aaah mama DAV UMETISHATUMIA AKILI YA KUZALIWA KUCHAMBUA MAMBO MKUU, HATA KAMA DARASANI HUJAENDA TAFAKARI MoU ISINGEKUEPO HAWA WAKRISTO WAKAJITOSHELEZA NA KUTUMIA HIZO HUDUMA WENYEWE HALI YETU INGEKUAJE???
TUACHE UNAFKI BANA KWANZA ZAIDI YA 90% YETU WAISLAM TUNAPONEA KWENYE HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU BORA KWA WAKRISTO
HIVI KWANINI SISI WAISLAM HATUNA SHUKRANI???
HOSP ZA WENZENTU PERAMIHO, KCMC, BUGANDO HOSP PAMOJA NA ST AUGUSTINE UNIVERSITY, TUMAINI UNIVERSITY NA VINGINE ZILIJENGWA WAKIWA NA WATAALAMU WAO AMBAO WANGEWATOSHELEZA...LAKINI HAWAKUTUBAGUA, WALITUHUDUMIA WOTE BILA KUANGALIA KAMA MIMI NI ASHA AU ANNA!
SERIKALI KWA KUONA MCHANGO WAO MKUBWA IKAAMUA KUSIGN MoU ILI KUBORESHA HUDUMA ZILIZOKUA ZINATOLEWA KWA WATANZANIA WOTE !!!!
JE MLITAKA NA SISI TUSIGN MoU KWA KIPI TULICHOKUA NACHO AMBACHO KILIKUA NA MANUFAA KWA JAMII YOTE BILA KUJALI ITIKADI??? NKISEMA MADRASA MTAKUA MNAKOSEA NDUGU ZANGU
ISITOSHE SASA TUMEZAWADIWA CHUO KIKUU AMBACHO ILKUA CHUO CHA HUDUMA ZA UMMA NA SIJASIKIA WAKRISTO WAKILALAMA KAMA SISI
KWANINI TUNAKUA NA ROHO MBAYA NA UNAFKI KIASI HIKI??? LAITI WAKRISTO WANGETUBAGUA SIJUI TUNGEKUA WAPI??
DAH ALIYETULOGA AMEKUFA SIJUI???!!!!!
Napatikana DSM; sasa tatizo ni kufahamiana kwani huenda tunaonana lakini haya majina yetu tunayotumia humu ni balaa tupu.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!!
Wamelogwa na waarabu waliowatoa kwenye dini ya mababu zao na kuwaletea dini yao, NO KUWAJENGEA SHULE, HOSPATALI NA N.K. Wamewafanya WATANZANIA WA PWANI KUBAKI NA MALAMIKO KILA KUKICHA KWAMBA WANAONEWA, WANAFELISHWA NA NECTA wakati hata madrasa wanashindwa kusoma kiarabu.Bonge la shule hapa Jokakuu,
Tatizo ni kuwa, kuna watu wao mentality yao ipo kwenye kulalalama kwa vile wanajiambia (wao na watoto na wajukuu zao) kuwa wanaonewa. Yaani kwao, matatizo yao yanasababishwa na wengine.
Badala ya kutumia muda wao kujaribu kutafuta namna ya kutatua matatizo yao, wao wanatumia muda mwingi kutafuta mchawi wa kufikirika aliyewaroga.
Mama D, do you really know the History of this nation? Dont you know that Muslims were the first to support decolonization process? kimsingi,lengo la brother kuleta hoja hii with such memorandom ni kutaka kuitanabahisha jamii kuwa waislam hawana chuki na dini nyngn.the problems have been engineered by the govt it self.
HIVI KWANINI SISI WAISLAM HATUNA SHUKRANI???
HOSP ZA WENZENTU PERAMIHO, KCMC, BUGANDO HOSP PAMOJA NA ST AUGUSTINE UNIVERSITY, TUMAINI UNIVERSITY NA VINGINE ZILIJENGWA WAKIWA NA WATAALAMU WAO AMBAO WANGEWATOSHELEZA...LAKINI HAWAKUTUBAGUA, WALITUHUDUMIA WOTE BILA KUANGALIA KAMA MIMI NI ASHA AU ANNA!
