Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Me nna swali moja.. sasa maisha yalivyokupiga, why hukuwaza kuurudia udalali? Maana niliona ni simple zaidi kurudi kule huku ukijipanga kwa mengine
DALALI MKUU
Udalali una mambo mengi sana. afu ukishatoka sehemu ukirudi unaanza tena upya unarudi kama mgeni.

hata hivyo sikuwa natamani tena hiyo kazi
 
Hivi kumbe Mtu pasipo kujali Hali Yako ya kiroho Unaweza kuandaa programu ya maombi katika jambo lako na majibu yakapatikana pasipo msaada wa watumishi wa Kisasa!? Kama Jeni alipata watoto Kwa njia ya Imani(maombi binafsi)...
 
Hivi kumbe Mtu pasipo kujali Hali Yako ya kiroho Unaweza kuandaa programu ya maombi katika jambo lako na majibu yakapatikana pasipo msaada wa watumishi wa Kisasa!? Kama Jeni alipata watoto Kwa njia ya Imani(maombi binafsi)...
Maombi ni Imani yako binafsi mkuu.

Watumishi mara nyingi ni kutuongoza tu ila kimsingi unaweza kuwa na program yako binafsi na ukatoboa ili mradi ujue tu jinsi ya kuomba
 
Hii roho mmepewa wanaume siwezi kushangaa ila sio sie wanawake, hamjufunzi kwa Adam aliletewa sijui tunda akapokea na akala kilichomkuta ni laana ya kifo na nyinginezo tunazoishi nazo mpaka kiama
kuna wakati hata sisi wanaume huwa tunakwama na tunapeda watu wa karibu watusaidie hata kwa kidogo,ila utashangaa mwanamke unayemhudumia kila siku hawezi hata jiongeza,kuna wanawake wanafikiri walivoambiwa wawe wasaidizi wanafikiri wnatakiwa kufua soksi kama vile sisi hatuji kufua
 
Nyumba za kupanga ni ngumu sana
 
Wanawake wana ufala sana.
 
Hivi kumbe Mtu pasipo kujali Hali Yako ya kiroho Unaweza kuandaa programu ya maombi katika jambo lako na majibu yakapatikana pasipo msaada wa watumishi wa Kisasa!? Kama Jeni alipata watoto Kwa njia ya Imani(maombi binafsi)...
Mtumishi ana nafasi yake,na muombaji ana nafasi yake.Kwani yule mama aliyekuwa anatokwa na damu kwa miaka 12 aliombewa na nani?,si alichukua hatua za imani mwenyewe na akapona?
 
Na ndo usaidizi wenyewe huo ukitaka unaozidi hapo sasa ndo tatizo linapoanzia
 
Mtumishi ana nafasi yake,na muombaji ana nafasi yake.Kwani yule mama aliyekuwa anatokwa na damu kwa miaka 12 aliombewa na nani?,si alichukua hatua za imani mwenyewe na akapona?
Mtumishi ni Kiongozi anayekuongoza tu. Ila unaweza kuwa na Program zako mwenyewe Roho mtakatifu akakuongoza, ukaomba na ukajibiwa vizuri tu.

Shida watu wengi hawawezi kujisimamia wanapenda kuwekewa mikono na watumishi.

Ndio watumishi wengine wanawadanganya wanafunga kwa ajili yao,Mwisho wa siku unapigwa tukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…