Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkuu naomba wewe uwe shahidi katika pambano la pili, huyo kinyago aseme tukutane popote pale Dar then wewe uje kuwasimulia watu nini kitatokea, wanaodhani hapa ni mtu mmoja ndio watajua ukweli, kikubwa asije akabeba tena nyundo yake ile.
niko radhi kuliandaa freely ila lazim mkubali kusign
 
Mkuu naomba wewe uwe shahidi katika pambano la pili, huyo kinyago aseme tukutane popote pale Dar then wewe uje kuwasimulia watu nini kitatokea, wanaodhani hapa ni mtu mmoja ndio watajua ukweli, kikubwa asije akabeba tena nyundo yake ile.
Huna kazi za kufanya eeeeh??
 
niko radhi kuliandaa freely ila lazim mkubali kusign
Mkuu andaa mkataba huo me nasign mapema tu, nina hamu sana na jamaa huyo nilipe kisasi, ila mkataba useme wazi kuwa tunaenda kupigana kwa mtindo upi kama ni boxing, kick boxing au mixer na silaha maana siku ile tulikubaliana tunapingana ngumi ila yeye akavunja sheria akanipiga na nyundo.
 
unaweza kuta hapo ulipo umekaa kwa dada ako aliyeolewa unatype mikono juu unasubiri dada ako ajunjwe ili na mume wa dada ako aiombe aito.mbe na yako
Masikini weeee unafaaa ujiite Mjinga wa Muleba 😂sio Nshomile na maisha yangu biashara yangu familia yangu sio mpuuzi kama wewe umedandia malori ya kutoka Kahama Isaka kuja Dar kupigana imbecile unapigana bila pesa heshima my foot hata Mandonga analipwa kwa kupigwa 😂
 
Jambo Jambo?

Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.

Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM kwa matusi kedekede mpka tukapanga kuonana ili tuzichape na tukawekeana masharti ya kutokuenda na mtu pale tunapokutana.

Jamaa kweli alipanga location maeneo ya Tabata shule uwanjani na mida ya kukutana ilikuwa ni saa 12 jioni na tuzichape baada ya watu wa mazoezi n mpira kumaliza ratiba zao.

Ila kwa machale nilisogea pale saa 10 masaa mawili kabla ya kukutana ili nihakikishe kama hajabeba watu wengine na kunidhuru.

Kweli Jamaa mida ya saa 12:06 alisogea na kigari chake aina ya IST pearl white na nilimjua maana kila mtu alimwambia mwenzake atavaa vipi au ana usafiri gani ili iwe urahisi kwa kutambuana,Sasa yule Jamaa sijui Alijua pengine atakutana na mtu mwenye kitambi na miwani na boyaboya i don know ila ni kama alipigwa na butwaa baada ya kuniona na aliniona kirahisi maana nilisimama katikati ya uwanja namuangalia upande wa lami anakotokea.

Alivyofika akauliza wewe ndo nshomile nikamjibu ndio na haraka nikamwambia Hapa tunazichapa na atakayezidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza wala kufuatana wala polisi wala nini. Akajibu Poa.

Jamaa alikuwa kavaa traki nyeusi na jezi ya Arseno juu mimi nilikuwa nimevaa kadeti na shati la draft tu.

Kwa haraka haraka Tulianza kuzichapa hapohapo nilimtamdika ngumi 6 zikapenya 4 na 2 aliziblock huku yeye akirusha ngumi 3 na ikapenya moja.Jamaa akaanza kuhema sana kurusha ngumi 3 tu, nilimtime nikampa Upper cut 1 ambayo ilimpeleka chini na nikamsubiri ainuke na alipoinuka nili “swing”na Left Jab ya nguvu iliyompeleka chini mara ya 2 na kuanza kuvuja damu puani.

Mlinzi wa Shule ya Mtambani (jirani na tabat shule) alitoka anapiga mayowe kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi, wakati nahangaika kumjibu yule mlinzi jamaa akaanza kukimbia kuelekea lami kwenye gari lake alilopaki, nikijua anakimbia mazima kumbe kaenda kuchukua Sime kwenye gari na akaanza kuja kuelekea upande wangu kunikata, nilihamaki lakini nikajituliza ili nimzime nalo lasivyo anaweza kunidhuru.

nilimpokonya sime na mbinu ya Sei-Wong mi kwa umaridhawa naikalichukua sime bila yeye kujua namna nilivyolipora halafu nikamzima na Left swing back kick iliyompeleka chini na safar hii hakuinuka na alianza kulia kilio kikubwa akiomba msaada kwa watu.

