Kwani uwongoMama kawatuma muwajibu TEC halafu mnakuja na hoja kama hizi loh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uwongoMama kawatuma muwajibu TEC halafu mnakuja na hoja kama hizi loh
Alafu sasa hawanajema Wala shukran hawa jamaa atakama Serikali itawasikiliza Bado itaona haifai hawa niwakuwa puuza tu ni mijitu milafi na wabinafsi sana wamejiweka kuwa wao ni daraja la kwanzaYaani wao wasipounga mkono wana athari gani ? Wasipounga mkono wao kwani tatizo ni nini? Yaani TEC huu ukuu wa kujifanya wanaweza kuamua mambo kwa ajili ya taifa hili aliwapa nani?
Si kweli mbona mengi tu hayana shidaHilo ndio tatizo kubwa kwa upande wa wakristo.
jambo lolote lenye kuonekana litaingiza pesa hawataki kuona linaongozwa na muislamu yyt.
Yaani bora hilo jambo lifie mbali kuliko kuongozwa na Muislamu.
Hii tabia wanayo wakristo toka tumepewa uhuru mbuzi na waingereza.
Kwa nini serikali isijiimarishe kwa mabilioni hayo?Ndugu yangu Ritz ivi unataka mikataba yote ya nchi hii iwekwe hadharani?
Jua Nia ya kwanza ya serikali ni kutoa huduma Bora za kijamiii kama afya,maji na elimu.
Tec inajulikana anamikiki hospitals nyinyi na hivyo kuwa mbia muhimu kwa serikali katika kuimarisha huduma za afya.
Kwa hiyo sioni shida yoyote kwa serikali kushirikiana na tec katika kutoa huduma Bora za afya kwa wananchi.
Hata ovyo pia mkataba huu ni within btn tanzanian wenyewe kwa hiyo Kila kitu kinaweza kuwa settled kwa kuzingatia utaifa.
Lakini mikataba na foreigner ukiwa mbaya hakuna utaifa hapo ni full aggressive
Askofu wa majimbo kuu na papa pale romaAlie kufunza hiyo tabia ya kukuna ni nani kati mwemedi na allah.
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?
Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.
Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.
Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Hahahaha
Kwa nini sasa
Mmekamatwa pabaya
Hahahaa! Rudisheni pesa zote za MoU mbwa nyieNa chuo chetu cha TANESCO mlichopewa na Benjamin Mkapa Mkatoliki mkirudishe mnachojua kufuga majini tu
ni serikali yako ndio iliomba wala hao waroma hawakuwa na mipango ya kuhudumia kama referral , ss waislam ifikr muda akili ziwe zinafny kaz , ilaumu serikali yako ambayo inarudia kosa lile lile za kuish kiomba omba , badala wajenge hospital wao wanapeleka hospitalin za private na badala serikali waboreshe bandari wao wanaenda kugawa bandari , HIYO NI SERIKALI USILAUMU WATU WENGINE
Hujui chochote punguani wewe yaani serikali ndiyo iliomba kuipa pesa kanisa? Unajua waliohusika na huo mkataba?
Aupate wapi?!
Waswahili siku zote ni umbea tu, haijalishi awe wa kike au kiume!.
TEC inafahamu kwamba mwaka 2014 maaskofu wote Katoliki Tanzania akiwemo Kardinali Pengo na wasaidizi wake walipokea mamilioni ya shilingi pesa taslimu na nyingine kwenye akaunti zao kama Askofu Nzigilwa (milioni 80 benki) na Kilaini (milioni 40 benki). Inajua fedha hizo zilitoka katika kampuni yenye makando kando ya rushwa ya kihistoria Tanzania. Wananchi wengi walipiga kelele lakini fedha hizo hazikurudi wala hakuna kumbukumbu za kanisa katoliki kupinga na kusema Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu.
Kwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Nipe mfano mmoja tu.Si kweli mbona mengi tu hayana shida
Kijana wa kiume kupiga picha ukaelekea huko unakowenda kisha ukaweka kwenye Avatar yako sio jambo jema.Mteteeni Ustadhati wenuuu mkuu mambo magumuu
Jibu kwanza hoja iliyopo mezani ya dpwLini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
Unasumbuliwa na udini,mbona Zanzibar haina raisi au mbunge Mkristo Hana mmoja Wala kiongozi yeyeto,na hakuna mwenye chuki Hilo.Nipe mfano mmoja tu.
Mpk wizara zote nyeti wanapambana mpk mwisho asilae muislamu
Wizara ya elimu ndio imewaumbua kabisa mpk wakaamua kusema wazi kuwa Hata iweje muislamu hawezi kusimamia elimu Tanzania. Wakampiga vita kigoma malima na kabla ya kuachia madaraka akaamua kubadili system jumla.
Akaondoa majina kwenye mitihani ya taifa akaweka namba ili Wakristo wasifelishe kila jina la kiislamu.
Haya yako wazi kabisa Tanzania.
Waislamu hawana tamaa ya madaraka hata siku moja.
Wazee wetu ndio waliomuweka Nyerere kwenye kiti kwa roho safi.
Wakamsapoti kwa kila hali.
kanisa KATOLIKI lilipoingia likaanza kampeni ya kuondoa muislamu mmoja mmoja serikalini.
Na muislamu anaebaki ni yule ambae hatopinga chochote kitakachosemwa na KANISA.
HIO NDIO SHIDA YA WAKRISTO.
ROHO MBAYA SANA. hali ya kuwa sisi wote ni watanzania. Hakuna mwarabu wala mzungu hapa.
Basi Chuki tu iko ndani ya mioyo yao.
tuseme tuu ukweli masheikh wengi hawana akili hata kidogo.Wanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Zanzibar ni nchi tofauti kabisa na Tanganyika.Unasumbuliwa na udini,mbona Zanzibar haina raisi au mbunge Mkristo Hana mmoja Wala kiongozi yeyeto,na hakuna mwenye chuki Hilo.
Wawafelishe ili iweje sasa.
Mi nashangaa sana kwa wakristo . Kila mara mnadai Waislamu wanafuga majini.Na chuo chetu cha TANESCO mlichopewa na Benjamin Mkapa Mkatoliki mkirudishe mnachojua kufuga majini tu