Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

aaah mama DAV UMETISHA
 
Hivi kwa nini nchi nyingi za kiarabu zina pigana wakati dini ni moja nii kipi hasa kinachowagombanisha?
 


Take 5!!!!!


Una akili sana wewe; nitafute nina zawadi yako.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Take 5!!!!!


Una akili sana wewe; nitafute nina zawadi yako.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

hahahaa asante mizambwa. umeonaeee?
ila na wewe pia unazo akili nyingiiiii ndio maana umeuona ukweli na ukaukubali

SASA NIKUONE WAPI KWA HIYO ZAWADI??
 
Napatikana DSM; sasa tatizo ni kufahamiana kwani huenda tunaonana lakini haya majina yetu tunayotumia humu ni balaa tupu.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!!
 
Napatikana DSM; sasa tatizo ni kufahamiana kwani huenda tunaonana lakini haya majina yetu tunayotumia humu ni balaa tupu.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!!

Ni inbox kwako kwako ni mtaa gani mimi nitakuja kuichukua.....
 
Wamelogwa na waarabu waliowatoa kwenye dini ya mababu zao na kuwaletea dini yao, NO KUWAJENGEA SHULE, HOSPATALI NA N.K. Wamewafanya WATANZANIA WA PWANI KUBAKI NA MALAMIKO KILA KUKICHA KWAMBA WANAONEWA, WANAFELISHWA NA NECTA wakati hata madrasa wanashindwa kusoma kiarabu.
 
Memorandum ilifanywa kwa siri mpaka ilipo fichuliwa na wanaharakati wa kiislam ,serikali walikua wakikanusha kuwepo kwake mpaka ushahidi ulipotolewa.
Hakika katika nchi yenye madhehebu ya dini tofauti ambayo yamekumekuwa yakisababisha misuguano ya hapa na pale basi kufanya makubaliano au mikataba kama hii inaweza kuleta matatizo makubwa ya kutoaminiana basina ya serikali na waumini wa kislam na wakristo.ukweli hili lilikua ni kosa
Waislam wanaiona serikali yao imefanya upendeleo wa wazi kwa madhehebu ya kikristo,
NINI CHA KUFANYA
serikali makini yenye kufata katiba na kulinda misingi ya umoja walio jiwekea inatakiwa ifanye mambo yake bila ya upendeleo na "all inclusive" isiokua na upendeleo na viongozi wake wasiendeshe shughuli za serikali kwa misingi ya dini ,
basi kwa vile serikali inatambua umuhimu wa dini katika kuleta maendeleo ingeandaa kitu kama 'general policy on religious institutions and assistance'
hii ndio ingekuwa white paper kwa ajili ya kuzisaidia taasisi za dini kutoa huduma, mfano kama hii memorandum ingegeuzwa na kufanyiwa marekibisho ikawa sera ya kitaifa kwa dini zote,
na si vibaya serikali kuingiza katika bileteral talk kuomba misaada kwa ajili ya taasisi za dini.
umuhimu ni uwazi na kufanya haya kwa maslahi ya nchi, ikijulikana wazi faida itayopatikana ni kwa ajili ya taifa na sio kwa ajili ya taasisi moja kujifagilia dhidi ya mwenziwe.
leo tukiwa na white paper kama hii tungeona wakati rais labda alipoenda Oman juzi labda bakwata wangefatana na rais na wao wangeondoka na project ambayo serikali inairidhia , naamini ingetusaidia sana ,
ama Rais anapokwenda Germany angeweza kufatana na wachungaji wa kanisa nao pia wangekuja na project zao labda ya kujenga hiospital kule sumbawanga , basi naamini chance ya kupata ni kubwa.
Hivyo hata katika bilateral agreement serikali ingeingiza mipango na project za taasisi za dini .zingesaidia sana kuleta maendeleo katika nchii hii, haya lakini yanataka umakini na Utanzania kwanza.

hivyo ni jambo la kuimbia serikali kwamba ilichofanya sio kibaya lakini ni cha upendelo, hivyo ifute hii memorandum na badala yake itengeneze national policy ama sera kuhusu misaada kwa taasisi za dini
kwa waislam
Na upande wa ngugu zangu waislam , taasisi zetu ukweli zinahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa ya kiutendaji.taasisi zetu nyingi zinaendeshwa na wanaharakati , sasa ni wakati wa wasomi wa kiislam kujitokeza na kupewa nafasi za kuongoza taasisi hizi.maulama na masheikh washughulike na mambo ya kiroho na propagation dini.mambo ya maendeleo wapewe wasomi .
Ama baada ya hapo tunaweza kuweka pressure au kuwa na constructive argument ili serikali iweze kubadili hii memorandum na badala yake itengeneze sera ya taifa kuhusu misaada ya taasisi za dini.
bakwata ambao mie binafsi ni mmoja kati ya wanaolipinga sana kutokana na uhafidhina na ubadhirifu wake basi at least wakati huu ambapo waislam wengi wamekosa na imani nalo likubali kubadilika.
Mpaka hapo tutapobadilika hakika kinyume chake tutakuwa tunapiga kelele ambazo hakuna ataetusikiliza
 

Rafsanjan umesoma au umesimuliwa historia ya nchi hii? Mimi nimesoma History hadi chuo kikuu sijawahi kusoma wala kusikia waislamu walileta uhuru wa Tanzania, hizo hadithi mnazopeana kwenye mihadhara yenu ina malengo maalum. Nenda shule kasome factors na juhudi za kugombea uhuru Tanganyika, hata ukiweza google utapata majibu. Ukikuta kuna role of muslims njoo tena jamvini. Tuliopo humu tumesoma huwezi tudanganya
 
Sioni ni namna gani waislam wamenyimwa haki ya kupata elimu au huduma za afya na so called MoU. Hivi mkienda KCMC kutibiwa mnaulizwa dini zenu? Mnatibiwa kwa kuangalia dini zenu?
 
