nyeupe

Mbali na hilo, key hii inao uwezo wa kurusha pepo kwenye MOTO wenyewe pia kama kiasili na kuna matukio mawili au matatu ya moto ambayo yaliyowahi ku-capture attention ya mhusika kwenye hili, likiwemo lile la kuungua vibanda vya wajasiriamali wa Kariakoo

Siku vibanda hivyo vinaungua, mhusika alirudi nyumbani kutoka Kanisani akiwa amechelewa kidogo na hivyo alilazimika kupita kununua chips kwenye kibanda cha chips

Kibanda hicho kilikuwa tayari kimeshaonyesha patternkuwa mhusika akishafika pale, ni lazima ‘MOTO” wa kuchoma chips uwashwe akiwa anashuhudia

Angalau kuna matukio mawili au matatu ambayo mhusika aliwahi kushuhudia moto ukiwa unawashwa kwenye kibanda cha chips, halafu jioni yake ndiyo vibanda vya wajasiriamali viliungua mahali fulani nchini

Kwa hiyo kusahaulika kwa kwa roho hii kulikuwa kunasambaza pepo na kuna attempts za matukio kadhaa ya ofisini yaliyokuwa yamekusudiwa kuwa na madhara kwa mhusika; ambayo mhusika atayaongelea kwa kina hapo baadaye na yote yalikuwa coordinated na MSC-KYMT-2

Mbali na hayo, tukio la hivi karibuni la kukatika umeme kwa muda mrefu J4 ya wiki iliyopita, hadi kufikia saa mbili usiku, lilipelekea mhuskka kuwasha moto wa kiberiti jioni hiyo kwa ajili ya kuchemsha chakula, vinginevyo ALTERNAYTIVELY, alitakiwa moto huo akaushuhudie ukiwa unawashwa kwenye Kibanda cha chips

Hayo sasa yalikuwa ni maandalizi kwa ajili ya tukio la Ijumaa ya wilki iliyopita ambalo maelezo yake tayari yamo humu jukwaani; yaani ‘CODE YA KAZI YA MOTO” ilikuwa iwe EXCUTED siku ya Ijumaa iliyopita, huku kukatika kwa umeme kulikokuwa kumetangulia kutokea siku ya J4 kukiwa ndiyo yaliyokuwa MOJAWAPO ya maandalizi yake ya awali

…………………itaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 21st AUGUST 2024

HAYA HAPA NI MAWASILIANO YA SMS KATI YA “CLAY” NA MHUSIKA, YALIYOELEZWA KWENYE POST HII #2,169




PG1.jpg
PG2.jpg



UPNEXT: CODE YA “KAZI YA MOTO” (C-KYMT)

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILE AMBACHO WAHUSIKA HAWA WAWILI WA CODE HII “KAZI YA MOTO” (C-KYMT) WAMEFANIKIWA KUKIFANYA

Mmiliki wa kwanza wa source code ya code hii (MSC-KYMT-1) aliyewahi kufanya kazi kwenye kipindi cha miaka ya kuanzia 2004-2006, alifanikiwa kupata nafasi ya kufahamaina na baadhi ya ndugu muhimu wa mhusika na hivyo kuweza ku-netwok nao

Baada ya hapo, alifanikiwa kuunda mtandao wa kihalifu na baadhi ya ndugu hao, na uwezekano ni kwamba mtandao huu ndiyo unaoweza kuwa ulihusika na vifo vya ndugu watatu wa mhusika waliofariki mwaka 2006 kwa kufuatana ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili

Kati ya watu hao watatu, mmoja wao alikuwa ni mtoto mchanga mwenye umri usiozidi miezi miwili; ambaye alikuwa ni mtoto wa dada yake mhusika, na ambaye alizaliwa Julai 2006

Baada ya mtoto huyu kuwa amezaliwa huko mkoani, alilazimika kuja kupata matibabu kwenye hospitali ya rufaa huku Dar es Salaam; huku rufaa iliyokuwa ikimtoa huko ikiwa imepitia kwenye hospitali za watu binafsi waliokuwa wapo huko mikoani

Kwa hiyo mtoto huyo naye alikuwa reffered kuja huku Dar es Salaam kutokea hospitali za watu binafsi, na pasipokuwa amelazwa kwenye mojawapo ya hospitali hizo;

Kwa hiyo kile kilichotokea mwaka juzi 2022, kilikuwa kimeshawahi kutokea tena mwaka 2006

Maelezo mengine ambayo mhusika aliwahi kuyaleta humu kuhusiana na mtoto huyo yako kwenye post hii hapa #189

Baadaye mtoto huyu alikuja akapoteza maisha na bada ya kupita wiki chache tu, baba wakubwa wawili wa mhusika nao walipoteza maisha kwa kupisaha wiki kadhaa tu, akiwemo yule ambaye aliwahi kumsomesha mhusika MSC-KYMT-1 alionyesha dalili zote za wazi kuwa alikuwa na ufahamu ambao ulikuwa ni wa aina fulani ya kisiri

Mbali na huyo, mtu mwingine pia ambaye kwa wakati huo alikuwa ni office-mate wa mhusika, naye pia alionyesha dalili sawa na za MSC-KYMT-1 kwa details ambazo mhusika hawezi kuziweka humu

Mhusika akiwa hajui hili wala lile kipindi hicho, kuna mtandao uliowahi kuibuka hafdharini ukiwa umejipiga kifua kumuonyesha “sisi ndiyo sisi” na kipindi hicho, alikuwa hajui kama ulikuwa unakuwa operated na SMME kwa kushirikiana na MSC-KYMT-1, achilia mbali kule kujua tu kuwa ulikuwa ni mtandao

Kwa wakati huo, mhusika alikuwa haoni sababu yoyote ya msingi ya mtandao wa aina yoyote ile usiokuwa mzuri, kuundwa kwa ajili yake

UHAKIKA ALIOWAHI KUUPATA MHUSIKA KIPINJDI HICHO KUHUSIANA NA MATUKIO YA KUPOTEA KWA BAADHI YA NDUGU ZAKE ALIOWTAJA HAPA

Angalau matukio ya kupotea kwa watu wawili, lile la mtoto mchanga na la Baba mkubwa aliyewahi kusomesha mhusika aliwahi kupata hints fulani kutoka kwa baadhi ya watu akiwemo MSC-KYMT-1

KILICHOTOKEA BAADA YA BABA MKUBWA ALIYEWAHI KUMSOMESHA MHUSIKA KUFARIKI


Ilikuwa ni mwaka 2006

Mhusika alipigiwa simu akadanganywa kuwa Baba yake mkubwa alisema asizikwe bila ya yeye kuwepo hivyo ilibidi asafiri haraka sana ili aweze kuyawahi mazishi

Uongo ulitungwa na kundi la ndugu wa mhusika ambao MSC-KYMT-1 tayari alikuwa amesha-network nao; na wakati anahudhuria msiba huo, walikuwa wamejiandaa kumshambulia kwa mashambulizi ya kiroho ili waweze kumwangamiza apotee kabisa

Dhana yao hasa ilikuwa ni kwamba mhusika akishaiona maiti ya baba yake mkubwa, njia za kumshambulia zinakuwa zimefunguka

Japo havishahibiani kwa sana, hiki kitu mhusika amekuja kukilinganisha pia na lile tukio la wiki jana la staff mmimliki wa mgodi, aliyeifika ofisini kwa mhusika siku ya Alhamis akiwa anajiandaa kuelekea kwenye msiba mikoa ya Kaskazini

Hki ndiyo kitu kingine kikubwa alichowahii kufanya MSC-KYMT-1 chini ya guidance ya SMME

YALE AMBAYO YAMESHAFANYWA NA YANAYOENDELEA KUFANYWA NA MMILIKI WA SOURCE CODE HII WA SASA AU MSC-KYMT-2

Yale ambayo tayari yameshafanywa na yanayoendelea kufanywa na MSC-KYMT-2 ni mengi na possibly maelezo yake yatakuwa ni marefu kidogo kwa sababu matukio haya ni mengi kiasi

Kwa kuanzia, tukio hili hapa #1,934 lilitokea Februari 2024 (mwaka huu); MSC-KYMT-2 alikuwa ana-operate pia kwenye code hii, isipokuwa kwa kipindi hicho mhusika alikuwa hana ufahamu wa namna code hii ilivyokuwa inakuwa excuted

