ufafanuzi huu unaweza kusaidia kupata majibu ya malalamiko mbalimbali kuhusu MOU.
Tupeni MoU kwa miaka 20 na nyie mchukue kile chuo basi.Hivi Muslim University of Morogoro si mlipewa Bure au
Hawa waislamu watakufa wanalalamika kwa ujinga waoDk Slaa tunashukuru kwa huu ufafanuzi ila sasa sijui kama wamekuelewa,kwasababu zaidi ya mwalimu wa madrasa sijui kama hata mwalimu darasani wanamuelewaga
Kumbuka kwa muda mrefu serikali imekuwa ikifundisha watu wanaokwenda kufanya kazi katika taasisi zake. Taasisi za elimu za kanisa zilikuwa zinakosa watu. Shule si majengo bali ni uwepo wa wanafunzi na walimu wanaotumia majengo.
Kanisa lilihitaji sana hawa waalimu wenye sifa. Na ndiyo sababu lilikuwa tayari kupeleka vyuoni watu wenye sifa si mazuzu just kwa upendeleo wa kanisa.
Pili, unaweza kutuonyesha wapi wamesema kuwa shule hizo zinafundisha watu kwa manufaa ya kanisa tu? Husianisha na shule alizosoma Mwanaasha K.
Unapojadili hili usiache muktadha uliokuwepo nyakati mkataba huu unawekwa.
Ungepiga hesabu tokea 1992 mpaka leo Serikali imetoa kiasi gani kwa Kanisa, pesa hizi zingesaidia kujenga Shule, vyuo na Hospitali ngapi?
Je, Serikali iendelee kutoa pesa hizi mpaka lini? na baada ya miaka 20 mingine ni kiasi gani cha pesa itafikia? ni bora kuukata huu mrija sasa hivi kuliko kuja kukaa chini baada ya miaka 20 ijayo na kujilaumu kuhusu kiasi cha fedha zilizoachiwa kutiririka na kulineemesha Kanisa huku serikali ikiendelea kulitegemea Kanisa (hata baada ya miaka 20 ijayo).
Ni lazima kuwe na mwisho wa upelekaji wa hizi pesa Kanisani na wakati bora ndio huu.
Hawa waislamu watakufa wanalalamika kwa ujinga wao
sasa ukiona jamii ipo hivo halafu wanajifanya wanalalamika huwezi shangaaa
Kikwete kishawaambia pale Dodoma kuwa pelekeni maombi yenu. Changamkieni tenda!
gahawa wanywe saa ngapi?
Wenye akili ndogo watakubali kwamba MOU iko safi lakini,ukweli utasimama,kuna dini nyingine wamezoea propaganda na uongo mana dini zao na imani zao zinawafundisha hivyo.unaweza kumdanganya mtu kwa muda flani ila huwezi kumfanya mjinga muda wote.eti wanadai MOU iko kisheria,Kanisa ndio waasisi wa Ufisadi Tanzania,ndio mana adui yao mkubwa ni ujamaa na uislamu,ukisoma kitabu cha prof Huntington na john Sivalon utajua mfumo kiristo wa nchi yetu.ha ha ha inachekesha sana mtu anavyofagilia MOU na kansa inayolitafuna taifa
Mudi follower wana akili hawana porojo kama wewe. Hivo hiyo ni aibu kubwa kuliko kiongozi kama DR Slaa kuthubutu kuja kutetea ufisadi huu wa MoU?
Ufisadi wa MoU uko hapa ambapo DR Slaa nasikitika hakuweza kutuelezea kwa undani:
The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi
The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors. Article xiii.
Sasa wakristo tujadiliane kwa hoja:
1)Hivi ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kutowa nafasi za upendeleo kwenye elimu kama artcle xi inavyosema, tena isitoshe kw manufaa ya kanisa?
2)Ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kuombea kanisa misaada katika Nyanja za kimataifa.
Sasa hapa ni kipi mnahitaji kuoneshwa ili muamini kwamba serikali inawazunguka waislam?
Ufisadi unaanza hapo kwenye hivyo vipengele viwili vya MoU. Jadili hoja sio mtu.
hata ukielezwa ukweli hutaki, kwa hiyo unataka watu waseme uongo ili ukufurahishe wewe? hivi huwa nchi za kiarabu hazifanyi makubaliano na misikiti humu nchini? mbona wakristo hawamind hayo? tabia ya mtu kutoridhika na tabia ya manung'uniko ni mbaya sana, utamlea huyo mtu mpaka utachoka, hata ukimpa vyote ulivyonavyo bado hataridhika.
?
Rusha JF hiyo MOU ya waislamu iliyokataliwa kwani Rais Kikwete alisema milango iko wazi kwa Waislamu kupeleka yao lakini bado inaonekana hawajawahi kufanya hivyo au bado hawajafanya hivyo.
Tupeni MoU kwa miaka 20 na nyie mchukue kile chuo basi.
Jabulani siwezi kudoubt uwezo wa lugha ya kiingereza hata kidogo ila unapotosha kwa makusudi.
MoU inasema hivi
The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi
Yaani serikali itowe nafasi katika vuo vyake vya ualimu kwa kuwafundisha wakufunzi ambao watakwenda kusomesha katika shule za kanisa.
Hapa nafasi za upendeleo ni kwa ajili ya kufundisha walimu kwenye vyuo vya serikali ili wakitoka waende kufundisha kwenye shule za kanisa. Huu si ufisadi??????????????
Sasa wakristo tujadiliane kwa hoja:
1)Hivi ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kutowa nafasi za upendeleo kwenye elimu kama artcle xi inavyosema, tena isitoshe kw manufaa ya kanisa?
2) Kama huyu DR anashabikia MoU ambayo iko kifisadi kunufaisha kundi moja la jamii, itakuwa vipi baadaye kwenye upresident?
Tukichukua kile nyie mtabaki na nini tena?
Au makamba sekondari?