MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

Mkuu nimesoma kwa makini sana simulizi hii.Uchawi upo na ushirikina umetamalaki.Kuna matajiri wengi utajiri wao ni wa punje.
 
Mkuu mi nipo Arusha nipe location ya Sarah anayechoma mahindi basi nikampe hi na kununua mahindi
 
Samahani mkuu wengine sio waandishi wazuri.. sorry kwa hilo
Tafadhali naomba location ya huyo mganga was ndagu,.... Mkoa,wilaya,kata,Kijiji na namba za simu ikiwezekana.....

Nataka nifanye research Kama Hili suala la ndagu lipo kweli....na how it works..
 
Kuna nyumba nyingi Arusha za kupangisha zina mauzauza sana na ukiwa mwepesi huwezi jua mpaka uwe na kauzito flani ( S-400)
 
Tafadhali naomba location ya huyo mganga was ndagu,.... Mkoa,wilaya,kata,Kijiji na namba za simu ikiwezekana.....

Nataka nifanye research Kama Hili suala la ndagu lipo kweli....na how it works..
Mimi simjui mkuu...na Wala sijawahi kufatilia hayo masuala ya kupata ndagu

Lakini yapo, Kama research waganga wako wengi wewe jitose
 
Kuna nyumba nyingi Arusha za kupangisha zina mauzauza sana na ukiwa mwepesi huwezi jua mpaka uwe na kauzito flani ( S-400)
Kwa hiyo KIONGOZI umefunga S-400?🙌🏼😄

Ulinzi muhimu boss
 
Swali. Kama mtu kachukua nyota ya mtu mwingine kishirikina ili immneemeshe na huyo mtu aliyechukuliwa nyota kwa mfano akifariki je! nyota yake itabaki duniani au anasepa nayo ahera?
 
Story za uongo zisizo na evidence yoyote,
Ukiona mtu anapesa jua kaziiitafuta kwa njia flani halali au sio halali ila hakuna kitu kama majini wala ndagu, huo upuuzi ni uongo mtupu na wanaoamini huo ushenzi wote maskini
 
Tupe location ya Sarah kwa sisi Wa Arusha tukale mahindi leo baada ya game ya Bayer Leverkusen vs Bayern Munich....
 
Ukuryani,kule ukiwa na pesa plus mali kama ng'ombe,majumba wazee wanakuheshimu sana na pia ukawapa hela za pombe...wewe ni mfalme
Kwahiyo vijana wanataka kuheshimiwa na kuishi mazuri lakini ya mkato!
 
Hadithi yako nzuri nlitamani iendelee! Hadi nimechelewa kula nlikua naisoma
Kuna mtu hapo juu kwenye comment ameonekana anaufahamu huu mkasa pia na ni wa huko Kijijini mwambie aongezee nyama anaweza kutoa vionjo tofauti.
 
Utajiri wa PUNJE ni mbaya sana,kuna jamaa sasa ni apeche alolo mwanzoni alikuwa na MTONYO hatari MANSION la hatari Mkewe alikuwa anatembelea BIMA ila sasa jamaa analala Chumba Kimoja.
Hizo aibu si bora angeomba akifirisika avute kamba afe kishujaa!
 
Back
Top Bottom