Mbali na hilo, hivi majuzi mwanzoni mwa mwezi uliopita wa saba mwaka huu na kwenye ile wiki ya kwanza ya mitihani ya wanafunzi, siku ya J3; MSC-KYMT-2 aliwahi ku-operate tena kwenye code hii na katika namna ambayo inafanana na ile ya wakati wa tukio la Februari

PATTERN MUHIMU AMBAYO MSC-KYMT-2 TAYARI AMESHAIONYESHA KWENYE BAADHI YA OPERATION ZAKE ZA NAMNA HII

Kawaida huwa ni lazima asafiri kwanza, halafu baada ya hapo, siku ya J3 au ya Ijumaa, anaitisha mkutano ambao huwa unafanyikia kwenye chumba ambacho jina la chumba hicho linatengeneza KEY na herufi zote tano za jina la kwanza la mhusika kwa maana kwamba

  • Jina la kwanza la mhusika linazo herufi tano; whether liwe limeandikwa kwa lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza
  • Kwa lugha zote mbili zilizotajwa hapo juu, jina la chumba cha mikutano, linazo herufi zote tano zilizopo kwenye jina la mhusika
  • Jina la chumba hicho liko kwenye lugha moja tu ya Kiingereza
Baahi ya tu ya posts ambazo mhusika alishawahi kuzileta humu zikiwa zinaonyesha matukio kutokea baada ya MWI kuwa amesafiri ni hizi hapa #1,692 #1,774

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


……………………itaendelea tena
 
UPDATE: THURSDAY, 22nd AUGUST 2024

KITU AMBCHO MHUSIKA AMEKIBAINI KUTOKANA NA MAZINGIRA AMBAYO ATTEMPTS ZA KU-EXECUTE CODE YA “KAZI YA MOTO” ZIMEKUWA ZIKIFANYIKA


Chances ni kwamba kuna angalau Microscope moja kwenye chumba jirani cha Microscopes, ambayo ina mawasiliano na kifaa kingine kwenye chumba jirani cha Computer Room, kiasi kwamba kwa kuingiza “settings” au “code” fulani kwenye Microscope husika, code inayoweza kupelekea mawasiliano ya Microscope hiyo na kifaa kingine kilichopo kwenye Computer Room, kuiwezesha Microscope hiyo kuwa na capabilities za kufanya kazi kama “silaha”

  • Mwaka jana MR X alisafri kwenda nje ya nchi na alikaa miezi kadhaa na baada ya kurudi kutoka safari, alikaa muda mrefu sana pasipo kuingia kwenye chumba cha microscopes
  • Baada ya kutoka safari, MR X aliingia tena kwenye chumba hicho mata moja tu mnamo JANUARY 2024, na tangu pale MR X alikuwa hajawahi tena kuonekana akiwa kwenye chumba hicho akifanya kazi isipokuwa jana J4 ya tarehe 21/08/2024
Wakati MR X anaingia kwenye chumba hicho jana, tayari kulikuwa na mafundi kwenye kile chumba kingine cha Computer Room; mafundi ambao walianza kufanya kazi humo tangu J4 ya wiki hii na kwa siku ya leo Alhamis hawapo na hivyo, possibly kazi yao waliikamilisha jana

Siku ya J4 mafundi hawa walipoanza kazi, Binti mwajiriwa kutoka tawi la Zanzibar, aliingia kwenye Chumba cha Microscpoe kwa mara ya pili kwa kipindi cha hivi karibuni, na mara ya tatu tangu awahi kuwepo idarani

Kwa kipindi cha hivi karibuni, binti huyu aliingia humo kwa mara ya kwanza wiki ya kwanza mara tu baada ya wanafunzi kuondoka kwenda likizo na siku hiyo aliambatana na stranger ambaye naye alifika na kuanza kuingia kwenye chumba hicho mara tu baada wanafunzi kuondoka kwenda likizo

Kwa kipindi cha hvi karibuni, Ilikuwa ni mara ya pili kwa stranger huyu kufika na kuanza kuingia kwenye chumba na kwenye muda mara tu baada ya wanafunzi kwa wameondoka kwenye mazingira ya Taasisi

Vinginevyo kwa mara ile ya kwanza kabisa, binti huyu aliwahi kuingia kwenye chumba hicho muda mrefu kidogo uliopita wa takribani miaka mitatu au minne iliyopita na baada ya hapo, hakuwa amewahi tena kuingia humo isipokuwa kwa safari hizi nyingine mbili za sasa

KWA MWAKA HUU NA KABLA YA SIKU YA JANA J5, MR X ALIKUWA AMEWAHI KUINGIA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES MARA MOJA TU MNAMO JANUARY 2024


Siku hiyo MR X alipowahi kuingia kwa mara ya kwanza kwenye chumba cha Microscopes tangu atoke safari, ilikuwa pia ni siku ambayo mhusika aliwahi kuleta humu taarifa kupitia post hii hapa #1,892 ; taarifa zilizotokana na tukio lililotokea siku hiyo na ambalo lilitokea muda mfupi tu kabla ya MR X kuingia kwenye chumba hicho

Kwa muda wote uliokuwa umepita nyuma wa 2023, MR X hakuwa amewahi kuonekana akiwa anaingia kwenye chumba hicho isipokuwa hadi ilipofika Januray 2024

MAZINGIRA AMBAYO MARA ZOTE YAMEKUWA UNIFORM PALE CODE YA “KAZI YA MOTO” INAPOTAKA KUWA EXECUTED

Mara zote
mazingira yaliyokuwa yanapelekea attemps za code hii kuwa excuted yamekuwa kama ifuatavyo

  • Kwanza mtu stranger kutoka nje ya taasisi huja na kuanza kuwa anakuwepo kwenye chumba cha Computer Room kilicho jirani na Chumba cha Microscopes, kwa siku kadhaa
  • Baada ya siku kadhaa mbele, wanafunzi huondoka kwenda likizo fupi au ndefu
  • Mara tu baada ya wanafunzi kuondoka kwenda likizo, mtu mwingine stranger wa pili huja na kuanza kutumia chumba cha Microscopes kilicho jirani na chumba cha Computer Room
Mtumiaji huyu wa chumba cha microscopes, huwa anakuwa amepewa funguo special ambazo halazimiki kuzichukua au kuzirudisha ofisini kwa MWI; na hivyo ofisi ya MWI inakuwa kwa upande mwingine haina habari na uwepo wa mtu huyu kwenye mazingira ya Idara

  • Mbali na hayo, kwenye muda ambao mtu huyu huja na kuanza kuwa anaingia kwenye chumba cha Microscopes, Mkuu wa Idara (MWI) anakuwa hayupo, anakuwa yupo safari
  • Na mara zote, Microscope ambayo huwa inatumika na strangers hawa ni moja tu; ile ambayo huwa anaitumia MR X
Na kwa muda wote huo, MR X anakuwa haingii tena kwenye chumba hicho, isipokuwa anakuwa yuko aware kwamba kuna mtu ambaye huwa anaingia na kutoka kwenye chumba hicho

MATUKIO MAWILI YA HIVI KARIBUINI KUHUSIANA NA CODE HII AMBAYO MHUSIKA ATAKUJA KUYAONGELEA BAADAYE

Matukio mawili ya hivi karibuni yalichukua mfumo huu ulioelezwa hapo juu, ukiondoa tukio moja lililowahi kupita nyuma kabla ya haya ambalo liliwahi kumhusisha Bibi Part timer

Tukio hili ni lile la kwenye scenario ambayo mhusika aliwahi kuielezea kwamba Bibi part timer alikuwa akiingia kwenye chumba cha Microscopes, mara zote kwa kuchengana na mtu mwingine stranger ambaye naye alikuwa pia anaingia kwenye chumba hicho

Strangers hawa wanaingia kwenye chumba cha Microsceopes pale tu wanafunzi wanapokuwa wemeondoka kwenda likizo na hii imekuwa ikifanyika hivyo tangu Desemba 2023 (mwaka jana); na kwa mwaka huu wa masomo, imefanyika kwa namna hii kwa safari zipatazo tatu

Hii ndiyo sababu nyingine iliyopelekea wanafunzi wakawa hawafundishwi tena Microscpes

Tangu ujio wa OM-1 mnamo April 2023; wanafunzi hawafundishwi tena Microscopes; wameanzishiwa utaratibu mpya wa kufundishwa oral practicals ambao haukuwepo kabla!

KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KWENYE TUKIO LA BINTI NA LA MR X; LA KUINGIA CHUMBA CHA MICROSPCOPE WIKI HII IKIWA NI MARA TU BAADA YA MAFUNDI KUANZA KUFANYA KAZI KWENYE CHUMBA JIRANI CHA COMPUTER ROOM

Wote walionekana kuwa waliingia humo kwa dharura ili kurekebisha kitu fulani kwenye Microscope ambayo siku zote huwa inatumika na stangers

”CODE YA KAZI YA MOTO”
……..inaendelea
 
UPDATE: SATURDAY, 24th AUGUST 2024
UTAFITI ULIOKSMILIKA
KUNA KUNDI LA WATU LINATENGENEZA " KEYS" KWA KUTUMIA MISIBA HALAFU BAADA YA HAPO WANAANZA KUZITUMIA " KEYS " HIZO KUAMSHA SPRITS ZA WATU WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI NA HATIMAYE KUZITUMIA TENA SPRITS HIZO KUSHAMBULIA WENGINE

WAHUSIKA WAKUU
KWENYE CODE HII NI HAWA WAFUATAO

WALE WALIOPO OFISINI KWA MHUSIKA NI HAWA WAFUATAO

MOSI
: ENGINEER WA MADINI
HUYU ALIPATA MSIBA HIVI KARIBUNI MIEZI KADHAA ILIYOPITA NA NAREHEMU ALIKUWA NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 80, POSSIBLY ANAWEZA KUWA ALIZALIWA MWAKA 1939 AU AROUND THAT YEAR

PILI: OFISA ANAYEFANYA KAZI UTAWALA KWENYE KITENGIO KIKUU CHA MAMBO YA FWEDHA, AMBAYE ALIFIKA OFISINI KWA MHUSIKA WIKI JANA ALHAMIS, NA ALIRUDI TENA IMARA YA PILI SIKU YA J5 WIKI HII

BAADA YA KURUDI MARA YA PILI, KABLA HAJAINGIA NDANI OFISINI, MHUSIKA ALIMWELEKEZA AENDE MOJA KWA MOJA AKAMUONE ENGINEER

TATU: MKUU WA MAJOR UNIT ( MMU)
HUYU NDIYE ABAYEONEJANA KUWA NI KINARA MZOEFU SANA WA FUJO ZA NZMNA HII, ILA AKIWA SNAFUATA NYUMA YA SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE)

HUYU ALIWAHI KUPATA MSIBA TAKRIBANI MIAKA MITATU AU MINNE ILIYOPITA, MSIBA AMBAO ULIKUWA UNATENGENEZA " KEY" YA MWAKA WA KUZALIWA WA MAREHEMU HUYO NA MWAKA WA KUZALIWA WA MAREHEMU BABA MZAZI WA MHUSIKA

SIKU TATU AU NNE KABLA YA MSIBA HUO KUTOKEA, MHUSIKA ALIBAHATIKA KUONANA NA MZEE HUYO MNAAZINGIRA JIRANI NA MAHALI MHUSIKA ANAPOISHI, WAKAONGEA MACHACHE. MHUSIKA ALIMUULIZA MZEE HUYO KUWA ALIZALIWA LINI NA AKAJIBU MWAKA 1939

BAADA YA SIKU MBILI AU TATU KUPITA, MHUSIKA ALIPATA TAARIFA ZA MSIBA HUO, NA KATIKA NAMNA AMBAYO ILIKUWA NI YA KUTATANISHA KIDOGO

NAMNA AMBAVYO MHUSIKA ALIPATA TAARIFA ZA MSIBA HUO
SIKU HIYO ILIKUWA NI IJUMAA NA BAADA YA KUTOKA KWENYE KIPINDI KILICHOKUWA KINAISHIA SAA SITA, ALISTUKA KUONA KILA MTU HAKUWEPO MAZINGIRA YA OFISINI, OFISI ZOTE ZILIKYWA ZIMEFUNGWA ILA MAGARI YA WATU WOTE YALIKUWEPO KWENYE PARKING

MTU MWINGINE PEKEE LIYEKUWA AMEBAKI NDANI YA JENGO WKIWA PAMOJA NA MHUSIKA SIKU HIYO , ALIKUWA NI SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) NA HUYU NDIYE ALIMJULISHA MHUSIKA KUWA WENZAKE WALIKUWA WAMEENDA KWENYE MSIBA, WALIPOKUWA WAPO KWENYE PARKING ZA GARI

BAADA YA MHUSIKA KUONDOKA OFISINI NA KUELEKEA KWENYE MSIBA, HAPAKUWEPO NA MTU YEYOTE KWENYE MSIBA HUO KUTOKA IDARANI, STAFF WENZAKE WOTE HAWAKUWEPO, WAKATI KULE IDARANI ALIACHA KILA OFISI IKIWA IMEFUNGWA

SMME NAYE PIA HAKUWEPO KWENYE MSIBA HUO ILHAKI WAKATI WAPO WANAONGEA KWENYE PARKING, ALIKUWA ANAONYESHA DALILI ZA KAMA ALIKUWA ANATAKA KUELEKEA HUKO, NA ALTANGULIA KUONDOKA KABLA YA MHUSIKA

H IVI MAJUZI MHUSIKA ALIDOKEZA HUMU JUKWAANI KUWA ILI TEKNIK HIZI ZA MAMBO YA GIZA ZIWEZE KUFANYA KAZI, TARGET ANATAKIWA KUWA YUPO PEKE YAKE, ASIWEPO MTU MWINGINE

KULE KWENYE MSIBA ALIENDA AKAWAKUTA JIRANI ZAKE WAWILI TU NA MAELEZO NENGINE YA AWALI KUHUSIANA NA TUKIO LA MSIBA HUO, YALIWAHI KUWAJIENI HUMU KWA KUTUMIA BAADHI TU YA TAARFA ZILIZOPO KWENYE POSTS HIZI MBILI HAPA ACHINI



ILIKUWA NI IJUMAA ASUBUHI MHUSIKA ALISTUKIA AMEBAKI PEKE TAKE KWENYE JENGO.

NNE: SENIOR MSTAAFU WA KIKE
HUYU YEYE, MHUSIKA HAJAWAHI KUMSIKIA KUPATA MSIBA HIVI KARIBUNI ISIPOKUWA HUWA ANATOKEA KUWA YUKO COORDINATED SANA NA WATU WANAOPATA MISIBA,

MHUSIKA AMEKUWA AKIMUONA SMKE KWENYE MAZINGIRA HAYO TANGU KIPINDI KILE CHA MSIBA WA MMU HADI HUU WA MIEZI YA HIVI KARIBUNI WA ENGINEER WA MADINI

WALIOKO KANISANI KANISANI KWAKE MHUSIKA

TANO : PROFESSOR NA MKE WAKE

HAWA MZAZI WAO HUYU ALIYEWAKIMBIA HIVI KARIBUNI, ALIZALIWA MWAKA 1939

BAADA YA KUTOKEA, MSIBA HUU ULITENGENEZA PIA " KEY " NYINGINE NA MSIBA MWINGINE WA MZEE WA KANISA AMBAYE ALIKUWA AKITOA MATANFAZO YA GARI JIPYA LA KM-A LILOKUWA LIKITARAJIWA KUWASILI KANISANI HAPO, KABLA YA KUWADILI KWAKE

MSIBA HUU WA PROFESSOR NA MKE WAKE, ULIKUJA SASA UKAMUONDOA MZEE WA KANISA KWENYE MATANGAZO HAYO ALIYOKUWA AKIENDELEA NAYO NA NAFASI YAKE KUCHUKULIWA NA MKE WA PROFESSOR, HUKU MZEE HUYO AKITUNZWA KAMA RESERVE KWA AJILI YA KIPINDI HIKI CHA SASA, NA HIVYO KYANZIA IVADA YA PILI HE ILIYOPITA, MZEE HUYU ALIRUDI MADHABAHUNI TENA