SERIKALI KWA KUONA MCHANGO WAO MKUBWA IKAAMUA KUSIGN MoU ILI KUBORESHA HUDUMA ZILIZOKUA ZINATOLEWA KWA WATANZANIA WOTE !!!!
JE MLITAKA NA SISI TUSIGN MoU KWA KIPI TULICHOKUA NACHO AMBACHO KILIKUA NA MANUFAA KWA JAMII YOTE BILA KUJALI ITIKADI??? NKISEMA MADRASA MTAKUA MNAKOSEA NDUGU ZANGU
ISITOSHE SASA TUMEZAWADIWA CHUO KIKUU AMBACHO ILKUA CHUO CHA HUDUMA ZA UMMA NA SIJASIKIA WAKRISTO WAKILALAMA KAMA SISI
KWANINI TUNAKUA NA ROHO MBAYA NA UNAFKI KIASI HIKI??? LAITI WAKRISTO WANGETUBAGUA SIJUI TUNGEKUA WAPI??
DAH ALIYETULOGA AMEKUFA SIJUI???!!!!!
Mama D,
Kwanza nakupa pole sana kwani umedandia jambo pasi na kulijua chanzo na mwelekeo wake. lakin kutokana na ushabiki na papara zako umefikia kutoa suluhisho bila kujua unazungumzia nini.
Kwa kukusaidia Mama ni kuwa PESA za MoU zinatumika kama admin Cost na sio Ops Cost. Kwa lugha nyepesi zinatumika kama kulipia pango la majengo na sio KUENDESHA hospital.
Kumbuka kuwa kanisa limejikita na kuwekeza katika Majengo ya Hospital na sio HOSPITAL kwani hospital ni pamoja na timu ya wataalamu na vifaa vyote vya hospital na maabara.
Vile vile unatakiwa kujua toka MoU hiyo mlipoingia mwaka 2002 mpaka leo ambapo ni more than 20yrs na kila mwaka Makanisa yanapokea 91 Billion kila mwaka sawa na kujenga hospital nne za level ya wilaya kama Ile ya Mwananyamala au Amana ilala na chuo Kimoja.
Fikiria kwa miaka 20 mngekuwa na hospital 80 na vyuo 20. nafikiri kila wilaya ingekuwa na hospital yake na kuachana na zile walizopanga za kanisa.
Kumbuka moja ya SERA za nchi yenu na kuachana na kukodi bali kujenga vyake. Mfano wamenunua jengo lao la ubalozi huko Italy na hivi sasa wanakusudia kujenga jengo lake hapa OMAN. sasa kwanini wasiendeleze uzi huo huo hata katika Hospital na Vyuo.
Nina wasi wasi na wachumi wenu wa ndani.
mama D, unasifia kodi zako mwenyewe. Nina imani nje ya hiyo MoU hospital hizo zitajiendesha kama inavyojiendesha Aga khan au Hindu mandal na kwa wenye uwezo watatibiwa wengine wote mtakuwa mnatibiwa kwenye hospital za Serikali ambazo zitakuwa zipo nchi yenu yote.
Poleni sana
Mama D.acha hasira na jazba na jifunze kuwa mkweli kwa nafsi yako.....
Mama D,
Kwanza nakupa pole sana kwani umedandia jambo pasi na kulijua chanzo na mwelekeo wake. lakin kutokana na ushabiki na papara zako umefikia kutoa suluhisho bila kujua unazungumzia nini.
Kwa kukusaidia Mama ni kuwa PESA za MoU zinatumika kama admin Cost na sio Ops Cost. Kwa lugha nyepesi zinatumika kama kulipia pango la majengo na sio KUENDESHA hospital.
