Mzee Mwinyi alikuwa ikulu wakati huo, nenda kamchape makofi kule Zanzibar upate laana mwanaharamu wewe.Hujui chochote punguani wewe yaani serikali ndiyo iliomba kuipa pesa kanisa? Unajua waliohusika na huo mkataba?
kosa la nan hapo? Ndugu yenu mwinyi au TEC , kwan kpnd TEC wakijenga hospitali zao walijua kuwa serikali itaweka huo mkatabaWakikujibu nishtue!
Jibu hoja.Unajikiaje kuwa mtu mzima, halafu unamiliki akili za kitoto?
Waislamu waislamu waislamuWanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akiona hii akikumbuka na ule ushahidi wake wa kutengeneza studio, anaenda dukani kununua pampas..Dr Slaa yupo nje
Mkataba wa Roliondo ulishilikishwa., Meremeta ulishilikiswa, IPTL na Escrow ulishilikiswa., hata huu wa waarabu usingevuja ungejuwa.Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
Basi ndiyo tunataka uvunjwe.kosa la nan hapo? Ndugu yenu mwinyi au TEC , kwan kpnd TEC wakijenga hospitali zao walijua kuwa serikali itaweka huo mkataba
Mkataba wa Roliondo ulishilikishwa., Meremeta ulishilikiswa, IPTL na scrow ulishilikiswa., hata huu wa waarabu usingevuja ungejuwa.
Wambie MaskofuMkataba wa Roliondo ulishilikishwa., Meremeta ulishilikiswa, IPTL na Escrow ulishilikiswa., hata huu wa waarabu usingevuja ungejuwa.
Wengi wasikilizwe maana yake TEC wamefanya research wakagundua wengi wapo upande upi, ndio wakaja na maneno; "Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu"Jibu hoja.
Kiufupi TEC wanasema maaskofu wakatoliki wanapinga mkataba huo wa Tanzania na Dubai na wanataka sauti ya wengi isikilizwe wakiwa na maana asilimia kubwa ya Watanzania wanaungana na kauli hiyo ya TEC. Mkataba na Serikali wananchi gani walishirikishwa?
Ajabu hawa jamaa tec wafungue chama cha siasa hawana jipya, tunawajua ni branch ya chadema watulie dawa iwaingieWanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
kosa la nan hapo serikali au TEC , je wakukuambia ww ni serikali au TEC ? MBONA UNAONESHA UTOTO WA HALI YA JUU , BADO UNATHIBITISHA MADHAIFU YA SERIKALI YAKO HLF WKT HUO HUO UNAIUNGA MKONO , MIKUBWA JINGA NI MING SN SIKU HZLini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
TEC wametoa tamko kuhusu mkataba wenu wa kimangungo.Jibu hoja.
Kiufupi TEC wanasema maaskofu wakatoliki wanapinga mkataba huo wa Tanzania na Dubai na wanataka sauti ya wengi isikilizwe wakiwa na maana asilimia kubwa ya Watanzania wanaungana na kauli hiyo ya TEC. Mkataba na Serikali wananchi gani walishirikishwa?
Usisahau kurejesha chuo cha Tanesco Morogoro.Kwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Agha Khan ni NGO?Ila vijana wa MUM mmemezeshwa chuki dhidi ya Kanisa hadi raha.Nenda kashike mtutu Kibiti mwambaSerikali isitishe utaratibu wa kutoa mitaji ya kuendesha hospital za kanisa,mbona agha Khan hospital haipewi hizo pesa!?
Wewe hujui chochote endelea kushikiwa akili na Mbowe.Weka ushahidi hapa wa TEC kupewa bilioni 36 kila mwezi na serikali, badala ya kulia lia kama kitoto kichanga.
Ukikuwa utajuwa.., naona bado unanukia maziwa.Wambie Maskofu
Serikali iache kulipa masheikh mishaharaSerikali iache kuzipa mitaji hospital za kanisa
Ni kama tu ilivyo kwa Bakwata na CCM siyo!Ajabu hawa jamaa tec wafungue chama cha siasa hawana jipya, tunawajua ni branch ya chadema watulie dawa iwaingie