IKUMBUKWE KUWA KABLA YA J2 HIYO, WAFIWA WAWILI AMBAO NI ENGINEER WA MAFINI PAMOJA NA MTEJA WAKE ANAYEMILIKI MGODI WA MAIDNI KULE MIKOA YA KASKAZINI, WALIKUWA WANEFIKA OFISINI KWA MHUSIKA RASMI KWA KUANZA MASHAMBULIZI; MASHAMBULIZI AMBAYO J2 YAKE YALIPOKELEWA NA KUENDELEZWA KULE KANISANI NA MZEE WA KANISA WAKATI WA IBADA YA PILI; MZEE HUYO ALIPOSIMAMA MADHABABUNI KWA MARA YA PILI KAMA MHUDUMU KEENYE IBADA KUU, KATIKA KIPINDI CHOTE CHA UTUMISHI WAKE HAPO KANISANI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA ZA NYONGEZA KUHUSIANA NA "KEYS" HIZI ZA MISIBA ZITAFUATA BAADAYE
 
MAANDALIZI YALIYOFANYIKA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A J2 ILIYOPITA TAREHE 18/08/2024

MHUDUMU WA IBADA KUU YA IBADA YA KWANZA ALIKUWA NI WAKILI

ILIKUWA NI MARA YA JWANZA KWA WAKILI HUYU KUSIMAMA KUHUDUMU KWENYE IBADA KUU, TANGU WAUMINI WALIPOHAMIA KWRNYE JENGO JIPYA LA KANISA, TAKRIBANI MIAKA MITATU ILIYOPITA

KULINDANA NA MAFUNDISHO YALIYOLIYOWAHI KUTOLEWA MWAKA 2012, ROHO MTAKATIFU NI WAKILI

BAADA YA IBADA YA KWANZA KUHUFUMIWA N.A. WAKILI, IVADA YA PILI ILIHUDUMIWA N.A. MZEE WA KANISA, YULE AMBAYE AMESHATENGENEZA KEYS KATI YAKE NA MKE WA PROFESSOR

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
VINGINEVYO BAADI YA POSTS AMBAZO MHUSIKA ALISHAWAHI KUZILETA HUMU NA AMBAZO ZINAWEZA KUWA NA UHUSIANO N.A. CODE HII YA MISIBA NI HIZI HAPA







In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
.......KWAMBA MTU ANATENGENEZA " KEYS" KWA KUTUMIA MISIBA????????!!!!!!!!!!!
 
KUKATIZWA KWA LIKIZO YA KM-A JANA J2

KM-A ALIKATISHA LIKIZO YAKE KUJA KUKABIDHI MAMLAKA KWA " SHOKA"; YULE MUUMINI ALIYEWEKWA WAKFU J2 , MWENYE GARI AINA YA " TRUCK"

KILE ALICHODAI KUWA ALIRUDI KUJA KUKIFANYA, HATA WENGINE WALIOKUWEPO WALIKUWA WANAWEZA KUKIFANYA

MBALI N.A. HILO, JINA LA MTU ALIYESAHAU KULISOMA NA HIVYO KUPELEKEA MTU HUYO KUWEKWA WAKFU AKIWA PEKE YAKE, LINA HERUFI 10 NA 7 ZA MWANZO KATI YA HIZO ZIMEFANANA NA HERUFI ZINGINE 7 ZA MWANZO ZA JINA LA MMILIKI WA SOURCE CODE YA GENERATOR ALIYEPO OFISINI KWAKE MHUSIKA

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIENI BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

............inaendelea tena kwenye post hii #2,196
 
UPDATE: MONDAY, 26TH AUGUST 2024

KUHUSIANA NA TANGAZO LA TUKIO LA MTOTO ALIYETANGAZWA KUWA ALIFIA KWENYE MAJI YA MTO HUKO IRINGA; TANGAZO HILI LINAWEZA KUWA LILIKUWA NI UONGO


Tangazo hilo linaweza kuwa lilikuwa ni uongo kutokana na sababu zifuatazo

  • Tangazo lilonyesha kuwa, aliyetangazwa kuhusika na kifo hicho ni mtoto mgeni hapo Kanisa A na hakuna anayemfahamu isipokuwa yule aliyetoa tangazo tu
  • Aliyetangazwa kufikwa na msiba huo ambaye ni mama mkubwa/mdogo wa marehemu, hakuwepo Kanisani siku ya tangazo
  • Katika hali ya kawaida, tangazo hilo lilitakiwa litolewe siku muunini aliyefikwa na msiba huo atakapokuwa yupo Kanisani ili watu waweze kumfahamu na hivyo kumpa mkono wa pole
KILICHOTOKEA BAADA YA TANGAZO HILO KUWA LIMETOLEWA

Baada ya tangazo hilo, kuna watoto kadhaa wamepoteza maisha huko Mara wakiwa wanaogelea kwenye mto, kwa taarifa ya habari ya leo asubuhi saa 12

  • Aliyetoa tangazo alianza akarusha pepo kwanza kwa kutumia lile fungu lake maarufu “amelaaniwa aifnaye kazi ya Mungu kwa ulegevu”
  • Kabla ya kulitaja fungu hilo, alianza tayari ameshaipiga Ninlia kwa rungu la pepo, pale aliposema kuwa Bibilia yake aliyokuwa inatumia ni ya Kiswahili cha kisasa
Mbali na hayo yote, mhudumu wa Ibada kuu ya J2 alitakiwa kuwa ni yule mzee wa Kanisa ambaye alihudumu J2 ya wiki juzi kwa sababu aliahidi kuwa kuanzia J2 hiyo, angeendelea kuhudumu kwa J2 kadhaa mfululizo mbele

Uchunguzi ufanyike kuona kama kweli kuna muumini ambaye amepata msiba ulio na dteils za tangazo lililotolewa na Kiongozi huyo

Mhusika ana shaka sana na tangazo hi.o kwa sababu siku hizi, kiongozi huyo ameanza kuonyesha dalili za kama hayuko sawa kichwani

UPNEXT: Kuhusiana na jina la kiongozi aliyekwekwa wakfu akiwa peke yake, baada ya jina lake kurukwa kwa bahati mbaya na KM-A wakati wa majina yallipokuwa yanaitwa na ambaye maelezo yake ya awali yapo kwenye post hii hapa #2,191

………………itaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 27TH AUGUST 2024

……………KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA TENA NA MADA ZAKE MBILI ZILIZOKO HEWANI MUDA HUU

TAARIFA MUHUIMU KUHUSIANA NA JAMBO MUHIMU ALILOWAHI KUFANYA SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) MARA TU BAADA YA KUWA AMEINGIA MADARAKANI NA KATIKA MUDA WOTE ALIPOKUWA YUPO MADARAKANI


Aliamua kubadili kienyeji na kisirisiri mtaala wa masomo kwa Idara yake tu, unaohusiana na watoto wanaosoma shahada ya kwanza ambao huwa wanatakiwa kwenda kwenye mafunzo ya viendo ( FIELD)

Kulingana na mtaala wa Taaisi, watoto wanaokwenda FIELD kawaida wanatakiwa kuhudhuria mafunzo hayo kwa wiki 8 ikiwa ni pamoja na walimu wao, kwa maana kwamba kila mwanafunzi anatakiwa kuwa yupo filed kwa muda wa wiki 8, na kila mwalimu wao anatakiwa kuwa yupo filed na wanfunzi kwa muda huo pia

Vinginevyo regulations za taasisi kuhusiana na mufunzo hayo ya vitendo, zinasema kuwa kama mwanafunzi atahudhuria muda pungufu ya wiki 8, mwanafunzi huyo anatakiwa kupata GRADE yenye REDOMMMENDATIONS za INCOMPLETE kwenye mwaka husika, kwa kutotimiza mashart ya kozi husika, na hivyo hawezi tena kuruhusiwa kuendelea kwenye mwaka mwingine wa masomo unaofuata mpaka pale ambapo atakuwa ameiondoa hiyo INCOMPLETE kwenye alama zake

Kwa hiyo, tangu SMME aingie madarakani, mtaala huu umekuwa ukiendeshwa hivyo NA KWENYE IDARA YAKE TU; na kile alichokibona mhusika kwenye swala hili ni kwamba kabla hajaondoka madarakani, SMME atakuwa aliishauri Serikali vbaya kupitia bodi ya mikopo, kuhusiana na wanafunzi hawa na hivyo Serikali kuwa inatoa hela pungufu ya FIELD kuanzia pale; hii ikiwa ni tahadhari kwake ILI ISIJE IKABAINIKA HUKO MBELE YA SAFARI KWAMBA CHANZO CHA TATIZO HILI ALIKUWA NI YEYE

