MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

Mbona vipande vifupi vifupi sana. ? Kajipange upya ndugu mwandishii....
Boss maji...naandika nikiwa bar hii inaisha leo...mods kesho wataviunga isha
 


Asee hizi pesa za namna hii Ni mbaya Sana.
 
Tupo sambamba mkuu
 
Ok
 
Wakuu kichwa kishajaa pombe ...kesho wazee
 
Mi naona yupo sawa tu. Kwa unachosema inamaana story haitakuwa na contents.
 
Siyo lazima sote tuandike jmn,wengine tubaki kuw wasomaji tuuu,umeandika kama mtoto wa la pili

Sent from my SM-N920F using JamiiForums mobile app
Mbona anaandika vizuri tu, kwani humuelewi?

Kwani yeye nimuandishi wa Habari hadi aweze kusimulia na kuandika kiufasaha?

Kwa nini Watanzania hatupendi kupeana moyo? Lengo la mleta Mada ni kutuelimisha ila huoni hilo unaangalia kitu kisicho cha msingi.

TUACHE HII TABIA JAMANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…