Document ninavyoicheck ni feki. Haina muhuri hata mmoja, hiki ni kitu kisichowezekana.
Sijaridhika na akili yangu bado haijakubali kuwa hiki ni kitu cha kweli. Maana kama ilikuwa ni muhimu MoU ingefanywa kati ya serikali na Private Health and Education Providers (watu binafsi, makanisa, misikiti na tasisi zinazotoa huduma hizo kama CSOs) badaala ya kanisa. Kwa sababu anayetoa huduma hizo siyo makanisa pekee bali vyombo mbalimbali.

Quality
 

Mama D,

Kwanza nakupa pole sana kwani umedandia jambo pasi na kulijua chanzo na mwelekeo wake. lakin kutokana na ushabiki na papara zako umefikia kutoa suluhisho bila kujua unazungumzia nini.

Kwa kukusaidia Mama ni kuwa PESA za MoU zinatumika kama admin Cost na sio Ops Cost. Kwa lugha nyepesi zinatumika kama kulipia pango la majengo na sio KUENDESHA hospital.

Kumbuka kuwa kanisa limejikita na kuwekeza katika Majengo ya Hospital na sio HOSPITAL kwani hospital ni pamoja na timu ya wataalamu na vifaa vyote vya hospital na maabara.

Vile vile unatakiwa kujua toka MoU hiyo mlipoingia mwaka 2002 mpaka leo ambapo ni more than 20yrs na kila mwaka Makanisa yanapokea 91 Billion kila mwaka sawa na kujenga hospital nne za level ya wilaya kama Ile ya Mwananyamala au Amana ilala na chuo Kimoja.

Fikiria kwa miaka 20 mngekuwa na hospital 80 na vyuo 20. nafikiri kila wilaya ingekuwa na hospital yake na kuachana na zile walizopanga za kanisa.

Kumbuka moja ya SERA za nchi yenu na kuachana na kukodi bali kujenga vyake. Mfano wamenunua jengo lao la ubalozi huko Italy na hivi sasa wanakusudia kujenga jengo lake hapa OMAN. sasa kwanini wasiendeleze uzi huo huo hata katika Hospital na Vyuo.

Nina wasi wasi na wachumi wenu wa ndani.

mama D, unasifia kodi zako mwenyewe. Nina imani nje ya hiyo MoU hospital hizo zitajiendesha kama inavyojiendesha Aga khan au Hindu mandal na kwa wenye uwezo watatibiwa wengine wote mtakuwa mnatibiwa kwenye hospital za Serikali ambazo zitakuwa zipo nchi yenu yote.

Poleni sana

 

acha hasira na jazba na jifunze kuwa mkweli kwa nafsi yako.....
 
Humo imetajwa kuwa german goernment hutoa support.....sasa mbona hatuoni oman kwa mfano ikiamua kujitolea bila mashart mpaka ujiunge oic..............acheni kulalamika kitoto
 
Acha kulalama wewe sheria ya Kodi imebadilishwa mara ngapi. Unajua hiyo misamaha ipo kisheria na mtu yeyote anaweza kutumia hiyo fursa, Tafuta Tax Consultanat akupe namna ya kutumia hizo fursa ambazo wanatumia Serena hotel barick etc.
 
acha hasira na jazba na jifunze kuwa mkweli kwa nafsi yako.....
Mama D.

kama unaelewa moja ya kujiunga hapa ni kutaka kujifunza na kueleweshana. sasa kwa kunisaidia mimi na wengine wenye uelewa kama wangu TUNAKUOMBA UWEKE UKWELI NA KUKOSOA MAMEMO ANGU HAYA CHINI
 

Sasa bwanyenye wetu, hembu tuambie sababau ya msingi ya serikali kupania kujitenga na kanisa zaidi ya kukimbizana na vitu ambavyo hakuna pa kupanga wala kukopa?Is it kwa vile waislam hawataki hilo?

Kwa taarifa yako serikali huokoa hela sana kama wanaweza punguza vitu vinavyohitaji mainteanance kwa kiais kiwezekanavyo.Hata makampuni yaliyo na ufanisi hayamiliki magari ya usafirishaji kwani hasara ya kuyatengeza na ongezeko la mianya ya wizi huwa ni mikubwa sana kampuni inapojihushisha.Serikali kumiliki hospital ni kufungua mianya ya ufisadi ktk matengenezo, na mambo mengine.

Seriklai ingeweza toa tender kwa taasisi na watu binafsi wengi tuu wajenge majengo ya shule na hospital halafu serikali ipange.sasa hivi hata mabank hayana majengo ya kudumu.Makampuni mengi tuu hukodisha magari huku wakiwa na mkataba wenye vipengele vinavyombana mmiliki wa magari kuhakikisha kuwa saa yoyote kuna magari kwa shughuli huku yakiwa katk hali nzuri.
 

kwa kuunganisha dot..mimi nimejihakikihsia kuwa walikuwa kikwazo kama leo walivyo CUF, Zitto na wengine kama akina Ponda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…