Kwa kipindi chote ambaho SMME alikuwa yupo madarakani, Serikali ilikuwa inatoa hela yote ya wiki 8 kwa walimu na wanfuzi, isipokuwa yeye ndiyo akawa anafanya hesabu tofauti za uhasibu


Kwa upanfde mwingine pia, Serikali hiyo hiyo imekuwa miaka yote ikitoa hela za wik 8 kwa wanafunzi wa aina hiyo waliopo kwenye idara zingine za ndani ya taasisi kama idara zile zinazohusiana na mambo ya UALIMU na UHANDISI

Muda wote WAHANDISI NA WALIMU wamekuwa wakipewa hela ya wiki 8 na huwa wanakwenda field kwa muda huo wa wiki 8

Kwa hiyo hapa mtu hawezi kusema kuwa tatizo ni Serikali kwa sababu Serikali hiyo hiyo inatoa hela kamili za wiki 8 kwa wanafuzi wa nyanja zingine walioko kwenye vitengi vingine isipokuwa hawa tu waliopo kwenye kitengo cha mambo ya madini; IDARANI KWA SMME

Kutokna na hai hii, tangu SMME alipoingia madarakani, the maximum numbe of weeks wanafunzi hawa wamekuwa wakienda filed, ni wiki 3 au nne; na wakati mwingine walifikia kwenda hadi siku 17

Hiki kitu kilianza kufanyika mara tu baada SMME kuingia madarakani. Miaka mingine ypte kabla ya SMME kuingia madarakani, hiki kitu hakikuwahi kufanyika hata mara moja tu!

HAWA WANAFUNZI AMBAO SMME ALIANZA KUWAKATA HELA ZAO NA PIA ZA WALIMU WAO NA HIVYO KUPELEKEA WAKAWA WANAENDA FIELD KWA WIKI 4 TU AU PUNGUFU BADALA YA WIK 8, NI WANAFUNZI WA AINA GANI HAWA?


  • Huwa wanakwenda kufanya kitu gani huko field?
  • Umuhimu wao kwa Taifa na kimataifa ni nini?
Kwa dokezo tu ni kwamba hawa ni wale ambao wamashughulika na utaalamu wa kujua resources zote muhimu za nchi zilizoko kwenye ardhi; kuweza kujua wapi kuna NATURAL gas, mafuta, oil, dhahabu, HELIUM gas, almasi n..k

Baada ya hawa kuwa wamejua hilo, ndiyo sasa Engineers wanapoingia kazini wakiwa wanatumia taarifa za hawa watu

  • Bila hawa, Engineers hawawezi kujua mahali mgodo wa dhahabu au gas unapotakiwa kuwepo
  • Kwa hiyo kwa kifupi, hawa ndiyo wale ambao mi macho ya nchi” yanaoyasaidia MACHO YA NCHI” kujua pale zilipo resources zote ziizoko chini ya ardhi ndani ya nchi ili “MACHO YA NCHI” yaweze kukaribisha wawekezaji kwenye madini, mafuta au gas
Ikumbukwe kuwa kazi ya kujua zilipo resources za chini ya ardhi inahitaji gharama kubwa mno kifedha lakini hawa wao huwa wanaifanya bure; bila kujali wamepewa fedha au hawajapewa

Kazi hii wanaifanya bure kwa sababu hata ikitokea wakapewa hiyo allowance ya wiki 8, bado wataonekana kuwa wanafnya kazi bila gharama yoyote kwa sababu potential ya utafiti wao ukilinganisha na gharama wanayotumia, havifanani na umbali wake ni kama mbingu na ardhi

HALI ILIVYO KWA WANAFUNZI WENGINE WANAOSOMA MTAALA WA AINA HII WALIOPO KWENYE TAASISI ZINGINE NDANI YA NCHI

Kwenye taasisi zingine ambazo mtaala wa aina hii huwa unafundishwa kama vile zilizoko kule makao makuu Dodoma, wanafunzi wa aina hii huwa wanapelekwa FIELD kwa muda wa wiki 8 nzima; huwa wanapewa hela ya kujikimu kwa muda wote huo wa wiki 8 ikiwa ni pamoja na walimu wao wote

……………………….inaendelea
 
HALI ILIVYO KWA MWAKA HUU KWA WANAFUNZI WANAOTOKA KWENYE IDARA YA MHUSIKA WALIOPO FIELD MUDA HUU

Kwa mwaka huu, wanafunzi hao walianza field tarehe 10/08/2024 na watamaliza tarehe 08/09/2024 ikiwa ni muda wa siku 28 tu

Kwa hiyo waliopo field muda huu, wote watarudi wakiwa na INCOMPLETE na katika hali ya kawaida, hawatakiwi kuendelea na mwaka miwingine wa masomo kwa mwaka ujao wa 2024/2025 mpaka pale watakapokuwa wamemalizia wiki nne zingine zitakazokuwa zimebaki

Kawaida, hizi siku waLizoenda field mwaka huu, zilitakiwa kuwa pungufu ya hizo ila zimeweza kuongezeka kidogo kutokana na jitihada za baadhi ya viongozi ndani ya Tasasisi; ku-liaise na wadau wanaomiliki makampuni ya migodi, na hatimaye wadau hao kuweza kutoa “assist” ya aina fulani na hivyo siku za wanafunzi hawa kuongezeka

Taarifa za uhakika zilizopo idarani kwake mhusika muda huu zinasema kuwa kuna baadhi ya wanafunzi ambao wako field muda huu na wako katika katika hali ambayo hawana hela ya kula; wanakula kwa kudra za walimu wao kwa hiyo wanakuwa ni mzigo kwa walimu wao

  • Kuna wengine wapo kwenye hali ambayo ni aibu hata kuielezea humu
  • IWengi wa wanafunzi wa aina hii hasa ni wale ambao hawakupata kabisa mkopo kutoka Serikalini
Hii ni kutokana na ukweli kuwa wanafunzi hawa walishazibwa nafasi yao ya kupewa mkopo kutoka Serikalini na ndiyo maana wanataabika kwa kiwango hiki; inasikitisha sana

After all; wanachotakiwa kupewa hawa watoto ni mkopo ambao baadaye watakuja kurudisha, lakini SMME yeye hata hilo nalo pia halikuwahi kumfurahisha kwenye kipindi chauongozi wake

Huyu SMME hana tofauti na yule kiongozi aliyewahi kuwafukuza wanafunzi waliokuwa wanasoma degree kule Dodoma; immediately baada ya Hayati JPM kuwa ameingia madarakani; wapo kundi moja

Hizi zilikuwa ni hujuma za moja kwa moja ila kwa bahati mbaya Hayati JPM naye hakuweza kuliona hilo, na lilifanyika kwa sababu aliyefanya, alikuwa na uhakika kuwa Hayati JPM asingeweza kugundua kuwa zilikuwa ni hujuma

JK alikuwa amewaweka pale kwa kusudi lake maalum na kama wengeachwa, sasa hivi wangekuwa wapo mbali na tungekuwa tuko mbali

“Hatuwezi kujenga kwa kuwa tunabomoa kule tulikotoka”;
nukuu kutoka kwa Rais Mstaafu wa awamu ya nne

HALI ILIVYO KWA FIELD YA MWAKA HUU KWA WANAFUNZI MAALUMU WANAOSOMEA MATETEMEKO YA ARDHI

Mojawapo ya watu potential ambao wanaweza kupata taarifa muhimu za RESOURCES ziilizopo kwenye ardhi, ni hawa wanaosomea matetemeko ya arhi

Miaka kadhaa iliyopita, mhusika alishawahi kudokeza kupitai jukwaa hili, kuhusiana na uhusiano uliopo kati ya matetemeko ya adhi na RESOURCES ziilizopo kwenye ardhi, kupita uzi huu hapa #86 na kwa nukku ifuatayo

…….mwanzo wa kunukuu

“MAELEZO MAFUPI NAMNA AMBAVYO DATA ZA MATETEMEKO HUTUMIKA KWENYE UTAFITI WA OIL NA GAS
Kwa waliosoma Fizikia, mawimbi yanayosababishwa na tetemeko, husafiri ardhini na kupita kwenye miamba, kwa kufuata kanuni za namna mwanga ambavyo huwa unasafiri kwenye kitu chchote kile. Kawaida mwanga:


  • Husafiri kwenye mstari ulioonyooka, pale unapokuwa unasafiri ndani ya kitu husika (media)
  • Huakisiwa (reflected) na au /husharabiwa (refracted) pindi unapokuwa unasafiri kutoka kwenye media moja na kuingia kwenye media nyingine tofauti
  • Mwanga unaposharabiwa na media fulani, media hiyo inaweza kujulikana ni kitu gani, kwa kutumia kanuni ya refractive index. Refractive index ya mwanga inajulikana na hivyo chochote kile kinacchoweza kuusharabu mwanga, refractive index yake lazima nayo ijulikane pia, na ikishajulikana, lazima kitu hicho kijulikane ni nini
…..mwisho wa kunukuu

Kwa mwaka huu, KWA MARA YA KWANZA watoto hawa wameenda field Morogoro na baadaye watarudi tena hapa Dar es Salaam

Miaka mingine yote wamekuwa wakienda Nzega, ambako inasemekana kuna VEINS za dhahabu au mishipa ya dhahabu ambazo bado zinandelea kufanyiwa utafiti

Lakini ukiona wataalamu wamefikia hatua ya kusema VEIN, ujue hapo utafiti almost ulishakamamilika; tayari kuna mshipa mpya ambao uko confirmed na possibly; hawa wanafunzi walitakiwa kwenda huko kwenda kutafuta mishipa mingine zaidi kwa sababu huko ndiyo kuna dhahabu

Dar es Salaam kuna sediments tu na ndiyo maana hatuna hata matetemeko ya ardhi na ukiona tetemeko kubwa la ardhi limetokea Dar es salaam, jiulize mara mbili

Kwa hiyo, swala la kwenda nzega halijafanyika kwa mara ya kwanza mwaka huu

HALI ILIVYO KWA UPANDE WA WALIMU WA WATOTO HAWA

Kwa upande wa walimu, hali pia ni mbaya sana. Hawa wengi wao wanakuwa wanapishana kwa kupeana zamu; huyu akienda siku 10, anarudi anaenda mwingine tena kwa siku 10 ilihali walimu wote wasioupungua 38 walitakiwa kuwa wamegawanyika kwenye makundi mbalimbali ya wanafunzi waliopo field; wakiwa wanafundisha kwa muda wote huo wa wiki 8

Kwa taarifa tu ni kwamba mhusika yeye siyo mwalimu na hivyo yeye kwenda field za aina hii huwa ni optional kwake na tangu aajiriwe; hajawahi hata mara moja kuhudhuria field ya aina hii

Mhusika analisema hili ili isije ikawa perceicved kwamba yupo kwenye harakati zake binafsi tu za kutafuta allowance ya siku 56; hapana
. Yeye huwa haendi field zinazoangukia kwenye kundi hili na hajawahi kwenda field ya aina hii hata mara moja tangu aajiriwe

KAMA MZAZI, USHAURI WA MHUSIKA KWA SERIKALI NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA

Ushauri wake kwa Serialki ni kwamba watoto wote wanaosomea RESOURCES ZILIZOKO KWENYE ARDHI; wote wapewe mkopo maalumu unaojulikana kama MKOPO WA KWENDA FIELD ukiwa ni mkopo maalumu unaojitegemeal na ambao atapewa kila mwanafunzi anayetakiwa kwenda field ya aina hiyo

  • Kwa hiyo, mkopo huu usiwe na means testing kwa maana ya kwamba usiwe unahitaji kuwachuja tena wanafunzi wanaotakiwa kukopeshwa kama ilivyo kwa mkopo wa mihula ya masomo yasiyokuwa ya field
  • Qualification ya mkopo huu iwe ni moja tu kwamba ili mradi mtoto anatakiwa kwenda field inayohsika na RESOURCES ZA KWENYE ARDHI; basi mtoto huyo apewe mkopo wa waiki zote 8 utakaohusisha hela ya USAFIRI, CHAKULA NA MALAZI KWA SIK 56
Imeripotiwa pia kuwa kumeanza kujitokeza pia changamoto ya baadhi ya watoto kuwa wanakula hela yote kabla ya muda wa fiedd na wanapofika field wanakuwa hawana tena hela lakini hilo ni dogo kwa sababu lipo ndani ya uwezo wa taasisi husika kuweza kulitatua

IKITOKEA LABDA KWA BAHATI MBAYA KWAMBA SERIKALI HAWATAWEZA KUTIMIZA USHAURI HUU KUTOKANA NA FINANCIAL CONSTRAINTS KWA SABABU MAJUKUMU NI MENGI:

THE MINIMUM WANACHOWEZA KUFANYA ILI KUWASAIDIA WATOTO HAWA


Serikali wanaweza kutoa boom la fedha ya chakula cha jumla kulingana na idadi ya wanafunzi, ambayo itatumika kuwalisha wanafunzi chakula cha kupikiwa kwa pamojakatika kipindi chote cha siku 56 watakapokuwa wapo fied

Boom hilo likabidhiwe kwa uongozi wa taasisi husika ambayo inatakiwa kuhakikisha kuwa wanafunzi wao watakuwa wapo field kwa muda wa siku 56

Still, mhusika hategemei sana kwamba hii inaweza kuwa ndiyo option kwa Serikali kwa sababu Serikali hiyo hiyo ndiyo inayowapa mkopo walimu na wahandisi kwa muda wote wa siku 56; na pia imafanya hivyo kwa wanafuzi wengine wa aina hii waliopo kwenye mazingira ya taasisi zingine

Hili nalo ni tatizo kubwa sana ambalo limekuwa propagated na SMME tu kwa matakwa yake binafsi

Ikumbukwe kuwa wanafunzi waliopo field mwaka huu watarudi baada ya wiki nne wakiwa na INCOMPLETE, na wakati huo huo ikifika mwezi 11; wataanza mhula mpya wa masomo huku wakiwa wamebadilisha miaka yao ya masomo. Yule aliyekuwa mwaka wa kwanza ataingia mwaka wa pili; hali kadhalika aliyekuwa mwaka wa pili ataingia mwaka wa tatu

Haya ndiyo mengine ya muhimu ambayo SMME aliwahi kufanya alipokuwa ameshika hatamu ya uongozi kwenye taasisi


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA ALIYEKUWA JIRANI WA MHUSIKA AKIWA ANAISHI NYUMBA NAMBA 12 NA AMBAYE ALIHAMA MWAKA 2019

Takribani miezi mwili iliyopita, jirani huyu wa zamani wa mhusika naye pia alibahatika kupata “KEY” kutokea idarani kwa mhusika

Kuna staff mpya idarani kwa mhusika; ambaye wamefanana sura na jirani huyo wa zamani wa mhusika, kiasi kwamba mtu anaweza akadhani kuwa ni pacha wake

Hadi lips za midomo yao zimefanana

Kwa upande mwingine; rafiki wa mhusika aliyetajwa kwenye post hii #2,157 , naye pia amefanana sura na binti mfanyakazi aliyehusishwa naye kwenye post hiyo

Hapo kabla, mfanano wa sura kati ya ya wawili hawa mhusika alikuwa hajaubaini

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MWENDELEZO KUTOKEA KWENYE POST HII #2,191

KUHUSIANA NA KUKATIZWA KWA LIKIZO YA KM-A


Uwepo wa KM-A Kanisani J2 iliyopita haikuwa dharura kwa sababu ulipangwa na tangazo lake lililtolewa J2 ya tarehe 18/08/2024 kuwa angekuwepo J2 inayofuata kwa ajili ya kuweka wakfu viongozi; na hivyo uwepo wa KM-A Kanisani J2 haikuwa dharula kama alivyodai mwenyewe

KUHUSIANA NA BINTI MTUMISHI ALIYERUKWA KUSOMWA JINA LAKE NA KUPE;EKEA KUWEKWA WAKFU AKIWA PEKE YAKE

Herufi saba
za mwanzo za jina la mtumishi huyo, zimefanana exactly na herufi zingine saba za mwanzo za jina la MMILIKI WA SOURCE CODE YA GENERATOR (MSCG); na kwa mpangilio ulio sawa; kwa maana kwamba herufi ya kwanza kwa jina hili, ni herufi ya kwanza pia kwa jina jingine la pili na halikadhalika herufi zingine zote zinazofuata hadi kufikia herufi ya saba ya majina yao

