johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakumbuka 1995 Nccr Mageuzi ndio Ilikuwa na wabunge wengi Kwenye kambi ya upinzani ikifuatiwa na CUF kisha Chadema
Lakini Chadema ndio ilionekana ina Wabunge makini wanaotema Madini na wasiotetereka tena hawana Bei migongoni mwao
Mbunge wa Nkasi mh Aida Khenani ananikumbusha Makali ya Enzi zile
Mungu wa mbinguni amlinde Aida!
Lakini Chadema ndio ilionekana ina Wabunge makini wanaotema Madini na wasiotetereka tena hawana Bei migongoni mwao
Mbunge wa Nkasi mh Aida Khenani ananikumbusha Makali ya Enzi zile
Mungu wa mbinguni amlinde Aida!