Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Sijui niwaite wajinga au wapumbavu yaani midume mizima eti inapanga ikutane ikapigane, kwanza mpaka mtukanane pm wanaume ndo nini wapuuzu wakubwa kama ni kweli natamani mmoja angekufa kabisa ili mtu akikaa jela ajutie muda wake wa kwenda kwenye upuuzi aseme laiti ningejua.
 
Sijui, lakini hii miandiko miwili yote inafanana.

Ukizingatia jambo lililofanyika, ukalipima kwenye utimamu wa akili ya binadamu, unagundua ni fiction, na miandiko kufanana ndo unapigia kabisa mstari kua ni fiction.

Sio mbaya, amedramatize
 
Ukisoma between lines, hawa hawakupigana kwa sababu hizi ID mbili ni za mtu mmoja. Ni kwa macho ya kijasusi tu utagundua hili.
Wasioijua tabata shule watakuamin ...lakin hyo shule imepakana na kituo Cha polisi kiasi kwamba mda wote polisi wapo hapo uwanjani ni ngumu kutokea ugomvi eneo Hilo haswa kwa mda uliosema ..acha kudanganya watu
Nilidhani nimegundua pekeangu
 
Duh mpaka anabeba nyundo alitaka kukua au?? Hahaha nyie mnavutuko na wewe Iko sime vip
 
Duh mpaka anabeba nyundo alitaka kukua au?? Hahaha nyie mnavutuko na wewe Iko sime vip
Mimi sime hili ni kwa ajili ya kujihami, huwa linakaa chini ya seat ya ist yangu, ila yeye alikuja na nyundo ili akizidiwa anipige nayo ma kweli mwanzo nimtight kwelikweli ndio akanipiga nayo.
 
Ila wewe jamaa inaonekana mkorofi sana, Yani kweli unaweza panga mkutane kwa ajili ya kupigana tu pasipo chanzo chochote, Unfortunately mimi sina hulka ya ugomvi hata sikumbuki kama nilishagombana na mtu hadi kufikia hatua ya kupigana...
Hizi scenerio zimetokea several times hapa JF
Cc. NALIA NGWENA na yeye amewai kupanga occasion kuzichapa na mdau wa humu JF

😊😃🤓🤓
 

Hata wewe natakiwa nkukande vilivyo mpka mdomo huo uingie ndani.

Dume zima unajiita norah
 
Can not be
Angalia pattern yakupokezana..

Kinachoshangaza, ID moja kongwe miaka 12. Swali ni, huyu mtu alijiunga akiwa mdogo sanaa..[emoji848] kiasi kwamba bado hajamature mpaka leo au ndo wajinga nao huzeeka..[emoji848]

Watu kama nyie ndo huwa nawakanda vilivyo.

Toa komenti inatosha ila kwanini udhihaki?

Wewe ni mpumbavu sana we jamaa.
 
Huna maisha bro usingepata muda wa kuchezea [emoji23] eti Gily tuache kuwaza pesa tukapigane kweli,halafu mie sio dume mie jike tena lilokamilika.

unaweza kuta hapo ulipo umekaa kwa dada ako aliyeolewa unatype mikono juu unasubiri dada ako ajunjwe ili na mume wa dada ako aiombe aito.mbe na yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…