Kwa hiyo watu hawa wanatengeneza “KEY” moja very stong kwa sababu jina la mtumishi lina herufi kumi, ilhali lile la MSCG lina herufi tisa

KUHUSIANA NA MFANANO UNAOANZA KUJITOKEZA KWENYE LIKIZO MBILI ZA KM-A

Likizo ya kwanza aliichukua mwaka 2022 na katika mazingira yafuatayo

  • KM-A alitoweka tu Kanisani, hakuwaaga waumini
  • J2 ya kwanza baada ya kuwa ametoweka Kanisani, Kinara wa Matangazo (KWM) aliwatangazia waumini kuwa KM-A hakuwepo Kanisani siku hiyo kwa sababu alikuwa yupo likizo
  • Kwenye kipindi chote alipokuwa yupo likizo; waumini hawakuwahi kupata salamu wala taarifa zake kuwa alikuwa wapi
  • Wiki moja kabla ya KM-A kurudi kutoka likizo; LILITANGAZWA KWA DHARURA KONGAMANO KUBWA LA INJILI ambalo lilikuwa ni la mara ya kwanza kwa Kania A ku-host kongamano la aina hiyo
  • Mnenaji kwenye Semina hiyo alikuwa ni mwalimu yule wa Semina ya Roho Mtakatifu iliyowahi kufanyika mwaka 2012
Kipimdi hicho, kaenye Ibada ya J2 ya kwanza tu baada ya kurudi kutoka likizo, KM-A alianza kuchagua “KEYS”, ambapo mojawapo ya “KEYS” hizo alikuwa ni Profesa wakili pamoja na mke wake

Zikiwa ni siku chache tu baada ya kuwa ametoka likizo, ilipofika mwishoni mwa November 2022; ajali mbaya ya ndege ilitokea kule kwao; possibly sehemu ambayo ndiyo alikuwa ameenda likizo kwa sababu ilikuwa haijulikani alienda wapi wakati wa likizo hiyo

KUHUSIANA NA LIKIZO NYINGINE YA PILI MWAKA HUU AMBAYO ANAKARIBIA KUIMALIZA

Kwa upande wa ufahamu wake mhusika, hii sasa ni likizo yake ya pili kwa sababu katika maisha yake yote ya ushirika hapo Kanisa A, hapo kabla, mhusika hakuwahi kumuona KM-A akiwa amechukua likizo except kwa likizo hizi mbili za miaka hii ya hivi karibuni

Kwa likizo hii vile vile, waumini wanajua tu kuwa yuko likizo, lakin hawajui likizo hiyo anaitumia akiwa yupo wapi

Mbali na hilo, KM-A hakuwaaga waumini yeye mwenyewe; aliagiwa wakati alikuwa yupo physically Kanisani

Hiki kitu hakikuwa cha kawaida sana kwa sababu ilikuwa ni wiki moja au mbili tu tangu waumini walipomkabidhi zawadi moja nzuri sana

Waumini hawa hawa waliokuwa waliomtendea wema wote huu ndani ya siku chache tu zilizokuwa zimepita na kupelekea kumiminisha shukrani nyingi kwao, hakuweza tena kusimama madhabahuni kuwaaga kuwa anaenda likizo wapi, na hata kuwaomba wamueombee wakati wa likizo ikiwa ni pamoja na yeye kuwaombea

KILE KILICHOFANYIKA MWAKA 2022 NDIYO KILE KILEKILICHOPANGA KUFANYIKA TENA MWAKA HUU

Kwa kipindi hiki, wiki moja kabla ya KM-A kurudi kutoka, KM-A amechagua ‘KEYS” ila akafanya katika namna iliyo tofauti kidogo

  • Safari hii ametanguliza “KEYS” kwanza kabla ya “mkutano mkubwa WA DHARURA wa injili
  • Kipindi kile cha mwaka 2022; mkutano mkubwa WA DHARURA wa injili”ulitangulia kwanza halafu ndiyo “KEYS” zikafuata
Wiki moja kabla ya KM-A kurudi kutoka likizo, tayari UMESHATANGAZWA KWA DHARURA MKUTANO MKUBWA WA INJILI, huu sasa ukiwa mkutano mkubwa wa pili kuwahi kuwa hosted na Kanisa A

Kwa hiyo, kilichofanyika J2 iliyopita, kiliwahi kufanyika pia mwaka 2022 isipokuwa tu kwa safari hii mpangilio wa baadhi ya vitu umekuwa reversed

OMBI KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A


Mhusika anawaomba waumini wa Kanisa A, wafuatilie kwa makini sana mienendo ya viongozi hawa watatu waliowekwa wakfu siku hiyo

MOSI:Kiongozi mwenye jina lenye tafsiri ya “SHOKA” kwa lugha ya kuzaliwa ya mhusika,

  • Huyu ana gari BODY ya TRUCK, na hizo trucks zilizokuwa zinagawiwa kwa waumini ili wazisambaze siku hiyo zilikuwa zina uhusiano na gari TRUCK ya kiongozi huyu
  • Huyu vile vike ndiye yule ambaye hivi karibuni aliwahi kusimama madhabahuni kuhudumu kwenye Ibada kuu kwa mara ya kwanza; na baada ya hapo, nyama mbichi ya nguruwe ikaanza kuuzwa tena kwa mara ya kwanza pale getini; wakati ilikuwa imeshakoma miaka kadhaa iliyopita
Kiongozi huyu anaweza kuwa ni mmoja wa wahusika waliopo kwenye CODE YA BUTCHERED AU CODE YA NYAMA MBICHI YA NGURUWE

PILI: MR X; huyu hana maelezo marefu, anajieleza mwenyewe

TATU: Binti aliyewekwa wakfu akiwa yupo peke yake kwa maelezo kuwa jina lake lilirukwa KM-A alipokuwa anasoma majina ya wengine

Huyu naye anaweza kuwa ni mmoja wa wahusika waliopo kwenye CODE YA GENERATOR

Jicho makini la waumini liwe pia kwa baadhi ya viongozi watakaokuwepo kwenye mkutano huo ESPECIALLY, wale ambao picha zao ziko kwenye vipeperushi

Kwenye usiri huu wa likizo za KM-A, inaonyesha kuna kitu kikubwa kimejificha nyuma yake na kinahitaji kufanyiwa kazi


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UPNEXT: CODE YA “KAZI YA MOTO”
 
CODE YA “KAZI YA MOTO”

….inaendelea kutokea kwenye post hii #2,185

NAMNA AMBAVYO MAANDALIZI YA UTEKELEZAJI WA CODE HII YAMEKUWA YAKIFANYIKA

Mara nyingi code hii imekuwa ikipangwa kutekelezwa kwa mojawapo ya siku za J3; kuanzia siku ambayo MR X aliwahi kuingia ndani ya chumba cha Microscope kwa mara ya kwanza tangu alipokuwa amerudi kutoka safari

Kwa hiyo kuanzia pale, kwenye mfululizo wa siku kadhaa za J3, kulianzaishwa utaratibu wa uwepo wa irregular official programs ambazo matangazo yake mhusika alikuwa anafichwa

Matangazo ya programwa hizo yalikuwa yanafanyika kwa kutumia mawasiliano ya whattsup; ilhali yeye huwa hatumii whattsup

Mhusika anayo official email tu ambayo iko registered kwenye domain ya taasisi; na hiyo ndiyo inatambulika na taasisi na ndiyo ambayo pia iko authorized kama official communication kwenye taasisi; ila si whattsup

Kufichwa kwa taarifa hizi kwa mhusika kulikuwa kumelenga kumfanya asihudhurie baadhi ya presentation hizo na hivyo kutoa mwanya wa kubaki peke yake ofisini kwao siku za J3

Mwanya huosasa ndiyo ukle ambao umekuwa ukitafutwa siku zote kuanzia hapo ili codecode ya “KAZI YA MOTO” iweze kutekelezwa, master planner wake akiwa ni Mkuu wa Idara (MWI)

Kwa siku za J3, ilibdi wanafunzi wasiwepo kwenye chumba cha Microscopes kwa sababu mara zote vipindi vyao kwa siku hiyo huwa vinaanza saa 1:00 kamai na kumalizika saa 4:00 kamili

Hawa sasa walitakiwa wasiwepo kwenye chumba hicho kwa sababu wangekwamisha utendaji wake