Kumbuka kuwa kanisa limejikita na kuwekeza katika Majengo ya Hospital na sio HOSPITAL kwani hospital ni pamoja na timu ya wataalamu na vifaa vyote vya hospital na maabara.
Vile vile unatakiwa kujua toka MoU hiyo mlipoingia mwaka 2002 mpaka leo ambapo ni more than 20yrs na kila mwaka Makanisa yanapokea 91 Billion kila mwaka sawa na kujenga hospital nne za level ya wilaya kama Ile ya Mwananyamala au Amana ilala na chuo Kimoja.
Fikiria kwa miaka 20 mngekuwa na hospital 80 na vyuo 20. nafikiri kila wilaya ingekuwa na hospital yake na kuachana na zile walizopanga za kanisa.
Kumbuka moja ya SERA za nchi yenu na kuachana na kukodi bali kujenga vyake. Mfano wamenunua jengo lao la ubalozi huko Italy na hivi sasa wanakusudia kujenga jengo lake hapa OMAN. sasa kwanini wasiendeleze uzi huo huo hata katika Hospital na Vyuo.
Nina wasi wasi na wachumi wenu wa ndani.
mama D, unasifia kodi zako mwenyewe. Nina imani nje ya hiyo MoU hospital hizo zitajiendesha kama inavyojiendesha Aga khan au Hindu mandal na kwa wenye uwezo watatibiwa wengine wote mtakuwa mnatibiwa kwenye hospital za Serikali ambazo zitakuwa zipo nchi yenu yote.
Poleni sana
Mama D,
Kwanza nakupa pole sana kwani umedandia jambo pasi na kulijua chanzo na mwelekeo wake. lakin kutokana na ushabiki na papara zako umefikia kutoa suluhisho bila kujua unazungumzia nini.
Kwa kukusaidia Mama ni kuwa PESA za MoU zinatumika kama admin Cost na sio Ops Cost. Kwa lugha nyepesi zinatumika kama kulipia pango la majengo na sio KUENDESHA hospital.
Kumbuka kuwa kanisa limejikita na kuwekeza katika Majengo ya Hospital na sio HOSPITAL kwani hospital ni pamoja na timu ya wataalamu na vifaa vyote vya hospital na maabara.
Vile vile unatakiwa kujua toka MoU hiyo mlipoingia mwaka 2002 mpaka leo ambapo ni more than 20yrs na kila mwaka Makanisa yanapokea 91 Billion kila mwaka sawa na kujenga hospital nne za level ya wilaya kama Ile ya Mwananyamala au Amana ilala na chuo Kimoja.
Fikiria kwa miaka 20 mngekuwa na hospital 80 na vyuo 20. nafikiri kila wilaya ingekuwa na hospital yake na kuachana na zile walizopanga za kanisa.
Kumbuka moja ya SERA za nchi yenu na kuachana na kukodi bali kujenga vyake. Mfano wamenunua jengo lao la ubalozi huko Italy na hivi sasa wanakusudia kujenga jengo lake hapa OMAN. sasa kwanini wasiendeleze uzi huo huo hata katika Hospital na Vyuo.
Nina wasi wasi na wachumi wenu wa ndani.
mama D, unasifia kodi zako mwenyewe. Nina imani nje ya hiyo MoU hospital hizo zitajiendesha kama inavyojiendesha Aga khan au Hindu mandal na kwa wenye uwezo watatibiwa wengine wote mtakuwa mnatibiwa kwenye hospital za Serikali ambazo zitakuwa zipo nchi yenu yote.
Poleni sana
Rafsanjan umesoma au umesimuliwa historia ya nchi hii? Mimi nimesoma History hadi chuo kikuu sijawahi kusoma wala kusikia waislamu walileta uhuru wa Tanzania, hizo hadithi mnazopeana kwenye mihadhara yenu ina malengo maalum. Nenda shule kasome factors na juhudi za kugombea uhuru Tanganyika, hata ukiweza google utapata majibu. Ukikuta kuna role of muslims njoo tena jamvini. Tuliopo humu tumesoma huwezi tudanganya