Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Juzi walikusifia Jana walikuchoka Leo wanakuzomea kesho watakufukuza lakini hao hao kesho kutwa watarudi tena kwako hivyo wazoee endelea kupiga kazi.

Walianza wanaojiita wanaojiita wanaharakati kupinga baadhi ya vipengele katika Mkataba huu wa BANDARI kwangu sikua na shida Sana sababu ni haki yao kuhoji matumizi sahihi ya rasilimali zao well kwakua ile tumeambiwa ni makubaliano Mkataba bado ninategemea Yale mapungufu yoote utayafanyia kazi katika Mkataba husika.

Mashaka yakaanza pale hao wanaojiita watetezi wa Bandari kuanzia kuingiza udini na ukanda katika Jambo muhimu la Kitaifa Kama hili na mbaya zaidi wakaanza kutumia Uhuru wao vibaya kwa kauli zisizo na staha hata kidogo.

Hali ikawa mbaya zaidi pale watetezi wa Bandari walipoanza kutoa vitisho kwa mamlaka nikajiuliza hii nguvu yote inayoumika katika makubaliano ambayo siyo Mkataba inatoka wapi.Sikutaka kuamini maneno ya mwanzo kuwa wanaopinga Mkataba wa Bandari ni wale wale wa karibu yake yaani wapo katika circle ya Amiri Jeshi Mkuu na kila siku wanamshauri Mambo mbalimbali,daah Mwanadamu ni wa kuogopwa Sana.

Sishangai sababu hata Mpendwa wetu JPM aliwahi kulalamikiwa kuchomekewa baadhi Watu/masuala nyeti kwa makusudi ili kuangusha Utawala wake pale alipoenda kinyume na maslahi ya Baadhi ya Watu katika system.

Nikapata mashaka sana ushabiki uliokuwa ukitumika kwa baadhi ya watetezi wa Bandari mbwembwe mahakamani kule mbeya kauli za vitisho kwa mamlaka nikaunganisha dot picha halisi nikaanza kuipata kuwa Kuna Watu kwa makusudi wameamua kumtengenezea Samia ajali ya Kisiasa na mbaya zaidi wengi wao ni miongoni mwa Watu wa karibu anaowaamini mnoo tena mnooo.

Nami kiaanza kuamini kuwa hili suala la Bandari halijaja kwa Bahati mbaya Kuna mawili

1.Mkataba ulisukwa ovyo makusudi ili kumuangusha Kisiasa kuelekea 2025

2.Mkataba ni Mzuri ukiondoa mapungufu machache yanayorekebishika Ila kwakua hauna maslahi kwao wameamua kuipa sifa mbaya kwa makusudi ili lengo lao litimie.
Kwanini nasema hivyo tukumbuke mpaka Sasa TICTS hawajapenda kutolewa Bandarini je Ni Nani anawafahamu wahusika Wakuu wa TICTS na miongoni mwao hakuna vigogo wanaohudumu serikalini? Na je hakuna miongoni mwao wenye nafasi nyeti hata katika Uongozi wa awamu hii ya Mama Samia? Na je Kama wapo na wanaona kabisa maslahi yao kupitia kampuni yao ya TICTS yanaenda kutamatishwa rasmi unadhani hawawezi kufanya usaliti kwa makusudi hata kwa kuzusha uongo unaofanan na ukweli?

Kama JPM aliwahi kulalamika waziwazi tena wengi tunamfahamu kwa hulka yake ya ukali sembuse kwa huyu Mama? Siungi mkono Mkataba mbovu lazma tulinde maslahi lakini kabla ya yote lazma tuujue ukweli halisi tusije tukaona tunamkomoa Samia sababu mwekezaji ni mwarabu halafu tukarudi kule kule JPM alipokuwa anatutoa kumbuka.

Sasa mashaka yangu yamekua maradufu baada ya Jana kuona waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)nilijiuliza maswali kadhaa:

1.RC ina Mamlaka ya kusimamia rasilimali zetu na kushurutisha mamlaka kamili iliyowekwa na Wananchi wenye dini na wasio na dini je walikua wanazungumza kwa niaba ya Waumini wao au Nani nyuma ya pazia? Na Kama ni kwa niaba ya Waumini wao yaani wakatoliki kwanini wawe na tamko lenye amri kwa Mamlaka iliyopo Kikatiba wakati Katiba yetu haitambui mamlaka yao juu ya Serikali ya JMT?

2.RC wanapokea ruzuku kila mwaka toka serikalini kwa Mkataba wa Siri ambao hawataki huwekwe wazi wakati shule na hospitali zao Wananchi wanatozwa gharama Kubwa na kamwe TEC hawajawai kulizungumzia hili Wala kulitolea ufafanuzi sababu Ina maslahi kwao?

3.kwanini Padri Kitima na TEC yake anayoijua yeye analazimisha Mkataba kufutwa badala ya kurekebishwa penye kasoro ili kuuboresha kwa maslahi mapana ya Taifa letu sababu kila uchwao tunatafuta wawekezaji kwa Maendeleo ya Nchi yetu nani yupo nyuma ya hili?

4.Kwanini hawa Maaskofu wasingetumia haki yao Kikatiba Kama Watanzania wwngine Kuukosoa/kuupinga Mkataba wa Bandari badala ya kujivika vyeo vya kidini ambavyo kwa namna moja ama nyingine italeta mtafaruku katika Jamii ambayo Serikali yake haina dini kwa mujibu wa Katiba na pengine kuzua hatari mbaya zaidi kwa Wananchi ambao Wana dini na badala ya kuwaunganisha Watanzania itaendelea kuwagawa zaidi kwani ikitokea Mkataba mwingine Watu wakitaka kuupinga watatumia kofia ya dini ambayo haina Afya kwa Mustakabali wa Taifa letu naona wanarudia makosa ya wale mashehe wa mbeya na mwanza wakati mjadala ulipoanza hakuna kuleta Udini na Ukanda kwa maslahi ya Taifa la sivyo tutajua mnatetea maslahi yenu na waliowatuma.

Mwisho niseme tu kwa Haya machache ukweli umeshajulikana Pamoja na mapungufu ya Mkataba lakini Kuna Watu kwa makusudi Wana Jambo lao na haya yanayoendelea Nchini hayapo kwa Bahati mbaya Kuna Jambo.
suala lolote linalohusu maslahi mapana ya Taifa tuepuke kuingiza udini,ukabila,ukanda,rangi wala jinsia ni Mambo ya hatari yanayoweza kuleta machafuko ndani ya Taifa.

MAMA SAMIA MIMI NAKUOMBEA KWA MWENYEZI AKUTANGULIE KATIKA SAFARI YAKO NANAKUFIKISHE SALAMA SALIMINI UKABIDHI KIJITI KWA MWINGINE,MUNGU IBARIKI TANZANIA🇹🇿
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Rubbish and Nonsensical.
 
Yeah,afanye Kaz......nasi hekima yake tumeiona....katengeneza mbinguni kuliko duniani....nimejifunza jibu la mjinga ni kupiga kimya
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Haikusaidii, kama siyo subsidy ya serikali kwa hospital za kanisa mgelikufa nyote na vijikofia vile! Serikali ina subsidize mpate kutibiwa
 
Haikusaidii, kama siyo subsidy ya serikali kwa hospital za kanisa mgelikufa nyote na vijikofia vile! Serikali ina subsidize mpate kutibiwa
Hamna wanachojua hao wamekalia Phd za theology 😅😅😅za vyeti vya kupewa vatican eti ndo usomi.

yaani hawajui kama TICTS walikuwa wanaoperatea gati kadhaa then wanapiga kelele

Hoja yetu…

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
 
Ndiyo maana gharama za aghakan huwezi kuzimudu. Kupitia kanisa mnapata huduma nzuri, bila hivyo tutakufa sana.
Basi jengeni zenu za kiislamu tutibiwe bila subsidy ya serikali
Kwa hiyo pale agha Khan anatibiwa nani!?..hizo za kanisa Bei ni chini!?..bilioni 36 kwa mwezi,kwa mwaka ngapi!?..kujenga hospitals Kama mloganzila haiwezekani kwa hizo pesa!?..tangu 1992 mpaka Leo ni kiasi gani!?
 
Ndiyo maana gharama za aghakan huwezi kuzimudu. Kupitia kanisa mnapata huduma nzuri, bila hivyo tutakufa sana.
Basi jengeni zenu za kiislamu tutibiwe bila subsidy ya serikali
Unaongea nini wewe gharama yq Bugando utafaninisha na hospitali za serikali? Watu wanadaiwa mpaka maiti nyie mnapiga hela tu za wanalipa kodi.
 
Ndiyo maana gharama za aghakan huwezi kuzimudu. Kupitia kanisa mnapata huduma nzuri, bila hivyo tutakufa sana.
Basi jengeni zenu za kiislamu tutibiwe bila subsidy ya serikali
Hawa shule inawasumbua sana. Ukienda Mang'ola barazani (Karatu). Kijijini kabisa au Ndala (Tabora).
Kuna kanisa kubwa na hospitali na hatua chache kuna msikiti na kisima cha kujitawazia. Huwa nawaza waislam, walitumia nini kufikiria?. Ni aibu kubwa sana
Panda gari mpk makuyuni, panda gari kwenda Karatu. Ukifika panda za kwenda Mang'ola, shukia barazani, ukajionee maajabu.
Unajiuliza, unaenda kuswali na kujitawaza halafu ukiumwa unaenda kwa makafikiri kutibiwa. Bado mnajiita ni dini ya haki. Ujinga mkubwa sana
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Wakati wenzenu wanafyeka mapori na kujenga shule na Hospitali nyie watoto wa mama mdogo mnakazana kujenga misikiti kwenye mikusanyiko ya watu. Sasa mvumile sindano ziwaingie.
 
Serikali ijenge hospitali zake,kwa mwaka bilioni 400+,miaka kumi trillion 4+!..kanisa linainyonya Sana hii nchi
Serikali yenyewe inaendeshwa na mvaa kobazi anayewaza kujenga msikiti na kisima cha kujitawazia unafikiri atakuwa na akili hiyo?
DP world ishajenga hospital kubwa sana mbeya (Msikiti na kisima cha kujitawazia).
Waislam nao wangejenga hospital haya mambo yasingekuwepo. Kwa gharama za uendeshaji za hospital, hiyo hela ni ndogo sana ilifaa iwe 1 trillion kwa mwaka ili wavaa kobazi nao washituke wajenge hospitali
 
Back
Top Bottom