Hii ni sababu nyingine na ya tatu iliyopelekea wanafunzi wakakoma kufundishwa Microscopes na hili baa limewakumba hasa wale ambao mwaka wa masomo ujao wanakuja kuingia mwaka wa tatu

Mojawapo tu ya mfano wa matukio ambayo mhusika tayari alishawahi kuyaleta humu ila katika muda ambao alikuwa bado hajaibaini code husika; na ambayo kwa sasa hayana shaka yoyote kuwa yalikuwa yanangukia kwenye code hii; ni kama tukio hili lililowahi kuletwa kupitia posts hizi hapa #1,934 #1,935

Kwa hiyo poasts hizi zinatoa details za mojawapo tu ya siku ambazo code iltakiwa kuwa executed

Vile vile posts hizi #2,014 #2,016 #2,136 zinatoa details za baadhi tu siku ambazo code hii ilikuwa bado inafanyiwa maandalizi, tayari kwa kuja kuwa executed kwenye J3 ya wiki inayofuata

……..itaendelea


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 29th AUGUST 2024
TAARIFA MUHIMU: TROJAN HORSE YUPO MBIONI ANATAKA KUPEPERUSHA MILLION 2 NA NUSU ZA MHUSIKA

MHUSIKA ANSHUGHUKIA SWALA LA FEDHA KIASI CHA TZS 2.500,000/= ALIZOZI-WTHDRAW JANA ASUBUHI KUTOKA KWENYE ACCOUNT YAKE YA BENKI KWA NJIA YA SIMU, LAKINI ZIKAENDA KWA MTU MWINGINE; POSSIBLY SABABU YA VIRUS ANAYEITWA “TROJAN HORSE”


Tojan horse ni virus anayeweza kubadilisha muamala wa mteja; na mhusika anadhani kuwa kwenye muamala aliofanya jana; uwezekano mkubwa app aliyotumia kutoa fedha ilikuwa tayari nimevamiwa na“trojan horse”

KILE HASA AMBACHO KILIMTOKEA JANA

Katika maisha yake yote, hajawahi kukosea muamala lakini hata mara moja lakini jana alikosea muamala wa TZS 2,500,000/- alizokuwa anazichukua kutoka kwenye aacount yake ya Benki kuziingiza kwenye account yake ya simu

  • Mhusika hajawahi kukoseaa muamala hata mara moja na jana ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza
  • Kwa hiyo fedha hiyo ilienda kwa mtu mwingine na alipojaribu kuipigia namba; namba hiyo ilikuwa haipo hewani
ALICHOFANYA BAADA YA HAPO

Baada ya kuona namba ya mtu ambaye fedha ilikuwa imeingia kwake haipatikani, mhusika aliwahi kwenye mtandao husika aliotumia ku-withdraw fedha kutoka benki na kuwajulisha wahusika wa mtandao huo

Bahati nzuri mtu wa customer service aliweza kumjulisha mhusika kuwa fedha hiyo ilikuwa bado haijachukuliwa na hapo hapo ofisa huyo aliamua ku-block acount iliyokuwa imepokea fedha; na baada ya hapo kumshauri mhusika aende Benki ili Benki wakaurudishe muamala na hivyo fedha hizoiweze kurudi tena kwenye account ya Benki ya mhusika

  • Huko Benki nako walilipokea tatizo la mhusika na wakamwambia kuwa watalishughulika ndani ya masaa 72; yaani the maximum wanaweza kulishughulikia ni masaa 72 au chini ya hapo
  • Hapo mhusika aliona muda unakuwa mrefu kidogo na aliomba kuonana na ofisa mwingine wa juu zaidi ili aombe muda wa transaction hiyo upungue
Hapo mhusika alielekezwa tena kwa ofisa mwingine aliyekuwa amekaa chumba cha kukutana na wateja; jirani na customer service;; na ambaye aliwahi kutambulishwa kuwa ndiye Manager mpya wa Benki wa sasa

Baada ta kumuona; Manager naye alisisitiza masaa hayo au possibly chini ya hapo; na baada ya kuona hivyo mhusika aliridhika na ushauri huo wa Manager na kuendelea kusubiria kwa masaa hayo

Mhusika hakuona haja ya kuwaganda sana Benki wapunguze masaa kwa sababu walikuwa wamemhakikishia kuwa watalishughulia vizuri

Hata hivyo, ilipofika leo kwenye majira ya mchana; mhusika alitumiwa ujumbe na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa Benki, akimjlulisha kuwa fedha yake imeshindikana kurudiswha kwa sababu mtu aliyewahi kuzipokea kwenye simu yake tayari ameshazitoa

Kwa hiyo mtu huyu; aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa Benki, alimshauri mhusika amfuatilie mtu aliyepokea fedha au watu wanaohusika na mtandao wake wa simu

BAADA YA MHUSIKA KUPATA TAARIFA HIZI CHUNGU


Hakwenda kwa watu wa mtandao wa simu kwa sababu bado hajapata official notification ya kutoka Benki kwamba muamala umeshindikana kurudishwa

Ujumbe alioupokea ulitoka kwa mtu binafsi aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa Benki

Baada ya mhusika kujaribu kumpigia simu mtu huyo ili waongee, mfanyakazi huyu alikuwa hapokei tena simu

  • Hapo mhusika aliamua kwenda hadi benki na kukuta mfanyakazi huyu hayupo tena benki; alikuwa ametoka kidogo
  • Aidha, yule Manager waliyewahi kuongea naye jana, naye pia hakuwepo, alikuwa yupo kwenye mkutano
Mhusika aliamua kuacha e-mail address pamoja na namba ya simu pale customer service ili atakapokuwa amepata official notification kutoka Benki ya muamala kushindikana kurudishwa, aende nayo kwenye mtandao wake wa simu kama uthibitisho kwao

Vinginevyo kwa sasa, wenye mtandao wa simu hawahusiki na hivyo hawezi kwenda kuwaona kwa sababu wao walishafanya kazi yao ya kuhakikisha kuwa wame-block acccount ya mtu aliyekuwa amepokea fedha kimakosa; wakiiachia benki kazi ya kuzirudisha kwenye account ya mhusika, na ambao nao walithibitisha kuwa wataifanya vyema

Baada ya fedha hiyo kuwa imeingia kwenye account nyingine kimamosa jana, mtandao wa simu ulimhakikikishia kuwa fedha hiyo ilikuwa bado haijachukuliwa na mwenye simu na hivyo kumuomba aende Benki ili wao ndiyo waurudishe muamala huo kwenye Benki Account ya mhusika

UZOEFU WA MHUSIKA KWENYE MIAMALA HII YA SIMU

Hapo kabla ya jana, mhusika alikuwa hajawahi kukosea muamala na hii ndiyo imekuwa mara yake ya kwanza,
na possibly tunatakiwa sasa kuwa waangalifu sana na “Trojan Horse” kwenye mitandao yetu ya simu na benki pia

Hata hivyo, tofauti na ilivyokuwa jana ambapo mhusika alidhani kuwa pengine labda alikosea namba muamala ulipoenda kwa mtu mwingine, uhakika alionao muda huu ni kwamba namba aliyoiandika ni yake na hakuikosea; na baada ya hapo jina lililotokea likim-prompt kulitumia fedha, lilikuwa ni jina lake mhusika ila baada ya kuwa amekubali kutuma fedha; FEDHA HIYO ILIENDA KWENYE NAMBA NYINGINE INAYOSHAHIBIANA NA ILE YA MHUSIKA EXCEPT KWA TARAKIMU MOJA

Kwa hiyo kuna uwezekano kuwa kuna “Trojan Horse” yupo kazini kwenye baadhi ya “app” zetu za fedha tunazotumia kwenye mitandao ya simu na ya Benki pia

Mhusika akishapata official notification ya kutoka Benki ili awapelekee wenye mtandao wa simu; atawarudishia tena feedback
 
MHUSIKA ANAWEZA KUILETA HUMU BAADAYE, NAMBA YA MTU ALIYEPOKEA FEDHA, ILA IWAPO TU ATALAZIMIKA KUFANYA HIVYO
 
UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA TUKIO HILI LA SASA, HALINA TOFAUTI NA. HILI HAPA CHINI LILIOPELEKEA MHUSIKA KUSHINDA ZAWADI YA MILLION 6


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom