Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Can not be
Angalia pattern yakupokezana..

Kinachoshangaza, ID moja kongwe miaka 12. Swali ni, huyu mtu alijiunga akiwa mdogo sanaa..[emoji848] kiasi kwamba bado hajamature mpaka leo au ndo wajinga nao huzeeka..[emoji848]
Kuwa na id kongwe sio hoja, mimi bado kijana tu 30 years, nimeanza kutumia internet tangu 2006 huko, nimeijua jf tangu inaitwa jamboforum, nikajiunga 2011. Sina id zaidi ya hii yangu, mwanzo nilikuwa najiita Jembekillo nadhani unaujua uzi wangu wa kupeana likes, baadae nikabadili jina nikajiita Medecin ndio ninayoitumia sasa.

Huyo nshomile sijui simfahamu zaidi ya kukutana nae siku ile aliyoniotea kwa kunipiga nyundo mara nne kichwani na mara mbili mkononi. Kwa hiyo suala la multiple id ni hisia zenu kwamza siwezi kujinasibisha na huyo mshamba wa Kahama vijijini huko. Mimi nimezaliwa na kukulia mjini, natumia jf tangu wakati huo niko na miaka 14.
 
Sijui niwaite wajinga au wapumbavu yaani midume mizima eti inapanga ikutane ikapigane, kwanza mpaka mtukanane pm wanaume ndo nini wapuuzu wakubwa kama ni kweli natamani mmoja angekufa kabisa ili mtu akikaa jela ajutie muda wake wa kwenda kwenye upuuzi aseme laiti ningejua.
Mpumbavu wewe usiyeweza kujitetea, mtu akiingia anga zako inabidi anyooshwe, pambano la pili namweka chini mjinga wenu huyo.

Kuhusu kufa hilo ni jambo la lazima kwa kila mtu, kama ntakufa kwa kutetea uanaume wangu basi mimi ni shujaa.
 
Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Hii ni ID moja inatuchora
 
Umeeleza juu juu tu kuwa mlipigana, vipi nyie ndiyo wale walikwenda kushtakiana kwenye vyombo vya habari kuwa waliibiana Penseli?

Kweli kuna watu wana muda wa kuchezea, mna safiri mlipotoka hadi huko kote alafu mnakwenda kupigana bila sababu [emoji119]

Wenzenu wakina Francis Cheka au Twaha Kiduku wanalipwa kwa kupigana, nyie mnapigana bila viingilio [emoji2957][emoji119]
Hawajapigana, member mmoja tu kaamua kutucheza shere
 
Huna maisha bro usingepata muda wa kuchezea 😂 eti Gily tuache kuwaza pesa tukapigane kweli,halafu mie sio dume mie jike tena lilokamilika.
😆 kama ni ngumi za kulipwa sawa Ila kama si za kulipwa kazi bure
 
[emoji38] kama ni ngumi za kulipwa sawa Ila kama si za kulipwa kazi bure
Mkuu naomba wewe uwe shahidi katika pambano la pili, huyo kinyago aseme tukutane popote pale Dar then wewe uje kuwasimulia watu nini kitatokea, wanaodhani hapa ni mtu mmoja ndio watajua ukweli, kikubwa asije akabeba tena nyundo yake ile.
 
Hapa tatizo ni umri...... adolescent ages......mwanaume kamili aliekomaa kuhakiki..... hapigani na mwanaume mwenzake.......

Anapigana na maisha yake
 
Wasioijua tabata shule watakuamin ...lakin hyo shule imepakana na kituo Cha polisi kiasi kwamba mda wote polisi wapo hapo uwanjani ni ngumu kutokea ugomvi eneo Hilo haswa kwa mda uliosema ..acha kudanganya watu
Nilishtuka mapema
 
Nime note kitu kimoja. Huyu ni mtu mmoja ana ID Mbili...........


ID Moja ikiwa inajibu hoja flan kwa maelezo mengi, ID nyingine ina stop. ID hizo mbili hazifanyi kaz Kwa mkupuo
 
SIKUWA NA NYUNDO WEWE

SEMA NGUMI ZILIKUWA NZITO UKAHISI NI NYUNDO

WEWE SEMA LINI TUITE WAKINA [mention]Half american [/mention] [mention]Grahams [/mention] wawe mashahidi

NITAKUKANDA TENA ALAAA
Umejichongea[emoji28] mods wanakwenda kuunganisha akaunti
 
Umejichongea[emoji28] mods wanakwenda kuunganisha akaunti
Mods hawawezi kuniunganisha na huyo boya, hapa unaponiona mimi ni verified member means jf wana kitambulisho changu original kwa hiyo wakilinganisha na huyo mjinga hawawezi kuunganisha nae.

Halafu nyie fuatilieni maandiko yangu na ya huyo mjinga ndio mtajua tofauti, kila siku kazi yake kuandika mada za kujisifu kihaya, mimi sinaga ujinga huo. Niko hapa kusocialize na watu sio kujisifu.
 
ndo mimi aisee nimebadilisha Id acha uongo siku ile mimi ndo nilikupiga sana umeamua kujioshea kwa watu hukumbuki nilivyokung'ata meno
 
Foolish ages...... Adolescent ages.....!

Mwanaume timamu hapigani na mwanaume mwenzake......Anapigana na maisha yake mwenyewe...
 
Back
Top Bottom