Walinzi wakaitana wakaanza kuja upande wetu, nikaona jau hii nikachora mpka road na kudaka boda mpka njia panda chang'ombe.

Toka hapo [mention]Medecin [/mention] hajibu PM zangu, kama yumo akome na siku nyingine akirudia niko free kumkanda tena.

* Usiache kupiga pusha ups walau 100 na squats 50 kwa siku kwa mwanaume, siyo unakulakula na kuwa na likitambi la hovyo.

TUJIFUNZE KUHESHIMU WATU, KAMA HUWEZI UGOMVI TULIZANA.

AVOID EXPECTATIONS TO AVOID DISSAPOINTMENTS.

Nshomile,
kwa sasa Dar es Salaam.
😂😂😂😂
 
Huna kazi za kufanya eeeeh??
Kazi ya kufanya ninayo, unadhani hii ist niliyoenda nayo tabata kupigana ilikuwa ya shemeji? Mimi nachotaka kulinda heshima yangu, sitaki mtu anidharau hasa asiyenijua. Huu ujumbe uwafikie wote humu wanaowadharau watu kisa wako nyuma ya keyboard, sisi wengine ugomvi hauishii jukwaani, nakutafuta na nakupiga ndoga za kutosha kulinda heshima yangu.
 
Kumbe anachangamsha Kijiwe tu [emoji28][emoji119]
Jf imekuwa na watoto wengi, waanzisha nyuzi na wachangiaji wote vijana wadogo.

Sasa huyu ana 30yrs ndo mkubwa saana huenda wachangiaji ni wadogo zaidi.

Zamani jf ilitumiwa na watu wazima, mashuhuri na wenye fikra nzito usingekutana na utoto unaoendelea hapa
 
Nime note kitu kimoja. Huyu ni mtu mmoja ana ID Mbili...........


ID Moja ikiwa inajibu hoja flan kwa maelezo mengi, ID nyingine ina stop. ID hizo mbili hazifanyi kaz Kwa mkupuo
Zote zina tusi moja, zote zina tabia ya kuandika maelezo marefu na zote hazina hasira kwa kilichotokea ni as if walikutana kushindana kuogelea

Upuuzi
 
Kazi ya kufanya ninayo, unadhani hii ist niliyoenda nayo tabata kupigana ilikuwa ya shemeji? Mimi nachotaka kulinda heshima yangu, sitaki mtu anidharau hasa asiyenijua. Huu ujumbe uwafikie wote humu wanaowadharau watu kisa wako nyuma ya keyboard, sisi wengine ugomvi hauishii jukwaani, nakutafuta na nakupiga ndoga za kutosha kulinda heshima yangu.
Embu achana na ujinga endelea na maisha yako, heshima pesa tu.
 
Jf imekuwa na watoto wengi, waanzisha nyuzi na wachangiaji wote vijana wadogo.

Sasa huyu ana 30yrs ndo mkubwa saana huenda wachangiaji ni wadogo zaidi.

Zamani jf ilitumiwa na watu wazima, mashuhuri na wenye fikra nzito usingekutana na utoto unaoendelea hapa
Ni kweli, naona ukuaji wa teknolojia na urahisi wake ndiyo umefanya Vijana wengi kuwa na access na mitandao.
 
Jf imekuwa na watoto wengi, waanzisha nyuzi na wachangiaji wote vijana wadogo.

Sasa huyu ana 30yrs ndo mkubwa saana huenda wachangiaji ni wadogo zaidi.

Zamani jf ilitumiwa na watu wazima, mashuhuri na wenye fikra nzito usingekutana na utoto unaoendelea hapa
Kwa hiyo kwa umri wangu huu wa 30 yrs, unahisi umenizidi nini zaidi ya uzee. Umeanza kutumia jf mwaka juzi baada ya kununua tecno ya touch wakati mimi nimeanza kutumia internet wakati huo tunaingia mitandao ya the grid, mig n.k.

Hapa kwangu ukitaka madini utapata na ukitaka ngumi pia utapigwa vilevile inategemea umekuja vipi, ukijileta kama mtoa mada nakukalisha.
 
Back
Top Bottom