Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐๐๐!juzi nimeshawishiwa kula ugali mwekundu na samaki ...mzuri !Njoo hapa unitembelee nikupikie ugali wa mhogo na kuku๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐!juzi nimeshawishiwa kula ugali mwekundu na samaki ...mzuri !Njoo hapa unitembelee nikupikie ugali wa mhogo na kuku๐๐
Kakidole tu kamoja? Au kila mara atakuwa anakatwa madole?Hapa hapa musoma kuna mwamba kakatwa kidole cha mwisho kikaenda kufanyiwa mafekechee ili awe tajiri .jamaa ni tajir balaa ..handsup[emoji119][emoji119]!
Hiyo ni kwa mawazo yako na uvivu wa kusoma vionjo kama ivyo ndio huwa vinanogesha ukizingatia hii ni true storyStory yako ni nzuri ila umeijaza vitu vingi ambavyo vingine ni unnecessary, mpaka story inakuwa ndefu na inaboa.
Unapoandika story humu usiandike kama unaandika kitabu, andika kama unaandika makala. Unahusisha vitu vya mhimu tu, mbwembwe za kujazia nyama piga chini.
Sijui nikala nyama, nikacheza disko nikapata vumbi, sijui akitembea haachi alama za unyayo ni unnecessary.
Sijajua...kakatwa cha mwishoKakidole tu kamoja? Au kila mara atakuwa anakatwa madole?
Mzee usiwe nunaongea Kama huna uhakika.
Ukiwa unatoka mwanza au Bunda shuka Kijiji kimoja kinaitwa sabasaba nyuma ya kiabakari na Mazami Uliza kwa mzee Nyanda ni hapo barabarani tu kuu la lami.
Na ukifika tu pale Kijijini uliza stori hii yaani nikutungie kitabu mimi nimekuwa shingongo na huo mda wa ujinga huo napata wapi?
Kama uko dar nenda hapo udsm kamuone mdogo mtu kiringo muulize hili atakuambia.
Then usiwe unaongea vitu usivyovijua ili uonekane tu umeongea
Haya mambo sio ya miaka mingi ni ya juzi tu hapa.
Kabisaaa wengine ni WIVU TUUNa wewe soma Kama mtoto wa la kwanza...huna haja ya kupanick mkuu
Mkuu nilichogundua huyu story anaitoa mahali anaileta huku sasa huko anakoitoa kama msimuliaji amesimama inabidi na yeye atuzuge huku by the way hata kama ni chai ila tamuMi naona yupo sawa tu. Kwa unachosema inamaana story haitakuwa na contents.
Watu wa humu ni zaidi ya wajuaji aiseee.Mkuu nilichogundua huyu story anaitoa mahali anaileta huku sasa huko anakoitoa kama msimuliaji amesimama inabidi na yeye atuzuge huku by the way hata kama ni chai ila tamu
Kuwajibu wajuaji wa humu utajipa kaziWatu wa humu ni zaidi ya wajuaji aiseee.
Haya naitoa wapi?
Unajua story za kusimuliwa wewe?...A u unataka nikupe majina ya wahusika kabisa
Mkuu muwe mnapunguza ujuaji basi....na mbona nimeshamaliza yote
Kwani kuoa wake wawil ni tatizo??Naomba nikuulize swali...nimekuwa na marafiki wengi sana wakurya..na nimefika had huko kwenu...swali ni hili..kwanini kila familia moja unakuta baba ana wake wawili?..watoto pia wameoa wake kuanzia wawili...mna shida gan mkuu? Yaani sijji kama nna rafiki hana wake wawili...kha!y?
Kwani kuoa wake wawil ni tatizo??
Nani aliyekuambia ni tatizo??
Ni mzungu?
Huyo huyo mzungu ndiye aliyekuambia kuwa mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzake ni sawa ila kosa mwanaume kuoa wake wawil??
[emoji23][emoji23][emoji23] Minakushangaa sana unavyohangaika nao kwani we ni mgeni JF ?Watu wa humu ni zaidi ya wajuaji aiseee.
Haya naitoa wapi?
Unajua story za kusimuliwa wewe?...A u unataka nikupe majina ya wahusika kabisa
Mkuu muwe mnapunguza ujuaji basi....na mbona nimeshamaliza yote
Nimegundua Hawa yawezekana wanataka kujaribu hivyo wanahisi hii ni hadithi ya kusadikika inabidi niwajibu ili wapate uhakika ili Kama wakijaribu iwe juu yao Sasa kuliko kunyamaza unaonekana huna uhakika na unachokisema[emoji23][emoji23][emoji23] Minakushangaa sana unavyohangaika nao kwani we ni mgeni JF ?
Wapi nimesema ni tatizo? Nimeuliza nipate kufahamu..hayomengine ni wewe umeandika sio mimi
Nimegundua Hawa yawezekana wanataka kujaribu hivyo wanahisi hii ni hadithi ya kusadikika inabidi niwajibu ili wapate uhakika ili Kama wakijaribu iwe juu yao Sasa kuliko kunyamaza unaonekana huna uhakika na unachokisema
Yaani kati ya vitu ninavyowashangaa wazungu ni hapo. Kwao ndoa ya wake wengi ni kosa la kisheria kabisa, lakini ndoa ya jinsia moja ni halali tena kwa sheria za nchi kabisa.Kwani kuoa wake wawil ni tatizo??
Nani aliyekuambia ni tatizo??
Ni mzungu?
Huyo huyo mzungu ndiye aliyekuambia kuwa mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzake ni sawa ila kosa mwanaume kuoa wake wawil??