Mkataba wa bandari: Tundu Lissu asema una "utukufu wa kikatiba". Kuhusu bandari, mkataba huu ndiyo sheria! Afafanua namna unavyoweza kuvunjwa

Mkataba wa bandari: Tundu Lissu asema una "utukufu wa kikatiba". Kuhusu bandari, mkataba huu ndiyo sheria! Afafanua namna unavyoweza kuvunjwa

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822
Ni kwenye PC yake ya juzi kwa vyombo vya habari alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari..


Wasio na bundle, hizi hapa 👇👇👇ni baadhi ya quotes za kauli zake

• "Haya makubaliano ndiyo mkataba. Kwa jinsi mkataba huu ulivyo haurekebishiki na ukabaki", Tundu Lissu

• "Kwa jinsi mkataba huu ulivyo, naamini hakuna mtanzania aliyeandaa mkataba huu. Ni wazi Rais alikubaliana nao huko alikokutana nao huko akawaambia, andaeni mtuletee, akaletewa draft yake na kusaini tu", Tundu Lissu.

• "Ukimpelekea mkataba huu au document hii mwanasheria mkuu wa serikali au mwanasheria yeyote makini, kabla ya yote atakuambia, umeliwa". Tundu Lissu..

• "Kama Rais au waziri Mbarawa angewapelekea mwanasheria mkuu huko serikalini, lazima wangemwambia 'mh. Waziri, hili hapana, hebu subiri kidogo'..." Tundu Lissu

===================================
CC: FaizaFoxy bitimkongwe Lord denning na "chawa wa mama" wengine mna la kujibu?
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Ni kwenye PC yake ya juzi kwa vyombo vya habari alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari..
View attachment 2664711

Wasio na bundle, hizi hapa [emoji116][emoji116][emoji116]ni baadhi ya quotes za kauli zake

• "Haya makubaliano ndiyo mkataba. Kwa jinsi mkataba huu ulivyo haurekebishiki na ukabaki", Tundu Lissu

• "Kwa jinsi mkataba huu ulivyo, naamini hakuna mtanzania aliyeandaa mkataba huu. Ni wazi Rais alikubaliana nao huko alikokutana nao huko akawaambia, andaeni mtuletee, akaletewa draft yake na kusaini tu", Tundu Lissu.

• "Ukimpelekea mkataba huu au document hii mwanasheria mkuu wa serikali au mwanasheria yeyote makini, kabla ya yote atakuambia, umeliwa". Tundu Lissu..

• "Kama Rais au waziri Mbarawa angewapelekea mwanasheria mkuu huko serikalini, lazima wangemwambia 'mh. Waziri, hili hapana, hebu subiri kidogo'..." Tundu Lissu

===================================
CC: FaizaFoxy bitimkongwe Lord denning na "chawa wa mama" wengine mna la kujibu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Muda unavyozidi kusonga waliokuwa wanaupigia debe huo unafsishaji wa bandari siwaoni kabisa

Lisu kwenye mambo ya sheria siwezi kumbishia

Mbunge anajulishwa twende Dubai shopping kumbe utafutwa ushahidi mshenzi tu

Mbarawa jiuzuru ni ushauri tu

Aibu kwa mama na bunge
 
"Ashauri namna unavyoweza kuvunjwa".

Naona kwenye 'summary' yako hukufika huko.

Kuuvunja mkataba hata kama utalazimishwa, hiyo ndiyo kazi muhimu kuiandaa tokea sasa.

Lakini ngoja nikasikilize mwenyewe.

N.B. Nimeangalia hiyo picha inayoandamana na video.
Kumbe ndiyo maana bado hawa watu wanaliita Bara letu a "Dark Continent".

Angalia tofauti iliyopo kati ya Bara la Ulaya na Afrika. Picha hiyo ilipigwa usiku.

Bado tunayo safari ndefu kidogo.
 
Kwa hiyo, njia pekee ya kuuvunja mkataba, wenye "utukufu wa Kikatiba", ni kwa Bunge kurekebisha huo "utukufu wa kikatiba", yaani shera ya kurekebisha "Katiba"?

Na urekebishaji huo ni wakati wowote, na Bunge lolote, siyo lazima liwe hili la CCM.
 
Hivi ikitokea mjeda mmoja jasiri akapiga mabomu jengo la ofisi zao hiyo haitatosha kuwakimbiza na kuuacha mkataba?
Na mimi ninawaza tu!
Hiyo haitoshi.
Hawa wanao ukwasi wa kutosha kuweka jeshi lao pale.

Na kumbuka, miradi hiyo yote itakuwa inawaingizia faida kubwa sana, kiasi kwamba hawa matumbi wenzetu wanaotuuza huko utumwani, ndio litakalokuwa jeshi lao.
Kwa hiyo, tutakuwa tunapambana sisi kwa sisi, huku jamaa wakifaidi matunda.

Ukisikia nchi zenye vurugu, usidhani sisi hatuwezi kuwa miongoni mwa nchi hizo, kwa 'instigation' za watu kama hawa.

Na bado usisahau, Wagner wa Urusi, na 'contractors wa huko Marekani 'blueprint kwa vinchi vidogodogo kama hivi vilivyo na ukwasi mkubwa. hata havijui viutumie wapi ukwasi huo.

Tunacheza na kiberiti mbele ya tanki la mafuta linalovuja hapa!
 
Kwa mkataba huu wa bandari, Watanganyika kubalini tu kuwa mmeliwa kimasihara mchana kweupe na muarabu wa Dubai!

Dawa ni kuanza kupachimbisha sasa dhidi ya mama na wapambe wake waliokuwa madalali wa kuuza nchi yenu.
Sisi haitaki huu muungano wa kinyonyaji
 
Kwa hiyo solution ya kuondokana na huku kuuzwa utumwani kwa waarabu ni nini sasa?
Tufuate njia ile ile aliyopendekeza Lissu.

Bunge, (siyo lazima liwe hili la mafisadi), warekebishe "masharti ya kimkataba yenye utukufu wa kikatiba", kama vile tunavyoweza kurekebisha Katiba yetu.

Tukishafanya hivyo, hatfungwi tena na mkataba wa kitumwa. Wakileta chokochoko, na kuleta u'Wagner' wao hapa, nasi tutawaleta hata kama ni waChina, watusaidie kuikomboa nchi yetu.

Tutakuwa na haki ya kupigania uhuru wetu, kama walivyofanya wengine wote duniani walipokuwa wakidai uhuru wao..
Kwa mfano, Msumbiji, na Afrika Kusini, n.k.
 
Muda unavyozidi kusonga waliokuwa wanaupigia debe huo unafsishaji wa bandari siwaoni kabisa

Lisu kwenye mambo ya sheria siwezi kumbishia

Mbunge anajulishwa twende Dubai shopping kumbe utafutwa ushahidi mshenzi tu

Mbarawa jiuzuru ni ushauri tu

Aibu kwa mama na bunge
Mimi huyu jamaa nilimpuuza tangu akiwa bungeni
 
Sitaki kuamini kwanini tusubiri mpaka atakapokuja kiongozi mwingine, au bunge lingine, ndio tuvunje huu mkataba, binafsi nataka huu mkataba uvunjwe na huyu msaliti mwenyewe aliyeuleta.

Hatuwezi kuishi hata mwezi mmoja zaidi mbele tukiwa chini ya huu mkataba, kufanya hivyo ni sawa na kujikubali tumekuwa watumwa wa mwarabu ndani ya nchi yetu, huu ni ujinga na upumbavu mkubwa sana kutokea karne hii.
 
Back
Top Bottom