Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

You really caught fade with him?

Hard for me to believe.

JF is full of pussies.
 
Hapa tatizo ni umri...... adolescent ages......mwanaume kamili aliekomaa kuhakiki..... hapigani na mwanaume mwenzake.......

Anapigana na maisha yake

nyie ndo wake zenu wanashikwa matter col mbele yenu mnaishia kucheka na kujifanya hamtaki kupigana.
 
Wote mburula.

Siku nyingine utajiamini kwenda kwa vi push ups vyako, atakuja mtu na bastola anakupiga risasi moja tu unakufilia mbali.
Hahahaaa but why pull out the blicky if you’ve agreed to throw hands?

Back in my day we threw hands. No gunplay, knives, or homies jumping in.

It was just one on one.
 

Pathetic moron.

Siwezi kushindana na mwanamke aliye chini ya...!
Kukaa kahama ni mishe zangu, nimezaliwa dar kusoma primary mpka Udsm.

Ona ulivyo kuwa mjinga kukaa dar unaona fahari wakati hata nchi jirani hujawahi kufika,Mwambie mume wa dada ako akupe hata 1m uende ukasabahi hata kenya hapo.Usikubali kufa kama mbwa bila exposure na kula kwa kuombaomba kwa mume wa dada ako.

Idiot
 

Halafu umejiunga 2021 unakuja hapa eti JF ya watoto.

Unaweweseka ukiwa wap.
Kwahyo siku hizi kupigana ni watoto?

Nyie ndo mnakabwa kutwa na hamjitetei vibaka wanawashika matter col wakimaliza kuwakaba mnaishia kulialia tu.

MWANAUME NI MAMBO MATATU

UJASIRI, UMILIKI NA NGUVU/AKILI
 
Matusi ni kosa la jinai, ilitakiwa umkamate umpeleke polisi, hapo ungekuwa "responsible citizen", nyie ndio mnaosababisha serikali inang'ang'ania kufundisha uraia na kujitambua badala ya kufundisha sayansi na kilimo
Wamemalizana kiungwana hapo
 
Dah ningeweka picha zangu nchi nilizo tembea Ila sio mtu wa showoff za kijinga halafu sitaki ID yangu ijulikana maana najulikana na wengi kutokana na mishe zangu@Gily unamsikia mshamba wa Muleba 😁eti nchi jirani😂anyways nikutakie jioni njema Mandonga mtu kazi au Ibrahim Classic
 

yani mtu kajiunga mwezi wa 4 mwaka huu eti anatuambia kuwa anajulikana na kwa mishe zake za kujiuuza[emoji23].

Dogo sikia kabishane na watoto wenzako Tuachie JF sisi wakongwe.

Huoni hapo verified Expert member.

We kweli ni douchbag
 
Mm mwenyewe nakusaka kichizi nshomile.. tukutane mbagala ground hapa zakiem nikutoe ngebe.
Nshomile wa Muleba

Haina noma mkuu.

Nimekuja kusalimia mke na watoto home Tabata chang’ombe kwa wiki nzima, Kabla sijageuka kahama nitakucheki tubadilishe mikono kadhaa na atakayeshinda aje atangazwe jf ila ukishaona mwenzako kakimbia hakuna kumkimbiza ili kumpiga zaidi.

Hata kukubali kusshindwa ni uanaume[mention]Sir Midabwada [/mention]
 
Safari hii tuweke na kiingilio acheni ujinga. Hiyo hela mjue. Ngoja nioganaizi mambo mkazichape Koko watu tuenjoi
 
Sijui, lakini hii miandiko miwili yote inafanana.

Ukizingatia jambo lililofanyika, ukalipima kwenye utimamu wa akili ya binadamu, unagundua ni fiction, na miandiko kufanana ndo unapigia kabisa mstari kua ni fiction.

Sio mbaya, amedramatize



Ukisoma between lines, hawa hawakupigana kwa sababu hizi ID mbili ni za mtu mmoja. Ni kwa macho ya kijasusi tu utagundua hili.
Ni drama maana hii ilishaletwa na ID nyingine, kisa hiki hiki cha kutukanana hadi PM then kupanga mapigano, ila kule anasema hawakupigana

Thread 'Niliwahi kukorofishana na member wa JamiiForums, ilipelekea mpaka tukapeana namba tukutane tuzichape mtu mbili tu' Niliwahi kukorofishana na member wa JamiiForums, ilipelekea mpaka tukapeana namba tukutane tuzichape mtu mbili tu
 
Katafute jukwaa la watoto we nyumbu
 
Hahahaaa but why pull out the blicky if you’ve agreed to throw hands?

Back in my day we threw hands. No gunplay, knives, or homies jumping in.

It was just one on one.
Wanasema "All is fair in love and war"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…