Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Unajikiaje kuwa mtu mzima, halafu unamiliki akili za kitoto?
Jibu hoja.

Kiufupi TEC wanasema maaskofu wakatoliki wanapinga mkataba huo wa Tanzania na Dubai na wanataka sauti ya wengi isikilizwe wakiwa na maana asilimia kubwa ya Watanzania wanaungana na kauli hiyo ya TEC. Mkataba na Serikali wananchi gani walishirikishwa?
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Waislamu waislamu waislamu
 
Mkataba wa Roliondo ulishilikishwa., Meremeta ulishilikiswa, IPTL na scrow ulishilikiswa., hata huu wa waarabu usingevuja ungejuwa.

Mkataba wa Roliondo ulishilikishwa., Meremeta ulishilikiswa, IPTL na Escrow ulishilikiswa., hata huu wa waarabu usingevuja ungejuwa.
Wambie Maskofu
 
Jibu hoja.

Kiufupi TEC wanasema maaskofu wakatoliki wanapinga mkataba huo wa Tanzania na Dubai na wanataka sauti ya wengi isikilizwe wakiwa na maana asilimia kubwa ya Watanzania wanaungana na kauli hiyo ya TEC. Mkataba na Serikali wananchi gani walishirikishwa?
Wengi wasikilizwe maana yake TEC wamefanya research wakagundua wengi wapo upande upi, ndio wakaja na maneno; "Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu"

Wewe mswahili mfia dini na wenzako naona mnalowesha server tu kwa machozi yenu.
 
Walichoshindwa kufanya wakati wa Ukoloni wamefanikiwa kwa urahisi sana kwenye Ukoloni Mamboleo...; Watu mnagombana kwa Imani zenu zilizokuja na Merikebu; Hamuangalii ni nini kinafanyika bali ni nani au kwa mkono wa nani anakifanya !!!

Kweli Divide and Rule.....
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Ajabu hawa jamaa tec wafungue chama cha siasa hawana jipya, tunawajua ni branch ya chadema watulie dawa iwaingie
 
Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
kosa la nan hapo serikali au TEC , je wakukuambia ww ni serikali au TEC ? MBONA UNAONESHA UTOTO WA HALI YA JUU , BADO UNATHIBITISHA MADHAIFU YA SERIKALI YAKO HLF WKT HUO HUO UNAIUNGA MKONO , MIKUBWA JINGA NI MING SN SIKU HZ
 
Jibu hoja.

Kiufupi TEC wanasema maaskofu wakatoliki wanapinga mkataba huo wa Tanzania na Dubai na wanataka sauti ya wengi isikilizwe wakiwa na maana asilimia kubwa ya Watanzania wanaungana na kauli hiyo ya TEC. Mkataba na Serikali wananchi gani walishirikishwa?
TEC wametoa tamko kuhusu mkataba wenu wa kimangungo.

Na nyinyi kama wivu unataka kuwaua kwa sababu tu serikali imeingia ubia na taasisi za dini kwa lengo la kuboresha huduma za afya kote nchini, nendeni mkawaambie Bakwata nao waje na tamko la kupinga! Na siyo kulia lia tu hovyo kama watoto wachanga.
 
Kwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Usisahau kurejesha chuo cha Tanesco Morogoro.
 
TEC inafahamu kwamba mwaka 2014 maaskofu wote Katoliki Tanzania akiwemo Kardinali Pengo na wasaidizi wake walipokea mamilioni ya shilingi pesa taslimu na nyingine kwenye akaunti zao kama Askofu Nzigilwa (milioni 80 benki) na Kilaini (milioni 40 benki). Inajua fedha hizo zilitoka katika kampuni yenye makando kando ya rushwa ya kihistoria Tanzania. Wananchi wengi walipiga kelele lakini fedha hizo hazikurudi wala hakuna kumbukumbu za kanisa katoliki kupinga na kusema Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu.
 
Back
Top Bottom